Mimi ni mkristo sina tatizo na mtu yeyote kuingia kwenye siasa isipokuwa siungi mkono kutumia dini kama kichaka cha kutafuta ubunge. Maadili ya ukristo hayaruhusu mwanadamu mwenzako kumwita jini.
@allyalsubhy6899Ай бұрын
Kumbe unaongea na mungu sasa mbona unatumia nguvunyingi kuongea na mungu ni rafikiyako😅😅😅😅😅
@maspro6294Ай бұрын
Mchungaji unaongea mpaka mdomo UNANUKA ukimaliza kubwaka kama mbwa koko ukapige mswaki
Hivi unaongoza kabisa gani, maana naona sera mmeishiwa mnahangaika sana. Huyo Mungu gani unaeongea nae. Tafadhali usichange Maasikofu na mashehe kwa ujinga wako. Yaani mnatembea kusukilizia matokeo yaani Chama cha matukio nyie.
@victorkisenha5933Ай бұрын
Asante asikofu wewe unakielewa, nchii hii tumeteseka miaka mingi sana, tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu, na maasikofu wengine wakuige wewe,
@ReginaJoseph-cm3cxАй бұрын
Yesu alisema mtawatambua Kwa matendo yako. Wewe ungekuwa wa kweli ungekosoa mabaya lakini wewe unatetea tumbo. Alama ya Jembe na nyundo unaikosoa kipumbavu. Watu wa maana kama Makonda ulimsema vibaya wakati Kwa matendo anayoonyesha yanawapa watu matumaini kuliko porojo zako. Unadhalilisha maaskofu wa maana
@BahatiMwampambaАй бұрын
Amen
@user-yk5gm5qj4uАй бұрын
Mmmmh mungu yupi huyooo
@kadaskarim5081Ай бұрын
Hata samia smkubali ila wwe una akili kabsa
@augustinesombi6285Ай бұрын
Unaongea ukweli mchungaji
@petermogha7025Ай бұрын
Hivi unavyodhurula. KANISA vipi huna wahumini
@matukutajuma156Ай бұрын
HAKUNAGA MAISHA MEPESI DUNIANI!! UKIWA NA PESA UNAWEZA USINYWE CHAI YENYE SUKARI!
@allyalsubhy6899Ай бұрын
Hata magufuti aliteuwa marehemu mbona mlikaa kinyma tu,
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Wacha mambo yako😂😂😂😂
@stephenletta8985Ай бұрын
Ana hoja zinazohitaji majibu.
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Je ni jambo jema kuuza rasilimali za tanganyika
@AsifiweChaula-sq8bwАй бұрын
Mchungaji wasaidie wauminu wako kuuona ufalume wa mungu ,usimchanganye mungu na siasa ,mungu hajawahikuongea na mchungaji mwenye michanganyo,ukitaka chagua moja kuwa mwanasiasa au mchungaji
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
mchungaji awasaidie nini waumini wake wanataka kula na maisha bora na hawayapati??hakuna tofauti kati ya dini na siasa mchungaji kama mtanzania mwingine anaweza kutoa maoni yake kuhusu siasa najua angekuwa kwy mkutano wa ccm usingepiga kelele
@user-xz9cm8yk6hАй бұрын
Hakuna mchungaj hapa ww n mwana siasa na ni kibaraka
Wewe huna uwezo wa kuongea na mungu kwa ucha Mingus gani uliokua nao wewe njaaa inakusumbua na utapata aibu 2025 ccm itashinda kwa kushindo sijui utasemaje ccm ikishinda?
Na nyie mnaowasikiliza hao hivi ni kweli rais Haja fanya jambo Jema hata moja kafanya mabaya matupu ?akili za kuambiwa changanyeni zenu wenzenu hao wanatafuta Viwazi ili wapate pesa lakini kusema kwamba watashinda uchaguzi 2025 hiyo ni ndoto ya Mchana hicho chama Tu kinawashinda ogonvi kila siku je ukiwapa nchi mhuuu mana haijulikani hapo rais stakes Nani makamo atakuwa nani waziri mkuu atakuwa Nani
@onelovetz7935
Ай бұрын
JPM alisema
@clemencemkondya8561Ай бұрын
Maneno nimaneno tu .Ungeachwa ndani mpaka sasa akili ikujiye .Mungu wako shetani .Askofu gani mjinga wewe
@SeverinMagwaya
Ай бұрын
jibu hoja, je, Kuna umakini kiwango gani serikalini hadi anateuliwa marehemu na anatangazwa? Ukweli ukweli ukweli x 1000, je hatuitaki kweli?
@SeverinMagwaya
Ай бұрын
Mbona Gwajima anaongeaga pumba ni askofu gani yule?
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
Clement huyo mjinga haswaaa Mama Samia atashinda kwa kishindo
@andrewkissava9184
Ай бұрын
Clemeni na magreti ni wapumbavu na wajinga
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
@@andrewkissava9184 Mpumbavu mwenyewe Ccm hamuiwezi kamwe Chadema ikichukua dola njoo nitakupa zawadi ya ajabu hatushindani na wasaka tonge tu
@huseninchasiАй бұрын
Nasikitika sana sizani kama ni mtumishi huyu jina lake ni mchungaji mbuzi
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
ni mchungaji mzuri aliyekataa unafiki na kuzungumza ukweli
@huseninchasi
Ай бұрын
Hapana hatufiki mbinguni kwa hali hiii
@MohammedAwadh-gq9siАй бұрын
Nasema Tanzania tuna mizigo ! Huyu askofu ni mzigo. Kwa chadema ! Na msipoangalia atakigawa chama
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
mzigo anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia
@user-cu2zc1cj6rАй бұрын
Pumbavu
@SeverinMagwaya
Ай бұрын
jibu hoja, ikiwa anayo yaongea si sahihi! matusi ya Nini?
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Huwezi kitu Ccm itashinda kwa kishindo nyie kuleni ruzuku tu
@hakiyangu
Ай бұрын
Hakika tutachelewa sana kama hata msema kweli anaonekana mbaya
@dominickrukokelwa1284Ай бұрын
Jembe ni silaha??!! Nyundo ni silaha??!!
@cosmaswilliam3805
24 күн бұрын
Karne hii alama za nyundo na jembe zimepitwa na wakati.
@gracekaboigora189Ай бұрын
HiyonihIbu
@RamaKimbeu-tw4poАй бұрын
YAANI WW NDIO PUMBA KABISA TANGAZA SERA USIMSEMA MTU WATANZANIA HAWAPO HIVYO BADILIKA
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
ni pumba anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia
@RamaKimbeu-tw4po
Ай бұрын
MBONA HAHOJI KATIBA YA WENYEKUWEKA MWENYEKITI UKOMO MPAKA UMAUMAUTI WAKE.TOA BOLT KWENYE JICHO LAKO NDIPO UONE KIBANZI KWENYEJICHO LA MWEZAKO
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Nyundo na jembe ni vitendea kazi
@barakalukeha6184Ай бұрын
Wewe sio pasta unamamboyako acha kumkashifu mungu ktk mamboyako
@mamboleotv1Ай бұрын
Duh siasa na Dini kipi kianze Dini au soas
@YusufSwaibuАй бұрын
Sijawahi kuona mchangaji mjinga na mpumbavu mkubwa wewe mnafiki ndio sifa ya uasikofu labda ukasimamie msshoga km chama chenu kilivyo
@stephenndagalla8183
Ай бұрын
Kama kweli unakemea Ushoga, anza kukemea walimu wa madrasa ambao kila uchao.unasikia Mwl fulani wa madrasa fulani mahakamani kwa kulawiti wanafunzi kadhaa
@alphoncewilliam4325Ай бұрын
Chadema wamekosa sela ni ujinga mtupu uchochezi dini na siasa wapinawapi
@stephenndagalla8183
Ай бұрын
Wee ni zaidi ya PUNGUANI. Mbona haujahoji.Askofu Gwsjima ambaye ni Mbunge, yeye hachanganyi dini na siasa??
Пікірлер: 56
Mimi ni mkristo sina tatizo na mtu yeyote kuingia kwenye siasa isipokuwa siungi mkono kutumia dini kama kichaka cha kutafuta ubunge. Maadili ya ukristo hayaruhusu mwanadamu mwenzako kumwita jini.
Kumbe unaongea na mungu sasa mbona unatumia nguvunyingi kuongea na mungu ni rafikiyako😅😅😅😅😅
Mchungaji unaongea mpaka mdomo UNANUKA ukimaliza kubwaka kama mbwa koko ukapige mswaki
@user-jl5uh1xq9f
Ай бұрын
Wewe mjinga Wacha kutukana watumishi shika adabu yako
Hivi unaongoza kabisa gani, maana naona sera mmeishiwa mnahangaika sana. Huyo Mungu gani unaeongea nae. Tafadhali usichange Maasikofu na mashehe kwa ujinga wako. Yaani mnatembea kusukilizia matokeo yaani Chama cha matukio nyie.
Asante asikofu wewe unakielewa, nchii hii tumeteseka miaka mingi sana, tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu, na maasikofu wengine wakuige wewe,
Yesu alisema mtawatambua Kwa matendo yako. Wewe ungekuwa wa kweli ungekosoa mabaya lakini wewe unatetea tumbo. Alama ya Jembe na nyundo unaikosoa kipumbavu. Watu wa maana kama Makonda ulimsema vibaya wakati Kwa matendo anayoonyesha yanawapa watu matumaini kuliko porojo zako. Unadhalilisha maaskofu wa maana
Amen
Mmmmh mungu yupi huyooo
Hata samia smkubali ila wwe una akili kabsa
Unaongea ukweli mchungaji
Hivi unavyodhurula. KANISA vipi huna wahumini
HAKUNAGA MAISHA MEPESI DUNIANI!! UKIWA NA PESA UNAWEZA USINYWE CHAI YENYE SUKARI!
Hata magufuti aliteuwa marehemu mbona mlikaa kinyma tu,
Wacha mambo yako😂😂😂😂
Ana hoja zinazohitaji majibu.
Je ni jambo jema kuuza rasilimali za tanganyika
Mchungaji wasaidie wauminu wako kuuona ufalume wa mungu ,usimchanganye mungu na siasa ,mungu hajawahikuongea na mchungaji mwenye michanganyo,ukitaka chagua moja kuwa mwanasiasa au mchungaji
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
mchungaji awasaidie nini waumini wake wanataka kula na maisha bora na hawayapati??hakuna tofauti kati ya dini na siasa mchungaji kama mtanzania mwingine anaweza kutoa maoni yake kuhusu siasa najua angekuwa kwy mkutano wa ccm usingepiga kelele
Hakuna mchungaj hapa ww n mwana siasa na ni kibaraka
Nyundo inatupiga kichwani jembe linatuchimbia kaburi
Wewe huna uwezo wa kuongea na mungu kwa ucha Mingus gani uliokua nao wewe njaaa inakusumbua na utapata aibu 2025 ccm itashinda kwa kushindo sijui utasemaje ccm ikishinda?
Imeenda
Kifo kimeumbwa
Wewe unajiita askofu hicho cheo kakupa nani kibaka wewe
Na nyie mnaowasikiliza hao hivi ni kweli rais Haja fanya jambo Jema hata moja kafanya mabaya matupu ?akili za kuambiwa changanyeni zenu wenzenu hao wanatafuta Viwazi ili wapate pesa lakini kusema kwamba watashinda uchaguzi 2025 hiyo ni ndoto ya Mchana hicho chama Tu kinawashinda ogonvi kila siku je ukiwapa nchi mhuuu mana haijulikani hapo rais stakes Nani makamo atakuwa nani waziri mkuu atakuwa Nani
@onelovetz7935
Ай бұрын
JPM alisema
Maneno nimaneno tu .Ungeachwa ndani mpaka sasa akili ikujiye .Mungu wako shetani .Askofu gani mjinga wewe
@SeverinMagwaya
Ай бұрын
jibu hoja, je, Kuna umakini kiwango gani serikalini hadi anateuliwa marehemu na anatangazwa? Ukweli ukweli ukweli x 1000, je hatuitaki kweli?
@SeverinMagwaya
Ай бұрын
Mbona Gwajima anaongeaga pumba ni askofu gani yule?
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
Clement huyo mjinga haswaaa Mama Samia atashinda kwa kishindo
@andrewkissava9184
Ай бұрын
Clemeni na magreti ni wapumbavu na wajinga
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
@@andrewkissava9184 Mpumbavu mwenyewe Ccm hamuiwezi kamwe Chadema ikichukua dola njoo nitakupa zawadi ya ajabu hatushindani na wasaka tonge tu
Nasikitika sana sizani kama ni mtumishi huyu jina lake ni mchungaji mbuzi
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
ni mchungaji mzuri aliyekataa unafiki na kuzungumza ukweli
@huseninchasi
Ай бұрын
Hapana hatufiki mbinguni kwa hali hiii
Nasema Tanzania tuna mizigo ! Huyu askofu ni mzigo. Kwa chadema ! Na msipoangalia atakigawa chama
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
mzigo anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia
Pumbavu
@SeverinMagwaya
Ай бұрын
jibu hoja, ikiwa anayo yaongea si sahihi! matusi ya Nini?
Huwezi kitu Ccm itashinda kwa kishindo nyie kuleni ruzuku tu
@hakiyangu
Ай бұрын
Hakika tutachelewa sana kama hata msema kweli anaonekana mbaya
Jembe ni silaha??!! Nyundo ni silaha??!!
@cosmaswilliam3805
24 күн бұрын
Karne hii alama za nyundo na jembe zimepitwa na wakati.
HiyonihIbu
YAANI WW NDIO PUMBA KABISA TANGAZA SERA USIMSEMA MTU WATANZANIA HAWAPO HIVYO BADILIKA
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
ni pumba anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia
@RamaKimbeu-tw4po
Ай бұрын
MBONA HAHOJI KATIBA YA WENYEKUWEKA MWENYEKITI UKOMO MPAKA UMAUMAUTI WAKE.TOA BOLT KWENYE JICHO LAKO NDIPO UONE KIBANZI KWENYEJICHO LA MWEZAKO
Nyundo na jembe ni vitendea kazi
Wewe sio pasta unamamboyako acha kumkashifu mungu ktk mamboyako
Duh siasa na Dini kipi kianze Dini au soas
Sijawahi kuona mchangaji mjinga na mpumbavu mkubwa wewe mnafiki ndio sifa ya uasikofu labda ukasimamie msshoga km chama chenu kilivyo
@stephenndagalla8183
Ай бұрын
Kama kweli unakemea Ushoga, anza kukemea walimu wa madrasa ambao kila uchao.unasikia Mwl fulani wa madrasa fulani mahakamani kwa kulawiti wanafunzi kadhaa
Chadema wamekosa sela ni ujinga mtupu uchochezi dini na siasa wapinawapi
@stephenndagalla8183
Ай бұрын
Wee ni zaidi ya PUNGUANI. Mbona haujahoji.Askofu Gwsjima ambaye ni Mbunge, yeye hachanganyi dini na siasa??