Professor Jay Feat Walter Chilambo - SIKU 462 ( Official Audio)
Музыка
#Caling #ProfessorJay #Alikiba
Callingby Professor Jay Feat Harmonize (C) 2023
Calling OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
Written & Performed by: Professor Jay
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz
Пікірлер: 151
127 days in ICU..God is really Alive.Nimejifunza kitu kupitia kwako Prof.With God everything is possible
Dahhh wimbo unanipa huzuni na hofu.... Tumrudie Mungu na kutenda mema angali tukiwa hai
Pole sana Professor Jay Mwenyezi Mungu akuponye urejejee katika hali yako kama zamani. 🙏
Kumbe Kaka Jay angali mzima. Asante mungu nafurai sana kwa iyi ngoma support zangu zikufikiye Niko Congo Kinshasa 🇨🇩
@rachelstephen3009
7 ай бұрын
Hakika mungu muache aitwe mungu
Ukweli daktari kazi yake ni kutibu ila kupona ni kwa nguvu za Mungu🙏🙏Real testimony from our legend be strong professor Jay
@Gabonfreeman
7 ай бұрын
🙏🙏Amen 🙏🙏
Allah Akbar akika allah n muwez w kila jambo kak mung anakupend kakup mke bola angekuw mwingn angixh kukimbia God bless you
Mwenyezi mungu azidi kuku ponya urudi sawa professor God is good🙏
In God We Trust Our Legend Lord Protect You Jay , Mungu Akulinde Na Akupe Nguvu Na Akili Nying 🎉🎉🎉🎉
Mungu anaweza yote big legend professor Jay karibu tena ndani ya bongo fleva
Daaaah God is a live utasimama na utatembea tena❤❤❤❤😢😢😢
Aseee, Mungu hujibu pale pasipo na majibu na huleta tumaini pale pasipo na tumaini.... live long Prof Jay
Asante boss wa hip hop umerudi nakuombea kwa mungu uendelee kulikava haraka,nashukuru sana
Mungu ni mwema kila wakati hakika mkono wake unaweza kuokoa🙌
Tumshukuru Mungu sana kwa kulinda salute kwake sana
I lealy love you bro Allah azid kukutunza inshallah
Proff mungu yupo, huo ni ushuhuda tosha
In God We Trust Our Legend No One Like You, I'm Proud Of You Kila Atuwa Duwa 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu Akujarie Urudi Katika Hali Yako Uwe Imara✊🔥🙏
Uyu Mungu mzima mzima
Asante mungu kwa upendo wako 🙏🙏🙏
Mungu akulinde na kila ubaya wote wa walimwengu bado tunakukubali from Zanzibar visiwani ebhana ee .God bless u
Mungu ni Mungu
Mungu ana haja na wewe
Uweza wa Mungu hauchunguziki "Barikiwa sana professor Jay
Godz great 😢😢😢ni ngumuuu
God bless you big brother
Mungu ni mwema kwetu sote ashukuliwe yeye aliye juu kwa kukuponya Kaka🙏🙏
Always binadamu tumefocus kutafuta pesa na Maisha mazuri ,kumbe vyote sio kitu Mungu tupe mwisho mwema
My champion professor is back, congratulations sir
Pole Sana Kaka,,,
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeen God is Greattttt
God is Great
May God continue to protect you, great lord❤❤❤
Acha Mungu aitwe Mungu. Hakika tuna deni kubwa kwa Mungu kwa mema anauotutendea, je,tumrudishie nini zaidi ya kumtukuza na kumuimbia.
Mistari
Mungu ni mkubwa, qcha mungu aitwe mungu....❤❤🤝👍👌
🙏
Shalom, Shalom big brother,wewe ni mpiganaji , Mwenyezi Mungu akuonekanie bro.Amen and Amen
Madaktar Wana tibu Mungu ndio Anaponya
Daa😢😢😢 upone2 bro
Dah nani mwengine alietokwa na chozi 😢
Mdg wako kwenye game la muziki kutoka mbeya vant boy pore sn kk nirikuombeya sn ujumbe mkari sn bira mungu hatuwezi kamwe ipo siku nitakuona kk💓🩸🤍🎙️🎙️♥️
HII NI ABULM YA MWAKA
acha MUNGU aitwe MUNGU...AMINA.
Naamin utasimama tena utainuk tena Kwa uwez wa mungu na sautipia itarudi Kwa uwez wake mungu mungu pekee ndio mponyaji wa afya zetu tunafurah kusikia tena
Jamani hakika ashukuriwe mungu na pole sana mh; Josephu Haule
Alhamdullillih mwenyezi MUNGU huyu jamaa sauti imeludi vizuli sana kulicon mwanzo MUNGU azidi kukuweca sawa maaana wew NDiyo kioo cha wasani wegine hawa wanajitapa to lakin wew NDiyo 👑 wa mziki MUNGU aendelee kukuweca sawa prof.jei
I'm happy to see you "grinding" again God is great 🙏🏿
God above all 🤲
😢😢😢pole sana kaka mungu yupo
Mungu ni mwema Kila wakati 🙏🙏🙏🙏
Hiyo picha sijaielewa sijui inamaanisha nini
Good song brother Always GOD is great 👍
Amini miujiza ya mungu amini kuwa Dua inageuza kadari ya mungu kwani kuna watu wema walikuombea na mungu harudishi maombi yao mungu akujaalie afya professor jay usimame tena
😭😭😭😭 pole sana
Since drc🇨🇩, love u prof jay may the Lord mighty still to protect u.
@pepchallanga3626
7 ай бұрын
omoni eeh
Only uuuu Gof
👏👏👏👏
MUNGU NI MKUU
Pole sana my brother mungu atakuweka sawa ❤❤❤
Mungu anayetujua zaidi ya nguo za miili yetu Aendelee kumpa prof.jay maisha jamani bado Tz inamuhitaji sana
Pole sana
Mungu aitwe Mungu hakuna jambo lolote linashindikana kwa mwenyezi Mungu
Pole sana mungu kakupigania upo hapo ulipo🎉
Legend for life
Big project, shout out
Hakika madaktari wanatibu na Mungu ndiye anaeponya.
Allah Akbar yeye ndye kila kitu alitakae huwa kikubwa ni kushukru kwa kila jambo na tuzidishe toba sala na zaka.
kuna mengi tunaweza ku jifunza ku pitiya wimbo huyu✔️dunia tunapita
Ee mungu wewe ni mkubwa
Mungu Mwenye huruma na anaye upendo wa dhati atakuimarisha Professor Jay
pole sana kakangu mungu bado anakupenda inauma kiukweli❤❤❤
Good music kenya is here
Pole sana bro,umeugua sana na mwili kudhoofu,but Akili Iko fiti sana.
Mwache MUNGU aitwe MUNGU ,,,,God bless you Professor J 🙏
Mungu azidi kukupa nguvu.
Deus é fiel pra todos 🙏🙏🙏
We proud of u sir J ...mungu akunusuru kwa sanaaa your blood I feel that song really....sir j... Mungu akuponye mkakaa😢
Professor Jay Germany tuko ndani 🇩🇪
Man God is great!! Professor jay, wewe ni wa Mungu.
Mungu yupo anatulinda.
🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema
Kaka J pole kwa magumu uliyo pitia
Mungu azidi kukuponya bado tunakuhitaji tunahitaji elimu yako kupitia mziki.
Nimekufundisha kitu. Kutoka Kwa wimbo Huu wenye majonzi mengi
God is Great. This is a living testimony that God is able. Glory to God almighty
Me nd Wa kwanza jmn naomb likes zngu 😅
@auntiemylee3157
7 ай бұрын
Unacheka nn😮
Mungu ni muweza wa yote
inauma sana pole sana kaka angu
@exsavermateus2670
7 ай бұрын
Big Up sana
😭😭😭😭😭😭❤mungu n mwema
Pole San god bless you 🙏
big tune 🔥🔥🔥🔥🔥
@dinnaemily2727
6 ай бұрын
God
Quick recover InshaAllah 🤲🤲
Pole sana Prof Jize
Mungu ni mwema kila wakt 🙏🙏
Pole sana brother
Mungu akulinde mkuu
Mungu akuponye zaidi
Asante Mungu