Rais Mwinyi akerwa na upotoshwaji kuhusu hatma ya nyumba za Kilimani

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema anasikitishwa na taarifa zisizo sahihi kuhusu mchakato wa nyumba za wananchi eneo la Kilimani - Unguja kwani serikali haitachukua mamuzi ya kuzivunja nyumba hizo hadi wananchi wenyewe waridhie nini wanataka.

Пікірлер: 1

    Келесі