Rostam Feat Ferooz - Hujambo Mwanangu (Official Audio)
Музыка
#Rostam #Ferooz #HujamboMwanangu
ROSTAM (ROMA & STAMINA) PROUD TO PRESENT A BRAND NEW AUDIO HUJAMBO MWANANGU FEATURING FEROOZ
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/staminashorwebwenzi
Written & Performed by Stamina, Roma & Ferooz
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 3 400
Nmerudi tena... Sijaona likes🇰🇪
jameni nipee like atleast zifike kumi nmekua nasaport mziki wa stamina toka .. WAKENYA TUPO DANI... ONE LOVE
@msafilibeveriny4117
3 жыл бұрын
Unapenda like
@loicewanjira7750
3 жыл бұрын
Mziki sawa
@givenessmwenda791
3 жыл бұрын
Dah wimbo mkali Sana huu
WANAOAMINI AWA JAMAA NI MA GENIUS. KILA WAKITOA DUDE LINA TREND LIKE APA JMN👋👋👋👏👏
Unausikiliza wimbo huu najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Dah rostam mnafanya mpka najisikia kuimba wakati siwez ila ii ngoma naomba irudiweeee iirudiweeeeee naomb like zifike 20k kwa leo tu
Alioickiliza hii ngoma Zaid ya mara kumi kutafuta haya mafumbo jiwe gizani limempata nan Tujuwane hapa kwa like
Pongezi sana Rostam
Mad sick 🔥
@Pizzojohn
3 жыл бұрын
Otiti
@sirfrancis6471
3 жыл бұрын
Piga kazi na rostam kaka
@erickboy5336
3 жыл бұрын
Noma sanaa
@eugenekimutai8786
3 жыл бұрын
Kaka fanya Kazi na hawa Rostam nawakubali sanaa
@eugenekimutai8786
3 жыл бұрын
Collabo kaka inaeza kuwa kubwa
"Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.” Luka 9:60
@manyuhandumbaro9618
3 жыл бұрын
Noma kaka
@mwajumashomari3453
3 жыл бұрын
Yap
Naombeni hata like 10 jamani tunaokubali hii ngoma
609:60 Mt 3:2Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
Njiwa wanatutia hasara tuuu wanaumia mikono wanatibiwa Kambodiaa daaaah
Luke 9:60 📜 Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
@jessieboaz4592
3 жыл бұрын
Wavivu kusoma Bible umetusaidia sanaaa🙏🙏
@lilymatoli7117
3 жыл бұрын
@@jessieboaz4592 hhhhh
@gine9011
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
Yani hii Bakora inapiga kimnya. Wale wadau wenzangu wa rostom Gonga like tujuane... Listing From Zurich Switzerland 🇨🇭
@trynergang1371
3 жыл бұрын
Zurich imexhana mikeka bhn
@chumkhamis8924
3 жыл бұрын
@@trynergang1371 yani kinoma Boy
@brightshola3778
3 жыл бұрын
tuko pamoja bro
@chumkhamis8924
3 жыл бұрын
@@brightshola3778 poa Boy. Be blessed mjengoni uko p1
@brightshola3778
3 жыл бұрын
@@chumkhamis8924 pamoja braa
Mamae mnajuwa mpaka mnaniuz like kama zote kwa ferouz✅✅🙏
@kazumarinampanda4492
3 жыл бұрын
Kwanza atali
Wanao sema "ROSTAM KAZI IENDELEE" like yako pia
@happinessshirima3279
3 жыл бұрын
😄😄
Mm nimesikiliza... Zaid ya Mara Tano... Kam ww umesikiliz gonga like
Naombeni likes japo tatu tu jamani mimi nduguyenu wa damu mkinibagua ntawasema na mama...
@hilalmohd8941
3 жыл бұрын
mama Mtia saini2
@abudeensalim3592
3 жыл бұрын
@Hilal haswa huyo huyo😂😂
Magufuli . Kweli ataishi miyoni mwetu daima . Kumbukeni alituambia mungu anaipenda tanzania .Kwaiyo tumtangulize mungu
You guys God bless you....couse this is the reality guys
Kama Uelewi Code Hapa Uezi Elewa Kinachoendelea Respect Sana Chama Langu Rostam ✊✊
Walioirudia zaidi ya mara moja naomba like zakutosha ✍️✍️
Nyimbo kali wanangu Rostam na ferooz
Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao. Bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.” luka 9:60
@afronews8349
3 жыл бұрын
Nice
Mwanacha ndaki ndaki wa rostam naomba like 100 ivi
Roma umeprove km umekimbia uhaibuni dah! Sema ngoma kali madini mengi yanayok kw hivi vichw 2 ila feruu hodari w mda wot 💣💥🔥😍
luka 9:60 Lakini Yesu akamwambia, “Waache waliokufa wawazike wafu wao. Ni lazima uende kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu.” shikamo Roma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@abuj4really323
3 жыл бұрын
Good sana kija
@rashidbemunda3237
3 жыл бұрын
Ĺ
Eeh this is talent...achana na kina,diamond
*Tunaimba wote nafungiwa Mimi* -Roma Hii nyimbo ni bonge la GOMA. Safi Sana.
Mziki ungekua wa namna hii czan kama mzki ungekua na mashabiki,,,mana kwa hii ngoma inaitaji ufikir sana ndipo uielewe respect my ROSTAM🎶🎶🎶🎶🎶
@wazirihamisi6484
3 жыл бұрын
Hahahahaha
Rostam wana fanya mtu apende Hip-hop na poetry. Kazi safi hawajawahi ku ni angusha.
I don't stop to listen to this song,vijana wanafanya kazi kweli na sio upumbavu waki diamond na Harmonize social media,we need good music,positive vibes,strong msg,respect to Feroos,professional chorus big up guys and keep the good tracks
Rostam for life..kama unawakubali rostam like hapa..🤝
Rostam mnastahili kupewa tuzo nyimbo zenu hazichoshi kusikiliza na Zina ujumbe mzuri Kama ukiweza kufumbua mafumbo yake,,big up @rostam
Ferooz voice is Priceless 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nyimbo mbovu inakamata namba one on trending wameisumbua sauti ya ferooz
Narud January ntafikia kwa kaka bumbulli...........sijawahi pata like 100 jaman
@smartworktz2128
3 жыл бұрын
We timu yako inashuka daraja huko wew unatafuta likes huku🤔
@mickyernest7970
3 жыл бұрын
@@smartworktz2128 😂😂😂
@georgengoda4447
3 жыл бұрын
Mzee umapata ongea mengine
Kama unawakubali wasanii naombeni like zenu Leo..wimbo huu ni shiiiidaaa
Na wasiwasi na waliobaki mama uwaangalie vzr kama kaka yetu aliye HAI na Yuko hapi YUle chenga polepole haya mambo sasa ni musiba njoo nchemba
Wabongo bana , wanaogopa kuongelea siasa alafu wanapita kwa mbali .
Rostam tufanye feat na kikosi kazi 🔥🔥 please itakuwa soo sana nakukuza mziki mbali wa hip-hop . Tungo Safi sana mchabiki wenu number moja toka drc congo Nataka like 💯
awa jamaa wanajua mbaka wanajua tena kama kutakuwa na uhuru wa kuongea kwenye hii nchi basi tutegemee ngoma kari kwa hawa jamaa ROSTAM ❤❤
Bonge la ngoma Ile swimming pool ya rufijii Daa sema wana wanajua sanaa aseeb Shout out kwa #rostam
This deep...🔥🔥shout out to Ferooz for bringing out the emotion on the hook.
Mimi ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila wimbo nilikuwa nausubiri sana kabisa..... Wa Congo nipe like zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@salehegau5304
3 жыл бұрын
Nyinyi wasenge mnajuwa xana
@Isaac_The_Genius
3 жыл бұрын
Kaka mimi mbondo tuko pamoja
@alextanzania
3 жыл бұрын
Zambi wa moyo
@lucaskashimwita6386
3 жыл бұрын
Nimekupa dislike na comment au hutaki 😂😂😂
@heritierdirock3409
Жыл бұрын
@@Isaac_The_Genius 😂😂😂Niatari nehemia nimekupata
LUKA 9 : 60 Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
@davidngonyani4923
3 жыл бұрын
Pamoja sana
@jamesburetta4440
3 жыл бұрын
imeisha hio....
@jandaboytzz2755
3 жыл бұрын
Maana Yake??
@shakurfaith
2 жыл бұрын
@@jandaboytzz2755 waache wajinga wapotoshane wenyewe
@andrewrambau9818
Жыл бұрын
Kaka mbona kmya sana jamani
bora zaidi ya nyakati zote. wanamuziki wangu. ferroz Karibu tena. 2021. Niliusikia wimbo wako wa kwanza nilipokuwa na umri wa miaka 12 sasa nina 31 wewe na mwalimu Jay ni hadithi za Tanzania
Luka 9:60 BHND Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
Niamini Mimi hii nyimbo unatakiwa uisikilize si chini ya mala 5 ndiyo uielewe vizuri tena ukiwa umetulia TULIII. Rostam hawajawahi niangusha 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@mangweajr9666
3 жыл бұрын
Ni kwel
@Donrugi
3 жыл бұрын
@@salehkupaza4547 mala moja uongo labda kama ulikuwa unarudisha rudisha nyuma. But the reality lazima uisikilize zaidi ya mala moja ili kuielewa
@sirfabiano767
3 жыл бұрын
Roma ni fala
Hii ndio ngoma yang pendwa ndan ya mwaka huu haitokei respect rostam ft ferooz .
Kundi la Rostam lina kipaji cha kweli katika Usanii,acha hawa wababaishaji na Ferooz kwenye kiitikio hafanyi kosa
Luka 9:60 Yesu akamwambia, "waache wafu wazike wafu; wao bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu"
Anaeijua Luka 9:60 tangu utotoni na alisahau ila leo malegendary wamemkumbusha Basi gonga like Hapa ili kupitia kumbusho MUNGU pia akukumbuke ktk Mambo yako. PST Chris Soraya.
@nicholasmukhwana7268
3 жыл бұрын
Rostam wanajua mziki wao!
@pierelizy5222
3 жыл бұрын
Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe nenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
Mashangazi wawili ndo nani dah nyimbo ngumu kweli yani
Ngoma kali sana kama umeelewa code gonga like tujuane🔥🔥😘
Rostam ni kibokoo aisee😂😂 🇹🇿🇹🇿 sihami Mimi R.I.P magufuli......KAZI IENDELEE
@jeffkajula9345
3 жыл бұрын
Anaitw roma
Luke 9:60 " Waache Wafu Wawazike Wafu Wao, Bali wewe Nenda Ukautangaze Ufalme Wa Mungu"
Hiii no noma noma kama noma ferooz mmepatia hapo kati wazee goma litazaa matunda
Nimerud mara 5 ila bado kuna tungo tata hatar 🙌🙌🙌🙌🙌mko vzr rostam
Rostam tunawapenda milele nyimbo zinu zinaelmisha hatuwezi kuwasahau Mungu awalende milele
@andrewjohn6766
3 жыл бұрын
Bonge la ngoma mzazi
@ashrafsaadoun3863
3 жыл бұрын
💯💯
Damn! The art in this song... Maana fiche! Love from Kenya 🇰🇪
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Hawa jamaa ni shiidaa!
@hafydhmo9566
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 but mkenya huwez elewa hapo mpak ujue siasa ya TZ
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
@@hafydhmo9566 Km unajua Kiswahili walau 50-70% utaelewa ila km hujui Kiswahili hapo ni Zero kabisa!!
@denisorodi8195
2 жыл бұрын
kama hujui habari za tanga huezi elewa
Ferooz unaninilizaa mwenzio😭🙌🙌
mashangazi wawili bado wana hasira na baba# hapa namuona fatma na maria
dah hawa jamaa ngoma yao kalii ni balaaaaaaa...hii ngoma ukisikilza mara tatu ndio unazidi kuielewa......NAOMBA STAMINA HII NGOMA IRUDIWE
TUNAIMBA WOTE ILA NAFUNGIWA MIM"" hili hata Mimi najiulizaga na sipati jibu".... Roma mtata Sana.. Kuna vitu vinafikirisha humu
@hamidjuma8853
3 жыл бұрын
nomaaa
Ferouz umetendea haki chorus..alafu Roma aisee kick unapita nazo vizuri...Stamina umejitahidi sana
Madini kama Madini
Waliosikia kama #mama ni #prsnt #mama#samia wanipe #like✅🇿🇲🇿🇲
Hawa jamaa ni wabunifu mno mekubali🔥🔥🔥
Bonge la ngoma hakuna ngoma kali hii shaout rostam!
hamjawai toa bokoo you have too much creativited..... @rostam forever
Aliye sikiya Roma ata Rudi ivi karibuni agonge like apa.
Ng'ombe wew kumbe unajua kuimba nyimbo tamu
@edwardkamina8718
3 жыл бұрын
Kumbe ng'ombe humjuiii?
Wanaosema nyimbo hii angeshirikishwa nay wa mitego gonga like hapa🤙🤙
wangapi wanataka tuwachambulie hii ngoma
@abelianraphili5150
3 жыл бұрын
Mm hap
@iradiboni5272
3 жыл бұрын
Tuchambulie Tafadhali
@namallakankalla3780
3 жыл бұрын
@@user-tb4lj6zv5p njiwa ni zile ndege halaf banda la kijijin ni airport chato
@kumwambaboymc4854
3 жыл бұрын
Tufafanulie
@risktaker4111
3 жыл бұрын
@@iradiboni5272 dada.. ni Mange Kimambi, Njiwa ni Ndege, banda kijijini.. uwanja wa Ndege Chato
Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
@samweljoseph8192
3 жыл бұрын
pamoja nawe
@veriasmathayo7306
3 жыл бұрын
et broo hyo ndo kitab Cha Luka alichosem roma
@goddymduda3774
3 жыл бұрын
@@veriasmathayo7306 Luka 9:60
@peterladslaus6904
3 жыл бұрын
@@veriasmathayo7306 ndio hivo kk
Kama angekaa one six kwenye chorus angeua sana Ila huyu kama kapigwa loba ya mbaoo🥵
Ummy mwalimu ckia vijana wako mama Samia ckia wanao majaliwa mariza tofauti za vijana makonda utapata tabuu juu ya vijana Hawa🙏🙏
Roma na stamina never disappoint love from 🇰🇪
@shinipapaya846
2 жыл бұрын
We Chikenya kuma tu
I've struggled to find a proper way to put it but nothing sufficed more than "YOU GUYS ARE TALENTED"
Tunaitaji video🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮
Roma mung akupe maisha marefu hili viziwi wasikie na kuelewa
Naomba like za mtumzima Roma na Stamina. Mana walikua wame nifanya nipoze mtaani💪🏾💪🏾💪🏾
Hatari hii ngoma ukiisikiliza kichwa kichwa huwezi kuelewaaah Ila big u rostam
Ho ngera sana rostama wimbo mzuri mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu ameen
Huu wimbo uko kimafumbo,big up Rostam👊
wanangu fiti bana ferooz arudi game nipeeni like ya Rostam 🔥🔥🔥🔥🌟
@masoudsaleem4063
3 жыл бұрын
DAAH ROMA FUNGUA DARASA UTUPE KOZI, COZ UNAONGEAGA KIKUBWA UNATUTOA HADI MACHOZI!! KILA NKIJARIBU KUONA NDANI NABAKI TU NA MACHO YANGU YA NAZI, MA3 LAKINI SIONIIII 🤔🤔🤔😆😆😆😆
@karehmhenga7130
3 жыл бұрын
@@masoudsaleem4063 ukweli bana tunangoja darasa ya Rostam tu
Mwana kulitafuta,mwanakulipata,round hii sio ununio,Daraja LA mkapaaa....
Huu wimbo na wa ney si sawa tu ila ney wamemfungia jamani sio sawa
Hapa mmechemka. Ovyo kabisa!
Wakenya liteni like za rostm 🇰🇪
Njiwa:Ndege Banda kjjn: Airport Chato Bamdog Mchng: Gwaj Boy Anc w sngda :Lissu B mkbw wa msoga Kikwt Ntard janur na ntafkzia kw mjmba bumbl :Januar Makamba
@yohanamsanga9411
3 жыл бұрын
Umetisha sana
@eknotz
3 жыл бұрын
Mwalimu tanga ni ummy mwalimu
@charlespatrick4859
3 жыл бұрын
kaka alie hai..sabaya,ally hapi,musiba,mwigulu
@jastinreuben1518
3 жыл бұрын
Bamdogo mchungaji sio gwaji kaka....ni mpango 🙌🙌
@dn_cider9641
3 жыл бұрын
@@jastinreuben1518 ha ha ha katika code ngumu, ilikua hii - maana gwaji boy hana ushawishi wowote kwa mama. NAKUBALIANA NA WEWE
Please give us frequent music.. Sometimes I listen to your lyrics and am just crying. Kenya listening
Njiwa ndo zile ndege zetu naanza kuelewa kimoja moja
Jamaaa tufanye fanye STAMINA aingie SUBSCRIBERS LAKI🔥🔥🔥🔥🔥☀️☀️☀️
@officialfredoo3549
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@mnyakitz2007
3 жыл бұрын
Hakika
@SAMMEDIA255
3 жыл бұрын
Fresh
"Hata kaka aliyekuwa hakupendi, Mambo yake yako mshazali, Aliuza nyumba ya kino bila hela ya udalali, Akapata ya kigamboni ikasombwa na upepo wa bahari,"
@alonealvin4534
3 жыл бұрын
Makonda tunapita nae hapo kweny uo ubet
@princenyakurungwi6925
3 жыл бұрын
Makonda huyo
@successsimon2568
3 жыл бұрын
Mmerisha humohumo nikosawa na nyinyi
@stevewanga957
3 жыл бұрын
Itakua Ni nani huyo
@stevenomanga4637
3 жыл бұрын
Kondakta
Naomba Nirudie Nirudie Nirudie Wimbo Huu Mara kurudia Rufus🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🔥🔥🔥
ferooz ametisha sana
Bonge la chorus from a legend all in all bonge la ngoma lenye ujumbe ndani ake🙌🏿
MISTARI IMEENDA SHULEE. GONGA LIKE KAMA UMEIKUBALI KAMA MIMI.