PATANISHO : MBONA UNAJISKIA SAUSAGE HIVI JAMES
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 105
Mbna unajisikia sausage hivo....Aki wewe Gidi Anwei I love you 💞💞 guy's much.
I LOVE IT WHEN I GET A NOTIFICATION THAT SOMEONE LIKED YOUR, AND YOU HAVE A NEW SUBSCRIBER, INANIFANYANGA NAKUWA NA BIDII SANA
Live from Kampala love you guys Gid naa ghost
Hapo Kuna shida. The guy has a lot of pride.
Jambo redio naombeni namba zenu za mawasiliano tafadhali hasa ya whatsapp
Patanishi tamuuu sana
Never beg for Love sister move ON
Hello 👋🏻 I’m watching you from London please can help me to talk to this guy in Kenya
@kanakekareko7725
2 жыл бұрын
Am here inbox am in Kenya
@YuppiesSilla1
2 жыл бұрын
Hello share your contact kindly
Mmmmm..... siku hizi wanadada wanahanya sana huwezi amini hiyo story
Yani kijama hakiko romantic nikama anakamuliwa maneno
@susannjeri4195
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@Nanapendo
Жыл бұрын
😂😂
@maryotieno3889
Жыл бұрын
😂😂😂
Anakosa credit but fare ako nayo aki nyinyi Wasichana watching from.saudi
@kennedykosgei3053
2 жыл бұрын
Just imagine
@mosewinnie8870
2 жыл бұрын
Hii nayo ni kazi aki
@salmamulira2838
2 жыл бұрын
Aki Ghost Na Hiyo Kicheko...
@modsbalida0028
2 жыл бұрын
Amsilimia 90 wanawke wko ivo
@faithnasambu1439
2 жыл бұрын
Hadi nimejiuliza 😂😂
We gidi acha izo Bana peana watu time waongee ieleweke, sio kulazimisha watu waridhie wakati mtu bado ako na ya kuongea. Weka time nzuri ya hio kipindi ama utoe kabisa
Mrembo ulitoa pesa Gari wapi kwanza. Pili si ungemwadikia please call 😂😂😂😂😂
@jamesgathaiya6450
2 жыл бұрын
Huyu alikua kupigwa tu kuni ghasia
uyo kijana ako na bahati wah! akipata a na gaidi kama mimi mwenye siezi mbembeleza mwanaume atajuta 😊
Ukipenda sanaaaaa there is a problem
@sharon3600
Жыл бұрын
Nkweli kabisa 😢😢
Uwiiii kazi ipo
Haloo nimekusame basi 😁😁
All the best guys
That guy is not serious at all anafaa kujua they're not dating but married kwa hivyo hio ujinga ya kubehave kama kakijana ka shule aache..... Na pia huyu mschane achunge sana, loving tooo much pia is a poison.... Jibakishie kidogo at least.
@Tammy_254
2 жыл бұрын
the most biased comment I've seen since this series started
@judynyamoita
2 жыл бұрын
📌Sure hapo kwa loving too much ni real poison😭
@qharolefrancie587
2 жыл бұрын
Huyu dame hakuwa na credit but akapata fare
@abdullahileloon7733
Жыл бұрын
Bbbnnnnbnbnbñnbnbbnnñnbbbbbbnbnbnbnbbbnbnnbñbbbbbbnbnbnbbnnnbbbnbbnbńnnnbnbbbbbnbbbbbnbnbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbvbbvbbbvçcvç
Huyu dem kuna venye anadanganya pesa ya gari ulikua nayo but 10 bob ya credo hukua nayo saitan
Huyu mwanaume James Ana kashungwa huku nje kengine, ndio maana anamutafuta makosa bibi, anaitwa beb, na yeye ako tu ya yee ni kama kuku yenye inataka kutaga mayayi🙄🙄🙄🙄na tena sijui beb haikufika ama🙄🙄🙄.
This guy he is cheting trying to look for faults
Yaani kila patinisho zinafuata za hii wiki Gidy ako na T-shirt 👕 moja😂😂😂
@hezekiahgekonde6034
2 жыл бұрын
Hii ni marudio
@nyarokeyo
2 жыл бұрын
@@hezekiahgekonde6034 sabuni imepanda 🧐🧐
@anastasiakioko6984
2 жыл бұрын
😜😜😜wacha umbea wewe😁😁
@nzingamwanza5591
2 жыл бұрын
Kama alifukuza bibi atuambie tumpatanishe
@nzingamwanza5591
2 жыл бұрын
@@anastasiakioko6984 winthwaa wio bado
Mwanaume akijua Unampenda inakuwa shida
@zainabkimera8892
2 жыл бұрын
Shida kubwa sana na huwa anakubeba ufala nisijipate
@Deltarm254
2 жыл бұрын
haha
@judynyamoita
2 жыл бұрын
Nijikute tena siku ingine kupenda mtu😂😂
@rachelmuch5788
2 жыл бұрын
Sure
Gidi Wewe pia unalazimisha watu kuridhika
Fare ya kwenda kwa sister hiko na credit hakuna .hata pls cal hiko na flashback
@kithamalennah7846
Жыл бұрын
True
Cherio cherio beiby 😂😂😂🤣aki waluhya
uko na fare ya kwenda imara but huna ya credit kumwambia umeenda Imara. Tena wakati ilifika hungempigia na phone ya your sister. kula ujeuri wako.
James grow up bn, Such ladies nolonger exist don't cry when she is gone over your petty excuses/claims
@ngenyveronicah9073
2 жыл бұрын
Unajua mtu hawezi akaona umuhimu wa mtu au kitu mpaka kimwondokee🤔🤔But men you're jealous🤣🤣chats tu??? Na wanaume wengine wanacheat but wake wanavumilia tu...🙆♀️🙆♀️
🤣 yenyewe ako na maringo
This does not make sense , you don't have credit but you have money for transport,
Wueeeeh haya ni gani 🤣🤣
Huyu mwana dada ajipe shughuli. Watu wengine hawananga akili na utu
Huyo jamaa ako mambo!
Funny.watching from ukraine.vita huku ni tamu aky
@mosewinnie8870
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Ukiona mwanaume anakuchunga yeye ndo anacheat walai am talking out of experience, my guy was so controlling, narcist everytime ananishuku weeuh kumbe msee was cheating the whole time,sasa nikajua ooh kumbe mimi ndo fala, mimi nlifunguka revenge cheating am telling the guy alikonda ..sistee if they show u how to go low go lower,saa hizi tuliheshimiana
Wewe utakosaje credit na ukuwe na fare ya gari 🙄🙄wacha zako mummy rekebisha kauli
Yani kila mtu atakatia bibi yake ataanza kumshuku Anajua alikuwa amekataa wa ngapi akimkubalu surely
Reverse call siku hizi iko
Tuned
Wanaume akijua unampenda maringo mingi inanza
@mosewinnie8870
2 жыл бұрын
Sana tena
@jamesgathaiya6450
2 жыл бұрын
Uongo huyu dem anadanganya niajy hakua na credo but ya kwenda imara alikua nayo
Ndoa ndoano
Simple mistake but very costly..
eheee kumbe ulikua hukooo
unaota nini?
Hahahahahaha
Aje uko na fare na hauna credit ww wacha kudaganya
Kwa hvyo alivyofika kwa ddke hageweza tumia simu ya ddke
Ghost hyo kicheko htr
Siwezi pitwa🤣
@evemurugi3399
2 жыл бұрын
Hapo ni ukweli kabisa
Hata siungetumia simu ya dadako kumpigia bwanako simu
eeh hakuna kurandaranda bila kusema
Hii nayo ni ndoano
Babe---Yes,, sweety--yes
Lakini wanaume wacheni kuchunga watu kama ngombe
unaita mwanaume darling this is being desperate nonsense😊
gidi aachia ghost afanyishe interview unakaa roho juu sana na ego
Mwanaume akijua Unampenda inakuwa shida
@vinny4162
2 жыл бұрын
Shida kubwa
@zainabkimera8892
2 жыл бұрын
Sana nijikute na huwa ana maringo sana
@Deltarm254
2 жыл бұрын
Yeye hakupigia bwanake,,,ata kama hakuna credit,,,kuna reverse call ama please call soo whats the excuse here?
@Deltarm254
2 жыл бұрын
Plus hiyo pesa ya kuenda kwa sistake na kurudisha kifunguo alitoa wap kama hakua na credit haha
@naftalynaff7811
2 жыл бұрын
No yule tu mwenye hana sense