PIALALI Amlipua MFAUME MFAUME - "YULE ni MAPAFU ya KUKU, KABAKI MDOMO Tu HAKUNA VITENDO"
Спорт
PIALALI Amlipua MFAUME MFAUME - "YULE ni MAPAFU ya KUKU, KABAKI MDOMO Tu HAKUNA VITENDO"
BONDIA kutoka Manzese, Ally Ngwando amefanikiwa kumpiga kwa pointi mpinzani wake Khalid Kalama katika pambano la usiku wa Mabingwa lililofanyika Desemba 26, 2023 kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza.
Ally Ngwa'ndo amesindikizwa na kaka yake Iddy Pialali na Emmanuel Mwakyembe ambapo Pialali amegusia pia upinzani wake na Mfaume Mfaume kutoka Naccoz Gym.
Пікірлер: 2
Mbona hatujaona hayo majigambo
Sasa iko kinini kimetunisha misuli na haitoki imetoka misuli ya shingo pekeyake daaah zingatia lishe bora