PATANISHO : MAPENZI - MUME WANGU HANIPI HAKI ZANGU ZA NDOA
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 301
The power of mjulus finally wins
A mature man! Kumbe Kenya Iko na wanaume
@jamessteve788
Жыл бұрын
Yess
Ghai biashara jameni mpaka mpesa wooii mwanamke ula poa ajui shida respect your husband
Watu wa diaspora 👌👌
Mapenzi ana mume mzuri sana shida yake ni kwamba yeye ni kisirani na hajkomaa.Anapeleka Mume mbio anataka kile anachoomba apewe haelewi hali ya maisha. She has no patience.
Kumbe sio story na pesa, Anataka Love 💘🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@vanemomanyi6808
2 жыл бұрын
Aki kweli anaitwa mapenzi but Hapewi mapenzi 🙆🙆🙄😂
@christopheradajo9467
2 жыл бұрын
Mjulus
@davidkiarie4527
Жыл бұрын
Uga múnyamú
@peninahkariuki4679
Жыл бұрын
@@davidkiarie4527 munyamu🤣🤣
Radio Jambo tunawapenda sana mm Niko Lusaka Zambia
Waaah.. at times we women we r difficult
Communication is very important in marriage.
Ohh my God...c unipe mume kama kazungu...mwanamum ana hekima nzuri...mke anaongea Sana na mwanamum hapendi kelele mingi...
Huyu mwanamke ni shenzi Sana Mimi Niko na biashara saa ngapi kufuatana na mtu na kama anajua mtoto akiomba Pesa hupewa si afanye urafiki na huyo mtoto wake akue akipewa pesa,
@lucyboby2501
2 жыл бұрын
Kwani ameolewa na mtoi😡
Mapenzi shikilia nyumba yako.
Huyu mwanamke alisikia vibaya juu hakuweza kuenda kuhudhuria harusi pale kwao. That's the main thing
People hear on comment section go easy on the lady. She is a good lady because she could have decided to look for a solution from someone else but she decided she needs some loving from her husband and if he does not give it anamshtaki kwa radio.
Twa twa has power.
Mapenzi anahitaji mapenzi like her name but ako tu sawa. Thanks gidi na ghost.
Sometimes go straight to the point
Mama ingia magotini Mungu awape lugha moja Kuna namna shetan anawavuruga na ameweka mipaka Kati yenu
@JozaphinDorey-eu9nl
5 ай бұрын
Our sit blame the one who refused her to work love is not by fose if not live,be where u fill cort
Give that man a beer...👏👏👏
@beatricekasudi4743
2 жыл бұрын
Hahaha then
Aki si uende tu straight to the point aaaaaahh
Anahitaji mapenzi mwenyewe jina ni mapenzi wanawake saa Zingine tunataka kudekezwa lolz 😆 😂 🤣
If you don't Show a woman love everything else is just don't make sense
Wanawake jameni 🙆Ni kweli unaeza jifikilia umetengwa lakini inafika wanaume uchoka pia Tujiheshimu kujitafutia mwanaume awe kama mchango coz kama watoto wako Sawa Basi 🙏💪🙌upendo tu💖 Ndio maana unashangaa mzee ambaye ako Na watoto Adi University but anatafuta mpango wa kando for a peace of mind 🙄🙄 Mapenzi Aki🙆🙆🙆😂😂😂😂😂🤣🤣
Mapenzi anataka mapenzi 😂😂😂🤔sound funny
Nimeani kenya akuna mtu normal 😂😂😂😂
@bravinbravin880
2 жыл бұрын
Mwanamke anataka apigwe chuma kasungu wewe lima huyu mtu atulie
Perfect reverse phycology from the husband
Haki ya ndoa kujamiiana❤️
Mapenzi anataka mapenzi
Sometimes go straight to the point 😱😱
@marykimani8375
Жыл бұрын
😂😂😂 uwoga
Enyewe hakuna watu complicated kama sisi wamama alianza mambo ya pesa akamalizia na twa twa 😃🤪
@veronicacharles9993
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mwendapoleee
2 жыл бұрын
Hehehe alikuwa anatupa hadithi kidosh lakini nikweli mwanamke ni complicated anataka choclate na nite shift sawasawa.Mimi ningemnunulia baba choclate na kumvalia "see me thru" nipake midomo angesema nimepatikana leo.kkkkk...kkk
@susanmuthoni1167
2 жыл бұрын
😂😂😂😂..beating around the bush😂😂
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mbnnbm1235
2 жыл бұрын
😅😅😅
Mapenxi apewi love poa mmmwaaaah😄😄😄😄😍😍😍🥰🥰🥰🥰💋💋💋💗💗💗
A mature man indeed💯
Huyu mama ni kama anashuku Kazungu na binti yake wana uhusiano wa kimapenzi!!!
@heyumi2340
2 жыл бұрын
kuna watu wana lala na watoto mpata wanapata mimba hiyo ipo kabisaaa
She needs love but it seems man has got no time for her.
@angelakeya6467
2 жыл бұрын
Very true
Love ❣️❣️wants some Love ❤️❤️
She has a good husband walai
@nyakindamock592
2 жыл бұрын
Aye moraa naki
Being a good man is hard because women want to take advantage of you.
Kazungu Tomba huyo mwanamke atulie. Bedroom affairs
@zakmaina4107
2 жыл бұрын
Told like it's😂😂😂 waaaaaaaa
Mwanamke mjinga sana wacha kupatia bwanako stress twa twa twa iko na maneno
Mwanamke hutaka kupendea tuu kazi tunazoo
Mama ana wivu na mtoto wake dah
Niko ndani
Huyu mama ataka twa twa ndio iko na mbaraa🤣🤣
@janetkhainga6504
2 жыл бұрын
Hapo sasa umenena 🤣🤣🤣🤣
Mapenzi anahitaji mapenzi🤣🤣🤣🤣🤣lol!
@moreenmbatha1147
2 жыл бұрын
A change jina afuate mapenzi
Hii nayo sio patanisho kulalamika
Huyu mama umempea time aje giddy.. Na vile wewe huharakisha wengine
The early bird 🤸🤸💃🏾💃🏾
Mapenzi anataka mapenzi bwana Kazungu mpe mapenzi,, mapenzi moto moto
Wanawake ni kama watoto treat them equally
@naomisintoyia9286
2 жыл бұрын
Pewa Coke baridi
Gidee na Ghost hapo sawa
In my origin ( Kalenjin) women are kids are all treated as children. Equal treatment. Sisi sote ni watoto.
Wenye tunajitafutia pesa zetu mikono juu mimi hata sijui pesa ya bwana nikiipesa lini
Nipeni no.za kazungu jamanii 🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Mwanamke mjinga Sana 😏😏😏😏
Weeeh Mapenzi
@rhodahj7121
2 жыл бұрын
Yana machungu dada
Maoni yangu huyo mama anafikiria kama analala na msichana wake,nivle ataki kusema bona ako na wivu mtoto akipewa
@winsternyangara3159
2 жыл бұрын
Ukweli
@shelmithshikuku6810
Жыл бұрын
True those mentality are common in women
Mwanamke mjinga kuna wengine wako na miaka kama tatu bila kuonana na mabwana zao
@mwendapoleee
2 жыл бұрын
Mimi ata lunch nisipomuona,vita hiyo!
@RiriwaNgai
2 жыл бұрын
Even a second icant wait
Speechless 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hehehehehe huyu mwanaume hajui ata mwanamke akiwa ana pata million unafaa kumpea kitu ata chocolate she feels love and somebody is carering for her lakini hii mtoi akiitisha kitu unampea ama unafanya jambo fulani kwa nyumba juu ni mtoi ame request she feel law nkama umemdharau tene kama biashara haina faida kubwa inaweza hikimu mahitaji yake na isimame unataka afanye aje hizi marrigaes aqi ni uko married but miserable ladies ebu mzoe kujitafutia otherwise utaonyeshwa madharau nahakuna kitu utafanya wacha me niangalie nikiwa inje vile guy mchezo wa marrige unaendelea
@mwendapoleee
2 жыл бұрын
Kweli bibi ukikomaa in marriage you are taken for granted atoke wiki moja ndio ajue umuhimu wake.
@elizabethiradukunda1950
2 жыл бұрын
Hapana us not be hypocrites... we have to realize this is 2021
I also hate cold treatment from Men. I think anataka emotional support...
@betty541
2 жыл бұрын
Yeah..the guy sounds really cold towards her..and irritated. He is emotionally unavailable to her, for sure.
Mama kaa mpole utajua ujui wacha mzee ashughulikie watoto wake
Mapenzi ulipata mume Mzuri jameni tena mwenye hekima na busara lakini wewe uko na akili ndogo
Upuziiiiiiii uyo mwanaume ana kazi lol
Anahitaji kipenzi tu
No.1 wapi likes?
@paulholister6146
2 жыл бұрын
💔💔💔💔oooyiiiie pole mapenzi
@martohkitheka2805
2 жыл бұрын
Huyu mwanamke n Fala Sana nkt🤔
@chullakoi1508
2 жыл бұрын
Anaebisha pastor
Bwanakaxungu come this side
😂😂😂 Twa twa twa ndio suluhisho
Mapenzi atapigwa leo usicheze na mwanamume wa ki giriama kkk
Baba yupo Sawa kheri ahudumie watoto juu mama kama mama unaweza jihudumia
@mwendapoleee
2 жыл бұрын
Aaaiiih watoto watakua waende zao utabaki nahuyo bibi wakuku oshea masuruali zako mukiyambiana.lol
@rogath_silayo
2 жыл бұрын
Wee yy anataka kupigwa kuni na pia awe first priority!!!na NI haki yake namuelewa hajakosea
Twa twa lazima🤩🤩😊😂
Mpaka mtoto anaonewa wivu😁😁😁
Yes my kids first hahahahah
How do you compete with your daughter?
@samuelkamau1777
2 жыл бұрын
Utoto
@mwendapoleee
2 жыл бұрын
Not competing but ignoring or taking your wife for granted!
@mystyjakanyango4079
2 жыл бұрын
Hali ya uke.
@wamashloy3564
2 жыл бұрын
Seems they are all kids...na imagine ni watoi ye mwenyewe amezaa
Tusambaziwe namba ya Kazungu
Hilo jina mapenzi kazungu aliingia hapo akijua ni rahisi. Mapenzi anataka mapenzi haswaaa kazungu anajifanya haelewi 😂😂🙌
Kuwa na pesa bila twa! twa! kwa nyumba ni bure.
@highvoltages4169
2 жыл бұрын
*Glad wewe unataka twatwa sana?*
@gladysgladys9845
2 жыл бұрын
@@highvoltages4169 Yap, than cheating out of marriage 😂
Mapenzi kweli, ako na jina funny😂😂🤣🤣
Wololo!
Aki hio kicheko ya Ghost 😂😂😂😂😂
Ghosh Leo ninmgonjwa
Hapo twa twa ndio balaa
😂😂😂hapo sasa
Huyu mama amezunguka na mambo mengi, mara pesa, tank ya maji, Duka, kutembelea best couple etc. kumbe ni dry spell 😂😂😂😂
Women take advantage of a good man.
Hakuna story na pesa hapo ni mapenzi ya kimwili aliitakika pale period
Hehehe penye miti hapana wajenzi umefunguliwa biashara na walalamika pia thank God mtoto ni wako anatumiwa doo u know hiz weak spot use that sio lazima uombe ww
@Ikkiyoongi
2 жыл бұрын
Ukwli kabisaaa
Ati bi mapenzi😂😂😂😂
Sasa hawa wanapatanishwa juu ya nini?...mwanamke ni roho ndogo tu ,,hii story sio ya patanisho
Communication problem noted
Hukuwa unapendwa lkn hadi mume funga ndoa lol mama shukuru umefunguliwa business n'a watoto wako Wana hudumiwa ipasavyo
Unaitwa mapenzi na bado unataka mapenzi 😂😂
C mnipe namba ya kazungu jaman
Yeye angesema anata raundi Kwa wik
Mapenzi anataka mapenzi 😜😂😂😂😂
No matter what your woman is always your stranger.
Hakuna kesi hapo, huyo bibi ni fala 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deniswafula3847
2 жыл бұрын
True
@mwendapoleee
2 жыл бұрын
Kila mtu anamaitaji yake!
@rogath_silayo
2 жыл бұрын
Wee kesi IPO!!madam anataka attention zaidi ya mtoto pia anataka kupigwa kuni....she is right ....yupo sahihi kabisa
@Ikkiyoongi
2 жыл бұрын
Kabisaaaa 🤣🤣🤣😂🤣😂🤣
@agwalubifaridah7079
2 жыл бұрын
Wew mwanamme Akikupatia kila kitu , na kwa nyumba Anakuangalia kaa picha utakaa hapo?
In counseling we know the presenting issue is not the CORE issue
@anthonyodeba4137
2 жыл бұрын
Like this one
Waaaa, huyu Mapenzi ana shida
Hehehee...upuzi mtupu
Waokofu ndio shida but marriage ni ngumu