PEMBA KUMENOGA UKTY SALMA AMUIMBIA DK. HUSSEN MWINYI QASWIDA.

Ойын-сауық

Tamasha la uzinduzi wa Qaswida za Chama cha Mapinduzi, ukumbi wa Baraza la Mji Chake - Pemba.
wasiliana nasi kwa simu 0777 580 462 / 0777 966 481

Пікірлер: 168

  • @suleimanqassabi6602
    @suleimanqassabi66023 жыл бұрын

    Zanzibar oyee Mungu mmbariki Mwinyi na Magufuli Best leaders in TANZANIA 👍👍

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Nzuri hio ndio kampeni safi hamvuki mipaka ya mungu mmejistiri kina mama alhamdulillah

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed92453 жыл бұрын

    Humuingiii ikulu ikulu ya mwalimu seif tutaenda kuifukiza kwa maudi

  • @IntroSoftProductions

    @IntroSoftProductions

    3 жыл бұрын

    Kunshiba weye

  • @user-rb8ir9co9k

    @user-rb8ir9co9k

    3 жыл бұрын

    @@IntroSoftProductions weye ndo uloshiba mali za dhulma

  • @allynassor9127
    @allynassor91273 жыл бұрын

    Hatuangalii tena kaswida zako wala hatununui

  • @IntroSoftProductions

    @IntroSoftProductions

    3 жыл бұрын

    Uo wako ww ni ugonjwa

  • @alliyalliykidawa5931
    @alliyalliykidawa59313 жыл бұрын

    Hulazimishwi kupenda ccm walokuwemo wanatosha pemba oyeeeeeee

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Kama wanatosha mbona mnaomba kura mpka kwenye sim mnatuma msg c mtulie tu

  • @mwanambarouk2486

    @mwanambarouk2486

    3 жыл бұрын

    hhhhhaeeeee

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud36873 жыл бұрын

    Ongera dada kweli dada zanzibar kumenoga

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Penda sana hii nasheed mie sina chama chaaina yoyote ila nimepends mlivyojistiri mmeyuliys pia katika nasheed yenu nanyipia wazuri wasura mashallah mungu awazidishie

  • @saumufaki6488
    @saumufaki64883 жыл бұрын

    Pambeee allah awabarik

  • @rukiaali2768
    @rukiaali27683 жыл бұрын

    Pambe 2 .mashallah.kasda bulbul 💖

  • @suleimanqassabi6602
    @suleimanqassabi66023 жыл бұрын

    Kweli kabisa CCM excellent Chama

  • @aminahhamed747
    @aminahhamed7473 жыл бұрын

    Tokeni apo majuha nyie njaa tupu na mnatatizo la kutojielewa

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi82883 жыл бұрын

    Wewe njaa. Sana wwe mwanamke

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Dokta husein ukichaguliwa maendeleo zanzibar nzima haijashi kuna wapinzani watu uwaunganishe ajira kwa vya vyote wapendwe zanzibar wote ndugu hao tofauti vyama tuu vijana pemba wapewe ajira

  • @bintyussuph4979
    @bintyussuph49793 жыл бұрын

    Nimerejesha Mara 10

  • @MAPETEE
    @MAPETEE3 жыл бұрын

    Tokeni hapa

  • @alfeshhassan4181
    @alfeshhassan41813 жыл бұрын

    Njaaa wte hao 🤪🤪🤪 hmn llte mara hii kuleeeeeee 🙋‍♂️🙋‍♂️

  • @IntroSoftProductions

    @IntroSoftProductions

    3 жыл бұрын

    Pole yako

  • @alfeshhassan4181

    @alfeshhassan4181

    3 жыл бұрын

    @@IntroSoftProductions yangu mm au yko hyo kw sbb ww ndo uliesma pole 😉😉 mm sjajua mdom ksma hv na wla stjrbu ksma hvo🤪

  • @autopointcarasseccories4064

    @autopointcarasseccories4064

    3 жыл бұрын

    Hii production c sehem ya mjadala hakuna haja y kuonesha hisia z kiupinzani tunafany kaz kw wot hata wewe km una chama chako unatak kufanyiw promo unakaribishw "mijadala ya kisiasa kweny group z siasa na km mda mwengne umekosa cha kuongea ni vyema unyamaze"

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Na wewe una njaa

  • @alfeshhassan4181

    @alfeshhassan4181

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 kanywe maji ya bendera yako ya ccm bs kam una uchu nayo au 🙂

  • @salymelmazruwy8562
    @salymelmazruwy85623 жыл бұрын

    Njaaa Kali

  • @iddyramathan4507

    @iddyramathan4507

    3 жыл бұрын

    Kama Kuna hajaolewa waoeni wawe salama

  • @mamymamy7938

    @mamymamy7938

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @mamymamy7938

    @mamymamy7938

    3 жыл бұрын

    @@iddyramathan4507 wasije kwendaowa wapumbavu wakat wazma tupo🤣🤣

  • @munawarsaid6614

    @munawarsaid6614

    3 жыл бұрын

    Shida zimewaandama mnashangiiria zulma mmewasaliti mashehe wenu sababu ya tamaa awo wasaka tonge. Hanna jipwa ccm ina wenyewe Dodoma

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Na wewe una njaa pia!!

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Naomba mjitahidi na kuhamasisha watu kwenye mikutano wajisitiri fanyeni daawah ya kher mungu ndio mlipaji kuwa na vyama isiwe sababu ya watu kukaa bila yanguo

  • @suleimanalisaid3178
    @suleimanalisaid31783 жыл бұрын

    Hizo ni njaa zenu Zanzibar munaepoteza kwa njaaaaaa℅

  • @mohammadkassim9937

    @mohammadkassim9937

    3 жыл бұрын

    Walhiy sio nja mitihani huyu waschan waki islamu watisha viuno hivo halfu mwasema qaswida kwa pesa yasiku moja kulipwa kaa ni nja ka nishone upo pale pale bt kuna sehemu ya tusubiri tusijisahau

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Na wewe una njaa

  • @suleimanalsawafi3023

    @suleimanalsawafi3023

    3 жыл бұрын

    Mm naon cio njaa tu na upungufu wa akili wanao

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@suleimanalsawafi3023 hata wewe una upungufu wa akili pia

  • @radhiambwana8787

    @radhiambwana8787

    3 жыл бұрын

    Ww umeshiba Amani unataka njaa sio.

  • @khamissalum8906
    @khamissalum89063 жыл бұрын

    nyimbo nzuri.. ila najua ni sababu ya njaa ndo mmejitahidi ili mpate chochote huku nchi inazidi kuangamia.. msijiangalie nyinyi tu.. angalieni na vIzazi vyenu vijavyo

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Wao wenyewe hawana kitu hao hawajielewi tu ila wataelewa mwaka huu tuombe mungu atufikishe alaf waje walete mizinguo kwenye vituo vya kupigia kura waone tutakavyowafanya watajuta kuzaliwa

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    3 жыл бұрын

    mlo 1 tuu kwa siku hawa wanaonesha na km imezidi milo 2 milo 3 hawa mitihani lkn njaa zao zinaenda kuzidi mn watajuta haswaa

  • @asmaabdull9301
    @asmaabdull93013 жыл бұрын

    Mashaallah kazi mzr ukhty Salma uko vzur kwa kweli

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын

    Usiseme uongo ccm hawajaleta maendeleo wala hawawezi kuleta' zindukeni wazanzibar

  • @rukiamsellem3372

    @rukiamsellem3372

    3 жыл бұрын

    Wewe unataka maendeleo gani kipofu macho ya wazi unadhani ukisema hivyo ndio watu watu ndio watachagua uoinzani ndio ulete maendeleo . kama unavyodhani utakutiliwa pesa mfukoni hilo lisahau hebu tujiulize huko Pemba miaka 20 majimbo yote ni ya upinzani mbona hatujaona maendeleo zaidi ya kujunufaisha wao na familia zao hayo unoyosema wewe si maendeleo yamefanywa na CCM. Zindukeni

  • @user-rb8ir9co9k

    @user-rb8ir9co9k

    3 жыл бұрын

    Kweli broo maisha magumu khatari kazi yao ni kujijaza matumbo wao na watoto wao washenzi sana hawa

  • @mwanambarouk2486

    @mwanambarouk2486

    3 жыл бұрын

    mmh

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын

    Vituko' Allah yastur🤲

  • @rayamassoud1993
    @rayamassoud19933 жыл бұрын

    Mashallah!! Ccm songa mbeleeeee!!!

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed92453 жыл бұрын

    Hao wote washamba kepu watupu

  • @fatmafat9787

    @fatmafat9787

    3 жыл бұрын

    Hahaha 😂😂😂nimecheka kwa sauti kepu watupu tenaaaa

  • @fatmahamad9314
    @fatmahamad93143 жыл бұрын

    Hamuoni aibu jamani😄😄😄😄😄

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Angeimbiwa sefu usingesema hivyo!

  • @badriaahmed4373
    @badriaahmed43733 жыл бұрын

    Allah ataitangusha hiyo c c m kama mshuma unavo yayuka hatutaki nchi yetu rudi kwenu acheni wizi c c m sio chama bora pemba hamna c c m hapo wengi masikini c c m hawa lolote teteni haki zenu pemba na unguja wote wa moja ngundu acheni kuitia ila nchi yenu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 жыл бұрын

    Ah walokufa nasikia ni wengi sana haswa pemba maskin nimwenyewe tu mungu wa kuwaweza hawa majini hayana hata mibuyu na mi situ ndio mnaikata wanatuingia sisi mwilini ila hasmina minallwa wanemal wakil hatar hawakushinda wamepokonya hata dura zao hazina furaha basi tu ushetan

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi82883 жыл бұрын

    Vijiso bibaya

  • @sabraramadhan5420

    @sabraramadhan5420

    3 жыл бұрын

    Km ww

  • @nazmilseif4660
    @nazmilseif46603 жыл бұрын

    Njaa mbaya lkn mwaka huu mtalia

  • @mrtiger1208
    @mrtiger12083 жыл бұрын

    Masha ALLAH

  • @zuwenam.albaalawiy8666
    @zuwenam.albaalawiy86663 жыл бұрын

    Nasema hatutaki tena sidii zako .

  • @faridaali6850
    @faridaali68503 жыл бұрын

    Hawajielewi wapo tu wanahashukwa

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54773 жыл бұрын

    💚💚💚👌

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Nice!!!

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Zanzibar is the real home of Taarab!!

  • @badriaahmed4373
    @badriaahmed43733 жыл бұрын

    Wezetu mashehe wapo ndani wana nyanya sikia wengine hawana kosa wameekwa gereza kama yeye takubali wanateseka ndani wengine wakifanyiwa vitendo vya kinyama acheni uzuchi c c m haina mana wateteni wale wezenu walo kua ndani wanateseka wameacha wake na watoto acheni dhuma hakina haito dumu milele iyo utaende mbele ya mola ukaone adhabu za Allah

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali71923 жыл бұрын

    Mipumbavu hii

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma81683 жыл бұрын

    Huu ndio mwsho wa ccm 2020

  • @user-kr3vh4nu1w
    @user-kr3vh4nu1w3 жыл бұрын

    ukisikia kuishiwa ndiko huko wapuuzi wakubwa

  • @shabanikassimu8534

    @shabanikassimu8534

    3 жыл бұрын

    Pambe

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji26373 жыл бұрын

    Hii ni kaswidah au nyimbo jamanii

  • @fatmaramadhan6919

    @fatmaramadhan6919

    3 жыл бұрын

    Uliv ifaham ndivy ilivy

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis72533 жыл бұрын

    Wanafiki wote walio hapo wote ni washezi tu sura zinawaparama. Wengine. Ni waongo unawaona waziwazi.

  • @fatmaramadhan6919

    @fatmaramadhan6919

    3 жыл бұрын

    Nyie wenyew wanzfik washenz wasojielewa nyoniii na mtabk iv iv kupelekeshw km mj y mto

  • @fatmaramadhan6919

    @fatmaramadhan6919

    3 жыл бұрын

    Na mtasubir can mwaka huuu kw kupew nyie mkaongoza

  • @badriaahmed4373
    @badriaahmed43733 жыл бұрын

    Wizi tu nyinyi c c m acheni wizi uwooo ovyooooooooooooooooo

  • @sherrympemba7106
    @sherrympemba71063 жыл бұрын

    Chefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuùr

  • @fatmaali6437
    @fatmaali64373 жыл бұрын

    Ovyo

  • @suleimanawesi5617
    @suleimanawesi56173 жыл бұрын

    njaa tu iyo .mafala

  • @nusurashaban955
    @nusurashaban9553 жыл бұрын

    Duuh tumefikia hapa Kuimba mbele ya wanaume

  • @ladislausngoyinde4384

    @ladislausngoyinde4384

    3 жыл бұрын

    Hahaha, inaonesha umeshaondolewa akili

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Mbona akiimbiwa sefu, husemi hivyo?

  • @ukwelinauwazitv2615
    @ukwelinauwazitv26153 жыл бұрын

    Taarab oyee

  • @fatmahamad9314

    @fatmahamad9314

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃 we Ali seif huna adabu

  • @ukwelinauwazitv2615

    @ukwelinauwazitv2615

    3 жыл бұрын

    @@fatmahamad9314 kwani apo kilichopo ni nini da fatty

  • @badriaahmed4373
    @badriaahmed43733 жыл бұрын

    Kabisaa pemba hakuna c c m unguja na pemba ndugu acheni kuingia kwenye c c m wakati nchi yenu masikini na kuzalumiwa teteeni haki zenu tanzania haija pelekwa na c c m hilo mulijue mnakufa umasikini kisha haki zenu hamtetei c c m wizi tu hamna lolote wanalo liweza bada mifujo tu

  • @salumalisalum804
    @salumalisalum8043 жыл бұрын

    Imetulia

  • @jumajuma5570
    @jumajuma55703 жыл бұрын

    mashaallah

  • @user-rb8ir9co9k

    @user-rb8ir9co9k

    3 жыл бұрын

    Unamdifia mtu anamkufuru Mungu Subhanallah

  • @Um_Afnananwar2023
    @Um_Afnananwar20233 жыл бұрын

    Akuna kitu muhimu duniani kama Elimu Tanzania hakuna Elimu huwezi kushabikia ccm kama waishii visiwani pemba

  • @aishasaid12
    @aishasaid123 жыл бұрын

    Mm

  • @badriaahmed4373
    @badriaahmed43733 жыл бұрын

    Wacheni wizi kama wema wezenu wapo magerezani wanateseka moto wa jahanamu unawasubiriiiiii dunia nn nyinyi acheni uchiziii uwooooo looooh

  • @salmasalmin2155
    @salmasalmin21553 жыл бұрын

    Pambe hatar!!! Wapinzan mtaumwa sana km hamjaona maendeleo yalofanywa na CCM itabid tuwatafutie miwan ya mbao.

  • @salehhamadi6070

    @salehhamadi6070

    3 жыл бұрын

    Pumbavu, maendeleo gani ayo maendeleo kwanza hawajafanya ccm peke yao

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Maendeleo wakati barabara zina mashimo kama trea za mayai istoshe ajira hazipatikani unamaliza kusoma unatafuta ajira mpaka unazeeka hujaipata

  • @sherrympemba7106

    @sherrympemba7106

    3 жыл бұрын

    Pemba unaijuwa maendeleo error ucseme uongo hamna kabisa

  • @Saidykj
    @Saidykj3 жыл бұрын

    Mashangingi ya CCM haya na mashoga wa CCM

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Wapi mashangingi ya ACT?

  • @gojvon116
    @gojvon1163 жыл бұрын

    ama kweli dunia itakwisha lakini wasiofahamu wapo , hawa au labda si wazanzibari ?

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Hao ni wazanzibari ila bado hawajajielewa ni bendera wanafata upepo hawajui wanapotoka, walipo wala wanapokwenda wapo wapo tu ila wataelewa mwaka huu tutachinjana kama kuku isipotendeka haki

  • @mulhatmohamed1246

    @mulhatmohamed1246

    3 жыл бұрын

    Wapelekeshwa tu

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    RC

  • @abnaumuhammad
    @abnaumuhammad3 жыл бұрын

    Tizama Nyengine Hii Ya Kibabe👇🏿 m.kzread.info/dash/bejne/mImB1LOyd7DJhps.html

  • @faizfadhil5087
    @faizfadhil50873 жыл бұрын

    Hamna kazi tu

  • @IntroSoftProductions

    @IntroSoftProductions

    3 жыл бұрын

    Nyie mwapatwa na mengi hebu mda mwengine kausheni

  • @IntroSoftProductions

    @IntroSoftProductions

    3 жыл бұрын

    7bu hata munune CCM ndo chama lao

  • @aliyomar4462

    @aliyomar4462

    2 жыл бұрын

    Masha allah Dr.mwinyi allah ampe wepea juu ya kaz zake CCM oyeeeeee

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi82883 жыл бұрын

    Unahashuwo wwe wwe mwenyewe mbaya sura kama nembo ya ccm

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Choyo, mbona yuko pamba!

  • @radhiambwana8787

    @radhiambwana8787

    3 жыл бұрын

    Unamkufuru Muumbaji ww ukiambiwa uweke kwny sahani utengeneze mtoto wako utaweza ? Fanya istifaru haraka.

  • @maryamnassoornassoor3336

    @maryamnassoornassoor3336

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @snsonlinetv8432
    @snsonlinetv84323 жыл бұрын

    Kuna wengine hapo nawafaham tunaish pamoja hali yao ya maisha tunashindana ila leo nashangaa kuwaona wanashabikia ccm wakati hao ccm wanaowashabikia ndo wanaosababisha ugumu huu wa maisha cjui hata watazinduka lini

  • @munzirighalidi6305
    @munzirighalidi63053 жыл бұрын

    Ali wee namba hii Qaswida nitumie wathap 0778379258

  • @husseinalbashary2307
    @husseinalbashary23073 жыл бұрын

    hahahahaha wasani wa kaswida

  • @salumft661
    @salumft6613 жыл бұрын

    Dini inaelekea wapi sasa.. hii nyimbo tu na sio kusema kasida.. apo hasifiwi mtume..

  • @didakassim8666

    @didakassim8666

    3 жыл бұрын

    😂😂na anger imbiwa sefu cjui ingekuwaje 😂

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Kaswida =nyimbo

  • @abdulqareemseif9050

    @abdulqareemseif9050

    3 жыл бұрын

    Kasda nazo ni nyumba

  • @didakassim8666

    @didakassim8666

    3 жыл бұрын

    🤣🤣yahorofa au

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud36873 жыл бұрын

    Utaacha kusikiriza wewe na familia yako nyau wewe kwani huyo seif atafanya nn

  • @juwairaaliy8318
    @juwairaaliy83183 жыл бұрын

    Hamna kazi nyie mbona hamjengewi uko Pemba bandari haifai miaka yote iyo ccm ipo na Pemba haibadoliki apo mlipo njaa tupu nyie

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Hawajielewi hao wanajipendekeza wasipopendwa ila wataelewa mwaka huu in shaa Allah tunawang'oa na mizizi yake

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49733 жыл бұрын

    Mmependeza nyie wadada! Jamani kwanini watu hawawezi kuimba hadi wavae vichupi?

  • @user-rb8ir9co9k

    @user-rb8ir9co9k

    3 жыл бұрын

    Hata kama hawajavaa vichupi nyimbo ni Haram haifai kwa Muislam

  • @musaibaabuu1064
    @musaibaabuu10643 жыл бұрын

    Ikiwa njaaa sisi bado tunasonga mbele kazi kwenu wa pizani na chukizenu ccm oyeeeeeeeeeeeee by

  • @maryamnassoornassoor3336
    @maryamnassoornassoor33363 жыл бұрын

    Njaa tu hio muna nn ccm mulolifanya znz kunanuka njaa hpo wengne wakitoka wajaomba mchuz kwenye vibanda vya watu loh 😂😂😂

  • @rizikihaji7654

    @rizikihaji7654

    3 жыл бұрын

    Hata Mtume alikuwa na masikini

  • @maryamnassoornassoor3336

    @maryamnassoornassoor3336

    3 жыл бұрын

    @@rizikihaji7654 kwahio umackn wa mtume ndio unaufananisha na umackn wa znz au pyuuuuu

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Wala hujakosea wengine wakopa halaf wanajisahaulisha hawalipi

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    @@rizikihaji7654 kwaiyo turidhike na umaskini kwa sababu mtume alikua maskini? Bas haina haja ya kushabikia vyama kama tulipofika panatosha tutulie tu

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    @@maryamnassoornassoor3336 hajielewi huyo kanywa maji ya bendera ya ccm ila mwaka huu atayatapika tu

  • @hussnakhimiss531
    @hussnakhimiss5313 жыл бұрын

    Kwan nyinyi act mnaibiwa nn maan tukisema tukague umo majumbani mwenu hamn ata chupi inayofikia saman ya elfu nne kwendeni uko muibiwe nn

  • @safiambaroukkhamis439

    @safiambaroukkhamis439

    3 жыл бұрын

    Waambie

  • @hussnakhimiss531

    @hussnakhimiss531

    3 жыл бұрын

    Ndo nawapa siwaachi na mm

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    3 жыл бұрын

    Mi bwege imo ya sina nyingi, siamini kama ni wazanzibari nyie mmetumwa tu. Rudin Keanu shenzi nyie

  • @hussnakhimiss531

    @hussnakhimiss531

    3 жыл бұрын

    Kwa taarifa yenu mm ni mzanzibar halis kwa baba na mama mtajijua nyie wakimbiz nyie act nyote wapemba wapofu maan wapo wapemba wanajielew il sio nyie shezi mwenyew

  • @hussnakhimiss531

    @hussnakhimiss531

    3 жыл бұрын

    Mm baba ang ni shamsi vuai nahodha usishitushwe na jina ilo bwege ww. Halaf unapoongea na mm shung mdomo wako nawez nikaja hadi ulipo kupitia location jii ya utube

  • @shufaasleiman455
    @shufaasleiman4553 жыл бұрын

    Pambee

  • @alliyalliykidawa5931
    @alliyalliykidawa59313 жыл бұрын

    Hulazimishwi kupenda ccm walokuwemo wanatosha pemba oyeeeeeee

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Kama Pemba kuna ccm mngepata angalau kiti kimoja 2015 ila cha kushangaza hata diwani hamjapata mpaka muliposaidiwa na jecha mkarudia uchaguzi na mwaka huu in shaa Allah ndo zaid hamna lenu

  • @salehhamadi6070
    @salehhamadi60703 жыл бұрын

    Awo wote walimu na wanafunzi wamefosiwa tu pemba hakuna ccm

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Wala hujakosea

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    Maccm mwisho wenu umefika kwa upande wa TANGANYIKA na ZANZIBAR.

  • @rukiamsellem3372
    @rukiamsellem33723 жыл бұрын

    Wapinzani jamani hawawezi siasa kila jambo limalofanywa na CCM wao linawakera cjui wanatakaje kama ni qasida mal. Seif keshaimbiwa sanaaa na jakuna alokereka punguzeni bifuuuu wacheni na wenzenu wajinafasi katika nchi yao.

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    Hajakatazwa mtu kuimba kasida ila waangalie hao wanaowashabikia wana shida na wapemba au wanajipendekeza kwao tu hapo kuna watu wanahashukwa hawajui wakirudi nyumbani kwao watakula nini kuna wengine ni bora niwanyamazie tu kwani vitu vyengine havisemeki mlengwa akiona comment atajiskia vibaya ila me niwashauri kwanza tuikombowe nchi yetu kisha ndo washabikie vyama kinyume na ivo atakuja kulia mtu kilio cha paka hapo pemba ikishakua wilaya

  • @rukiamsellem3372

    @rukiamsellem3372

    3 жыл бұрын

    @@snsonlinetv8432 Mnawakataza ndio hivyo manawambia wasiwaimbie CCM kasida jamani vimekuja vyama vingi kila mtu ana haki ya kuchagua sio lazima watu woote wamchague mal. Sefu tunatofautiana mitazamo tushindane kwa hoja huo ndio ukomavu wa kisiasa.

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    @@rukiamsellem3372 siasa sio mchezo wa karata kama unacheza kwa kujifurahisha tu unapoingia katika siasa unategemea kiongozi utakaechagua akuletee maendeleo katika nchi sio kushabikia tu na ccm hakuna maendeleo wanayoleta nchini hasa huku kisiwani Pemba na ndo mana tunawashangaa wapemba wenzetu kuwashabikia na kuwasifia wakati hakuna walilofanya labda kuongeza ugumu wa maisha na kama kuna maendeleo kwanini wanalalamika maisha magumu c wangetulia tu watuache cc wapinzani pekeyetu tulalamike na ndo mana tukasema haohao wanaoshabikia ccm wakiondoka hapo wanakuja kukopa kisha hawakulipi tena ivi ndio maendeleo hayo? wakati hao wanaowashabikia matumbo yao yamejaa mda wote wanajenga majumba ya kifahari wala hawana matumizi nayo wanaharibu hela tu wakati wananchi wanakufa njaa barabara mbovu ajira hakuna na huyo anaejisifu ana ajira anapokea 150000 kilo ya mapembe 1500 sasa jiulize hiyo hela anayopokea inakidhi mahitaji kweli? wakati kuna huduma nyengine kibao anazohitaji kupitia hiyo hela yake mbuzi anayojisifu kama ni mshahara kuna mavazi, sabuni, matibabu na mengineyo yote yanahitaji pesa hiyo hiyo na kikubwa zaidi Zanzibar wengi wetu ni waislam na naamini kila muislam hajapenda kitendo cha kuwekwa ndani viongozi wetu wa dini bila ya sababu alaf wao wanajiita waislam na wanajua viongozi wetu wanateseka huu unakaribia mwaka wa 8 na hao ambao wanawashabikia ndio ambao wamewaeka ndani ivi kweli ni waislam hao ambao wanamtii kiumbe kwa kumuasi aliyewaumba? Sasa cc ukweli tutaongea kama ichi kitu tunachukia kuunga mkono madhalim wanaorudisha nyuma uislam ukweli ndo huo hata mkachukia

  • @snsonlinetv8432

    @snsonlinetv8432

    3 жыл бұрын

    @@rukiamsellem3372 cc hatujawakataza na wala hatuna uwezo wa kuwakataza ila tunawambia ukweli waamke huu c mda wa kulala tena kumekucha

Келесі