Sekione Kitojo Astaafu
Mtangazaji nguli wa DW Kiswahili Sekione Kitojo amestaafu. Kitojo anafahamika zaidi katika matangazo ya spoti, usomaji habari na vipindi katika redio. Hebu tazama ujumbe wa baadhi ya watangazaji wenzake wakimtakia kustaafu kwema. #Kurunzi
Пікірлер: 32
Soud Mnete ana Sauti nzuri SANA ya Utangazaji
Kitojo nakutakia maisha kapumzike salama kwa kusitafu DW
👍👊✌️.
Heo Sekione Kitaja kwa kustaafu. Maulana akujalie maisha mema.
naipenda mno Dw naamin ntakuja mafunzoni in shaa allah ...maana napenda utangazaj na watangazaj mahiri...Klla la kheyr mwalim wng Sekione
Ufasaha wa Lugha ya Kiswahili ni TUNU ya DW Idhaa ya Kiswahili. BARAKA LLAHU FIYKA SEKIONI KITOJO.
daaah wallah ni hisia za kipekee mno kipindi cha muda mfup tu amestaaf Mohammed Abdul-rahmaan kisha mama Ummil-kheyr kisha sasa Sekione Kitojo daaah hawa ni wanakhabar nguli wa kipekee mno tena waliobarikiwa weledi wa hali ya juu allah awafanyie wepes tutawakumbka mno ...
Saumu Njama kumbe ni mrembo hv maa shaa allah nmefurah mno pia kumuona mtu mtartiiibu Swaleh Mwanamilongo....
Kitojo nilianza Kumsikia RTD mwaka wa 1980
Nyie sauti zenu ni unique jaman
Kiukweli DW mi nawapenda sana WATANGAZAJI wake.
@Kiswahili
3 жыл бұрын
Basharah Alhamgarra asante sana kwa kuchagua DW Kiswahili
Upepo wa kisulisuli
Daaah hakika tukakukumbuka sana
@Kiswahili
3 жыл бұрын
Kajuna Evini sana!
Leo Nalia Kusikia Sauti Tajika...Jameni Siku Moja Naomba Mniite Hapo..
Sekioni kiroho namuheshimu ila pia natamani uendelee tutamkumbuka sana
Hakika tumejifunza mengi sana kutoka kwako.
03:48 Zainab Aziz utani wa kuitana Mwalimu mzee na Mwanafunzi mzee nimeupenda.
Mwana Milongo
Ulaya kuna nn nj nyumbani
Sekione ni mtu mwnye bashasha mno na ufasaha wa hali ya juu akitamka majina ya viongoz wa nchi mbalimbali dunia utapenda utulivu wake ktk kusoma khabar ni wa namna ya kipekee mno maa shaa allah tukijifunza mengi kwake ...klla anayestaaf Dw twahisi bado ana utamu yaan watu wa hapo ni mithili ya mvinyo bora kadri ukaavyo ndo wazidi khaswaa
Good job
@Kiswahili
3 жыл бұрын
natus maganyiro 👍🏽
Kina MOH'D KHELEF RASHID CHILUMBA na AMINA ABOUBAKAR hatujawona tulitaka nao tuwajue Sura zao zikoje
Tutamkumbuka na umury herry
@Kiswahili
3 жыл бұрын
Ndulu Jilala 👍🏽
Sekione kipind nipo shule ni mdogo nikirud nyumbn nikiskia sauty yko taarifa ya hbr ,najua mpunga t
Sekione kitojo nakupenda sana baba angu ulisoma na baba angu namba angu Tanzania Ndulu jilala 0757021106 nitumie namba kaka dw umetenda haki umedumu , nakustafu kwa heshima
@Kiswahili
3 жыл бұрын
Ndulu Jilala asante sana kwa niaba ya Sekione Kitojo
@ndulujilala9643
3 жыл бұрын
@@Kiswahili sante sana kitojo
Hakika hiyo ndiyo ilikuwa DW niliyoipenda daima.. Miamba mingi maarufu ya utangazaji imepita hapo nimemwona Ramadhani Ally na Kitojo nakumbuka kipindi cha michezo mwishoni mwa juma. Enzi hizo EURO 96 Germany ilitandaza soka safi halafu kulikuwa na kipindi kizuri cha Darubini Uchambuzi wa siasa kila wiki siku ya Jumanne na Othman Miraji