SENSA KWA HARMONIZE - USWEGE MURDERER
Комедия
Uswege aigiza kama karani wa sensa, aingia nyumbani kwa Harmonize kuwahesabu.. kaya ina watu wengi sana
Follow Uswege on
Instagram; invitescont...
Twitter; UswegeMurderer?s=09
#Uswegemurderer #Harmonize #Sensa #MusicalComedy #TanzanianComedy #MusicalComedy #Uswege #KalizaUswege
Пікірлер: 324
Tufanyie moja ya wasanii wa Kenya aky tunakupenda sana
Unatuvunja mbavu big up sana 😂😂😂
Noma Sana mwanangu naomba nifanye moja na ngoma zangu
God blessed Mr usweger 🙏❤️✌️🇹🇿🇹🇿🛫🛫🛫✈️✈️✈️ international moving
Familia nzima aijasoma nimecheka 🤣🤣🤣🤣🙌
Noma sana mwanangu🥰❤️
Eti close to me na huyu moshi kaka yangu🤣🤣🤣uswege bhana
Noma Sana naitwa japhetizo toka njombe kusin nafanya mziki ingia youtube searchi japhetizo utapata ngoma Kali zote Asante
Bloo your so talented artist big up one love my blood unatisha sana🔥🔥🔥
@Thedonrboysuper_tz
Жыл бұрын
kzread.info/dron/lTm3EmfxgsllqxvL01oHmQ.html
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
Bloo????😂😂😂
@sophiayahaya9202
Жыл бұрын
Mamb
Any Kenyan in the house 🖐️🖐️🖐️🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kibzafricana7823
Жыл бұрын
Am in,nasupport saana huyu broo
@GitoshDan
Жыл бұрын
Tupo site😂😂
Kwakweli nimeangalia hadi mwisho na nita like, una kila sababu yakuwa hivyo na zaidi HONGERA KWA WAZO ZURI.🔥🙏🏾🇹🇿 Very very impressive work!😍
@filbertnashon7160
Жыл бұрын
Nmeona wajina.huko humu😀😀
@filbertfaustine7357
Жыл бұрын
@@filbertnashon7160 nipo wajina tunaangalia vipaji vyetu TANZANIA
I salute you bro🇰🇪🇰🇪
Kaka jarib na kwa jeimelody yupojuu sana skuiz
Nc 💯💯💓 Akya
Uswege😂😂tafta sehem wanauza akili Ukipata uniambie ntakuchangia ukanunue ata chache za kukusaidia😂😂😂😂
Love you from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
...Keep it up Broo your the best Alwayz💪...
Uswerger inabidi Serikali ikutengenezee xanamu lako broohh umetisha xana
Hii kweli imeweza,tuone kwa simba 🤣🤣🤣🤣
Ase we usweger ni fire🔥🔥🔥🔥💥💥😹
Kaka nzuri sana respect 🙏
Upo vzr nilikuwa nimeimis hii kazi❤🔥
Uswege bigup broh umetisha usipunguze speed kaka
Hongera sana Kaka fanya kazi hongera Yako kaka unanikaushaga mbavu Sana 📚✍🏿📚✍🏿📚✍🏿📚✍🏿
We Mbunifu Sana Kaka Hongera Sana✊
From Kenya I love your work bro. I want to be like you.🇰🇪
tisha sana broder
Sensa iendelee mzee baba. 😀😀NEEEEXT
Full support from Kenya 🇰🇪 👏 kazi nzuri kaka
Hapo pa Moshi bro😂😂😂😂😂 l love it 😍😍🤣🤣🤣🤣🤣👍👍
😁😁😁😁😁😁😁daah, hatar San kwamba umeomba maji sio sigara
Mzungu kawehukaaa hahahah
Una akili nyingi kweli👐👏👏
😂😂😂😂😂apo kwa ibrah eti hajasoma nimecheka😂😂😂😂
The best comedian, jamaa anapromote bongo fleva lwa njia ya kipekee. Lets support such a vibrant talent
Umesoma Tabora boys ķipaji maalum ndo maan unafikiria nje ya box..keep it up
@eng8251
Жыл бұрын
🤔
@ashaomary5558
Жыл бұрын
Mtt wa kwanza Paula
Wow aki 😂😍😂😍😍😍😂😍😂😂😍 nakufa mnishikilie
Hahahahahahaha Daah Picha Za Kajala
Makin sana broo
Very good dear. I like u bhanaaaaa ❗
Safi sana kaka
Always following
Mzungu kawehukaaaaaaaa
I was really waiting for this "Sensa Kwa Tembo"
Wow from Kenya u doing a good job
It's Him again 😅😂😂😂🇧🇮
uswege unafuisha kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
tuna kupa Tano👏ku toka DRC congo
Maji ya kunywa na ndumu😄😄😄
😄🤣😂eti familia nzima hamjasoma
@Idri7
Жыл бұрын
Kwenye picha za Kajala ndio nilipocheka😅😅
@Chacha-dk2fz
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
big up bro😂😂😂
Haaaa picha za kajala 🤣
Big up for u 🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥
Umetisha kaka
Jana Ulisema Unaenda kwa Hamo .kwa kiba Ulinyimwa Wali....Kwa Hamo Umepewa Sigara....kazi Unayo.
@busta_malik5971
Жыл бұрын
😂😂
Noma sana 😅😅😅😅😅
Uliomba maji sio sigara 😂
So good unstoppable talent
Upo vizuri Sana kipaji kaka Cha pekee
So nice dear
🤣🤣🤣🤣 picha za kajala
Uswege ni 🔥🔥🔥🔥
Ubunifu mzuri sana huu. Big up
Utanivunja mbavu 😄😄😄
Et mzungu ndo kawehuka 😂😂
Uswege tunakukubali miakaa elfu
Uswege umeuwaa sanaaa 🔥🔥🔥🔥🤣🤣
Kwenye picha za kajala hapo nimecheka😂😂😂
Aaah! Umetisha broo uk vzr san
Nimeipenda sana uncle uswege umeua sana😂❤
Nmeipendaaa safi saan
KRIETIVITI YAKO KUBWA SANA.SEMA NA UJINGA UNAYO NYINGI PIA😄😄.anyway you made my evening .keep it up brother
Karani wa sensa kaletewa picha za kajala😂😂
ilopoa sana
Well done kaka
mwamba unaua Sana keep it up
😂😂😂respect Burundi support nying
Picha za kajala 🤣🤣🤣🤣🤣
Eti mchamchambo nijina🤣🤣🤣
Good job
Ako na kafegi mukononi🤣🤣
Country boy na young lunya nasubiri kaka
Mwishon huko ni noma
Safiii saana
Famiglia nzima haijasoma🤣🤣
Unajua sana bro unajua mnoo🤞
Good work na n 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka unajua sana aise 🤣
Umeuwa the first hapa 🔥🔥
@uswege
Жыл бұрын
Umetisha 🔥
@kassebo
Жыл бұрын
@@uswege Kipaji chako nicha kipekeee Sana. Barikiwa Sana.
Bro unafanya nizi ku enjoy nakujuwa unakuwa sana
Picha za kajala,😂😂😂
😂😂😂 We jamaaa
Mwenye kipajiiiii
Uswege big up sana
Kaka umetishaa🙌🙌🙌🙌🙌😂😂
Dah! Eti picha za Kajala 😂😂
Genius 4L
Hongera sana bro . Umetisha
ufundi mwingi
Nakukubali kaka uswege