PATANISHO : MKE WAKO ALINIAMBIA HANA MUME
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghost #patanisho
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 71
For the first time Gidi gave someone enough time kujieleza bila kuharakishwa,.
Siku hizi kwa ndoa ni maelewano age is just a number respect matters alot
Keep up the patience of listening Gidi.
Kuna funzo nilipata jana. Mwanamke anaweza kuwa ana hanya hanya na huwezi jua. Ukifika nyumbani unaandaliwa mlo wa kifalme na mapenzi kama uteenager umerudi. Next day ukienda job anaenda kwa Nyakundi wa Sacco ya Githuri 44❤️. Mko ni wako wakati yuko machoni mwako. Ama ni aje Gidi na Ghost?
Nakupenda Kama Buzaa😂😂
Wakisii were just chilling then boom 😂
Do not forsake her and she will keep you love her and she will guard you the beginning of wisdom is this get wisdom and whatever you get get insight 🙏 🙏
Mwanamke akikushinda ata na one yr huyo ameona mbele boy child make sure mwanamke asikushinde n umri
Wewe mwanamke uko na ujinga sana.sam wachana na huyu mwanamke dunia itamfunza
🤣🤣🤣hapo ndio mapenzi imewafikisha🤣🙆♀️ghaiii
@aishachambo8663
Жыл бұрын
😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥
Sasa mtoto wa miaka 24 ati 'tumetoana mbali'.... Kwenye mnaenda ndiyo mbali my frend
@mumbisandtmann8931
Жыл бұрын
😅😅 umesema ukweli @Nyar sakwa
@LynnDarc
Жыл бұрын
Awuoro 😂😂😂
@vincentomondi5612
Жыл бұрын
24 ni mtoto?. Mwanamke mzima unaita mtoto,
@nyarsakwa1492
Жыл бұрын
@@vincentomondi5612 it depends on your age wewe pia, kwangu mimi a 24 yr old male ni mchanga sana hata hafai kuwa ameoa
@vincentomondi5612
Жыл бұрын
@@nyarsakwa1492 a 24 years ni mwanaume mzima hata college hashamaliza yuko job jamani. Nyinyi mnapenda wenye wanaoa wakiwa over30, by the time mtoto wake anafika class eight retirement age pia imefika lol.
Kijana juwa siku zote ukiowa mwanamke aliye zaa Mtoto Mmoja ni sawa na kuanza gem 1-0 pili umeowa make wa mwana ume mwenzio tu.
Goooooood job Giddy and don't ever stop laughing Ghost
Waluhya Na patanisho Aki 😀😀😀😂😎
@divinahogamba
Жыл бұрын
Kila siku waah😁😁😁😁😄
@eugenekeragori6533
Жыл бұрын
@@divinahogamba wametuchosha
@liznzembi5906
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Apana! Huyo mwanamke amejipanga kuanzia kitambo! Juu hiyo sasa unatoka unaenda wapi?
Sio wakikaa,,mwanamke alishakata kauli. Najikombolea nyumba,
Wacha huyo mwanamke aende wataachana na huyo side man
Waaaaaaaa huyu kijana wivu
🔥🔥🔥🔥
Priis natafta mluhya tuoane tukosane ndio anipeleke radio jambo😂😂😂😂 Nisikike kwa hewa
@steveodhiambo2354
Жыл бұрын
Ebu kuja uku unijaribu
Watu walipe tax,ii ingine sasa sijui🤷
Kiti moto😅😅😅. As a Kamba i was confused
Namrekebisha huyu jamaa kitu moto ni nyama ya nguruwe.sio hicho kitu alicho sema
nakupenda kama kiti moto 🤣🤣🤣🤣
Ati kiti Moto maneno gani haya 😂😂😂
@maryotieno3889
Жыл бұрын
Kiti Cha kukalia jikoni unapopika😂😂😂😂
Tearm strong mmeskia hiyo
@blessedregina
Жыл бұрын
Kabisa
@maureen2375
Жыл бұрын
Tuko
Oh Lord Nilisikia mapenzi hisia Kimeumana sasa
Uko sure uyo mtoto n wko bdo?
As a man never forgive a cheating woman kwanza huyu unampata live
Huyu mama lazima angesema ati alizaa na mkisii?🤨
Sisemi kitu mimi
Kiti moto🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂mapezi ya kiti moto
Naliaka ni mshenzi kabisa uyu naweza tandika
@maryotieno3889
Жыл бұрын
😂😂,😂😂
Yes
Kiti moto oveee
Barazaa please take a chill pill
Pasaka imekua jana, i hope Naliaka alirudi.
Uyo naweza tandika kama ngombe ata awezi rudi kwanga stive mimi
Let this man forget about that lady....he gona get heart attack
Wanaumee mujiheshimuu tafadhali!!!! Wachana na ma single mothers,wachana na WANAWAKE walio shindwa kuvumilia ndoa zao, wacheni KULELEA WANAUMEE WENGINE WATOTO,wacheni kukimbizana na WANAWAKE wazee kuwalikoo,tumienii akilii jamenii
The man is just afraid to kuachwa ...at the same time nassirstic.... The woman doesn't care!!!! Mmm.... She is also fed up with his talks....
Hii ni ya jana
Following. ..
Huwezi nikosea tena nikuombe msamaha😂
Wachana na huyu mrembo hii ni red flag already watu wanatakanga waone ama waambiweje ndio wajue ni kubaya
naliaka
Kuna watu hufurahia kuongea kwa radio,hakuna pstanisho hapo!!hii ni gani sasa gidi?rudisha patanisho iwe ile tulijua ni patanisho aja hizi za ovyo.
Wewe Fala nini waogopa kuwachwa bro,
Get yourself a luhya man very loyal but the guy is immature @24 eti nampenda kama kiti moto shenzi
😂😂😂😂😂😂😂naliaka
@ekales_
Жыл бұрын
Nini inachekesha hapo?
Waluyha mnachoma, , , , , , ,
Mbona mwanaume akishinda mwanamke miaka hakunanga shida, but mwanamke akishinda mwanaume miaka inakuwa issue?
@steveodhiambo2354
Жыл бұрын
We chacha