Rostam Feat Ferooz - Hujambo Mwanangu (Official Audio)
Музыка
#Rostam #Ferooz #HujamboMwanangu
ROSTAM (ROMA & STAMINA) PROUD TO PRESENT A BRAND NEW AUDIO HUJAMBO MWANANGU FEATURING FEROOZ
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/staminashorwebwenzi
Written & Performed by Stamina, Roma & Ferooz
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 3 400
Nmerudi tena... Sijaona likes🇰🇪
jameni nipee like atleast zifike kumi nmekua nasaport mziki wa stamina toka .. WAKENYA TUPO DANI... ONE LOVE
@msafilibeveriny4117
3 жыл бұрын
Unapenda like
@loicewanjira7750
3 жыл бұрын
Mziki sawa
@givenessmwenda791
3 жыл бұрын
Dah wimbo mkali Sana huu
WANAOAMINI AWA JAMAA NI MA GENIUS. KILA WAKITOA DUDE LINA TREND LIKE APA JMN👋👋👋👏👏
Unausikiliza wimbo huu najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Alioickiliza hii ngoma Zaid ya mara kumi kutafuta haya mafumbo jiwe gizani limempata nan Tujuwane hapa kwa like
Dah rostam mnafanya mpka najisikia kuimba wakati siwez ila ii ngoma naomba irudiweeee iirudiweeeeee naomb like zifike 20k kwa leo tu
Wanao sema "ROSTAM KAZI IENDELEE" like yako pia
@happinessshirima3279
3 жыл бұрын
😄😄
609:60 Mt 3:2Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
Walioirudia zaidi ya mara moja naomba like zakutosha ✍️✍️
Mwanacha ndaki ndaki wa rostam naomba like 100 ivi
You guys God bless you....couse this is the reality guys
Mamae mnajuwa mpaka mnaniuz like kama zote kwa ferouz✅✅🙏
@kazumarinampanda4492
3 жыл бұрын
Kwanza atali
Yani hii Bakora inapiga kimnya. Wale wadau wenzangu wa rostom Gonga like tujuane... Listing From Zurich Switzerland 🇨🇭
@trynergang1371
3 жыл бұрын
Zurich imexhana mikeka bhn
@chumkhamis8924
3 жыл бұрын
@@trynergang1371 yani kinoma Boy
@brightshola3778
3 жыл бұрын
tuko pamoja bro
@chumkhamis8924
3 жыл бұрын
@@brightshola3778 poa Boy. Be blessed mjengoni uko p1
@brightshola3778
3 жыл бұрын
@@chumkhamis8924 pamoja braa
Naombeni hata like 10 jamani tunaokubali hii ngoma
Eeh this is talent...achana na kina,diamond
Mad sick 🔥
@Pizzojohn
3 жыл бұрын
Otiti
@sirfrancis6471
3 жыл бұрын
Piga kazi na rostam kaka
@erickboy5336
3 жыл бұрын
Noma sanaa
@eugenekimutai8786
3 жыл бұрын
Kaka fanya Kazi na hawa Rostam nawakubali sanaa
@eugenekimutai8786
3 жыл бұрын
Collabo kaka inaeza kuwa kubwa
Luke 9:60 📜 Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
@jessieboaz4592
3 жыл бұрын
Wavivu kusoma Bible umetusaidia sanaaa🙏🙏
@lilymatoli7117
3 жыл бұрын
@@jessieboaz4592 hhhhh
@gine9011
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
"Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.” Luka 9:60
@manyuhandumbaro9618
3 жыл бұрын
Noma kaka
@mwajumashomari3453
3 жыл бұрын
Yap
luka 9:60 Lakini Yesu akamwambia, “Waache waliokufa wawazike wafu wao. Ni lazima uende kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu.” shikamo Roma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@abuj4really323
3 жыл бұрын
Good sana kija
@rashidbemunda3237
3 жыл бұрын
Ĺ
Pongezi sana Rostam
Naombeni likes japo tatu tu jamani mimi nduguyenu wa damu mkinibagua ntawasema na mama...
@hilalmohd8941
3 жыл бұрын
mama Mtia saini2
@abudeensalim3592
3 жыл бұрын
@Hilal haswa huyo huyo😂😂
Narud January ntafikia kwa kaka bumbulli...........sijawahi pata like 100 jaman
@smartworktz2128
3 жыл бұрын
We timu yako inashuka daraja huko wew unatafuta likes huku🤔
@mickyernest7970
3 жыл бұрын
@@smartworktz2128 😂😂😂
@georgengoda4447
3 жыл бұрын
Mzee umapata ongea mengine
Tunaitaji video🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮
Luka 9:60 BHND Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
Kama Uelewi Code Hapa Uezi Elewa Kinachoendelea Respect Sana Chama Langu Rostam ✊✊
Aliye enda kuangaliaa #luka9:60 gonga like tujuane
@neemaernest2906
3 жыл бұрын
Akamwambia waache wafu wawazike wafu wao, Bali wewe nenda ukatangaze ufalume was mungu
@korneliserafini7843
3 жыл бұрын
@@neemaernest2906 👏
@marcomgowole7676
3 жыл бұрын
Luka 9:60 Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
@izdorimushi4150
3 жыл бұрын
LUKA 9:60,Yesu akawaambia "Waache wafu wazike wafu wao,bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa mungu"
@selemanally126
3 жыл бұрын
Luka inasemaje wengine waislam
Wanaosema nyimbo hii angeshirikishwa nay wa mitego gonga like hapa🤙🤙
Ferooz unaninilizaa mwenzio😭🙌🙌
Mziki ungekua wa namna hii czan kama mzki ungekua na mashabiki,,,mana kwa hii ngoma inaitaji ufikir sana ndipo uielewe respect my ROSTAM🎶🎶🎶🎶🎶
@wazirihamisi6484
3 жыл бұрын
Hahahahaha
Mimi ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila wimbo nilikuwa nausubiri sana kabisa..... Wa Congo nipe like zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@salehegau5304
3 жыл бұрын
Nyinyi wasenge mnajuwa xana
@Isaac_The_Genius
3 жыл бұрын
Kaka mimi mbondo tuko pamoja
@alextanzania
3 жыл бұрын
Zambi wa moyo
@lucaskashimwita6386
3 жыл бұрын
Nimekupa dislike na comment au hutaki 😂😂😂
@heritierdirock3409
Жыл бұрын
@@Isaac_The_Genius 😂😂😂Niatari nehemia nimekupata
Ferooz voice is Priceless 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Sema Daaah Hebu Kama Umerudiya Mara Mbili Kuskiliza Gonga Like 👍 Tujuwane🔥🔥
Roma umeprove km umekimbia uhaibuni dah! Sema ngoma kali madini mengi yanayok kw hivi vichw 2 ila feruu hodari w mda wot 💣💥🔥😍
*Tunaimba wote nafungiwa Mimi* -Roma Hii nyimbo ni bonge la GOMA. Safi Sana.
Nyimbo kali wanangu Rostam na ferooz
I don't stop to listen to this song,vijana wanafanya kazi kweli na sio upumbavu waki diamond na Harmonize social media,we need good music,positive vibes,strong msg,respect to Feroos,professional chorus big up guys and keep the good tracks
Mm nimesikiliza... Zaid ya Mara Tano... Kam ww umesikiliz gonga like
LUKA 9 : 60 Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
@davidngonyani4923
3 жыл бұрын
Pamoja sana
@jamesburetta4440
3 жыл бұрын
imeisha hio....
@jandaboytzz2755
3 жыл бұрын
Maana Yake??
@shakurfaith
2 жыл бұрын
@@jandaboytzz2755 waache wajinga wapotoshane wenyewe
@andrewrambau9818
Жыл бұрын
Kaka mbona kmya sana jamani
Njiwa wanatutia hasara tuuu wanaumia mikono wanatibiwa Kambodiaa daaaah
Rostam wanajua sana💯🙌🙌
Rostam for life..kama unawakubali rostam like hapa..🤝
Naomba like za mtumzima Roma na Stamina. Mana walikua wame nifanya nipoze mtaani💪🏾💪🏾💪🏾
Magufuli . Kweli ataishi miyoni mwetu daima . Kumbukeni alituambia mungu anaipenda tanzania .Kwaiyo tumtangulize mungu
Madini kama Madini
Niamini Mimi hii nyimbo unatakiwa uisikilize si chini ya mala 5 ndiyo uielewe vizuri tena ukiwa umetulia TULIII. Rostam hawajawahi niangusha 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@mangweajr9666
3 жыл бұрын
Ni kwel
@Donrugi
3 жыл бұрын
@@salehkupaza4547 mala moja uongo labda kama ulikuwa unarudisha rudisha nyuma. But the reality lazima uisikilize zaidi ya mala moja ili kuielewa
@sirfabiano767
3 жыл бұрын
Roma ni fala
Kama unawakubali wasanii naombeni like zenu Leo..wimbo huu ni shiiiidaaa
Rostam wana fanya mtu apende Hip-hop na poetry. Kazi safi hawajawahi ku ni angusha.
ferooz ametisha sana
Rostam ni kibokoo aisee😂😂 🇹🇿🇹🇿 sihami Mimi R.I.P magufuli......KAZI IENDELEE
@jeffkajula9345
3 жыл бұрын
Anaitw roma
Rostam mnastahili kupewa tuzo nyimbo zenu hazichoshi kusikiliza na Zina ujumbe mzuri Kama ukiweza kufumbua mafumbo yake,,big up @rostam
Roma mung akupe maisha marefu hili viziwi wasikie na kuelewa
Na wasiwasi na waliobaki mama uwaangalie vzr kama kaka yetu aliye HAI na Yuko hapi YUle chenga polepole haya mambo sasa ni musiba njoo nchemba
Hawa jamaa wapewe ulinzi naomben like zanguu kwa hii ngoma kaliii
wanangu fiti bana ferooz arudi game nipeeni like ya Rostam 🔥🔥🔥🔥🌟
@masoudsaleem4063
3 жыл бұрын
DAAH ROMA FUNGUA DARASA UTUPE KOZI, COZ UNAONGEAGA KIKUBWA UNATUTOA HADI MACHOZI!! KILA NKIJARIBU KUONA NDANI NABAKI TU NA MACHO YANGU YA NAZI, MA3 LAKINI SIONIIII 🤔🤔🤔😆😆😆😆
@karehmhenga7130
3 жыл бұрын
@@masoudsaleem4063 ukweli bana tunangoja darasa ya Rostam tu
This deep...🔥🔥shout out to Ferooz for bringing out the emotion on the hook.
Kundi la Rostam lina kipaji cha kweli katika Usanii,acha hawa wababaishaji na Ferooz kwenye kiitikio hafanyi kosa
Jamani tuliyoplay hii nyimbo zaid ya mara7 ili tuielewe tujuane hapa kw likes #viva roma🇹🇿
ROMA “kasema tukasome ,Luka : 9 : 60 - Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
@dokasalim943
3 жыл бұрын
Kweli boss!!✔️
@josephraymondshirima58
3 жыл бұрын
Sio poa
Luka 9:60 hongereni sana vijana! hawa ndio wasanii sasa wanaoonyesha nini maana ya msanii maana wengine sio kioo cha jamnii tena👍 like kwa ajili ya vijana hawa.
@ricksamthecrow
3 жыл бұрын
Waache wafu wakazike wafu wao bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.
Ngoma kali sana kama umeelewa code gonga like tujuane🔥🔥😘
Hawa jamaa ni wabunifu mno mekubali🔥🔥🔥
Nyimbo mbovu inakamata namba one on trending wameisumbua sauti ya ferooz
Hii ndio ngoma yang pendwa ndan ya mwaka huu haitokei respect rostam ft ferooz .
Damn! The art in this song... Maana fiche! Love from Kenya 🇰🇪
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Hawa jamaa ni shiidaa!
@hafydhmo9566
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 but mkenya huwez elewa hapo mpak ujue siasa ya TZ
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
@@hafydhmo9566 Km unajua Kiswahili walau 50-70% utaelewa ila km hujui Kiswahili hapo ni Zero kabisa!!
@denisorodi8195
Жыл бұрын
kama hujui habari za tanga huezi elewa
awa jamaa wanajua mbaka wanajua tena kama kutakuwa na uhuru wa kuongea kwenye hii nchi basi tutegemee ngoma kari kwa hawa jamaa ROSTAM ❤❤
Mashangazi wawili ndo nani dah nyimbo ngumu kweli yani
Ng'ombe wew kumbe unajua kuimba nyimbo tamu
@edwardkamina8718
3 жыл бұрын
Kumbe ng'ombe humjuiii?
Wote mlioguswa na ujumbe acheni wivu gonga like 💯
@abdullybukuku8744
3 жыл бұрын
sanaaa
@archienguzza6585
3 жыл бұрын
Pamoja
@ahmadsayyeed7910
3 жыл бұрын
Napenda label yako haina mipasho wcb imeharibika sana pambana jitahidi usiwe kama wao tembea kulia tembea kushoto na uwaache washamba🙏
@jamaljamada7482
3 жыл бұрын
Jexhiiiii🎌🎌 pa1xana broooh!!
@ewtonsinyinza6602
3 жыл бұрын
Jeshiiii
Hivi umeonana na Dadaa..... Gonga like Kama umeelewa dada ni mange kimambi
@tanokayumbo2094
3 жыл бұрын
Kaka ni Makonda
Kenya tuko hapa kwampigo
hamjawai toa bokoo you have too much creativited..... @rostam forever
Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
@samweljoseph8192
3 жыл бұрын
pamoja nawe
@veriasmathayo7306
3 жыл бұрын
et broo hyo ndo kitab Cha Luka alichosem roma
@goddymduda3774
3 жыл бұрын
@@veriasmathayo7306 Luka 9:60
@peterladslaus6904
3 жыл бұрын
@@veriasmathayo7306 ndio hivo kk
TUNAIMBA WOTE ILA NAFUNGIWA MIM"" hili hata Mimi najiulizaga na sipati jibu".... Roma mtata Sana.. Kuna vitu vinafikirisha humu
@hamidjuma8853
3 жыл бұрын
nomaaa
Please give us frequent music.. Sometimes I listen to your lyrics and am just crying. Kenya listening
Wabongo bana , wanaogopa kuongelea siasa alafu wanapita kwa mbali .
Njiwa:Ndege Banda kjjn: Airport Chato Bamdog Mchng: Gwaj Boy Anc w sngda :Lissu B mkbw wa msoga Kikwt Ntard janur na ntafkzia kw mjmba bumbl :Januar Makamba
@yohanamsanga9411
3 жыл бұрын
Umetisha sana
@eknotz
3 жыл бұрын
Mwalimu tanga ni ummy mwalimu
@charlespatrick4859
3 жыл бұрын
kaka alie hai..sabaya,ally hapi,musiba,mwigulu
@jastinreuben1518
3 жыл бұрын
Bamdogo mchungaji sio gwaji kaka....ni mpango 🙌🙌
@dn_cider9641
3 жыл бұрын
@@jastinreuben1518 ha ha ha katika code ngumu, ilikua hii - maana gwaji boy hana ushawishi wowote kwa mama. NAKUBALIANA NA WEWE
I've struggled to find a proper way to put it but nothing sufficed more than "YOU GUYS ARE TALENTED"
Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao. Bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.” luka 9:60
@afronews8349
3 жыл бұрын
Nice
Hawa Jamaa noma ❤
Kama umelielewa hili dude gonga like 30
Rostam tufanye feat na kikosi kazi 🔥🔥 please itakuwa soo sana nakukuza mziki mbali wa hip-hop . Tungo Safi sana mchabiki wenu number moja toka drc congo Nataka like 💯
Pale kitabu cha luka vipi...nani ameisoma piga like
mashangazi wawili bado wana hasira na baba# hapa namuona fatma na maria
Jamaaa tufanye fanye STAMINA aingie SUBSCRIBERS LAKI🔥🔥🔥🔥🔥☀️☀️☀️
@officialfredoo3549
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@mnyakitz2007
3 жыл бұрын
Hakika
@SAMMEDIA255
3 жыл бұрын
Fresh
Luka 9:60 Yesu akamwambia, "waache wafu wazike wafu; wao bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu"
Hiii no noma noma kama noma ferooz mmepatia hapo kati wazee goma litazaa matunda
Kama angekaa one six kwenye chorus angeua sana Ila huyu kama kapigwa loba ya mbaoo🥵
wangapi wanataka tuwachambulie hii ngoma
@abelianraphili5150
3 жыл бұрын
Mm hap
@iradiboni5272
3 жыл бұрын
Tuchambulie Tafadhali
@namallakankalla3780
3 жыл бұрын
@@user-tb4lj6zv5p njiwa ni zile ndege halaf banda la kijijin ni airport chato
@kumwambaboymc4854
3 жыл бұрын
Tufafanulie
@risktaker4111
3 жыл бұрын
@@iradiboni5272 dada.. ni Mange Kimambi, Njiwa ni Ndege, banda kijijini.. uwanja wa Ndege Chato
Roma na stamina never disappoint love from 🇰🇪
@shinipapaya846
2 жыл бұрын
We Chikenya kuma tu
NA WALE NJIWA WAPO
Bonge la ngoma Ile swimming pool ya rufijii Daa sema wana wanajua sanaa aseeb Shout out kwa #rostam
All the way from Germany, In love with the flow, 100 likes for we Tanzanians in Germany.
@phen255
3 жыл бұрын
Kali
@phen255
3 жыл бұрын
Kali
@phen255
3 жыл бұрын
Kali
@phen255
3 жыл бұрын
Kali
@phen255
3 жыл бұрын
Kali
MISTARI IMEENDA SHULEE. GONGA LIKE KAMA UMEIKUBALI KAMA MIMI.
Ho ngera sana rostama wimbo mzuri mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu ameen
Njiwa ndo zile ndege zetu naanza kuelewa kimoja moja
Waliosikia kama #mama ni #prsnt #mama#samia wanipe #like✅🇿🇲🇿🇲
Kama umesoma comments ndo ukaelewa baadhi ya mafumbo gonga like 🤙😅
BASATA wamekaa chini na kamusi nabado hawakuelewa kitu.Hivi wanasoma comments ndiyo akili inawafunguka🤣🤣
👽👽👽👽👽🤔🤫asiekua muelewa hawezi kuelewa hiyi ngoma kanwe sio kwahaya aliomo ndani
Aliye sikiya Roma ata Rudi ivi karibuni agonge like apa.