PATA ZAIDI YA MIL. 10 KWENYE KILIMO CHA MIHOGO
✍️Kilimo cha mihogo kinalipa. Wekeza mtaji wa Tsh. 320,000 hadi 420,000 , hutegemea aina ya mbegu. Uza mihogo ikiwa mibichi upate zaidi ya Mil. 10 ndani ya Miezi 6 au Mwaka.1 Hutegemea aina ya mbegu
✍️Kilimo cha mihogo kinalipa. Wekeza mtaji wa Tsh. 320,000 hadi 420,000 , hutegemea aina ya mbegu. Uza mihogo ikiwa mibichi upate zaidi ya Mil. 10 ndani ya Miezi 6 au Mwaka.1 Hutegemea aina ya mbegu
Пікірлер: 127
Why this is too good to be true.
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Posssible?
asante kwa SoMo zuri,swali langu mihongo unaweza kupandia mbolea au kukuzi
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Hapana si lazima
Asante sana kwa elimu yako
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Barikiwa pia
Nimekwelewa Vizuri sana lakini tatizo soko linapatikana wap
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Ni kweli ndugu masoko yetu ni ya msimu
Asante mungu kupitia kipindi chako najiona nishakuwa milionea Ardhi ninayo je unapatikana vp nahitaji uone eneo langu nianze kazi kwa msaada wako tafadhali
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Tuwasiliane tu kwani wewe wp upo
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV kupitia namba ipi?
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Nipo Dar shamba lipo Bmoyo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
+255 744 110 892 mchek uyu yupo kilosa moro
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante
Nataka kujifunza zaidi kuhusu kilimo cha mihogo.
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Karibu Sana ndugu
Ardhi gan inafaa nakwajinsi gan linavumilia ukame
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Maeneo yenye tufu tifu na kichanga na jua kali inakubali vzur na kukua kwa haraka ila Yale ya mvua nyingi inachelewa Sana kukua
Uko wapi tadhali nipe no yako mm niko Dodoma
@AGALUSTV
19 күн бұрын
Mchek uyu yupo morogoro +255 744 110 892
Kilimo kinaanza mwez wa ngap nije uko nipate shamba nilime utakua mwenyej wangu mtaalam
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Karibu Sana ndugu
Mbona hamjibu maswali ya wateja ama wapenzi wa kilimo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Samahani sana ndugu ila kuhusu mbegu +255744110892
Nitapataje hizo mbegu
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Upo wapi
Napenda kujua mashamba kama hayo yanapatkan mkoa gan nmm niende huko kulima??
@AGALUSTV
Ай бұрын
Mbona mihogo inakubali karibu kila mkoa nchini
@OmaryOmary-or7fo
Ай бұрын
Kwetu haikui vzr nataman kujua mihogo km hyo mliipata mkoa gan
Mim nataka mbegu nipo korogwe Tanga naipataje
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Moro to korogwe tusaidiane apo
Muogo unalimwa mwezi wa ngapi kwa mkoa wa pwani
@AGALUSTV
11 ай бұрын
Mvua zinapo Anza tu
Hizi mbegu nzuri mihogo mingi zinapatikana wapi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Morogoro
Nahitaji
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Nini ndugu
Naomba namba za simu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
OK tutakutpatia
Unaweza kuotesha mihogo kwenye shamba ambalo halina mafuta kabisa?
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Ndyo unaweza
inahitaji umwagiliaji hii kilimo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Si lazima
@salehabdallah2737
Жыл бұрын
Mpo vzr
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja
Sasanyie mna fanya biashara bila namba Za simu? Wekeni namba zenu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Hatufanyi biashara ndugu. Sisi tunashirikishana ELIMU tu. Ukiitaji msaada zaidi namba utapewa kama hivi tunavyowasililna haitoshi🙏🏿
Du! Nimekipenda kilimo hicho nitajitshid nilime
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Karibu sana ndugu
Naomba tulime pamoja Mimi ninashamba kinamaji nagari linaingia shambani nipo mgololo mfindi pia njombe Nina mashamba yanamaji je soko lake lipo wapi
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Okay tutakutafuta
@lawrenciamkolwe796
2 жыл бұрын
Sawa jamani mbona kimya
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ucjali kwani tu nakumbuka
Nahitaji nipo iringa
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Unahitaji nini ndugu
Kupata mbegu wap
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mbegu +255744110892
Kaka naomba namba yako nina shida na wewe.
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Wasap +255765467484
kinahitaji mbolea...?
@AGALUSTV
9 ай бұрын
Hapana
Nahitaji niko dar
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Unahitaji nini ndugu. Mbegu AU mihogo mikubwa
@irenekimey169
5 ай бұрын
Mim nashida ya mbegu
Asante je naweza kuchanganya na maindi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Unamaana gani
@mamananga2849
Жыл бұрын
@@AGALUSTV kamanisha shamba moja ulime mahindi na mohogo kwa wakati mmoja
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Oooh apo hapana. Miho go Ina na mabindi si vizuri kuchanganya. Ila waweza panda mihongo pembezoni mpakani mwa shamba
@AGALUSTV
Жыл бұрын
C vizuri. LABDA mihogo iwe pembeni mwa shamba
@mamananga2849
Жыл бұрын
@@AGALUSTV asante
Mnatoa mafunzo kwa wakulima wanaoanza kilimo hichi?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ukiitaji tunakusaidia
@monicamabula454
2 жыл бұрын
Tureteeni madarasa shinyanga old
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok
Mbegu hiyo ya miezi 6 inaitwaje?
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Ngoja tukipata jina lake tutakwambia
Sawa hii mbegu ya miezi sita ntaipata wapi
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Karibu moro
@angelinamsemwa5592
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Unapatikana Moro sehemu gani?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kilosa🙏
Naomba kupata mbegu za miezi 6 nipo kibondo
@AGALUSTV
9 ай бұрын
OK japo umbali nahisi itakua tatzo maana toka morogoro hadi kibondo. Ila ngoja tuone uwezekano
@gibsonalbert
7 ай бұрын
Hata mm nahitaj hizo mbegu ya miez sita ndugu nipo kibondo pia
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Usafirishaji sasa 'ndugu
@gibsonalbert
7 ай бұрын
Ngoja nitakutafta tuongee vzr nione zinafikaje kibondo
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Ok
Sasa mnapatikana wap ili hata nkitaka kupata masomo zaid .nakujifunza zaid maana mamb ni meng na masomo mazur
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Karibu ndugu kama ni mihogo karibu Morogoro
@salehabdallah2737
Жыл бұрын
@@AGALUSTV aha kumbe mihogo inalimwa zaid morogoro
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Yes pia pwani na songea
Brother unaweza kunitumia iyo video whatssap
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hapana ndugu 🤝
@noelmsagala6584
2 жыл бұрын
Haya ila mungu akubariki kwa masomo mazuri
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Amina ndugu🤝
Mbegu zinapatikana wapi za mihogo ya miezi sits?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Upo wapi
@EliZedek
19 күн бұрын
Dodom
@AGALUSTV
19 күн бұрын
@EliZedek Sawa mchek uyu yupo morogoro+255 744 110 892
Naombeni no zenu jamani
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ucjal wasap +255765467484
@user-fc7wz9ww2g
Жыл бұрын
@@AGALUSTV inastawi udongo gan
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Tifu tibu, mfinyanzi na Ata kichanga inakubali tu
Mashina 5000 ni kwa ukubwa gani wa ardhi?
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Heka moja
@hassannkwaje8101
3 ай бұрын
@@AGALUSTVwnatafta soko la kuuza mhogo
Kwa mm hapa naona changamoto yake ipo kweny masoko je yapo???
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Yapo ndugu ni connection tu
@barakajumamugha1584
Жыл бұрын
@@AGALUSTV kwa hiyo masoko yake makuu ni wap viwandani ama nje ya nchi??
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kote yawezekana
@user-cz1sz9uu6d
7 ай бұрын
Je soko kuu lauhakika linapatikana naomba unisaidie
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Tuzid wasiliana ndugu tukipata ilo soko
Kaka naomba kujuwa uko wapi pia namitaji mbegu hizo za miez sita
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Upo wapi ndugu mbegu tutakutumia
Kama Wana harakati, je, kunanamna yoyote ya ninyi kusapoti wakulima kwa swala zima la kutafuta masoko?
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Tunaendelea kutafuta. Ipo siku mambo yatakaa sawa
Kama kilimo cha mihogo kina faida kiasi hicho, kwanini wakulima wake hawaonyeshi hayo mafanikio, maans bado ni maskini tu
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok
@shaniaking7525
2 жыл бұрын
Mmmm kaka kinalipa sana
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
🤝🤝🤝🙏🙏
@krizofrancisco5310
Жыл бұрын
Wengi hawalimi kibiashara wanalima tu kama chakula ila Ili upate pesa kwenye kilimo lazima Uline Kwa kufuata taratibu za kilimo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ndugu upo sahihi🙏🏿✍️🤝