RAIS SAMIA ANATEUA MBAKA MAREHEMU | DKT.NCHIMBI ALITUMA ASKARI WANIKAMATE |MUNGU AMESEMA SAMIA HAFAI

Ойын-сауық

Пікірлер: 56

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8eeАй бұрын

    Mimi ni mkristo sina tatizo na mtu yeyote kuingia kwenye siasa isipokuwa siungi mkono kutumia dini kama kichaka cha kutafuta ubunge. Maadili ya ukristo hayaruhusu mwanadamu mwenzako kumwita jini.

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899Ай бұрын

    Kumbe unaongea na mungu sasa mbona unatumia nguvunyingi kuongea na mungu ni rafikiyako😅😅😅😅😅

  • @maspro6294
    @maspro6294Ай бұрын

    Mchungaji unaongea mpaka mdomo UNANUKA ukimaliza kubwaka kama mbwa koko ukapige mswaki

  • @user-jl5uh1xq9f

    @user-jl5uh1xq9f

    Ай бұрын

    Wewe mjinga Wacha kutukana watumishi shika adabu yako

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602Ай бұрын

    Hivi unaongoza kabisa gani, maana naona sera mmeishiwa mnahangaika sana. Huyo Mungu gani unaeongea nae. Tafadhali usichange Maasikofu na mashehe kwa ujinga wako. Yaani mnatembea kusukilizia matokeo yaani Chama cha matukio nyie.

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933Ай бұрын

    Asante asikofu wewe unakielewa, nchii hii tumeteseka miaka mingi sana, tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu, na maasikofu wengine wakuige wewe,

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cxАй бұрын

    Yesu alisema mtawatambua Kwa matendo yako. Wewe ungekuwa wa kweli ungekosoa mabaya lakini wewe unatetea tumbo. Alama ya Jembe na nyundo unaikosoa kipumbavu. Watu wa maana kama Makonda ulimsema vibaya wakati Kwa matendo anayoonyesha yanawapa watu matumaini kuliko porojo zako. Unadhalilisha maaskofu wa maana

  • @BahatiMwampamba
    @BahatiMwampambaАй бұрын

    Amen

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4uАй бұрын

    Mmmmh mungu yupi huyooo

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081Ай бұрын

    Hata samia smkubali ila wwe una akili kabsa

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285Ай бұрын

    Unaongea ukweli mchungaji

  • @petermogha7025
    @petermogha7025Ай бұрын

    Hivi unavyodhurula. KANISA vipi huna wahumini

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156Ай бұрын

    HAKUNAGA MAISHA MEPESI DUNIANI!! UKIWA NA PESA UNAWEZA USINYWE CHAI YENYE SUKARI!

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899Ай бұрын

    Hata magufuti aliteuwa marehemu mbona mlikaa kinyma tu,

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cnАй бұрын

    Wacha mambo yako😂😂😂😂

  • @stephenletta8985
    @stephenletta8985Ай бұрын

    Ana hoja zinazohitaji majibu.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Je ni jambo jema kuuza rasilimali za tanganyika

  • @AsifiweChaula-sq8bw
    @AsifiweChaula-sq8bwАй бұрын

    Mchungaji wasaidie wauminu wako kuuona ufalume wa mungu ,usimchanganye mungu na siasa ,mungu hajawahikuongea na mchungaji mwenye michanganyo,ukitaka chagua moja kuwa mwanasiasa au mchungaji

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    Ай бұрын

    mchungaji awasaidie nini waumini wake wanataka kula na maisha bora na hawayapati??hakuna tofauti kati ya dini na siasa mchungaji kama mtanzania mwingine anaweza kutoa maoni yake kuhusu siasa najua angekuwa kwy mkutano wa ccm usingepiga kelele

  • @user-xz9cm8yk6h
    @user-xz9cm8yk6hАй бұрын

    Hakuna mchungaj hapa ww n mwana siasa na ni kibaraka

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Nyundo inatupiga kichwani jembe linatuchimbia kaburi

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6dАй бұрын

    Wewe huna uwezo wa kuongea na mungu kwa ucha Mingus gani uliokua nao wewe njaaa inakusumbua na utapata aibu 2025 ccm itashinda kwa kushindo sijui utasemaje ccm ikishinda?

  • @DanifordNtilatwa-zk8qs
    @DanifordNtilatwa-zk8qsАй бұрын

    Imeenda

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312Ай бұрын

    Kifo kimeumbwa

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002Ай бұрын

    Wewe unajiita askofu hicho cheo kakupa nani kibaka wewe

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6dАй бұрын

    Na nyie mnaowasikiliza hao hivi ni kweli rais Haja fanya jambo Jema hata moja kafanya mabaya matupu ?akili za kuambiwa changanyeni zenu wenzenu hao wanatafuta Viwazi ili wapate pesa lakini kusema kwamba watashinda uchaguzi 2025 hiyo ni ndoto ya Mchana hicho chama Tu kinawashinda ogonvi kila siku je ukiwapa nchi mhuuu mana haijulikani hapo rais stakes Nani makamo atakuwa nani waziri mkuu atakuwa Nani

  • @onelovetz7935

    @onelovetz7935

    Ай бұрын

    JPM alisema

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561Ай бұрын

    Maneno nimaneno tu .Ungeachwa ndani mpaka sasa akili ikujiye .Mungu wako shetani .Askofu gani mjinga wewe

  • @SeverinMagwaya

    @SeverinMagwaya

    Ай бұрын

    jibu hoja, je, Kuna umakini kiwango gani serikalini hadi anateuliwa marehemu na anatangazwa? Ukweli ukweli ukweli x 1000, je hatuitaki kweli?

  • @SeverinMagwaya

    @SeverinMagwaya

    Ай бұрын

    Mbona Gwajima anaongeaga pumba ni askofu gani yule?

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Ай бұрын

    Clement huyo mjinga haswaaa Mama Samia atashinda kwa kishindo

  • @andrewkissava9184

    @andrewkissava9184

    Ай бұрын

    Clemeni na magreti ni wapumbavu na wajinga

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Ай бұрын

    @@andrewkissava9184 Mpumbavu mwenyewe Ccm hamuiwezi kamwe Chadema ikichukua dola njoo nitakupa zawadi ya ajabu hatushindani na wasaka tonge tu

  • @huseninchasi
    @huseninchasiАй бұрын

    Nasikitika sana sizani kama ni mtumishi huyu jina lake ni mchungaji mbuzi

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    Ай бұрын

    ni mchungaji mzuri aliyekataa unafiki na kuzungumza ukweli

  • @huseninchasi

    @huseninchasi

    Ай бұрын

    Hapana hatufiki mbinguni kwa hali hiii

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9siАй бұрын

    Nasema Tanzania tuna mizigo ! Huyu askofu ni mzigo. Kwa chadema ! Na msipoangalia atakigawa chama

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    Ай бұрын

    mzigo anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia

  • @user-cu2zc1cj6r
    @user-cu2zc1cj6rАй бұрын

    Pumbavu

  • @SeverinMagwaya

    @SeverinMagwaya

    Ай бұрын

    jibu hoja, ikiwa anayo yaongea si sahihi! matusi ya Nini?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438Ай бұрын

    Huwezi kitu Ccm itashinda kwa kishindo nyie kuleni ruzuku tu

  • @hakiyangu

    @hakiyangu

    Ай бұрын

    Hakika tutachelewa sana kama hata msema kweli anaonekana mbaya

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284Ай бұрын

    Jembe ni silaha??!! Nyundo ni silaha??!!

  • @cosmaswilliam3805

    @cosmaswilliam3805

    24 күн бұрын

    Karne hii alama za nyundo na jembe zimepitwa na wakati.

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189Ай бұрын

    HiyonihIbu

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4poАй бұрын

    YAANI WW NDIO PUMBA KABISA TANGAZA SERA USIMSEMA MTU WATANZANIA HAWAPO HIVYO BADILIKA

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    Ай бұрын

    ni pumba anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia

  • @RamaKimbeu-tw4po

    @RamaKimbeu-tw4po

    Ай бұрын

    MBONA HAHOJI KATIBA YA WENYEKUWEKA MWENYEKITI UKOMO MPAKA UMAUMAUTI WAKE.TOA BOLT KWENYE JICHO LAKO NDIPO UONE KIBANZI KWENYEJICHO LA MWEZAKO

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    Nyundo na jembe ni vitendea kazi

  • @barakalukeha6184
    @barakalukeha6184Ай бұрын

    Wewe sio pasta unamamboyako acha kumkashifu mungu ktk mamboyako

  • @mamboleotv1
    @mamboleotv1Ай бұрын

    Duh siasa na Dini kipi kianze Dini au soas

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibuАй бұрын

    Sijawahi kuona mchangaji mjinga na mpumbavu mkubwa wewe mnafiki ndio sifa ya uasikofu labda ukasimamie msshoga km chama chenu kilivyo

  • @stephenndagalla8183

    @stephenndagalla8183

    Ай бұрын

    Kama kweli unakemea Ushoga, anza kukemea walimu wa madrasa ambao kila uchao.unasikia Mwl fulani wa madrasa fulani mahakamani kwa kulawiti wanafunzi kadhaa

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325Ай бұрын

    Chadema wamekosa sela ni ujinga mtupu uchochezi dini na siasa wapinawapi

  • @stephenndagalla8183

    @stephenndagalla8183

    Ай бұрын

    Wee ni zaidi ya PUNGUANI. Mbona haujahoji.Askofu Gwsjima ambaye ni Mbunge, yeye hachanganyi dini na siasa??

Келесі