ROSE MUHANDO: ''NIMEPITA PAGUMU SANA, NILIISHI KAMA MTUMWA, NIMEBAKI MIFUPA, BAHATI BUKUKU,WAONGO''
#Mchezakwao #Rosemuhando #Startv
Fatilia mahojiano haya yakwake Rose Muhando kupitia kipindi cha Mchezakwao ambapo ameweka wazi mikasa na mazito yote aliyopitia katika maisha yake mpaka hapa leo alipo akiwa amefanikiwa kusimama tena.
Пікірлер: 657
Kama unaamini Rose atainuka mara 7 zaidi gonga like hapa
@marthakilusungu8317
3 жыл бұрын
Ni kweli 🌹
@iuem5792
3 жыл бұрын
Ameshainuka tayari.
@elizabethgudisa1834
3 жыл бұрын
Umeshainuka. Tayari. In. Jesus. Name
@alphoncelepojo2680
3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@fredmbilinyi4680
3 жыл бұрын
@@marthakilusungu8317 wimbo za rosi mhando
Kama unampenda Mungu wako naunaamini kuwa ndie mtetezi wetu katika magumu yote gonga like hapa👍
@graceg9332
3 жыл бұрын
Nakilupend Sana dada rozi mungu akubariki Sana
@nevincembuba8429
3 жыл бұрын
Love you so much my cct rose
@johnwaita4724
3 жыл бұрын
Mama rose nakutambua sana
@saadacharasaada1958
3 жыл бұрын
Uongo
@user-fx7ov4hz8h
4 ай бұрын
❤
Asante sana Rose nimebarikiwa sana na maelezo yako kwamba si chini ya miaka miwili ulikaa chini kijifunza neno la Mingu. Ni ukweli kwamba bila kulijua neno la Mungu kwa muimbaji yoyote wa injili si rahisi kujiendesha kwa maana ya kutunga mwenywe na kuimba mwenywe na jumbe nzito. Hongera sana Rose
Tunakupenda Sana Rose Hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@elizmutai9562
3 жыл бұрын
Kabisa
Rose nakupenda sana wewe ni mwanamke jasiri sana your my mentor in music ata kama sijawai toa wimbo kipaji ninacho na wakati ukifike nitaimba Mungu akutiie nguvu sana Kwa huduma nitafurahia sana siku Ile nitakupata macho God bless you
Rose muhando stands in the heart of Kenyans, twampenda Roosi sana sana 😘❤
Huyu mama hafeki,real woman,real voice,real praise
Ase jamaa ni bonge la mwandishi nimekubali style yako ya kuhoji... Kama umemuelewa mshakj gonga like. Rose ur the best😍💕
So sorry Rose 😭. I'm glad I never believed those drug stories and happy that God has restored you. Much love from Kenya
@lizmass4253
3 жыл бұрын
Me too I never believed it
Mamamaaaaaaaaaaaa huyu ndie rose muhando nimpendae hajui kumung'unya big up Sana rose ww ni balaa la shetani
I was very happy to see Rose back on her feet..Rose much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Tunakupenda Maami
@leillagrace6511
3 жыл бұрын
Sanaaaa twampenda rose kenyaa
Nimefurahishwa na mazungumzo ya Rose kutoka ulipo toka kwa uislamu mpaka vile meneja wako alivyo ku tesa . Nafurahishwa vile haukufa moyo na umesimama wima kwa wokovu. Wewe ndiwe mwimbaji mashuhuri wa kike katika Afrika mashariki.Wimbo wako wa uwe macho ulini bariki Sana .Nilikua miongoni mwa watu wa Kwanza kuinunua Kama mkenya.Mungu aku bariki zaidi .
@charlottenjangali3363
3 жыл бұрын
Nimefurahi sana to know you Rose i loved your music many years ago. Ubarikiwe sana wacthing from Italy
Dada yangu Rose mungu akulinde kwa damu yake iliyomwagika msalaban tuendelee kufanya kazi yake ubarikiwe
Hello hello nakupenda Sana roce muhando God bless you Niko hapa Kenya nimekupata vinzuri Sana mungu awape nguvu yake
Songa mbele na injili ya Yesu mama Rose Muhando I am so happy to see that you're back on your feet, may God be glorified forever with love from NBO Kenya
Am so encouraged by Rose. God bless her so much.
Kama MUNGU akisema ndiyo nani wakusema siyo? Love so much Rose GOD continue to bless you more and more
Huyu mama ni mnyenyekevu sana na hakika aliamua kufuata Yesu....ukimsikiliza Rose utagundua kuna mambo mengi tuliyoyasikia tumedanganywa sana kuhusu Rose.....
Hongera mama ulishida vita Kali kweli
Ukweli kabisa my sweetheart uwezi tumikia mabwana wa wali be blessed 🙏
I love this Woman. She is full of wisdom she is called of God. No one can thwart Gods plan in her life. When she was in the hospital here in Kenya l had a burden to pray for her. Moyo wangu uliumia.. kama kanisa la Bwana niliumia... sasa hivi nikona venye amenenepa kweli Mungu ni Mungu! No place for arguement. Winnie Kenya
Yesu christo aliku chagua zamani tangia mtoto ubarikiwe da Rose❤❤
My sister Rose 🌹 you such a gifted singer from God. Your voice whenever I listen to it,my soul feels fresh.Whenever I feel low,your songs encourage me. May God bless you and give you long live for you change many lives🙏
Rose muhando napenda sana nyimbo zako, Mungu akubariki sana na akutangulie kwa kila jambo.
Mungu akuhinue na akubariki rose muhando na uwasemehe waliokukosea mungu yuko pamonje na wewe katikati ya mateso.
Rose you are just amazing Angel you are my best gospel artist may God continue to uplift you
Am so sorry Rose for what you went through 😭😭😭May God deal with those evils... I still love your songs till the date much love from 🇰🇪🇰🇪
About marriage I concur with her completely.. She is indeed a genius
Our God is able, kweli Dada Rose tumemuona Mungu kupitia mapito yako, sisi kama wanadamu hatungekuelewa ni Mungu
She is too genius Hakika kusudi la Mungu haliwez zuilika, asante Mungu
I enjoyed the interview and learnt alot..God blesss you Rose.
Glory to God for uplifting Rose's life and restoring her strength and golden voice. May she soar higher in God's ministry. She is back much wiser.
I like this rose,nimeupokea ushuhuda wako,unainua imani sana.mungu akubariki zaidi
Apostle Dunstan Maboya hello we love you from Kenya of Apostle Mukadi wa Mukadi ameni jameni living in the usa now, hello Rossy amazing sister God bless.
Dada Roza MUNGU akubariki unajuwa MUNGU akitaka kuku inuwa lazima upitiye mahisha ya jangwa nahayo ndo yalikuwa mahisha yako ya jangwa .unanibariki sanaaaaaa MUNGU azidi kukuinuwa viwango hadi viwango amen
Huyu dada nyimbo yake ya kwanza ilinifanya niwe na hofu ya Mungu Sana 2004 nikiwa mitaani ile albam mteule huwa napenda kuisikiliza Sana paka sasa
Safari ya ukristo ina mapito makuu. Maadui wakakuwekea vigogo, ukavivuka, sauti ikabaki ile lie, Asante Mungu. Rose, Mungu hamwachi mja wake, akushike mkono utimize mahitaji yako. Hugs from London.
This woman is just blessed... nothing more...God loves her..and we love you
🇰🇪mom we love you keep going you're unstoppable🔥🔥🔥
May God bless you dear sister we love you rose from Kenya 🇰🇪
@elizmutai9562
3 жыл бұрын
Zaidi
Barikiwa rose . I love and respect you soo much. Nyimbo zako nilikuwa nasisikiza nikiwa shule ya upili maana maisha yalikuwa mazito mno.. hata kama ulibadilisha roho moja , tayari kubadilisha na kutafuta kondoo mmoja wa Mungu kupitia kwa njia ya uimbaji hio tosha, kama vile mtakatifu Augustina alivyo badili miendo yake kupitia njia ya uimbaji na kusema ,alichelewa kumjua Mungu , zidi kutamba mama..
@masungadonard9000
3 жыл бұрын
Rose nakupa axlimia 💯 ubarikiwe sana mungu amtie nguvu
Rose nakuombea tu kwa Mungu,akuongezee Kibali zaidi kwa Huduma yako,nakupenda sana Rose,na Mungu akuongezee miaka ya kuishi Duniani 😍#TRM
@EliMsuya
3 жыл бұрын
#TRM tuko mbele aisee
Rose mungu anakupenda sana zidi kumutumikia siku zote za maisha yako God bless u all the time 🙏🙏🙏
You have encouraged me Rose. Through your testimony I know in my heart how to support my daughter to her God given gift of loving street children and building a home to support them. God has spoken to me in your testimony
One thing i know in this world is : 1. God will always be God no matter what, 2. when God wants to use you to touch lives of people no one can stop it, Sister Rose your Testimony is grate may the almighty use you through out the world . we love you and Uganda loves you , East Africa loves you and above all God loves you ........ Amen
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rose kuimba umebarikiwa, nyimbo zako zá Kwanza zilkuwa zinabeba ujumbe kuliko nyimbo nyingi na wewe ni Genius kweli sio uongo. God bless you.
Angelic voice! Rose Muhando is the best!
yaani i need to be recharged like you mama.... i like your energy.. God does not give us what we cannot handle... he give us the energy to carry on....its evident that he walked with you all along for you to believe and others to trust in your God... may you be recharged over and over again
@goshenuniforms4174
2 жыл бұрын
As long uliimba shujaa wa msalaba, 🥰🥰🥰you are heaven legend. God's own. I pit walio kudhulumu. Your battles are Lords. Sit back and just watch at them.
Long life Mama..much love from kenya😍😍
A'm sorry Rose for what you went through 😭 in life.you have encouraged me so much,may God bless 🙏 you sister and keep on in praising God through singing.
Pole Sana bt through all we still love you my sister Rose 👏,barikiwa sana
Maneno ya nguvu 1.sijawai kukata tamaa 2.kuangua na kuinuka na kuendelea 3.karama ya mtu ipo mikononi mwake 4.hatuishi kwa rumasi tunaishi kwa uharisia 5.mari upotea sio kupawa💪💪💪 6.mtu Ni Nani na Mungu Ni Nani🙏🙏 Nampenda Sana rose jamani mungu ni mwaminifu Sana am in love with u♥️♥️💪🛐
Wow.. sauti ni ile ile. Welcome back Rose Muhando
@esthermtui6126
3 жыл бұрын
Hongera sana dada rozi
Mungu asifiwe sana kwa kukuwezesha kumtumikia tena. Nguvu zake zikufurike Mtumishi Rose Muhando. Tunakupenda sana na nyimbo zako pia
Rose muhando nakupeda tuu bure Kwaza hiyo album ya kwaza niliisikiliza nakulia kwi kwi kwi 😭😭 nikijiangalia Mungu akubariki tena sana
Duu! Kabla hajasema anampa nani tuzo, mimwenyewe nilimfikiria AMBWENE MWASONGWE. Ambwene is good and smart
Thank you so much Rose I didn't know am an altar.My marriage broke but you have given me the answer
YESU yupo ndugu zangu waislamu YESU NI MWANA WA MUNGU mtabisha mpaka lini
@dottnatt7110
3 жыл бұрын
Mbona mnatushangaza Yesu ni mungu au mwana wa Mungu?
Mti wenye matunda mema hupopolewa mawe, Rose ni mti ulio na matunda mema wakati wote ndiyo maana yalimpata hayo. Mungu hawaachi walio wake, Rose kapaishwa zaidi. Mungu ni mwema. Tuache roho mbaya wanadamu tupendane
Glory to God a new beginning in the name of Jesus u are blessed Rose.
May you live long Rose and continue serving the Living God
@allbyhisgrace8925
3 жыл бұрын
Amen
Rose Mungu akubariki. Chunga sana watu wa Media watakutumia kukuza channels zao. Simamia wito wako wa kumtangaza Mungu kwa Injili ya Wokovu kupitia sanaa ya kuimba. Muziki ni nyenzo wala sio taaluma bali Mungu alikuita, amekutenga kuwa Mtumishi wake. Nadhani sasa mahojiano ya kuchokonoa mapito yako. Hawa walikuwa wamekaa kimya wakati unanyanyaswa. Mungu akupe hekima utumize ahdi. Mambo yako usiwape wanahabari kazi yao kutafuta mambo ya watu. Wasije kukuingiza kwenye mitego ya adui maana hutumia tasnia ya habari. Nashukuru mahojiano haya umesimamia kweli. Nilitamani kukuona tangu 2010 wakati unapita katika majaribu nimebaki kukuombea. Nafurahi Mungu amekuinua. Zidisha muda wako na Bwana Yesu Kristo uihubiri Injili. Omba Injili kama ulivyoanza.
Yaani natamani sana siku moja nikuone rose ..we seat and have a long conversation about God ,your trials and life in general. I love you so much from Kenya
Je vous dis vraiment j'aime cette sœur. Nampenda kweli uyu dada rose, na mungu ata saidiya nitamuita RDC.
Lots of love from Kenya
Kwa kweli mazungumzo haya yamenijenga Sana kiimani. Pia nimeweza kuilewa Biblia has a nikimwangalia Mtume Paulo. Aliitwa ktk Huduma kama Rose, alipita magumu mengi, ukianzia sura ya 20 ya Matendo ya Mtume hadi lwisho wake sura ya 28. Dada Rose, unayo Huduma kubwa Sana, bado Yesu anahitaji kuona makubwa kutoka kwako. Nakuombea Mungu akupe hekima usimame na ufanye KAZI ya Mungu. Haggai 2:6-9 uwe mstari wako. Ee Mungu umsimamishe mtumishi wako. Kududi lako litimie katika Jina LA Yesu Kristu. Amina
Rose Muhando may God bless and maintain you. Ata kama madui wanakupiga Mungu yuko.
Pole sana rose umepita pagumu mnoooo hakika Mungu atukuzwe kwa kukuvusha ktk mapito yako
@hobokelanyaluke6071
3 жыл бұрын
Hongera kwa ushindi
Rosa ubarikiwe sana nyimbo zako zina onya sana miyo zawatu . Mimi apa Congo Kinshasa
Nimekupenda Sister Rose 🌹 kwa ujasiri wako...Hata Kama nitaanguka Mara kadhaa lakini nitaamka na kuendelea mbele.
Hongera sana Rose na wale waliokutia nguvu wabarikiwe sana na ubarikiwe sana ulinzi wa Mungu uendelee kuwa juu yako
Dada Rose wewe tayari no shujaa wa imani, nashukuru Mungu kwako we shuhuda zako zinabariki zinainua zinatia nguvu, Dada niwakati wako sasa maana umepumilia hayo yote had I yakapita so ni wakati wako sasa Mungu akupanguze machozi, mwaka was 2014 ndio mwaka niliokuona December kwa crusade chini y mtumishi wa Mungu Pius muiru Uhuru park hapa Nairobi na kutoka hapo watoto wangu wakakupenda sana n kupenda kundazi kupitia CD yko y kwanza mteule uwe macho so I wish one day will meet u thanku, I'm Winnie Nairobi Kenya stay calm
rose muhando my all time favorite artist. since 2005
Wow! Am blessed and encouraged... From 254....
Mtumishi Rose Muhando may God richly bless you as a true servant of God,it's just through the hand of God You are a true testimony
@electineokoyoh8627
2 жыл бұрын
Rose mm napenda vile wewe waimba bibilia tu. Nakuombea Mungu uinuke Tena wewe ni mshindi
Rosi nakupenda Sana, Mungu aendelee kukuinia juu zaidi, Kama mnaniunga mkono like hapa.
Great woman of God the lord is with you and is taking you far.am always proud of you.funga mkanda kabisa.
Nakupenda yesuuuuuuu nakupenda sana yesuu wangu
Rose naitwa Ann from Kenya.. Mungu alie Mbinguni akubariki sku zote.. Tunakupenda na hua unatubariki kwa njia zote..
@lucymutisya8287
3 жыл бұрын
Rose mungu atakuinua na akurundishie yote ilikuliwa na nzike
@richardomare3764
2 жыл бұрын
Rose nakupenda no naked nyimbo na Saudi yahoo Kwa heshima niruhusu uje. kwangu
Mm naomba mungu anisadie Kama we Rose Kwa maana pia mm nkona kipawa lakin Sina mtu wakunishika mkono naomba mungu Sana ajibu maombi yangu pole sna Rose mungu akunariki zaidi
May God grant you a miracle in Jesus Christ mighty name.
Nimependa vile Rose amenena.Salute.nimependa hekima iliyo ndani yake na bila Shaka mwenye hana hekima ya Mungu hawezi akaelewa kamwe.Rose,👍👍💪💕
Wooow nakupenda sana Dada rose we ni jeshi kubwa Mungu akulinde dada
Hongera Rose-Ufafanuzi wa madhabahu umeeleweka vizuri .Mtu huwezi kutumika mabwana wawili-Songa songa mwanamke songa -sky will be the limit🙏🙏
I tap into this healing Rose
Mungu akubariki rose,unanijenga sanakiroho Niko Congo mani naishi Uganda naitwa pasta devid
Nimeshukuru sana Rose kwa kueleza kishujaa yaliyokupata. Pole sana. Unayozungumza hapo no ukweli mtupu, endelea kuhubiri na kumshuhudia Kristu mfufuka. Mungu akubariki sana. Nyimbo zako zinanijenga sana kiimani. Keep it up Rose!
Rose muhando kiukweli huwa unanibariki mno naposikiliza nyimbo zako mungu was mbinguni akufunike kwa damu take naitwa meshack John Nchingo kutoka Itigi Singida
This woman is a blessing from God
Rose mama u are So wise and u have great knowledge ......thanks genius u are and u will make great things mama
Hongera mwandishi nimependa ulivyo muhoji Da Rose,Mungu endelea kusimama Da Rose watu !
I love Rose mohando, May God give her long life, as am believing God kufanya collabo naye,
@brunomwakibolwa7662
3 жыл бұрын
Rose nakupongeza na naomba utukumbuke Mito ya Baraka maana bado umefanya makubwa ktk kujenga kanisa la Kristo . Kumbuka ushirikiano wetu kihuduma
Oh my goodness look what the Lord has done see how he did it!!! Much love from me here in Kenya. Thank God for restoring you nd reviving you too. Kabla hujafa kweli hujaumbika
@annieprincess499
3 жыл бұрын
rose may GOG
@annieprincess499
3 жыл бұрын
SO TOUCHING rose that you managed to manoeuver with alot of challenges resulting from those with jealous hearts.we thank GOD for protecting and concecreting you with his precious blood. much love from toskin from kapchorwa district uganda.be blessed rose
God bless you Ms Rose. Your Grace and destiny is great.. continue to serve God. ❤💕🎷🎷
@winniemueni6928
3 жыл бұрын
You are a living testimony Rose mungu akubariki na akuinue...nyimbo zako huwa zanitia moyo sana.
Sister Rose, Nakuitaga Queen.. Nakupenda Sana.. Ile Album Yako Ya NIMEKUKIMBILIA Ilinifanya Nisiache Kusimama Na Wewe.. Zidi Kuyanyoosha Mapito Mama.. Napenda Uende Mbinguni, Umeweka Kitu Kizuri Kwangu Kwa Jina La YESU Uishi Dada! 💚
my sis Rose mungu akubariki Sana na hakutie ngufu nakupenda Sana na ninaminia mungu anakupenda zaidi yangu nyimbo zako unibariki Sana . Simba wa kike barikiwa Sana .ni Sheila from kenya
Rose was famous with her gospel so definately shetani hakufurahi no wonder ana mu test. aombe sana na akwamilie kwa neno la Mungu. Thanks to pastor Nganga from kenya for delivering her.
Da Rose hv unaweza kucheza ule wimbo wa AMINA kweny albam ya Nibebe maana saiv umekuwa kabonge, kipind kile ulikuwa kamodo na ulikuwa unajiachia mpaka raha, na wimbo huo nauangalia sana nikiwa stress, Yote tisa kumi ubarikiwe saana
Rose is so respectful may God bless you Woman of God
This is encouraging...Rose when you were hospitalized in Kenya I also really prayed for you dada...God is great!!🙏🙏