Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji azungumza na Abdushakur Aboud
Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji akiwa katika ziara ya kikazi Marekani alitembelea Sauti ya Amerika na kuzungumza na Abdushakur Aboud juu ya mazungumzo take na wake wa Marekani.
Originally published at - www.voaswahili.com/a/3512467.html
Пікірлер: 32
My president speaking in Kiswahili! i loved to hear.
Interresante que Presidente de Moçambique fala lingua Swahili muito fluente...
Hongera raisi wa ndugu zetu wa msumbiji hakika ww ni mswahili tosha bila tone la shaka
anaongea kiswahili kizuri sana good
Yapendeza kumsikia kiongozi wa nchi ya Msumbiji akikiongea Kiswahili kwa uweledi na ufasaha wa hali ya juu. Hili ni jambo la kutia moyo na litarahisisha uhusiano Kati ya nchi za Afrika ya Mashariki na Msumbiji.
Mh.Rais tunafurahia kiswahili chako
saf sana kiswahili kizur
Kiswahili kinakua kwa kasi sana. Mheshimiwa Raisi anaongea Kiswahili kizuri sana.
@allystanlee7144
5 жыл бұрын
prof krayshelu amekualia mtwara amesomwa mtwara atashindwa kuongea kiswahili
Huyu ni mswahili aliyedimu katika lugha ya Kiswahili. Hongera Raisi...!
Huyu atakuwa mnyakyusa 😄😄😄
Abdushakur nimefurahi kukuona kwa mara ya kwanza, maana nimekuwa shabiki wako wa kipindi cha maswali na majibu kwa muda mrefu sasa.
kasoma ndada boys
Aise kiswahili ni lugha kubwa sana
Huyu nyusi kasoma Sana Tanzania Ndo maana kiswahili chake kizuri ni mmakonde wa kabrigado
@shifaaal-baity4503
5 жыл бұрын
Hawana shukrani miaka miiiingi wameishi Tanzania toka enzi z ukoloni wa Portugal hata chama chao Frelimo walisaidiwa saaana n serekali ya Tanzania
Nimefurai San kumuona Abdushakulu Abud kwamala ya kwanza.ila uyu raisi nchi yke wapo wanajihad cabodelgado
uyo mbongo
Pia raisi wa Malawi Lazarus chakwera alipoalikwa kama mgeni wa heshima katika sherehe za mashujaa nchini Kenya alitoa hotuba yake kwa lugha ya kiswahili.kiswahili ni lugha yatushikanisha afrika mashariki na kati.
Pongezi rais kwa kuongea kiswahili sanifu na yenye ufasaha na nasaha ya busara.
kweli jamaa anabusara ataitoa nchi yake kwenye vita za kijinga
@wahidawahida6675
5 жыл бұрын
Nikweli kabisa maan huku kujazan jazan ktk nch za watu bila vibali napo mtihani
Ukovizuri muheshiwa
Huyu rais inawezekana ni mtanzania kanisa. Anaongea kiswahili fasaha Sana.
@allystanlee7144
5 жыл бұрын
Uledi Mtumwa si inawezekana kasoma bongo mtwara
Kiswahili chake ni kizuri kuliko ya wakenya. No offense 😄😉
@anthonyndungu5431
2 жыл бұрын
None taken we have various variants of languages the Swahili spoken in lamu island in Kenya is different from that in mombasa or even in eastern congo.if you go to south America the Spanish spoken between the latin countries is different,just as it is different from what is spoken in spain.the English language spoken in West Africa is different from what is spoken in east Africa or in South Africa due to dialects and adapting the language to fit the local customs of the speakers Great Britain the English spoken in London is different from what is spoken in Manchester, Liverpool or even in Scotland due to the different dialects.
Anazingua uyu jamaa
kiswahili kizuri anaoongea
@allystanlee7144
5 жыл бұрын
Fransisco Myoka amesoma Tanzania atashindwa kuongea kiswahili
@tundulimungameti2165
3 жыл бұрын
Kiswahili kizuri sana