RIPOTI ya CAG Yaibua UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA!
RIPOTI ya CAG Yaibua UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA!
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Pro. Mussa Assad Ametoa Taarifa yake ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2018 na kubaini matumizi mabaya ya fedha katika katika mfuko wa bima ya afya pamoja na halmashauri ya Rombo na hanang...
#RIPOTIYACAG
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 42
Like ya CAG kma we ni mzalendo
Hiv huyu mzeee wetu...kwanini asigombeee urais 2020..gonga like kama unamkubali
Mzalendo no 1 Mzee baba na ndo Hesabu coz Math Never Lie congratulations Professor Mussa Assad.
Tatizo la nchi hii yule anaesimamia haki hua anapingwa na wale wanaotaka waendelee kuwaibia wananchi Kodi zao big up Musa Asad sema ukweli japo kua ni mchungu kwani muumba wako atakua na maswali atayokuuliza ktk matendo yako hapa duniani
Mungu akulinde usiku na mchana
Allaah akulinde mzee wangu wanakutafutia njama za kukutoa kwa kua unasema kweli na muwazi wanatuibia sana hawa
Daa mzee baba.umeweka kikokotoa vizuri.
Mwenyezi Mungu akulinde kwa kazi nzuri unayoifanya. Mheshimiwa rais akutafutie walinzi imara wa kukulinda . Maana hiyo ripoti itawakosesha usingizi Kwa wale wanaohusika na ufisadi huo!.
watu ni waelewa tulijua tu cag yupo makin mtu wa din huyo hafu msomi wa kwel
2nakuitaji mwaka mmoja uwe rais wa taifa hili.Ww sio kama wabunge wa cm ambao wana2letea sheria kandamiz ili wa2nyanyase wananchi.
Hakika CAG utaiona pepo mungu akujalie uwe na moyo huohuo
Mkiijua kweli na kweli itawaweka huru
CCM OYEEEE. IKISHA YULE SHOGA WA NDUGAI ASEME BUNGE SIO DHAIFU WAKATI NDILO LINALOIDHINISHA PESA HIZO.
Ndugai mwizi, jambaz anae mlinda baba Wa wanyonge.
CAG utabaki kuwa juu
Jaman nawauliza..... Ivi Professor huyu ni sawa na yule anaeitwa lipumba..... mana naona tofaut sana au kuna kazi nyengine za uprofessor zinakuwa nyepesi.
Na hicho ndiyo anachokiongea Rais katika ziara yake kusini. Watenda ni wabadhirifu sana.
@AP-uk3mq
5 жыл бұрын
Raisi yupi sijui
Numbers don't Lie
Hapa sasa ndio naelewa maana ya ile kauli yako ya "Bunge dhaifu."
Huu ndio uzalendo hakuna ubabaishaj wala kumung'unya maneno lazima ujiamin ....pumbav.
Safi, tstizo lako ulianza UN, kabla ya hom.
@josephchacha8175
5 жыл бұрын
Alihojiwa kabla ya muda wa kusoma riport hii haujafika ulitaka asemeje? Kama alichotakiwa kujibu ni hicho alicho kijibu?
@ismailkhalid6186
5 жыл бұрын
Vzr mzee
@helmanikomba576
5 жыл бұрын
Sijawai kuona CAG wa hivyo dunia nzima, Wakuanza UN kabla ya hom.
@adrianmanja7540
5 жыл бұрын
@@helmanikomba576 acha mambo ya ajabu wewe hom ndio nn inamaana ukiwa mwiz na watu wanakuona unaiba wataka wakuseme sehem unako hitaji wewe au? mwiz hachaguliwi sehem ya kuzomewa kwamba apa pakosawa na apa hapako sawa huo utakuwa unafiki
@rashidabdi1711
5 жыл бұрын
Well done
Ndio maana bungeni hawakutaki maana ukitaja majina ya mikopo nao wamo.
IKIWA NI HIVYO CAG ONATOBA WAZI WAZI HATAMIMI SIKUPENDI MAANA TUMBO LA KUHARA LIMENISHIKA NIMISHA ANZA KUKONDA SALAAAAAALEEEE LA!!! SI WIZI HUO HIYO NI BUGIA BUGIA.
@abdulwalidali4567
5 жыл бұрын
ABU IBRA happ Ndugae utaskia matibabu ya Kwenda India yanamuhusu soon stasafiri kwa maradhi 😀😀😀😀
@abuibra
5 жыл бұрын
Abdulwalid Ali :MWAKWETU MATIBABU YA INDIA HAYATA TOSHA,MAANA HATA BUNGENI HAKUNA FUJO TENA NA WALA HUTO SIKIA COMENTS ZOZOTE KUHUSU PESA ZILIVYO NYAKULIWA KILA MMOJA KWA SASA YUKO BUSY KWA KUTUNGA UONGO.
Mh mawliza ziara zako police watuambie sare ziko Wapi za police hewa
Hahahahah. CCM huwa wanappenda udhaifu uonekane upande mwingine wa vyama vya siasa
Kwanini umekatzwa kutaja mapungufu ya SERIKALI KUU. ambapo ktk ripoti yako umetaja ni sh.Trilioni 2.4 HAZIJULIKANI ZIMEENDA WAPI.......... Vp Mzee wetu au UMETISHWA? watu wasiojulikana eti Bosi wako ameshawaandaa?
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Hajawahi kuogopa!!!
Hizo mashine za kuandikisha wapiga kura miaka mitatu iliyopita zilinunuliwa ulikuwa wapi miaka yote kutoa ubadilifu huo unatoa leo wakati hata waliokula wamesha zimaliza kuzila unatuongezea maumivu WEWE MKAGUZI NI DHAIFU
@youngassaidy7845
5 жыл бұрын
Achaa umamaa ww cag anatoa tipotii ambayoo imeandikwaa sasa kama ndo ivoo mbonii act wazalendo walitaka kufutwaa na msajilii kisa hawakupeleka ripotii ya 2015 usikalilii nyamaa wee
@petersonskawa9968
5 жыл бұрын
young assaidy pambana baba mungu akutie nguvu
Ila magufuly ni rais wa wanyonge kitaeleweka
@zabronmshana3277
5 жыл бұрын
Yani umekuwa kilema na magufuli sisi tunaongea habari ya CAG yani wewe unaumwa kweli
@AP-uk3mq
5 жыл бұрын
@@zabronmshana3277 hahahaa
@AP-uk3mq
5 жыл бұрын
Wanyonge wepi?