SABAYA AMTAJA RAIS SAMIA BAADA YA KUACHIWA HURU, "AMEFANYA KWA WENGI, ALIWEKA MFUMO"
Жүктеу.....
Пікірлер: 250
@laurentraphael54702 жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote. Mungu sio athumani.
@granciamsanisa53692 жыл бұрын
Sabaya Mungu anakupenda alitaka utambue ukuu wake wakati wa Shida na Raha Barikiwa.
@devothangondy43222 жыл бұрын
Nakuombea kaka angu sabaya Mungu akuponye na uwo uvimbe kichwani
@rosemongi52732 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu sana siku zote na njia zake hazichunguziki,usiogope Sabaya mtumain mungu na mkabizi njia zako zote yeye atafanya,usimwache mungu nakusihi hata upitie magumu yanayo tisha wewe simama na mungu tu.
@mosesmacha10802 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki Sana Sabaya
@devothangondy43222 жыл бұрын
Kama kweli haukuwa na makosa Mungu akulipie kisasi kwa adui zako wote ktk mashabiki wako pamoja na mimi nakukubali sana, niliumia sana lakini Mungu ametenda muujiza
@suzymasawe8666
2 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilimtetea sana mtaan kwetu mimi n wa hai sikuamin kilichomtokea mungu awalipie
@fanuelykitambule5542
2 жыл бұрын
🙈🙈🙈
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
@@suzymasawe8666 alikuwa anafikia kwake na kumulekeza wabaya wako wanakoishi ili wasurubiwe na were second degree offender pamoja na kuachiwa kwa rafiki kiaina
@bashiruamri21672 жыл бұрын
Sabaya sabaya sabaya,nimekuita Mara tatu nataka nikwambie kuachiwa kwako nimachozi na maombi ya watu kwa mungu Mimi naishi mkoa kagera lakini pamoja nakuchafuliwa kwako watu tulikuwa hatuamini Asante mungu
@suzanamwangingo29952 жыл бұрын
Nashukulu mungu sana kiukweli sabaya Alikuwa ananipa mawazo sana. Nashuku mahakama na mmsamia pia.sabaya mungu akulinde usiku na mchana
@ezekielkiduge87302 жыл бұрын
Kama mashitaka sabaya wenzake yalikuwa ya ni ya uongo ,basi haki imetendeka lakini kama mashitaka hayo yalikuwa ya kweli MUNGU ni mhukumu wa haki.
@husseinkhaji8952 жыл бұрын
Kama ulifanya hayo ukome maana duniani tunapita cheo ni dhamana
@odethadismas14102 жыл бұрын
Tumshukuru Mungu kwa neema yake, hadi viongozi hawa kuachiwa huru kupitia mahakimu wenye hofu ya Mungu iliyowaongoza kutenda haki kwa viongozi hawa, ndugu zangu watanzania hakuna mwanadamu aliyekamilika siku zote tutubu na kumrudia Mungu.Tusiwe wenye visasi,kisasi ni cha Mungu pekee, sabaya mshukuru Mungu kwa mema aliyokutendea na usimwache kamwe.
@felixmsale9244
2 жыл бұрын
Hivi ungekua ni yule aliyekatwa masílkio ungejisikiaje??? Ungesamehe tu uendelee na maisha bila masikio?au mke wako amebakwa au wewe mwenyewe ulibakwa ungesamehe tu na maisha yaendelee?
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
@@felixmsale9244 acha unafiki nasema acha unafiki mbona waliyo muua braitoni huku WAMEJIVALIA UNIFORMS ZA CHAMA CHAO MAISHA YAO YA NAENDELEA NA UNAJISIFIA VIZURI? CHUKI TU ZIME KUJAA KUTAFAKARI DHAMBI ZA ADUI YAKO
@felixmsale9244
2 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 Hata hilio sio sahihi .Nachosema mimi dhambi inasamehewa na kitubio.na Dunia ya maendeleo inatawaliwa kwa HAKI NA SHERIA hivyo DHAMBI yyte inasamehewa na KITUBIO .hata kwenye vitabu vya Dini vinasema Hivyo.hivyo sidhani kama unatumia Lugha sahihi kuongelea juu ya Unafiki .Hakuna binadamu anayestahili fadhila /Ubora /heshima kuliko mwingine.Binadamu wote wameumbwa kwa Nyama na Damu.na wana Utashi na Hisia Hivyo tunachapashwa kupigania ni Utawala wa SHERIA na HAKI .ktk Ujenzi wa Jumuia bora Kila siku ikuchayo sio kosa wala unafiki binadamu kua Na mawazo tofauti.
@upendooffice23422 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana sabaya mtu wa Mungu na hakika maajabu makubwa Mungu ametenda na ataendelea kutenda muijiza juu ya sabaya🙏🏾
Weeeh weeeh Nancy weweee!!! Jifunze kufua chupi zako ukimaliza kutombwa!!! Coz wewe unakojolewa ukitombwa then unaendelea kuvaa chupi yako wiki nzima! Unanuka bwaaaNa!!! Then Acha kujitia vidole kwenye Kuma na kuinusa nyau weyee!!!
@shinipapaya8462 жыл бұрын
Haya ndugu zetu na chama chenu kipya ni UMOJA Party haraka sana chukueni kadi zenu mapema kimya kimya #tukutane2025
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Hebu rejea
@ynyynyyny2 жыл бұрын
Pole Sabaya, kijana mdogo sana imeniuma
@MaaneML2 жыл бұрын
Mungu ndiye hakimu wa kweli. Kama ulitendea watu mabaya utakutana nayo katika lango la Mbinguni. Ukatubu na utubu Sana. Huruma imepita tu hapo na usijidai kuwa umeshinda. Mshukuru Sana Mh. Rais kwa huruma yake. Ukimtaja Mungu mtaje kwa ukweli Pasi Shaka. Tafakari Sana ndugu Sabaya.
@modetheo5182
2 жыл бұрын
kwani wewe ni mkamilifu acha Mungu amefanya kazi yake.
@andrewmachibya3170
2 жыл бұрын
jee wewe nj mungu jee wewe mkamilifuuu jeee unauhakika na hayo ni kweli aliyatenda ama hakutendaa
@salamaseif41832 жыл бұрын
Nilikuwa naumia Sana huyu yaani Sisi tuliyozaa watoto wakiume tunachangamoto kubwa sana
@tato89792 жыл бұрын
Mungu ni mwema 🙏🙏
@ruqaiamohammed3452 жыл бұрын
Mungu kasimama na sabaya na wenzio🤲🤲🤲
@luciamsabi11312 жыл бұрын
Tunamshukru Mungu kwa hatua hiyo,ni is ishara njema,kijana wetu,SHIKAMANA SANA NA MUNGU,na Mungu atakuonekania
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
Nyie watanzania😭😭😭😭😭asante MUNGU kwaajili ya Sabaya
@salomeyuvenali37002 жыл бұрын
Mungu mbariki kijana wetu🇹🇿🙏
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
huyu jamaa enzi za Magufuli alijiona mfalme sana akiwatesa sana wapinzani kupitia ukuu wake wa wilaya
@prosperitymaarifa1336
2 жыл бұрын
Acha hizo na wewe..
@ramadhanmahongole5663
2 жыл бұрын
@@prosperitymaarifa1336 ubabe wake ulikuwa huuoni? au kwakuwa ni mwana ndugu wa sabaya
Asante MUNGU kwa Amàni ya Tanzania. Mama Yetu, Raisi Wetu Endelea kusimamia Haki Tanzania. I love you MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. Mama Mpenda Haki na Amani. MUNGU IBARIKI Tanzania MUNGU IBARIKI Afrika
@brigmtafutanjia45612 жыл бұрын
Hakika Mungu unastahili !
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Amshukuru rais kwa kumuonea huruma hakuna Cha mahakama
@ameirdarueshi25932 жыл бұрын
Sasa Apo ndo mjifunze kua ukipata matatizo wanao kuja kulia ni masikini na siyo tajili viongozi muajali sana wananchi jeshi la wananchi ni kubwa one love
@bernadette62662 жыл бұрын
Thank you so much God is good
@fraviansweetberty88192 жыл бұрын
Da!!!!!!!!!! Mungu Ahsante kwa kumfunguli Sabaya njia
@godsonlaizer19882 жыл бұрын
Si fedha Wala werevu wa mawakili Bali ni huruma tu ,namaadui walokufanyia hayo usiwahukumu kwa hayo ,Bali wasamehe na kuwaombea rehema ,kwa kufanya hivyo mungu atakuinua tena ,
@gracemima52342 жыл бұрын
Natumaini serikali itamulipa Sabaya kapsto yake Sabaya Kama alivyolipwa Tundu Lisdu na Gaudí Mbowe
@injili902 жыл бұрын
Hatua alizopitia huyu brother zinatosha kujua maisha ni ya namna gani na nni maana ya maisha
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Jmn wametoka kweli? Dah wamesota Sana Sana polen sana
@joackimondara45652 жыл бұрын
Mungu anakupenda sana,,Sasa ukamtumikie Mungu ikibidi hata use Mchungaji.
@aminamsangi13852 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana
@dominickndomba4474 Жыл бұрын
Pole saaaaana SABAYA hayo ni mapito tu AMANI KWAKO
@user-gr9px4pi2w Жыл бұрын
Kwa maelezo yao nami pia naunga hoja kumshukuru sana Rais kusimamia haki , wakati wa ukuu wa wilaya nilimfuatilia sana Sabaya alikua KIONGOZI mzuri wa kufuatilia shida za watu na kuwabana wakwepa kodi , nadhani ni Fitina za wahujumu nchi waliobanwa na Sabaya ndio hawakumpenda, lakini Mungu ameona na sharia imeona ndio maana mahakama ukiacha ya kwanza zilizofuata Mungu amezielekeza , Sabaya ni kada mzuri aliyefanya kazi Bila woga,
@lilianhigilo25272 жыл бұрын
Mungu ni Mwema.Nimefurahi sana
@mercypeter1622 жыл бұрын
Hallelujah MUNGU ametenda nenda ukawe thahabu safi kwa jamii Na watanzania tunawapenda
@mussaissa67962 жыл бұрын
Hakuna lolote Hili jamaa leua watu wengi sana Na kubaka wake zao huku waume zao wakilazimishwa kuangalia Kama kwa sababu ya uccm mmeliachia Mungu hatoliachia Kabisaaaa
@shadrackjuliuskaboya52392 жыл бұрын
*Mungu awalinde asante sana Mungu*
@dianajohn85202 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Magufuli alimponza Sabaya.. Hizi kinga mnazoweka kwa rais alafu wanaotumwa wao hawana kinga. Sabaya ubabe uache na kama hutajifunza basi utakua sikio la kufa.
@muhammedsuleyman6501
2 жыл бұрын
Si alijua atakaa milele madarakani
@wardw3022
2 жыл бұрын
Hii kesi ilibidhi ishe ikiwa ya mbowe iliisha hii nayo pia ilfika kikomo
@salmaathuman91562 жыл бұрын
Alhamdulillah
@jamesswai65832 жыл бұрын
Hapo kwenye kichogo vp tena sabaya. Pole sana. Ata kama utatoka lakini unaujua ukwel.
@boscomwangosi1042 Жыл бұрын
Ndio ujuie hata wale tunaowaamini kusimamia haki ni sehemu ya kutunga kesi za uongo na ngumu kwajili ya kuwafurahisha watu wenye pesa,lkn wanasahau kua MUNGU yupo anaishi
@tingbatuuka72782 жыл бұрын
Hukumu ya wanadamu na ya Mungu tofauti maana Mungu anajua kweli
@happynescostat74202 жыл бұрын
Asante mungu wa haki umewatetea watu wako,🙏🙏
@krizofrancisco12872 жыл бұрын
Viva sabaya
@humphreysangito30992 жыл бұрын
Umeshinda na unaendelea kushinda.Mungu akubariki mnoo
@mahonameshack41962 жыл бұрын
Asante MUNGU
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana Rais wangu Samia mungu akubali sana umekuwa na Moyo wa Huruma na kuwatoa watu hawa,akina Mboe uliwatoa na leo hawa.Akuzidishie Samia.👍👍👍❤❤👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@zuleikhakhamis3303
2 жыл бұрын
na uwamsho tuu pia kawatoa yule jinamizi Magufuli aliwafunga mpk Samia amefanya ubinadamu mn wale ndo walikua hawana makosa haswaaa
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 Jamani, UAMSHO walifungwa na JK na si JPM. Ilikuwa 2013, rais alikuwa nani?
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Mungu mwema kuweza kuwezesha Sabaya kutoka ndani.kwani mtu anaheshimi kesho yake yule aliye muweka hayupo na wewe unawekwa ndani hii yote ni kuwa na KATIBA
@blandinalukole55352 жыл бұрын
Sabaya sikufaham ila Mungu wangu wa mbinguni anajua furaha yangu kwa kutoka kwako. Mtegemee Mungu siku zote za maisha yako
@johasaeed391
2 жыл бұрын
Kwani alifanya nini huyo jamaa
@edwarddaniel56832 жыл бұрын
Mkatende mema sasa Looks like Rais amehusika kutoka kwenu sina hakika hizi shukrani kwa Rais zinasemwa tu Moyoni mwenu mnajua mlichokifanya kipindi cha utawala
@adamsanga062
2 жыл бұрын
Sabaya anajua Hindi alivyo umiza watu kwa kunivunja yupo mungu mtu
@prettyh75092 жыл бұрын
😭😭😭dunia ina watu wabaya sana , sabaya Mungu ni mwema
@194summer Жыл бұрын
Mkishapaga shida ndio mnajuaga kuna Mungu
@devothangondy43222 жыл бұрын
Kwa kweli nimefurahi sana sana, Mungu alipe kisasi kwa adui zenu
@Chrisblaze-beats
2 жыл бұрын
We Hujui hao walio umizwa walivyolia haki zao kudhulumiwa. Yani we unaona ni sawa?😃😃
@babusbabu3699 Жыл бұрын
mkatuliee sasa cheo ukipata hudumiaa watu sio unyanyase watu na kujiona mungu mtuuu
@jamalahmed70572 жыл бұрын
Tuacheni siasa jamani hii kesi ilikuwa ni ya kisasi mama samia hausiki na kuachiwa huru
@hassanbilali16972 жыл бұрын
Mahakama imemaliza kesi lkn mbadilike na muombe toba kwa mwenyezi mungu
@paschalpaul38622 жыл бұрын
Mungu ndiye anayejuwa
@helenarhobi12502 жыл бұрын
Kongore Sana kijana Sabaya, wahurumie wote waliokuumiza.
@justinemico18712 жыл бұрын
Poleni Sana washtakiwa wa kisiasa Baada ya yote mkaishi Maisha mema. Vinginevyo viuno vyenu havitatumika nadhani mmeona wenyewe wakuu.
@ezekielmwadomba4675
Жыл бұрын
TEHEHEHEEEEEE😂!!!
@marcominja88502 жыл бұрын
Hukumu duniani, Haki mbinguni.
@ezekielmwadomba4675
Жыл бұрын
SAWA, LAKINI HAKI UKIIPINDISHA DUNIANI,! MBINGUNI NI KIPONDO JEHANAMU!! MFANO NIHUO!!!!
@mamapeace6730 Жыл бұрын
Poreni kaka zangu mungu ni mwaminifu mungu ni wawote siku zote
@suzanamwangingo29952 жыл бұрын
Naona kama naota sabaya kuachiwa hulu nolikuwa naumia jamani. Asante mahakama
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Hakuna Jina lingine Ila Jina lako YESU.,MUNGU upo na unaishi hujawahi kushindwa..
@nursechunga44702 жыл бұрын
Ujumbe mtegemee Mungu kwa kila jambo, Mungu amekusamehe na amekukumbuka, usimwache, unapendwa na Mungu kaka
@harunarashid6404 Жыл бұрын
Ahsante🙏🏿 mungu
@kichwachafamilia2 жыл бұрын
🙏🙏
@salcle97022 жыл бұрын
Nyie kupitia hapo ni sehemu yenu ya maisha ilisha pagwa na mungu ili mjifunze kitu kwenye maisha na iwe funzo kwa wengine pia.mshukuruni mungu kwani bila yeye hiyo furaha msinge kuwa nayo leo
@alsonsemoka50192 жыл бұрын
Ashenalee
@salamanhonya96772 жыл бұрын
Pole kaka. Endelea Kumtumainia MUNGU.
@hamadlucago89512 жыл бұрын
Mungu mwema ssna
@sarahmgaya48702 жыл бұрын
Dah Mungu ni mwema kajibu maombi yenu
@anashabani57852 жыл бұрын
mungu amlinde raisi wetu
@valenakomba92182 жыл бұрын
AMINAAA SANAA.
@mrshore70072 жыл бұрын
Nimefurahi sana Kuona Sabaya Amegunguriwa Jala siyo mahari pazuri
@priscambwambo10302 жыл бұрын
AMINA SABAI MSHUKURU MUNGU WAKO WA MBINGUNI NDIO KATENDA NI MUNGU KAKUTENDEA NAMI NAMSUKURU MUNGU ALIIEWATENDEA MUUJIZA.
@stevenkisinda29042 жыл бұрын
Mungu mtenda miujiza na azidi kushukuliwa
@eliastephano46962 жыл бұрын
Mahakama za Bongo hewa tu yan mshkaji alikuw katili apa hai ivo et leo kaachiwa amna kazi apa aixee
@jacksongabriel4693 Жыл бұрын
Mungu mwema
@jackmsuya68422 жыл бұрын
Asante mama samia
@boscomwangosi1042 Жыл бұрын
Pia ni aibu kwa waliotoa hukumu ya miaka 30 wakati walikua wanajua ukwel.lkn wakalazimisha
@mussamc641 Жыл бұрын
Ndo ukome sasa dunia ishakufunza
@husseinkhaji8952 жыл бұрын
Mwaka ni kidogo sana
@hildaeliapenda39382 жыл бұрын
Mungu Ametenda Muamini Mungu hakuna gumu lolote lile Asiloliweza
@freddymakundi58432 жыл бұрын
Ukweli wa kila tuhuma ni MUNGU na sabaya tu wanajua Mahakama huamua kutokana na uzito wa ushahidi na siyo ukweli wa jambo. Hivyo tumwachie MUNGU achukue nafasi yake kwani mahakama imeshamaliza kazi yake. Haki
@daslamonline46652 жыл бұрын
Na kesi za wengine zipelekwe fasta hivyo hivyo
@husseinmaula59602 жыл бұрын
Samia ni Raisi mzuri sana hata sisi tuliokua hatuipendi ccm tumekua wakereketwa kupitia yeye naamini hata wasiomuelewa watamuelewa taratibu kadri siku zinavyokwenda.
@binhabib59492 жыл бұрын
Mm naona kuna mchezo unafanyika kumtoa sabaya ila kwa hakika hakuna hakimu muadilifu kama Mwenyezimungu hivo huyo Mungu unaemshukuru ndio atakupa hukumu kwa uliowadhulumu
@newmulendastudio99352 жыл бұрын
Hongera
@M7-Band2 жыл бұрын
Kwa style ulivokuwa unapambana na mawikili wa serikali,nilijua hapa hamna kitu,Ila nimekukubali Lengai
@williamkeita15192 жыл бұрын
Ila mungu habagui muuombeni hubariki wote anakubariki huku akiona uliofanya dhahiri na mafichoni
@marwamaisa6592 жыл бұрын
Hilo nifundisho kwa viongozi ambalo linakuwa kama mfano kuwa hapa tz hakuna mtu ambayee yuko juu ya shelia leo kwako kesho kwangu viongozi wameona mfano hai.
@manasekabusha71802 жыл бұрын
asante tusie kujua ametenda tusio yajua
@robertkusena49022 жыл бұрын
Hakna haki hApo raisi amektoa sabaya ila Mungu anajua kwa upuuzi wako
@josephmarwamanyanki14902 жыл бұрын
Utakuwa umejifunza mengi
@mwanaishazain79852 жыл бұрын
Hata uwe na sura mbaya kama kiboko ukiwa na ukiwa na pesa unakuwa mzuri kama Queen of the sheba. Sabaya alipokuwa na pesa na uluwa alikuwa more handsome. Lakini sashimi amekaa kama aliyetemwa na chatu. Dih pesa bwana.
Пікірлер: 250
Mungu ni mwema siku zote. Mungu sio athumani.
Sabaya Mungu anakupenda alitaka utambue ukuu wake wakati wa Shida na Raha Barikiwa.
Nakuombea kaka angu sabaya Mungu akuponye na uwo uvimbe kichwani
Mungu ni mwaminifu sana siku zote na njia zake hazichunguziki,usiogope Sabaya mtumain mungu na mkabizi njia zako zote yeye atafanya,usimwache mungu nakusihi hata upitie magumu yanayo tisha wewe simama na mungu tu.
Mungu wa Mbinguni akubariki Sana Sabaya
Kama kweli haukuwa na makosa Mungu akulipie kisasi kwa adui zako wote ktk mashabiki wako pamoja na mimi nakukubali sana, niliumia sana lakini Mungu ametenda muujiza
@suzymasawe8666
2 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilimtetea sana mtaan kwetu mimi n wa hai sikuamin kilichomtokea mungu awalipie
@fanuelykitambule5542
2 жыл бұрын
🙈🙈🙈
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
@@suzymasawe8666 alikuwa anafikia kwake na kumulekeza wabaya wako wanakoishi ili wasurubiwe na were second degree offender pamoja na kuachiwa kwa rafiki kiaina
Sabaya sabaya sabaya,nimekuita Mara tatu nataka nikwambie kuachiwa kwako nimachozi na maombi ya watu kwa mungu Mimi naishi mkoa kagera lakini pamoja nakuchafuliwa kwako watu tulikuwa hatuamini Asante mungu
Nashukulu mungu sana kiukweli sabaya Alikuwa ananipa mawazo sana. Nashuku mahakama na mmsamia pia.sabaya mungu akulinde usiku na mchana
Kama mashitaka sabaya wenzake yalikuwa ya ni ya uongo ,basi haki imetendeka lakini kama mashitaka hayo yalikuwa ya kweli MUNGU ni mhukumu wa haki.
Kama ulifanya hayo ukome maana duniani tunapita cheo ni dhamana
Tumshukuru Mungu kwa neema yake, hadi viongozi hawa kuachiwa huru kupitia mahakimu wenye hofu ya Mungu iliyowaongoza kutenda haki kwa viongozi hawa, ndugu zangu watanzania hakuna mwanadamu aliyekamilika siku zote tutubu na kumrudia Mungu.Tusiwe wenye visasi,kisasi ni cha Mungu pekee, sabaya mshukuru Mungu kwa mema aliyokutendea na usimwache kamwe.
@felixmsale9244
2 жыл бұрын
Hivi ungekua ni yule aliyekatwa masílkio ungejisikiaje??? Ungesamehe tu uendelee na maisha bila masikio?au mke wako amebakwa au wewe mwenyewe ulibakwa ungesamehe tu na maisha yaendelee?
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
@@felixmsale9244 acha unafiki nasema acha unafiki mbona waliyo muua braitoni huku WAMEJIVALIA UNIFORMS ZA CHAMA CHAO MAISHA YAO YA NAENDELEA NA UNAJISIFIA VIZURI? CHUKI TU ZIME KUJAA KUTAFAKARI DHAMBI ZA ADUI YAKO
@felixmsale9244
2 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 Hata hilio sio sahihi .Nachosema mimi dhambi inasamehewa na kitubio.na Dunia ya maendeleo inatawaliwa kwa HAKI NA SHERIA hivyo DHAMBI yyte inasamehewa na KITUBIO .hata kwenye vitabu vya Dini vinasema Hivyo.hivyo sidhani kama unatumia Lugha sahihi kuongelea juu ya Unafiki .Hakuna binadamu anayestahili fadhila /Ubora /heshima kuliko mwingine.Binadamu wote wameumbwa kwa Nyama na Damu.na wana Utashi na Hisia Hivyo tunachapashwa kupigania ni Utawala wa SHERIA na HAKI .ktk Ujenzi wa Jumuia bora Kila siku ikuchayo sio kosa wala unafiki binadamu kua Na mawazo tofauti.
Mungu ni mwema sana sabaya mtu wa Mungu na hakika maajabu makubwa Mungu ametenda na ataendelea kutenda muijiza juu ya sabaya🙏🏾
@evalinemgendi2418
2 жыл бұрын
Tumshauri tuu awaombee maadui zake na awasamehe
huyo tajiri aliyewabandikiza kesi ashughulikiweeeeeeeee
@jimj8285
2 жыл бұрын
Weeeh weeeh Nancy weweee!!! Jifunze kufua chupi zako ukimaliza kutombwa!!! Coz wewe unakojolewa ukitombwa then unaendelea kuvaa chupi yako wiki nzima! Unanuka bwaaaNa!!! Then Acha kujitia vidole kwenye Kuma na kuinusa nyau weyee!!!
Haya ndugu zetu na chama chenu kipya ni UMOJA Party haraka sana chukueni kadi zenu mapema kimya kimya #tukutane2025
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Hebu rejea
Pole Sabaya, kijana mdogo sana imeniuma
Mungu ndiye hakimu wa kweli. Kama ulitendea watu mabaya utakutana nayo katika lango la Mbinguni. Ukatubu na utubu Sana. Huruma imepita tu hapo na usijidai kuwa umeshinda. Mshukuru Sana Mh. Rais kwa huruma yake. Ukimtaja Mungu mtaje kwa ukweli Pasi Shaka. Tafakari Sana ndugu Sabaya.
@modetheo5182
2 жыл бұрын
kwani wewe ni mkamilifu acha Mungu amefanya kazi yake.
@andrewmachibya3170
2 жыл бұрын
jee wewe nj mungu jee wewe mkamilifuuu jeee unauhakika na hayo ni kweli aliyatenda ama hakutendaa
Nilikuwa naumia Sana huyu yaani Sisi tuliyozaa watoto wakiume tunachangamoto kubwa sana
Mungu ni mwema 🙏🙏
Mungu kasimama na sabaya na wenzio🤲🤲🤲
Tunamshukru Mungu kwa hatua hiyo,ni is ishara njema,kijana wetu,SHIKAMANA SANA NA MUNGU,na Mungu atakuonekania
Nyie watanzania😭😭😭😭😭asante MUNGU kwaajili ya Sabaya
Mungu mbariki kijana wetu🇹🇿🙏
huyu jamaa enzi za Magufuli alijiona mfalme sana akiwatesa sana wapinzani kupitia ukuu wake wa wilaya
@prosperitymaarifa1336
2 жыл бұрын
Acha hizo na wewe..
@ramadhanmahongole5663
2 жыл бұрын
@@prosperitymaarifa1336 ubabe wake ulikuwa huuoni? au kwakuwa ni mwana ndugu wa sabaya
@godblessjrtz.8652
2 жыл бұрын
@@ramadhanmahongole5663 peleka ushahidi zwazwa wewe
Asante MUNGU kwa Amàni ya Tanzania. Mama Yetu, Raisi Wetu Endelea kusimamia Haki Tanzania. I love you MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. Mama Mpenda Haki na Amani. MUNGU IBARIKI Tanzania MUNGU IBARIKI Afrika
Hakika Mungu unastahili !
Amshukuru rais kwa kumuonea huruma hakuna Cha mahakama
Sasa Apo ndo mjifunze kua ukipata matatizo wanao kuja kulia ni masikini na siyo tajili viongozi muajali sana wananchi jeshi la wananchi ni kubwa one love
Thank you so much God is good
Da!!!!!!!!!! Mungu Ahsante kwa kumfunguli Sabaya njia
Si fedha Wala werevu wa mawakili Bali ni huruma tu ,namaadui walokufanyia hayo usiwahukumu kwa hayo ,Bali wasamehe na kuwaombea rehema ,kwa kufanya hivyo mungu atakuinua tena ,
Natumaini serikali itamulipa Sabaya kapsto yake Sabaya Kama alivyolipwa Tundu Lisdu na Gaudí Mbowe
Hatua alizopitia huyu brother zinatosha kujua maisha ni ya namna gani na nni maana ya maisha
Jmn wametoka kweli? Dah wamesota Sana Sana polen sana
Mungu anakupenda sana,,Sasa ukamtumikie Mungu ikibidi hata use Mchungaji.
Mungu ni mwema sana
Pole saaaaana SABAYA hayo ni mapito tu AMANI KWAKO
Kwa maelezo yao nami pia naunga hoja kumshukuru sana Rais kusimamia haki , wakati wa ukuu wa wilaya nilimfuatilia sana Sabaya alikua KIONGOZI mzuri wa kufuatilia shida za watu na kuwabana wakwepa kodi , nadhani ni Fitina za wahujumu nchi waliobanwa na Sabaya ndio hawakumpenda, lakini Mungu ameona na sharia imeona ndio maana mahakama ukiacha ya kwanza zilizofuata Mungu amezielekeza , Sabaya ni kada mzuri aliyefanya kazi Bila woga,
Mungu ni Mwema.Nimefurahi sana
Hallelujah MUNGU ametenda nenda ukawe thahabu safi kwa jamii Na watanzania tunawapenda
Hakuna lolote Hili jamaa leua watu wengi sana Na kubaka wake zao huku waume zao wakilazimishwa kuangalia Kama kwa sababu ya uccm mmeliachia Mungu hatoliachia Kabisaaaa
*Mungu awalinde asante sana Mungu*
Mungu ni mwema
Magufuli alimponza Sabaya.. Hizi kinga mnazoweka kwa rais alafu wanaotumwa wao hawana kinga. Sabaya ubabe uache na kama hutajifunza basi utakua sikio la kufa.
@muhammedsuleyman6501
2 жыл бұрын
Si alijua atakaa milele madarakani
@wardw3022
2 жыл бұрын
Hii kesi ilibidhi ishe ikiwa ya mbowe iliisha hii nayo pia ilfika kikomo
Alhamdulillah
Hapo kwenye kichogo vp tena sabaya. Pole sana. Ata kama utatoka lakini unaujua ukwel.
Ndio ujuie hata wale tunaowaamini kusimamia haki ni sehemu ya kutunga kesi za uongo na ngumu kwajili ya kuwafurahisha watu wenye pesa,lkn wanasahau kua MUNGU yupo anaishi
Hukumu ya wanadamu na ya Mungu tofauti maana Mungu anajua kweli
Asante mungu wa haki umewatetea watu wako,🙏🙏
Viva sabaya
Umeshinda na unaendelea kushinda.Mungu akubariki mnoo
Asante MUNGU
Ongera sana Rais wangu Samia mungu akubali sana umekuwa na Moyo wa Huruma na kuwatoa watu hawa,akina Mboe uliwatoa na leo hawa.Akuzidishie Samia.👍👍👍❤❤👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@zuleikhakhamis3303
2 жыл бұрын
na uwamsho tuu pia kawatoa yule jinamizi Magufuli aliwafunga mpk Samia amefanya ubinadamu mn wale ndo walikua hawana makosa haswaaa
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 Jamani, UAMSHO walifungwa na JK na si JPM. Ilikuwa 2013, rais alikuwa nani?
Mungu mwema kuweza kuwezesha Sabaya kutoka ndani.kwani mtu anaheshimi kesho yake yule aliye muweka hayupo na wewe unawekwa ndani hii yote ni kuwa na KATIBA
Sabaya sikufaham ila Mungu wangu wa mbinguni anajua furaha yangu kwa kutoka kwako. Mtegemee Mungu siku zote za maisha yako
@johasaeed391
2 жыл бұрын
Kwani alifanya nini huyo jamaa
Mkatende mema sasa Looks like Rais amehusika kutoka kwenu sina hakika hizi shukrani kwa Rais zinasemwa tu Moyoni mwenu mnajua mlichokifanya kipindi cha utawala
@adamsanga062
2 жыл бұрын
Sabaya anajua Hindi alivyo umiza watu kwa kunivunja yupo mungu mtu
😭😭😭dunia ina watu wabaya sana , sabaya Mungu ni mwema
Mkishapaga shida ndio mnajuaga kuna Mungu
Kwa kweli nimefurahi sana sana, Mungu alipe kisasi kwa adui zenu
@Chrisblaze-beats
2 жыл бұрын
We Hujui hao walio umizwa walivyolia haki zao kudhulumiwa. Yani we unaona ni sawa?😃😃
mkatuliee sasa cheo ukipata hudumiaa watu sio unyanyase watu na kujiona mungu mtuuu
Tuacheni siasa jamani hii kesi ilikuwa ni ya kisasi mama samia hausiki na kuachiwa huru
Mahakama imemaliza kesi lkn mbadilike na muombe toba kwa mwenyezi mungu
Mungu ndiye anayejuwa
Kongore Sana kijana Sabaya, wahurumie wote waliokuumiza.
Poleni Sana washtakiwa wa kisiasa Baada ya yote mkaishi Maisha mema. Vinginevyo viuno vyenu havitatumika nadhani mmeona wenyewe wakuu.
@ezekielmwadomba4675
Жыл бұрын
TEHEHEHEEEEEE😂!!!
Hukumu duniani, Haki mbinguni.
@ezekielmwadomba4675
Жыл бұрын
SAWA, LAKINI HAKI UKIIPINDISHA DUNIANI,! MBINGUNI NI KIPONDO JEHANAMU!! MFANO NIHUO!!!!
Poreni kaka zangu mungu ni mwaminifu mungu ni wawote siku zote
Naona kama naota sabaya kuachiwa hulu nolikuwa naumia jamani. Asante mahakama
Hakuna Jina lingine Ila Jina lako YESU.,MUNGU upo na unaishi hujawahi kushindwa..
Ujumbe mtegemee Mungu kwa kila jambo, Mungu amekusamehe na amekukumbuka, usimwache, unapendwa na Mungu kaka
Ahsante🙏🏿 mungu
🙏🙏
Nyie kupitia hapo ni sehemu yenu ya maisha ilisha pagwa na mungu ili mjifunze kitu kwenye maisha na iwe funzo kwa wengine pia.mshukuruni mungu kwani bila yeye hiyo furaha msinge kuwa nayo leo
Ashenalee
Pole kaka. Endelea Kumtumainia MUNGU.
Mungu mwema ssna
Dah Mungu ni mwema kajibu maombi yenu
mungu amlinde raisi wetu
AMINAAA SANAA.
Nimefurahi sana Kuona Sabaya Amegunguriwa Jala siyo mahari pazuri
AMINA SABAI MSHUKURU MUNGU WAKO WA MBINGUNI NDIO KATENDA NI MUNGU KAKUTENDEA NAMI NAMSUKURU MUNGU ALIIEWATENDEA MUUJIZA.
Mungu mtenda miujiza na azidi kushukuliwa
Mahakama za Bongo hewa tu yan mshkaji alikuw katili apa hai ivo et leo kaachiwa amna kazi apa aixee
Mungu mwema
Asante mama samia
Pia ni aibu kwa waliotoa hukumu ya miaka 30 wakati walikua wanajua ukwel.lkn wakalazimisha
Ndo ukome sasa dunia ishakufunza
Mwaka ni kidogo sana
Mungu Ametenda Muamini Mungu hakuna gumu lolote lile Asiloliweza
Ukweli wa kila tuhuma ni MUNGU na sabaya tu wanajua Mahakama huamua kutokana na uzito wa ushahidi na siyo ukweli wa jambo. Hivyo tumwachie MUNGU achukue nafasi yake kwani mahakama imeshamaliza kazi yake. Haki
Na kesi za wengine zipelekwe fasta hivyo hivyo
Samia ni Raisi mzuri sana hata sisi tuliokua hatuipendi ccm tumekua wakereketwa kupitia yeye naamini hata wasiomuelewa watamuelewa taratibu kadri siku zinavyokwenda.
Mm naona kuna mchezo unafanyika kumtoa sabaya ila kwa hakika hakuna hakimu muadilifu kama Mwenyezimungu hivo huyo Mungu unaemshukuru ndio atakupa hukumu kwa uliowadhulumu
Hongera
Kwa style ulivokuwa unapambana na mawikili wa serikali,nilijua hapa hamna kitu,Ila nimekukubali Lengai
Ila mungu habagui muuombeni hubariki wote anakubariki huku akiona uliofanya dhahiri na mafichoni
Hilo nifundisho kwa viongozi ambalo linakuwa kama mfano kuwa hapa tz hakuna mtu ambayee yuko juu ya shelia leo kwako kesho kwangu viongozi wameona mfano hai.
asante tusie kujua ametenda tusio yajua
Hakna haki hApo raisi amektoa sabaya ila Mungu anajua kwa upuuzi wako
Utakuwa umejifunza mengi
Hata uwe na sura mbaya kama kiboko ukiwa na ukiwa na pesa unakuwa mzuri kama Queen of the sheba. Sabaya alipokuwa na pesa na uluwa alikuwa more handsome. Lakini sashimi amekaa kama aliyetemwa na chatu. Dih pesa bwana.