Mungu azidi kukupa elimu njema Amin . Nafurahi sana kwa mawaidha yako . Insha’allah Mungu azidi kukudumisha kwa kutuelimishi .
@user-ro9ch4jf2m16 күн бұрын
Wallahi Sheikh ww ni mmoja Kati ya Mashekhe ninaowapenda kwa maneno yako ya busara Allah amekupa kipao cha hali ya juu Namuomba Allah akuzidishie Ameen
@ramamwazembe171
5 күн бұрын
😊😊
@RahmaRashid-lc6nw
2 күн бұрын
Kweli kabisa amejawa na wingi wa hikma Allahuma barik
@user-ck3gw7ok7r15 күн бұрын
Yah Allah tulindie shekh wetu yaraby ❤
@jamilaathumani54812 күн бұрын
Mashalah. .maneno kuntu ayo ostaz...Yan ayo mawaiza yaleo yananigusa Sana..Yan apo kama unanizungumzia mim kabisa ostaz....ama kwali nimejifunza kumbe nishajua jinsi yakudili nao mahasidi...kumbee izo nidalili za wivu wao dhidi yang...nimeelewa Sasa ostaz ...nawala sipati tabu nao tena
@RubeaAli-vi8ww17 күн бұрын
Allah akulipe KHEIR NYINGI napa duniani, kaburini, na akhera pia, amiin
@NzomukundaHawa12 күн бұрын
Allah akupe umri mrefu wakuendeleza mafunzo ya dini, tunashkuru sana sheikh wetu
@MasaadSaid16 сағат бұрын
Alhamdulillah kwa kunipa moyo mkubwa sana
@husseinkatana457317 күн бұрын
Allah akuzdishie neema ya afya uzidi kutuelimisha
@user-ph9ds9dm7w11 күн бұрын
Ni maneno ya busara sana na Hekima nyingi Allah Azid kukuweka ili Tunufaike Zaid 🙏🙏.
@bwanadiosman131716 күн бұрын
Mungu atujalie kheiyr zaka insha Allah nawe Mungu akujazi kheiyr nyigi insha Allah
@KhadijaNgozi-ln4ww18 күн бұрын
Maneno.mazuri.sana
@saudaali50518 күн бұрын
Allah akuongoze sheikh uzidi kutuelimisha.
@IbrahimKalisa6 күн бұрын
Ma shaa Allah
@user-gw1tc8tf5j2 күн бұрын
MashaAllah❤
@MariamHaroon-pu3lx9 күн бұрын
Mashaaallah 😢🎉🎉🎉🎉🎉
@user-po7gb6xx1k13 күн бұрын
اللهم آمين يارب العالمين
@fatimahirakoze731118 күн бұрын
Nakupenda sn cheikh wetu kwa akili ya Allah Allah akulipe kheri zisizo kua n'a hesabu duniani n'a akhera
@user-po7gb6xx1k13 күн бұрын
ماشاء الله تبارك الرحمن❤
@halimaramadhan200016 күн бұрын
Jazzakah llahu kheir sheikh Othman
@HusseinAbdou-zw3is17 күн бұрын
Assalam alaykum wa rahma tullahi wa barakatuh Sheikh ; wAllahi Allah kakupa kipaji cha ku fundisha. Ni Hussein nafwatilia darsa zako on line from 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩
@fatimahirakoze731118 күн бұрын
Cheikh acha kunichekesha
@user-vk7ts9mv2p4 күн бұрын
Mimi nimefaidika na darsa hii ni muhimu sana MUNGU amjalie kiongozi huyu azidi kuwafumbua macho waislam kwani sana wakati tulionao watu takriban wengi ni mahasidi
@fatimahirakoze731118 күн бұрын
Yani Allah alimpa jibu lizuri kua ni mafunzo kwetu kiukweli inaumiza kabisa
@jamilaathumani54812 күн бұрын
Inachokisema kuntu ostaz...mim nilikuwa nawasapoti watu lakini wakawa wananishambulia na kutoona kama sifanyi kitu...kiukwel ukifikilia icho inaweza ikakuledisha nyuma na usisapoti watu hata kama unapenda kusapoti watu...kikubwa tu kufokas na mambo yako unachofanya japokuwa inaumiza
Пікірлер: 26
Mungu azidi kukupa elimu njema Amin . Nafurahi sana kwa mawaidha yako . Insha’allah Mungu azidi kukudumisha kwa kutuelimishi .
Wallahi Sheikh ww ni mmoja Kati ya Mashekhe ninaowapenda kwa maneno yako ya busara Allah amekupa kipao cha hali ya juu Namuomba Allah akuzidishie Ameen
@ramamwazembe171
5 күн бұрын
😊😊
@RahmaRashid-lc6nw
2 күн бұрын
Kweli kabisa amejawa na wingi wa hikma Allahuma barik
Yah Allah tulindie shekh wetu yaraby ❤
Mashalah. .maneno kuntu ayo ostaz...Yan ayo mawaiza yaleo yananigusa Sana..Yan apo kama unanizungumzia mim kabisa ostaz....ama kwali nimejifunza kumbe nishajua jinsi yakudili nao mahasidi...kumbee izo nidalili za wivu wao dhidi yang...nimeelewa Sasa ostaz ...nawala sipati tabu nao tena
Allah akulipe KHEIR NYINGI napa duniani, kaburini, na akhera pia, amiin
Allah akupe umri mrefu wakuendeleza mafunzo ya dini, tunashkuru sana sheikh wetu
Alhamdulillah kwa kunipa moyo mkubwa sana
Allah akuzdishie neema ya afya uzidi kutuelimisha
Ni maneno ya busara sana na Hekima nyingi Allah Azid kukuweka ili Tunufaike Zaid 🙏🙏.
Mungu atujalie kheiyr zaka insha Allah nawe Mungu akujazi kheiyr nyigi insha Allah
Maneno.mazuri.sana
Allah akuongoze sheikh uzidi kutuelimisha.
Ma shaa Allah
MashaAllah❤
Mashaaallah 😢🎉🎉🎉🎉🎉
اللهم آمين يارب العالمين
Nakupenda sn cheikh wetu kwa akili ya Allah Allah akulipe kheri zisizo kua n'a hesabu duniani n'a akhera
ماشاء الله تبارك الرحمن❤
Jazzakah llahu kheir sheikh Othman
Assalam alaykum wa rahma tullahi wa barakatuh Sheikh ; wAllahi Allah kakupa kipaji cha ku fundisha. Ni Hussein nafwatilia darsa zako on line from 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩
Cheikh acha kunichekesha
Mimi nimefaidika na darsa hii ni muhimu sana MUNGU amjalie kiongozi huyu azidi kuwafumbua macho waislam kwani sana wakati tulionao watu takriban wengi ni mahasidi
Yani Allah alimpa jibu lizuri kua ni mafunzo kwetu kiukweli inaumiza kabisa
Inachokisema kuntu ostaz...mim nilikuwa nawasapoti watu lakini wakawa wananishambulia na kutoona kama sifanyi kitu...kiukwel ukifikilia icho inaweza ikakuledisha nyuma na usisapoti watu hata kama unapenda kusapoti watu...kikubwa tu kufokas na mambo yako unachofanya japokuwa inaumiza