RAIS SAMIA ASHINDWA JIZUIA, AKOSHWA NA TAARAB AMPA MWIMBAJI PESA

Пікірлер: 192

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz7033 жыл бұрын

    Anaitwa Sabaha Salum Mchachu 👌 Usipofurahia nyimbo zake, ukapimwe mkojo.

  • @hannanbaby9087

    @hannanbaby9087

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    2 жыл бұрын

    Maandiko yaliyokataza taraabu hafai ndio yanatakiwa yakapimwe mkojo kwa mujibu akili yako

  • @jadam4031

    @jadam4031

    2 жыл бұрын

    Jee mavi

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    2 жыл бұрын

    @@jadam4031 nayo pia

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    Жыл бұрын

    Ah!😂RoadTech@Piga kelele

  • @shillahmahiri855
    @shillahmahiri8553 жыл бұрын

    Nmesikia Jina magufuli nmetokwa na machozi from Kenya poleni sana watanzania jurani zetu tuko pamoja na mama samia 🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    3 жыл бұрын

    Umetokwa machozi ya nini sas n ww

  • @kelvin7ithuiumwasamaki987

    @kelvin7ithuiumwasamaki987

    3 жыл бұрын

    Tunashukuru ndug yetu kwa kushare maumivu na sisi huu ndo undugu wa kweli

  • @aishachambo9788

    @aishachambo9788

    3 жыл бұрын

    Ahsante ndugu

  • @brianomondiodera8187

    @brianomondiodera8187

    3 жыл бұрын

    Kutoka kenya pia nimeskia iyo imeniumiza Magu tulimpenda

  • @stevenlugojeremia2323

    @stevenlugojeremia2323

    3 жыл бұрын

    @@masalakulwa7601 Sasa ni swali fani unalo muuliza shillah mahiri

  • @fatmaabdalla8543
    @fatmaabdalla85433 жыл бұрын

    Anakumbukia enzi zake na yy alikiwa wamooo

  • @huseinsenior4429
    @huseinsenior44293 жыл бұрын

    Congratulations 👏🎈👏 swaba salim good song

  • @MegaHazry
    @MegaHazry3 жыл бұрын

    Samia modern taarab!!

  • @luganoamosi6416
    @luganoamosi64163 жыл бұрын

    Hapo akina mond Bay Bay,ni kazi iendelee na taraabu tu

  • @user-se5jr6rk6t
    @user-se5jr6rk6t7 ай бұрын

    Mungu akupe Maisha marefu mama suluu

  • @azdaally5324
    @azdaally53243 жыл бұрын

    Nmependa uyo mama alivonyenyekea

  • @forkanoman740
    @forkanoman7403 жыл бұрын

    Hapo sawa nyimbo zenye ujumbe mnzuri sio kitimbua sijui sukari🤣😂😂😂

  • @siyabongakzn9864

    @siyabongakzn9864

    3 жыл бұрын

    Forkan Oman unasema kweli kabisa sio hao wengine wanaimba nyimbo za kihuni mpaka kuimana utadhani wamekulia Buza.

  • @forkanoman740

    @forkanoman740

    3 жыл бұрын

    @@siyabongakzn9864 😂😂😂😂😂

  • @user-fv2sn7js7g

    @user-fv2sn7js7g

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joezeno8

    @joezeno8

    3 жыл бұрын

    @@siyabongakzn9864 😂😂😂😂😂😂😂

  • @jennytugara9470

    @jennytugara9470

    3 жыл бұрын

    Yaani kaka nakuunga hizi ndio nyimbo zenye maudhui zile za Zuchu sukari ni uhuni wala sio nyimbo wajameni

  • @thatcontentguy5322
    @thatcontentguy53223 жыл бұрын

    Blessed vocal mama uko juu 🇰🇪🇰🇪 swabah salum

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul17013 жыл бұрын

    Baraka za mama zatufikia East.Africa yote

  • @hemedijuma4099
    @hemedijuma40993 жыл бұрын

    Mama Samia hoyeee hoyeee Hongeraaa hongeraa Mama Samia

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    Saaaaaaf saaana taaarabu yenye ladha na maneno mazuri kusif na kumtukuza kiongozi wetu. Hongera saaana dada.

  • @josephwahome4836
    @josephwahome48363 жыл бұрын

    Nampenda Samia na nampenda Sabah

  • @ranahadi5178
    @ranahadi51783 жыл бұрын

    Masha allah

  • @abdulijongo1355
    @abdulijongo13553 жыл бұрын

    Kila Zama Na Kitabu Chake.🖐

  • @jennytugara9470

    @jennytugara9470

    3 жыл бұрын

    Ata Magu alisakata rumba ya Hamonize sana pale uwanja wa Taifa umesahau

  • @abdulijongo1355

    @abdulijongo1355

    3 жыл бұрын

    @@jennytugara9470 Nakumbuka Sana Sio Rhumba Tu Ya Harmo Hata Singel Ya Shoro Alicheza, Kwahyo Ndio Tunarud Palepale "Kila Zama Na Kitabu Chake"

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow12253 жыл бұрын

    Safi sana Mama Samia. Tunakupenda na Mungu awe pamoja nawe In the name of Jesus

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Жыл бұрын

    Ww Hodari Sana Kusikiliza Matatizo Ya Familia Yk Ina Maana Huangalii Mpira Wala Husikilizi Mziki Ww Kl Mara Unasikiliza Kero TU Za Nyumbani Kwako

  • @alimakame9215
    @alimakame92152 жыл бұрын

    Yangu machotu hapa wall jaa liwa nawafanye sisi tutazametu

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy30163 жыл бұрын

    Safiii mamaa tupo nawe pamoja sana shaka ondoa huku pembeni tunakuunga mkono vibaya sanaa.na inshaallah utavuka tu mungu mkubwa inshaallah❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿👍

  • @edlumala9428
    @edlumala94283 жыл бұрын

    Nchi nzima sasahivi itapenda taarab sasa!

  • @florianhenry7198

    @florianhenry7198

    3 жыл бұрын

    Mambo ya vijembe vijembe 😂

  • @goodmorningafrica6409

    @goodmorningafrica6409

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂hahahaha

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @mbwanakhamis9634

    @mbwanakhamis9634

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @caslidajosephat8912

    @caslidajosephat8912

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha83872 жыл бұрын

    Safiiiiii sana

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking66083 жыл бұрын

    Mama kwenye taarabu ndo ungepeleka mashuka,hospital ungepeleka fedha,kweli kazi tunayo hadi 2025 tutanyoka

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    3 жыл бұрын

    Wacheni unafiki nyie Wakati wa mwendazake kila hafla yake wasanii wote huwepo na hupiga miziki ila nyie munachuki zenu tu

  • @macaver1859

    @macaver1859

    3 жыл бұрын

    Kabisa umeonaeee bt vice vessel is true da mama kazingua sa

  • @salmashahbal9306

    @salmashahbal9306

    3 жыл бұрын

    Heee mnaumwa na nn walimwengu? Achen afanye kazi roho mbaya tu...kwan walopita walikua hawatuzi waimmbaji

  • @rukiagambere8050
    @rukiagambere80503 жыл бұрын

    👏👏👏👏

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    👌🏾

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_3 жыл бұрын

    Mi nishaanza kula hadi urojo kariakoo, maisha yenyewe magumu alafu tuchoshane na mineno migumu

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mbwanakhamis9634

    @mbwanakhamis9634

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @asaaomar4315

    @asaaomar4315

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @hamaddady4862
    @hamaddady48623 жыл бұрын

    Nikiwa +259 Zanzibar nimeipenda hii

  • @raffeiystar2870

    @raffeiystar2870

    2 жыл бұрын

    Zanzibar ni 256 kumbe

  • @hassanmohammed9153
    @hassanmohammed91533 жыл бұрын

    Hizo Taarabu mametu kafika

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Жыл бұрын

    Wacha Kumkosoa Raisi Kuna Muda Wa Kazi Na Muda Wa Mapumziko Katoka Mapumziko Yk Unaamua Ufanye Nini Nayy Ameamua Kwenda Kwenye Taarab Kosa Liko Wapi

  • @josephatjordan5560
    @josephatjordan55603 жыл бұрын

    Watz wenzangu tuendelee kula msoto Tuko pamoja tu

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    3 жыл бұрын

    Imba na wew taarabu utapewa manoti na mama wala sio zito kwake 😂😂

  • @josephatjordan5560

    @josephatjordan5560

    3 жыл бұрын

    @@ibnayub2374 Sipewi nafasi ndugu😂😂😂

  • @makulaikuku6909

    @makulaikuku6909

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mawazoaliselemani

    @mawazoaliselemani

    3 жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    3 жыл бұрын

    Fanya kazi nani akupe pesa bure au uolewe

  • @hamzahassan2079
    @hamzahassan20793 жыл бұрын

    Dah. ASante sana Umeichelewwsha jana Sabah ndiyo Aliye funika kwawimbo saaafi bila makelele

  • @bjzee1981
    @bjzee19813 жыл бұрын

    Huenda ni mtoto wa mamake mdogo huyo

  • @kagodenis783
    @kagodenis7833 жыл бұрын

    Oookay! Mama Samia making it rain. I see

  • @metnews42
    @metnews423 жыл бұрын

    Ni mwendo wa taarabu mpaka kieleweke

  • @makulaikuku6909

    @makulaikuku6909

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @wemakalamu3538

    @wemakalamu3538

    3 жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @mwanashazingas6684

    @mwanashazingas6684

    3 жыл бұрын

    Na sio za alhajj

  • @caslidajosephat8912

    @caslidajosephat8912

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wamoroboy8963
    @wamoroboy89633 жыл бұрын

    At nin taarabu😲🙉

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa76973 жыл бұрын

    Taarab iendelee

  • @fauzimohamed5757

    @fauzimohamed5757

    3 жыл бұрын

    Kate mbele huko

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂🙌🏼 Ndio ndio Lugano

  • @mwanad4595
    @mwanad45952 жыл бұрын

    huyo mdada anawashwa washwa nikimpata disco atakubal show yangu atarembua Hadi mwaka unaisha😁😁😁

  • @witnessmwigune1690
    @witnessmwigune16903 жыл бұрын

    Penda sana Mama samia

  • @saniamsae1148
    @saniamsae11483 жыл бұрын

    Acheni unaaa

  • @rafiamussa8918
    @rafiamussa89182 жыл бұрын

    Naitawauma sana imetoka iyoo

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks84943 жыл бұрын

    Thats amazing!!hivi niulize hio noti ya pink ni ya pesa ngapi?

  • @mariyamgharib940

    @mariyamgharib940

    3 жыл бұрын

    Red iyo elf 10 iyo

  • @shiksshiks8494

    @shiksshiks8494

    3 жыл бұрын

    @@mariyamgharib940 thanks sana

  • @matanojuma8333

    @matanojuma8333

    3 жыл бұрын

    Ak ww

  • @shiksshiks8494

    @shiksshiks8494

    3 жыл бұрын

    @@matanojuma8333 am a kenyan so sijui n huona sana sana ikitumiwa na wasanii na celebs wakiwa kwa event😆😆😆

  • @danielswai8027

    @danielswai8027

    3 жыл бұрын

    @@shiksshiks8494 mambo?

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera71753 жыл бұрын

    Serikali ya waimba taarabu hii yangu macho.bora magufulu mara billioni.

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    3 жыл бұрын

    Charles:umesahau marehemu Magufuli alipokuwa akicheza wakati Diamond akiimba.Kweli haikuwa taarab lakini ni bandit ya mbona kama taarab. Tofauti ni kuwa taarab ni ya wanapwani na ile ya Diamond ya Wabara.Upo?

  • @gavanaimrani6777

    @gavanaimrani6777

    3 жыл бұрын

    WW MSENGE TULIA TULIAA MTAUMIA SANA LKN HUYO NDO ALOCHAGULIWA NA ALLAH ACHENI ROHO MBAYA HAIJENGI NCHI MBONA NYERERE ALIPOOONA ISHAMSHINDA ALIMPA MWINYI🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saadaissa2524

    @saadaissa2524

    3 жыл бұрын

    Na Magu alikua mcheza nini

  • @saadaissa2524

    @saadaissa2524

    3 жыл бұрын

    Na bado mtaumwa na mama samia habari ya mjini

  • @saadaissa2524

    @saadaissa2524

    3 жыл бұрын

    Piga kazi mama waache wanopika majungu

  • @zenj1986
    @zenj19863 жыл бұрын

    Tofauti ya Magufuli ni kwamba alikuwa anachangisha na kutoa kwa wahitaji. Huyu mama anatoa kwa lipi??*

  • @omarylukindo5306

    @omarylukindo5306

    3 жыл бұрын

    Acha kuongopea watu,yule mzee alotoa jogoo nae akapewa pesa tuambie zilichangwa kwa Nan?

  • @fauzimohamed5757

    @fauzimohamed5757

    3 жыл бұрын

    @@omarylukindo5306 mwambie shoga huyo hajitambui kashasahau jpm alikuwa anapiga ngoma

  • @hijabomaa1390

    @hijabomaa1390

    3 жыл бұрын

    @@omarylukindo5306 tatizo lao wamejawa na fitna na uzandiki,huyo mwendazake alishakwenda so' sasahivi ni awamu ya mama acheni apige kz,,,mitano mingine mama

  • @emmanuelbonaventura4258

    @emmanuelbonaventura4258

    3 жыл бұрын

    Acha ushamba wewe

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    3 жыл бұрын

    @@omarylukindo5306 huo ni msumari pahala pake

  • @asyakhamis1602
    @asyakhamis16023 жыл бұрын

    Choyo kinawauma kwa kweli na nyie kaimbeni

  • @asyakhamis1602
    @asyakhamis16023 жыл бұрын

    Watqnganyik mnaumia wap mbon wakitwa kin diamond hamsem kitu choyo tuuuu

  • @jennytugara9470

    @jennytugara9470

    3 жыл бұрын

    Zamu za wengine wakae pengine

  • @manchalijob9600
    @manchalijob96003 жыл бұрын

    Wananiudhi wanavo vaa mabarakoa

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    3 жыл бұрын

    Usiwaangalie sasa 😆😆😆😆

  • @makulaikuku6909

    @makulaikuku6909

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @siatemba3763

    @siatemba3763

    3 жыл бұрын

    @@salamasaidi6620 🤣🤣🤣

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Жыл бұрын

    Wacha Ufala

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja86092 жыл бұрын

    Huko taarab huku mauaji 😭😱

  • @kiri5807
    @kiri58073 жыл бұрын

    huyu anaonekana poa nyimbo zimeendana lakini zuchu ni ile super women tu zilobakia uharo mtupu manyimbo ya mapenzi nampa sukari siaseme tu nampa utamu kuficha nini ?

  • @siyabongakzn9864

    @siyabongakzn9864

    3 жыл бұрын

    Arimari usisahau Zuchu katoka Wasafi Headquarters ya nyimbo ambazo hazina maadili na zenye matusi. Wimbo wa Sukari ni matusi matupu. Eti onjesha onjesha, ndo nini. Get to the point Zuchu.

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    @@siyabongakzn9864 wallah . ndio vioo vya jamii hivyo

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78003 жыл бұрын

    MtuMbuE LuKuVi NA SiLLo. HawAnA mAanA yEYoTe .

  • @jenussanzala7763

    @jenussanzala7763

    3 жыл бұрын

    Unaijua viZuri kazi ya lukuvi

  • @mosesallyson7846
    @mosesallyson78463 жыл бұрын

    Hela zetu hizi jamani

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Za kwako ziko mfukoni kwako, hizo si zako,,,,,,!!!

  • @fauzimohamed5757

    @fauzimohamed5757

    3 жыл бұрын

    Babako alivokuwa kanagawa ovyo pesa ulishawahi kuandika hivyo pesa yetu hizi?

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    3 жыл бұрын

    Moses,umeona wapi jogoo ananunuliwa kwa laki moja?Jee ile ilikuwa hela ya nani?

  • @asaaomar4315

    @asaaomar4315

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 😂😂

  • @mosesallyson7846

    @mosesallyson7846

    3 жыл бұрын

    Mbwa nyie kwani kusema pesa zetu nimekosea au nimetukana, au mnajua me niko upande wa magufuli mamae....," this is free country i comment what i feel"

  • @hamadihamadiali2033
    @hamadihamadiali20333 жыл бұрын

    Kwan bi sabah Salum si ushaacha kuimba ushrd makka au siyo weyeee?

  • @zakiahaji1683

    @zakiahaji1683

    3 жыл бұрын

    karud mzee yussuf bdo hao hawajwah tyr kurud kw Allah

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper4033 жыл бұрын

    Raisi Atunza🤣🤣🤣🤣

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    2 жыл бұрын

    Acha roho mbaya na umbea ww .mwanaume....kwan raisi hana moyo

  • @pascalgasper403

    @pascalgasper403

    2 жыл бұрын

    @@salamasaidi6620 Hapo Kwanza Nicheke 😂😂,, Rest In Peace Maghu

  • @jocenocha8846
    @jocenocha88463 жыл бұрын

    Leo Rais gani huyu anaacha kwenda kusikiliza kero za wananchi anasikiliza taarabu kweli wazalendo tunatukanishwa

  • @eddy4998

    @eddy4998

    3 жыл бұрын

    Hapo hakuwa kwenye taarab alikuwa kwenye kikao na akina mama pumbav ww kichwa boga

  • @mayaniphilipo9256

    @mayaniphilipo9256

    3 жыл бұрын

    @@eddy4998 🤣🤣🤣🤣

  • @huseinshedrack6180

    @huseinshedrack6180

    3 жыл бұрын

    Kwan waimba taarabu sio wananchi....?

  • @huseinshedrack6180

    @huseinshedrack6180

    3 жыл бұрын

    @@eddy4998 Hahahahaha umeanza vzr ulivyo maliza sasa Hahahahaha

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    3 жыл бұрын

    Joce,wacha ukereketwa,Marehemu magufuliì alikuwa hachezi kwenye mziki wa Diamond?

  • @anahna6788
    @anahna67883 жыл бұрын

    INCH YANGU TZN RASI WANGU JPM WENGINE WAPITE KUSHOTO

  • @florianhenry7198

    @florianhenry7198

    3 жыл бұрын

    Kesho tunasain mkataba mwingine !!

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Nenda nae kaburini!

  • @hawamabira1499

    @hawamabira1499

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 ucje ukatangulia ww tu😂😂😂😂 Mana maisha saiv hayana formular wa mwisho anakua wa kwanza.

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@hawamabira1499 ishu sio kutangulia, ishu ni yeye huyo ambae hataki kukubali kuwa magufuli keshakwenda,,,,,

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 🤣🤣🤣🤣

Келесі