Semina muhimu ya Katiba Mpya ya Markaz na kanuni zake - Sheikh Salim Barahiyan
MWALIKO WA SEMINA YA ELIMU YA KATIBA, KANUNI ZA MARKAZ NA MCHAKATO WA KUYAENDEA MABADILIKO
Tunayo furaha kuwakaribisha kwenye semina maalum ya elimu ya katiba, kanuni za Markaz, na mchakato wa kuyaendea mabadiliko. Semina hii itahusisha washiriki kutoka majimbo 14 yaliyo katika kanda mbili, yaani Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Mashariki Kati. Majimbo yanayohusika ni:
- 1 - Tanga Mjini 2 - Korogwe
- 3 - Muheza 4 - Pangani
- 5 - Handeni 6 - Maramba
- 7 - Moa 8 - Kilindi
- 9 - Lushoto 9 - Mjini
- 10 - Mkinga 11 - Singida
- 12 - Tawi la Pingamale
- 13 - Kanda ya Kaskazini
- 14 - Kamati ya Jimbo la Matui Azimio
Semina itafanyika katika Jimbo la Korogwe, kuanzia tarehe 08/06/2024 hadi 09/06/2024.
Tunatarajia ushiriki wenu ili kufanikisha mchakato huu muhimu wa kuyaendea mabadiliko ndani ya Markaz zetu. Karibuni sana!
📡🎥📸📰
IDARA YA HABARI NA UTANGAZAJI - MARKAZ KUU
Пікірлер: 5
Allah akuhifadhi Sheikh wetu kwa kazi kubwa ambayo umekuwa ukihifanya ya da'awa na uongozaji wa taasisi yetu pendwa kwa uwazi na ukweli wa mambo
Maashaallah Asante mudir
Maashaa'Allah,Tasisi ya Ansaar ndio tasisi inayoendesha mambo yake kwa uwazi na kuwapa wanachama wake elimu
,katiba yenu muandike kipa umbele chenu NI kudhulumu waislam mayatima wajene
kzread.info/dash/bejne/mZN-urStZai1hLQ.htmlsi=tn0cgK5CXKQHxCHi HAKUNA HADITHI INAYOELEKEZA SWAUMU YA ARAFA IWE SIKU MOJA NA KISIMAMO CHA MAHUJAJI. SHEIKH KHALIFA KHAMIS.