RECAP: BABA LEVO, MWIJAKU, DOTTO MAGARI NANI ANAFANYA UCHAWA WA FAIDA/ PRO MAX

Kwenye Kila Jambo Lazima Kuwe Na Mmoja Atakaekuwa Bora Zaidi Ya Wengine Huu Hapa Ni chambuzi Kuhusu Nani Bora Kwenye Tasnia Ya Uchawa
Dondosha Comment Yako Kutoa Mtazamo Juu Ya Nani Mkali Kuliko Wengine
#babalevo #dottomagari #mwijaku #ajantmedia #recap #2023

Пікірлер: 19

  • @kombakomba7922
    @kombakomba79227 ай бұрын

    Doto nomaaaa na apa IPO ❤❤❤

  • @AjantMedia

    @AjantMedia

    7 ай бұрын

    😂😂😂

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira77597 ай бұрын

    All and all Doto his the best ❤

  • @SabaTvKenya
    @SabaTvKenya7 ай бұрын

    Mwijaku Kenya die baba lao DC king of chawa

  • @user-ik9yg5ni2l
    @user-ik9yg5ni2l7 ай бұрын

    Baba levo ndio chawa namba 1

  • @emmanuelkapanda3894
    @emmanuelkapanda38947 ай бұрын

    Hongera sana Mr.ajant kwa usubutu.

  • @AjantMedia

    @AjantMedia

    7 ай бұрын

    SHUKRANI MR KAPANDA

  • @monadinadi5295
    @monadinadi52957 ай бұрын

    ❤❤Dotto

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi7 ай бұрын

    Dotto 🔥

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara75577 ай бұрын

    Mimi dotto magari namba moja dotto noma nahapa ipo

  • @davidndaha9607
    @davidndaha96077 ай бұрын

    Nikweli Baba levo anajalibu kuongea pwenti za uchawa mzuri.Ila wengine matusi mengi kuzalilishana.

  • @Deboracharles-pw6wg
    @Deboracharles-pw6wg7 ай бұрын

    Baba levo

  • @maryammeme3203
    @maryammeme32037 ай бұрын

    Go mwijagu ndio wa kwanza acheniuogo

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma14217 ай бұрын

    Doto sio chawa mimi nipo Australia 🇦🇺 hapa namkubali mzee wa mandinga wa uswaziii 😂❤

  • @SteveMwablambo
    @SteveMwablambo7 ай бұрын

    Banda levo

  • @JohnPamfil
    @JohnPamfil7 ай бұрын

    doto siyo chawa elewa ilo

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48007 ай бұрын

    Doto mandinga ndio habari ya mjini, mpk Ulaya tunamkubali

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai77777 ай бұрын

    Dotto ana hasira na ujuaji mwingi,,wivu,,,Mwijaku -0 brain na Bb levooo ni akili nyingi

  • @astroworld2021
    @astroworld20217 ай бұрын

    Dotto mtu mmbadi na nunsu

Келесі