Professor Jay Ft Young Lunya & Maua Sama - Shikilia (Official Video)
Музыка
Shikilia By Professor Jay Ft Young Lunya & Maua Sama (C) 2021
Booking Info:
ProfessorJaytz@gmail.com |
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
#Shikilia #ProfessorJay
Пікірлер: 786
Afu wote nawapenda maua, lunya na kaka yaoo profesa💋💋💋
Broo wengine huwa wanaacha vifua wazi! Wewe umeacha tumbo wazi,!!! %usiache KUTABASAMU%
Kama huu wimbo umeirudia zaid ya mara2 gonga like twende woto
El proffesor mwenyewe Shikilia poa Legend
Ndio Mzee Naona Maujanja Sana Na Mr Mbuzi One Love Alafu Hicho Ki korasi Maua Kaua Sana👂👏✅👌
Kudadadeki hii ni nyimbo au linyimbo daaaah fantastic songs 🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯mmetisha San Jay Bado upo San kwenye game🙏🏿🙏🏿💪🏿💪🏿
Shikilia profesa jy aminia baba yani Dah we noma mzee mwenyezi Mungu askuchukue mapema dingi bado tunakuitaji dingi upewe miaka 59 mingine
Unyama kabisa 🙌🙌kweli ng'ombe hazeeki maini.... Seme lunya kaimba kidgo Sana duuh
Ambwene Yesaya was rigth,,Zee ulikuwa mbele ya mda sana hivi vitu ushavifanya kitambo sana Shout kwa ngoma ni kali sana
Huyu young lunya anajuwa mpaka anakeea💥💥🙌🙌🙌
Proj Jay ur time is out now is new generation mashabiki wako wamekuwa watu wazima leo unamwimbia shikilia au utanambia n unataka kumtambia nani mzee watu tunataka kumskia Jay wa JINA LANGU , SAUTI YA GHETTO na ect sahv huwez pata attetion kwa kizazi hiki zaid utajishushia heshima tu
At the first time nasikia huu wimbo hapo alipoanza kuimba prof ckufaham kama ni yeye nikawa najiuliza nani huyu all in all umeuaaaaa maunyama kama yote 💥
Gengetone love. Ka unapenda gengetone gonga like kasonge kakisonganga.
Weuuuuuh Goma la Taifa Hili..much love Mkuuu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tunawapenda sanaaa...wakenya gonga like kuonyesha support
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/nH1_1rBvh7i5lZs.html guy
Hawa watoto ukiwashirikisha unatakiwa kua na energy kama Jaymoe, sio mbaya sana ila kama bado brother Jay hajazoeleka humu
AY; longtime kishawahi kusema moja Kati ya mtu anaemuogopa kwenye Game la music Tz, ni Prof; kwa sababu Prof Hatabiriki
Mwamba huyu Hata miaka 1000 ukirudi kusikiliza mziki wake bado utakuta upo kwenye chart 📉. Professor Jay The Legend himself .
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/nH1_1rBvh7i5lZvM.htmli
Nimeaza kuujuwa mziki wa Tanzania kupitia wewe Prof jay wewe ni tunu za taifa Ningeomba kazi zako zikwe kwenye majumba ya kubukubu ya taifa
Duuuuuh Jize bwaana😁😁😁😁huyu mzazi anaenda na muda Ase🥰🥰🥰🥰😘
Professor,maua,ft mbuzi.....Ngoma ya night club....✌️✌️✌️
Nyie maua kwenye hiz collabo anaua balaa 💯
Mungu atusaidiye kwenye game yetu yamuziki tuenderey kuwa namtuu kama professor Jay kixazi sana✌️
Kali sana mbunge🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ishi sikunyingi kaka J, wa mitulinga hi saanaa bado inakuhitaji Sana#shikilia🤝❤️
Legendary professor my number one heavy weight Mc tangu shule niko shule ya msingi miaka ya 2000
Teacher Professor legend yote one at a time. SALUTE.
@Kingtiger98
2 жыл бұрын
N Ji i. kzread.info/dash/bejne/fmR8t86vl5OXiKQ.html
@BBrown_vevo
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/m3eft6xmla2zotY.html
Maua ni mkali hadi anakera 🔥🔥
Young Lunya ndo mkali mwingine. Nawakubali ndugu zanguni. Hii collabo imeweza sana
Shikilia ngoma Kali kinoma 👊👊👊👊👊🇹🇿❤️
Another chance for Kaligragh Jones to do a collabo with Professor Jay🔥🇰🇪
Gonga like kama unaamn proff jizee amemkimbiza lunya kwa kutupia humu kwenye chupaa 💪💪♥️
Tuache utan huyu MAUA tumuangalie kwajicho latano cjawah ona ameshirikishw kweny Ngoma akaharibu BINAFSI NAMUELEW SANA HUYU BI'DADA 🥰
MauA....daaah...!!!* Unajua mpka uboha..Maan.sautiii ni yenyewe kbx..sio Kubana...Nyororooo...then MBUZI daaah.!!!🔥🔥🎤...ni dhailiii ZUCHU NA.Nandy...watasubiliiii...Solute..kwa DINGI..Tunajua hzi.ni Mambo zako.🎤🎤 ...MAUAAAA...NEED MOre 🔥🔥🔥🔥🎤
Prof Jay Mzee wa mitulinga umeaua sana Big poppa
Mzee wa mitulinga... Naisubiria kwa hamu mistari yako ya kikubwa bila kumsahau mlembo Maua Sama
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/nH1_1rBvh7i5lZs.html DDT h
Shukran sana professional wa muzik kumuamin mbuzi hapite kwenye hii kazi🙏🙏
Rudi kwenye fani yako mkuu. Achana na upande ule uliokuwepo ulikuumiza kichwa tu
Pr. J shikilia goma kali asee huishiwag mashair mzee baba.
Waaaaaaas song ni Moto 🔥🔥💯👌 ama kweli nyinyi kiboko kweli 😜😜😜
Since chekechea hadi leo nasikiliza nyimbo zako na zipo on trend.We ni mwamba the real LEGEND in TZ @P.J Mnyama
Wooooow maua the song moto sana more fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️💕💓
Wamwisho Huyo amefunika profesa, el professor monster hivo unamachia ateleze hivo
hii ngoma itakuwa ndio ngomba bora kwa miezi hii mitatu bonge moja la goma la club kabisa kweli wa zamani wanajua sante profer gonga like hapa🔥🔥🔥
Oyoooooo wamitulingaaaaaaaaaa. Hujawai feli
Mp hatari kwenye bunge na mziki...professor j 🔥 🔥
Nasubiri Jay wa Mitulinga
Umechange sana humu professor 🙌🏾🔥 alfu umeua 🔥🔥. Lunya na muendelezo wa kazi zuri. Maua you killed it mama
@BBrown_vevo
2 жыл бұрын
Show love pls
@BBrown_vevo
2 жыл бұрын
Snowkzread.info/dash/bejne/m3eft6xmla2zotY.html
Young lunya sauti ya rap huna!! Unabana sana pua!! Bora ungeimba!!
Professor wa ukweli kweli iyo nyumba ya sanaa
Anaitwa young lunya 🙈🙈🙈🙈
Jina la prof j haliji kupotea kwenye industry daima
Ngoma nzuri sana , enjoying it from Rwanda🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Lunya Mnyamaa baaaasiii...😀😀😀
Ngoma kaliii sana💯💯💯🙌🙌🙌
Kwli mkubwa ni mkubwa tuuu sana prof J mwanalizombe big up kaka
Yani ww na king kiba💥💥nyie ndo wasanii wangu wa siku zote bgp San chupa ni💥💥
@goldentv5193
2 жыл бұрын
Harmo na mbosso ndo wasanii
Wazee hawafeli sikuzote 🔊🔊🔊🔊🔊📢
Yooooooooung Lunya🥰🥰🥰mkaaaali Hatuna uhasama bro
MBUNGE ANAYE ONGOZA BINADAMU HADI WANYAMAA 🤞🤞🤞🤞
Legends never disappoint......... professor j is 🔥🔥🔥🔥🔥
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/nH1_1rBvh7i5lZs.html to it u
@Kingtiger98
2 жыл бұрын
Rt. kzread.info/dash/bejne/fmR8t86vl5OXiKQ.html
Mfalme amerudi ....salute kamanda wangu
Mbona mbuzi a.k.a lunya kauwa Omg bado ipo 🔥🔥🔥🔥
*Ngoma kali sanaaaaaaa 💥 Like here guys.!!!* 🙏
Professor Jay Ashajigamba ngozi.. kazi ianze sasa...
Lunya kafanya unyama huku kaleta njaa💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥 LIKE KUMI TU ZANITOSHA
baba mzazi wa mziki prf JAY
Bonge moja ngoma nilochojifunza kwa professor hapo ni kila kitu walichonacho vijana wa Sasa professor ni zaidi anavyo na vya ziada
Profesa hakujua lolote kuhusu kesho yake. Kweli kesho yetu ni fumbo
Proffesa Jay kimbiza watoto wote
Hi noma ndio maana m upe pro J
Kazi imekubalika🤗😌
Litakufa jitu
Ngoomaaa moto hiyoooo Baba!
Mimi nilikuwa najuwa professor tayari ameisha acha music
Nimekuelewa pr jay umekuja kivingine hongera sn
NILIKUWA NAMSAKA MR PLUTO KWA COMMENTES LEO TUMEMUWACHA NYUMA NAONA ANASAFISHA MTAA ROYALTY TEXT ANYWAY BIG UP PIA MIMI NASHIKILIA NA SIWACHII 💃
Am sure this is another version of Jay,,more Kenyan love the legendary
Much love from Rwanda 🇷🇼 🇹🇿 Young lunya is getting on another lever #OMG
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Killing this
Dah...Mkuu umeua sana hii kitu 🔥🔥🔥
Maua u kill it mama
P Jay kisu cha bucha unazeheka na makali yako 🔥🔥🤸♂️
vibe ya noma sana ile collabo yetu vipi
Iko poa,,,,, much respect to professor j
Anachana huku anabana pua lkn ni mkali 👏👏👏👏👏👏
Kama umeangalia hii ngoma baada Prof Jay kuwa hospital,,, let's show love for him💦 iwe sehemu ya dua yetu
The king of Rap in Africa is here killing it in different styles in one song 🔥🔥🔥🔥.Proffesor my role model 🔥🔥🔥
waaaaaaaa.....hehehehe...BROOO NI KUBAYA TZ....WAAAAA
Professor wa muziki Kwa kweli🔥🙌
Baba wa bongo fleva Yuko kazi endelea kutuburudisha bro
Shikillia 🔥🔥🔥 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hataree sana 🔥🔥🔥💥
Nimeirudia kama mara kumi hii ngoma #shikilia,Legendary
Lunyaaa...akipata beat ya kupause aah balaaa ooh my
Lunyaaaaa umeuwa mzeee nakukubl San jembe letu😉😉😉
Ebhnaaa eeh bonge la collabo.. I appreciate 👍💯
This song can cure some disease in our bodies. Respect to my favorite musician in East Africa ( professor jay )
Professor jay Unaweza kubadilika kutokana na Wakati Big Up 🔥🔥🐉
Jizooo ft Lunyaaa & Sanaa mmeua sana #BinLaden Biti🔥🔥🔥
Wanyama watatu wameacha Mbuga🔥👐