Sekione Kitojo Astaafu

Mtangazaji nguli wa DW Kiswahili Sekione Kitojo amestaafu. Kitojo anafahamika zaidi katika matangazo ya spoti, usomaji habari na vipindi katika redio. Hebu tazama ujumbe wa baadhi ya watangazaji wenzake wakimtakia kustaafu kwema. #Kurunzi

Пікірлер: 32

  • @mohamedalawy6172
    @mohamedalawy6172Ай бұрын

    Soud Mnete ana Sauti nzuri SANA ya Utangazaji

  • @MedardGombanila
    @MedardGombanila2 ай бұрын

    Kitojo nakutakia maisha kapumzike salama kwa kusitafu DW

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything10 ай бұрын

    👍👊✌️.

  • @michaelkirui2966
    @michaelkirui2966 Жыл бұрын

    Heo Sekione Kitaja kwa kustaafu. Maulana akujalie maisha mema.

  • @abdullahomar8687
    @abdullahomar86873 жыл бұрын

    naipenda mno Dw naamin ntakuja mafunzoni in shaa allah ...maana napenda utangazaj na watangazaj mahiri...Klla la kheyr mwalim wng Sekione

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi68713 жыл бұрын

    Ufasaha wa Lugha ya Kiswahili ni TUNU ya DW Idhaa ya Kiswahili. BARAKA LLAHU FIYKA SEKIONI KITOJO.

  • @abdullahomar8687
    @abdullahomar86873 жыл бұрын

    daaah wallah ni hisia za kipekee mno kipindi cha muda mfup tu amestaaf Mohammed Abdul-rahmaan kisha mama Ummil-kheyr kisha sasa Sekione Kitojo daaah hawa ni wanakhabar nguli wa kipekee mno tena waliobarikiwa weledi wa hali ya juu allah awafanyie wepes tutawakumbka mno ...

  • @abdullahomar8687
    @abdullahomar86873 жыл бұрын

    Saumu Njama kumbe ni mrembo hv maa shaa allah nmefurah mno pia kumuona mtu mtartiiibu Swaleh Mwanamilongo....

  • @mohamedalawy6172
    @mohamedalawy6172Ай бұрын

    Kitojo nilianza Kumsikia RTD mwaka wa 1980

  • @haroldemanuel5529
    @haroldemanuel552910 ай бұрын

    Nyie sauti zenu ni unique jaman

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi68713 жыл бұрын

    Kiukweli DW mi nawapenda sana WATANGAZAJI wake.

  • @Kiswahili

    @Kiswahili

    3 жыл бұрын

    Basharah Alhamgarra asante sana kwa kuchagua DW Kiswahili

  • @denistarange5580
    @denistarange55802 жыл бұрын

    Upepo wa kisulisuli

  • @JKQGAME
    @JKQGAME3 жыл бұрын

    Daaah hakika tukakukumbuka sana

  • @Kiswahili

    @Kiswahili

    3 жыл бұрын

    Kajuna Evini sana!

  • @jacobstake.4142
    @jacobstake.41422 жыл бұрын

    Leo Nalia Kusikia Sauti Tajika...Jameni Siku Moja Naomba Mniite Hapo..

  • @friminiantony5041
    @friminiantony50412 жыл бұрын

    Sekioni kiroho namuheshimu ila pia natamani uendelee tutamkumbuka sana

  • @youthvocals4014
    @youthvocals40143 жыл бұрын

    Hakika tumejifunza mengi sana kutoka kwako.

  • @leonarddamian
    @leonarddamian3 жыл бұрын

    03:48 Zainab Aziz utani wa kuitana Mwalimu mzee na Mwanafunzi mzee nimeupenda.

  • @jacobstake.4142
    @jacobstake.41422 жыл бұрын

    Mwana Milongo

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis442410 ай бұрын

    Ulaya kuna nn nj nyumbani

  • @abdullahomar8687
    @abdullahomar86873 жыл бұрын

    Sekione ni mtu mwnye bashasha mno na ufasaha wa hali ya juu akitamka majina ya viongoz wa nchi mbalimbali dunia utapenda utulivu wake ktk kusoma khabar ni wa namna ya kipekee mno maa shaa allah tukijifunza mengi kwake ...klla anayestaaf Dw twahisi bado ana utamu yaan watu wa hapo ni mithili ya mvinyo bora kadri ukaavyo ndo wazidi khaswaa

  • @natusmaganyiro442
    @natusmaganyiro4423 жыл бұрын

    Good job

  • @Kiswahili

    @Kiswahili

    3 жыл бұрын

    natus maganyiro 👍🏽

  • @dadasim2749
    @dadasim27493 жыл бұрын

    Kina MOH'D KHELEF RASHID CHILUMBA na AMINA ABOUBAKAR hatujawona tulitaka nao tuwajue Sura zao zikoje

  • @ndulujilala9643
    @ndulujilala96433 жыл бұрын

    Tutamkumbuka na umury herry

  • @Kiswahili

    @Kiswahili

    3 жыл бұрын

    Ndulu Jilala 👍🏽

  • @bashaakumaarpandan9021
    @bashaakumaarpandan90212 жыл бұрын

    Sekione kipind nipo shule ni mdogo nikirud nyumbn nikiskia sauty yko taarifa ya hbr ,najua mpunga t

  • @ndulujilala9643
    @ndulujilala96433 жыл бұрын

    Sekione kitojo nakupenda sana baba angu ulisoma na baba angu namba angu Tanzania Ndulu jilala 0757021106 nitumie namba kaka dw umetenda haki umedumu , nakustafu kwa heshima

  • @Kiswahili

    @Kiswahili

    3 жыл бұрын

    Ndulu Jilala asante sana kwa niaba ya Sekione Kitojo

  • @ndulujilala9643

    @ndulujilala9643

    3 жыл бұрын

    @@Kiswahili sante sana kitojo

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga84908 ай бұрын

    Hakika hiyo ndiyo ilikuwa DW niliyoipenda daima.. Miamba mingi maarufu ya utangazaji imepita hapo nimemwona Ramadhani Ally na Kitojo nakumbuka kipindi cha michezo mwishoni mwa juma. Enzi hizo EURO 96 Germany ilitandaza soka safi halafu kulikuwa na kipindi kizuri cha Darubini Uchambuzi wa siasa kila wiki siku ya Jumanne na Othman Miraji