RECAP: BABA LEVO, MWIJAKU, DOTTO MAGARI NANI ANAFANYA UCHAWA WA FAIDA/ PRO MAX
Kwenye Kila Jambo Lazima Kuwe Na Mmoja Atakaekuwa Bora Zaidi Ya Wengine Huu Hapa Ni chambuzi Kuhusu Nani Bora Kwenye Tasnia Ya Uchawa
Dondosha Comment Yako Kutoa Mtazamo Juu Ya Nani Mkali Kuliko Wengine
#babalevo #dottomagari #mwijaku #ajantmedia #recap #2023
Пікірлер: 19
Doto nomaaaa na apa IPO ❤❤❤
@AjantMedia
7 ай бұрын
😂😂😂
All and all Doto his the best ❤
Mwijaku Kenya die baba lao DC king of chawa
Baba levo ndio chawa namba 1
Hongera sana Mr.ajant kwa usubutu.
@AjantMedia
7 ай бұрын
SHUKRANI MR KAPANDA
❤❤Dotto
Dotto 🔥
Mimi dotto magari namba moja dotto noma nahapa ipo
Nikweli Baba levo anajalibu kuongea pwenti za uchawa mzuri.Ila wengine matusi mengi kuzalilishana.
Baba levo
Go mwijagu ndio wa kwanza acheniuogo
Doto sio chawa mimi nipo Australia 🇦🇺 hapa namkubali mzee wa mandinga wa uswaziii 😂❤
Banda levo
doto siyo chawa elewa ilo
Doto mandinga ndio habari ya mjini, mpk Ulaya tunamkubali
Dotto ana hasira na ujuaji mwingi,,wivu,,,Mwijaku -0 brain na Bb levooo ni akili nyingi
Dotto mtu mmbadi na nunsu