RIPOTI ya CAG Yaibua UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA!

RIPOTI ya CAG Yaibua UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA!
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Pro. Mussa Assad Ametoa Taarifa yake ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2018 na kubaini matumizi mabaya ya fedha katika katika mfuko wa bima ya afya pamoja na halmashauri ya Rombo na hanang...
#RIPOTIYACAG
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 42

  • @buthosll2874
    @buthosll28745 жыл бұрын

    Like ya CAG kma we ni mzalendo

  • @fundimchizi5225
    @fundimchizi52255 жыл бұрын

    Hiv huyu mzeee wetu...kwanini asigombeee urais 2020..gonga like kama unamkubali

  • @brhchannel6618
    @brhchannel66185 жыл бұрын

    Mzalendo no 1 Mzee baba na ndo Hesabu coz Math Never Lie congratulations Professor Mussa Assad.

  • @mwidausaid5701
    @mwidausaid57015 жыл бұрын

    Tatizo la nchi hii yule anaesimamia haki hua anapingwa na wale wanaotaka waendelee kuwaibia wananchi Kodi zao big up Musa Asad sema ukweli japo kua ni mchungu kwani muumba wako atakua na maswali atayokuuliza ktk matendo yako hapa duniani

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson47215 жыл бұрын

    Mungu akulinde usiku na mchana

  • @mohamadally5732
    @mohamadally57325 жыл бұрын

    Allaah akulinde mzee wangu wanakutafutia njama za kukutoa kwa kua unasema kweli na muwazi wanatuibia sana hawa

  • @hamadshein935
    @hamadshein9355 жыл бұрын

    Daa mzee baba.umeweka kikokotoa vizuri.

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny20655 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akulinde kwa kazi nzuri unayoifanya. Mheshimiwa rais akutafutie walinzi imara wa kukulinda . Maana hiyo ripoti itawakosesha usingizi Kwa wale wanaohusika na ufisadi huo!.

  • @deustutu1162
    @deustutu11625 жыл бұрын

    watu ni waelewa tulijua tu cag yupo makin mtu wa din huyo hafu msomi wa kwel

  • @shayocycle9056
    @shayocycle90565 жыл бұрын

    2nakuitaji mwaka mmoja uwe rais wa taifa hili.Ww sio kama wabunge wa cm ambao wana2letea sheria kandamiz ili wa2nyanyase wananchi.

  • @chairmanweesky6069
    @chairmanweesky60695 жыл бұрын

    Hakika CAG utaiona pepo mungu akujalie uwe na moyo huohuo

  • @immanathan2987
    @immanathan29875 жыл бұрын

    Mkiijua kweli na kweli itawaweka huru

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43825 жыл бұрын

    CCM OYEEEE. IKISHA YULE SHOGA WA NDUGAI ASEME BUNGE SIO DHAIFU WAKATI NDILO LINALOIDHINISHA PESA HIZO.

  • @michaelgideon625
    @michaelgideon6255 жыл бұрын

    Ndugai mwizi, jambaz anae mlinda baba Wa wanyonge.

  • @jafariakili8762
    @jafariakili87625 жыл бұрын

    CAG utabaki kuwa juu

  • @omarmhmammed216
    @omarmhmammed2165 жыл бұрын

    Jaman nawauliza..... Ivi Professor huyu ni sawa na yule anaeitwa lipumba..... mana naona tofaut sana au kuna kazi nyengine za uprofessor zinakuwa nyepesi.

  • @rosemarymsulwa203
    @rosemarymsulwa2035 жыл бұрын

    Na hicho ndiyo anachokiongea Rais katika ziara yake kusini. Watenda ni wabadhirifu sana.

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    5 жыл бұрын

    Raisi yupi sijui

  • @mottofoundationinc.3492
    @mottofoundationinc.34925 жыл бұрын

    Numbers don't Lie

  • @makwega0340
    @makwega03405 жыл бұрын

    Hapa sasa ndio naelewa maana ya ile kauli yako ya "Bunge dhaifu."

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull12655 жыл бұрын

    Huu ndio uzalendo hakuna ubabaishaj wala kumung'unya maneno lazima ujiamin ....pumbav.

  • @helmanikomba576
    @helmanikomba5765 жыл бұрын

    Safi, tstizo lako ulianza UN, kabla ya hom.

  • @josephchacha8175

    @josephchacha8175

    5 жыл бұрын

    Alihojiwa kabla ya muda wa kusoma riport hii haujafika ulitaka asemeje? Kama alichotakiwa kujibu ni hicho alicho kijibu?

  • @ismailkhalid6186

    @ismailkhalid6186

    5 жыл бұрын

    Vzr mzee

  • @helmanikomba576

    @helmanikomba576

    5 жыл бұрын

    Sijawai kuona CAG wa hivyo dunia nzima, Wakuanza UN kabla ya hom.

  • @adrianmanja7540

    @adrianmanja7540

    5 жыл бұрын

    @@helmanikomba576 acha mambo ya ajabu wewe hom ndio nn inamaana ukiwa mwiz na watu wanakuona unaiba wataka wakuseme sehem unako hitaji wewe au? mwiz hachaguliwi sehem ya kuzomewa kwamba apa pakosawa na apa hapako sawa huo utakuwa unafiki

  • @rashidabdi1711

    @rashidabdi1711

    5 жыл бұрын

    Well done

  • @theresiamahuma4576
    @theresiamahuma45765 жыл бұрын

    Ndio maana bungeni hawakutaki maana ukitaja majina ya mikopo nao wamo.

  • @abuibra
    @abuibra5 жыл бұрын

    IKIWA NI HIVYO CAG ONATOBA WAZI WAZI HATAMIMI SIKUPENDI MAANA TUMBO LA KUHARA LIMENISHIKA NIMISHA ANZA KUKONDA SALAAAAAALEEEE LA!!! SI WIZI HUO HIYO NI BUGIA BUGIA.

  • @abdulwalidali4567

    @abdulwalidali4567

    5 жыл бұрын

    ABU IBRA happ Ndugae utaskia matibabu ya Kwenda India yanamuhusu soon stasafiri kwa maradhi 😀😀😀😀

  • @abuibra

    @abuibra

    5 жыл бұрын

    Abdulwalid Ali :MWAKWETU MATIBABU YA INDIA HAYATA TOSHA,MAANA HATA BUNGENI HAKUNA FUJO TENA NA WALA HUTO SIKIA COMENTS ZOZOTE KUHUSU PESA ZILIVYO NYAKULIWA KILA MMOJA KWA SASA YUKO BUSY KWA KUTUNGA UONGO.

  • @kiotakibovudaresalaam3632
    @kiotakibovudaresalaam36325 жыл бұрын

    Mh mawliza ziara zako police watuambie sare ziko Wapi za police hewa

  • @allymsuya6655
    @allymsuya66555 жыл бұрын

    Hahahahah. CCM huwa wanappenda udhaifu uonekane upande mwingine wa vyama vya siasa

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78005 жыл бұрын

    Kwanini umekatzwa kutaja mapungufu ya SERIKALI KUU. ambapo ktk ripoti yako umetaja ni sh.Trilioni 2.4 HAZIJULIKANI ZIMEENDA WAPI.......... Vp Mzee wetu au UMETISHWA? watu wasiojulikana eti Bosi wako ameshawaandaa?

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Hajawahi kuogopa!!!

  • @soudyallysaid9487
    @soudyallysaid94875 жыл бұрын

    Hizo mashine za kuandikisha wapiga kura miaka mitatu iliyopita zilinunuliwa ulikuwa wapi miaka yote kutoa ubadilifu huo unatoa leo wakati hata waliokula wamesha zimaliza kuzila unatuongezea maumivu WEWE MKAGUZI NI DHAIFU

  • @youngassaidy7845

    @youngassaidy7845

    5 жыл бұрын

    Achaa umamaa ww cag anatoa tipotii ambayoo imeandikwaa sasa kama ndo ivoo mbonii act wazalendo walitaka kufutwaa na msajilii kisa hawakupeleka ripotii ya 2015 usikalilii nyamaa wee

  • @petersonskawa9968

    @petersonskawa9968

    5 жыл бұрын

    young assaidy pambana baba mungu akutie nguvu

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga97575 жыл бұрын

    Ila magufuly ni rais wa wanyonge kitaeleweka

  • @zabronmshana3277

    @zabronmshana3277

    5 жыл бұрын

    Yani umekuwa kilema na magufuli sisi tunaongea habari ya CAG yani wewe unaumwa kweli

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    5 жыл бұрын

    @@zabronmshana3277 hahahaa

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    5 жыл бұрын

    Wanyonge wepi?

Келесі