RECAP: AY AMERUSHA DONGO KWA DIAMOND KISA DUBAI?? MAPUNGUFU YULE YQ MARIOO NA AY, MAKOSA YA AY HAYA
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 33
Bro diamond ana na fasi yake na mondi ana heshima yake''na respect yake na mungu ka mjaliya akili coz ana moyo wa kipekee nani mutu anaye jua kuongeya naku answer for all questions anazo ulizwa na pia ana mapungufu yake kama mwanadamu naseeb is something else
To be honest marioo ni msanii wastani tu Hana ukubwa huo unaompa
@user-hm3qm2nf1v
Ай бұрын
Kwenye top 5 Tanzania marioo humtoi kwa sasa wewe unataka ukubwa gani😮😮
@SaidiMkome-qq7hy
Ай бұрын
Ukiwa unaakili timamu uwezi kusema omary msanii wa kawaida chuki tyuu mtto wa kiume
@geoufo2858
Ай бұрын
Mbosso yupo pale Yan uwezo wa mbosso nikama unalingana na WA marioo sema mbosso ana kipaji Zaid yaa marioo@@user-hm3qm2nf1v
@johnmwasilu7087
Ай бұрын
@@user-hm3qm2nf1vkwa namba 5 Marioo hayumo. 1. Diamond 2. Harmonize 3. Ali Kiba 4. Zuchu 5. Rayvanny 6. Nandy 7. Marioo
@johnmwasilu7087
Ай бұрын
AY siyo msanii mkubwa sana kama mtangazaji unavyompamba wala siyo international. AY anajua sana kujisifu lakini hawezi kufikia mafanikio ya Ali Kiba wala Diamond. Kwahiyo usimjaze Marioo kuwa atafika mbali kwa collabo na AY. Sanasana Marioo ndiyo anatumika kuwafufua wakongwe
Nyimbo zakudum Mond anazo nyingi .lala salama .ntarejeya .kamwambiye .mbagala .etc......
Marioo siyo musani mukubwa ila ana djikaza tu kufikiya yani bado
Vraiment tu est bon et tu connais comment conseillé 🇨🇩
Naweza sema Ay alikuwa selfish kwa nnchi yake Tz alijitenga na kuhama kabisa kwenda S.A ndomaana ata some time AY apatag attention yaivoo na wa Tz
@johnmwasilu7087
Ай бұрын
Well said 👍🏻
@christhoya8704
Ай бұрын
Jitahidi kimaisha bro,na wewe ufanikiwe
Almando umekuwa chawa wa AY
Big up bro❤
Marioo ni msani mzuri ,anajua
Asante sana ndg mchambuzi wa mziki
Wa kwanza nipeni like jamani
Broo nakukubali
Huwezi kuongea na mdomo peke yake mpk uchezeshe mikono
Soko la inje brother ni ngumu Sana kaka kama unataka Mario awe devil Shep mwambie aje inje kaka acha atuliye ivo ivo
Diamond kaitwa twice ..hakuna msanii amewai pata with twice kwa club kubwa km hiyo
Nikweli almando Mario ameuwa Sanaa
Alikiba 02arena jamani acheni uwongo
Ngoma kali imetoka ya Dayoo ft Rayvanny
For real Ay is a big artist whom help even diamond to get number 1 remix with Davido
@johnmwasilu7087
Ай бұрын
Show us the evidence because I’ve never heard Diamond attesting to that
@isayamsisika6255
Ай бұрын
@@johnmwasilu7087he just don want to appreciate.. But AY give diamond some connection.. Remember AY is the first musician in EAST Africa doing International Collaboration with Big Musician in the world
@AshaHadhidha-hj3oo
Ай бұрын
Tell him nah bcoz if i step on him he can't even breath@@johnmwasilu7087
Sasa ataweka clip unakuta hakukuwa na mashabiki show ilikuwa empty
@kenrifambi
Ай бұрын
😂😂😂
tatizo lenu ni uchawa ila watu wamefanya mengi na wamefungua njia za hao mnaowasujudia