No video

Rais Ruto asema mazungumzo ya kitaifa itaanza kesho baada ya maandamano ya vijana

Rais William Ruto sasa anasema mazungumzo ya kitaifa yanayoanza hapo kesho yatatoa mwelekeo wa sura ya baraza lake jipya la mawaziri. Rais Ruto akisema kuwa, mazungumzo hayo ya siku sita yanayopangiwa kuanza hapo kesho ni fursa adimu ya kubuni serikali anayosema itajumuisha wadau mbalimbali.

Пікірлер: 219