PATA ZAIDI YA MIL. 10 KWENYE KILIMO CHA MIHOGO

✍️Kilimo cha mihogo kinalipa. Wekeza mtaji wa Tsh. 320,000 hadi 420,000 , hutegemea aina ya mbegu. Uza mihogo ikiwa mibichi upate zaidi ya Mil. 10 ndani ya Miezi 6 au Mwaka.1 Hutegemea aina ya mbegu

Пікірлер: 127

  • @sunguyay
    @sunguyay3 жыл бұрын

    Why this is too good to be true.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Posssible?

  • @neemangabo429
    @neemangabo4296 ай бұрын

    asante kwa SoMo zuri,swali langu mihongo unaweza kupandia mbolea au kukuzi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Hapana si lazima

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m5 ай бұрын

    Asante sana kwa elimu yako

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Barikiwa pia

  • @KenethMbawala-eh4vt
    @KenethMbawala-eh4vt3 ай бұрын

    Nimekwelewa Vizuri sana lakini tatizo soko linapatikana wap

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Ni kweli ndugu masoko yetu ni ya msimu

  • @user-br3sc8bm4t
    @user-br3sc8bm4t2 жыл бұрын

    Asante mungu kupitia kipindi chako najiona nishakuwa milionea Ardhi ninayo je unapatikana vp nahitaji uone eneo langu nianze kazi kwa msaada wako tafadhali

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Tuwasiliane tu kwani wewe wp upo

  • @user-br3sc8bm4t

    @user-br3sc8bm4t

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV kupitia namba ipi?

  • @user-br3sc8bm4t

    @user-br3sc8bm4t

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV Nipo Dar shamba lipo Bmoyo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    +255 744 110 892 mchek uyu yupo kilosa moro

  • @user-br3sc8bm4t

    @user-br3sc8bm4t

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV asante

  • @user-dc7km1ur9b
    @user-dc7km1ur9b7 ай бұрын

    Nataka kujifunza zaidi kuhusu kilimo cha mihogo.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Karibu Sana ndugu

  • @kamulimalundi2424
    @kamulimalundi2424 Жыл бұрын

    Ardhi gan inafaa nakwajinsi gan linavumilia ukame

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Maeneo yenye tufu tifu na kichanga na jua kali inakubali vzur na kukua kwa haraka ila Yale ya mvua nyingi inachelewa Sana kukua

  • @EliZedek
    @EliZedek19 күн бұрын

    Uko wapi tadhali nipe no yako mm niko Dodoma

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    19 күн бұрын

    Mchek uyu yupo morogoro +255 744 110 892

  • @EmmanuelSwai-gk8hk
    @EmmanuelSwai-gk8hk4 ай бұрын

    Kilimo kinaanza mwez wa ngap nije uko nipate shamba nilime utakua mwenyej wangu mtaalam

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    Karibu Sana ndugu

  • @kennykazung3824
    @kennykazung38242 жыл бұрын

    Mbona hamjibu maswali ya wateja ama wapenzi wa kilimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Samahani sana ndugu ila kuhusu mbegu +255744110892

  • @StephenKoyi
    @StephenKoyi2 ай бұрын

    Nitapataje hizo mbegu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 ай бұрын

    Upo wapi

  • @OmaryOmary-or7fo
    @OmaryOmary-or7foАй бұрын

    Napenda kujua mashamba kama hayo yanapatkan mkoa gan nmm niende huko kulima??

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Mbona mihogo inakubali karibu kila mkoa nchini

  • @OmaryOmary-or7fo

    @OmaryOmary-or7fo

    Ай бұрын

    Kwetu haikui vzr nataman kujua mihogo km hyo mliipata mkoa gan

  • @irenekimey169
    @irenekimey1695 ай бұрын

    Mim nataka mbegu nipo korogwe Tanga naipataje

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Moro to korogwe tusaidiane apo

  • @qurannasunnahtzonlinetv7432
    @qurannasunnahtzonlinetv743211 ай бұрын

    Muogo unalimwa mwezi wa ngapi kwa mkoa wa pwani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    11 ай бұрын

    Mvua zinapo Anza tu

  • @kbmsafili7717
    @kbmsafili7717 Жыл бұрын

    Hizi mbegu nzuri mihogo mingi zinapatikana wapi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Morogoro

  • @GoraniV1
    @GoraniV12 ай бұрын

    Nahitaji

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 ай бұрын

    Nini ndugu

  • @zilpalukuba2257
    @zilpalukuba2257 Жыл бұрын

    Naomba namba za simu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    OK tutakutpatia

  • @annamhina8385
    @annamhina838510 ай бұрын

    Unaweza kuotesha mihogo kwenye shamba ambalo halina mafuta kabisa?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    10 ай бұрын

    Ndyo unaweza

  • @mrwapi2658
    @mrwapi26582 жыл бұрын

    inahitaji umwagiliaji hii kilimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Si lazima

  • @salehabdallah2737

    @salehabdallah2737

    Жыл бұрын

    Mpo vzr

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Pamoja

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Жыл бұрын

    Sasanyie mna fanya biashara bila namba Za simu? Wekeni namba zenu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Hatufanyi biashara ndugu. Sisi tunashirikishana ELIMU tu. Ukiitaji msaada zaidi namba utapewa kama hivi tunavyowasililna haitoshi🙏🏿

  • @gracebenjaminnapokeakatika9565
    @gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын

    Du! Nimekipenda kilimo hicho nitajitshid nilime

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Karibu sana ndugu

  • @lawrenciamkolwe796
    @lawrenciamkolwe7962 жыл бұрын

    Naomba tulime pamoja Mimi ninashamba kinamaji nagari linaingia shambani nipo mgololo mfindi pia njombe Nina mashamba yanamaji je soko lake lipo wapi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Okay tutakutafuta

  • @lawrenciamkolwe796

    @lawrenciamkolwe796

    2 жыл бұрын

    Sawa jamani mbona kimya

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ucjali kwani tu nakumbuka

  • @user-hc6im6hu3y
    @user-hc6im6hu3y5 ай бұрын

    Nahitaji nipo iringa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Unahitaji nini ndugu

  • @kennykazung3824
    @kennykazung38242 жыл бұрын

    Kupata mbegu wap

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Mbegu +255744110892

  • @uzungupoint
    @uzungupoint8 ай бұрын

    Kaka naomba namba yako nina shida na wewe.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Wasap +255765467484

  • @davidkasyegeta5315
    @davidkasyegeta53159 ай бұрын

    kinahitaji mbolea...?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    9 ай бұрын

    Hapana

  • @samirashakiru3211
    @samirashakiru32116 ай бұрын

    Nahitaji niko dar

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Unahitaji nini ndugu. Mbegu AU mihogo mikubwa

  • @irenekimey169

    @irenekimey169

    5 ай бұрын

    Mim nashida ya mbegu

  • @nomathamsanqathami1072
    @nomathamsanqathami1072 Жыл бұрын

    Asante je naweza kuchanganya na maindi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Unamaana gani

  • @mamananga2849

    @mamananga2849

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV kamanisha shamba moja ulime mahindi na mohogo kwa wakati mmoja

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Oooh apo hapana. Miho go Ina na mabindi si vizuri kuchanganya. Ila waweza panda mihongo pembezoni mpakani mwa shamba

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    C vizuri. LABDA mihogo iwe pembeni mwa shamba

  • @mamananga2849

    @mamananga2849

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV asante

  • @kweliinayokuwekahuru9982
    @kweliinayokuwekahuru99823 жыл бұрын

    Mnatoa mafunzo kwa wakulima wanaoanza kilimo hichi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Ukiitaji tunakusaidia

  • @monicamabula454

    @monicamabula454

    2 жыл бұрын

    Tureteeni madarasa shinyanga old

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok

  • @StephenKoyi
    @StephenKoyi2 ай бұрын

    Mbegu hiyo ya miezi 6 inaitwaje?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 ай бұрын

    Ngoja tukipata jina lake tutakwambia

  • @amanzuberi2138
    @amanzuberi21383 жыл бұрын

    Sawa hii mbegu ya miezi sita ntaipata wapi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Karibu moro

  • @angelinamsemwa5592

    @angelinamsemwa5592

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV Unapatikana Moro sehemu gani?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Kilosa🙏

  • @vailethkigwa1622
    @vailethkigwa16229 ай бұрын

    Naomba kupata mbegu za miezi 6 nipo kibondo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    9 ай бұрын

    OK japo umbali nahisi itakua tatzo maana toka morogoro hadi kibondo. Ila ngoja tuone uwezekano

  • @gibsonalbert

    @gibsonalbert

    7 ай бұрын

    Hata mm nahitaj hizo mbegu ya miez sita ndugu nipo kibondo pia

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Usafirishaji sasa 'ndugu

  • @gibsonalbert

    @gibsonalbert

    7 ай бұрын

    Ngoja nitakutafta tuongee vzr nione zinafikaje kibondo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Ok

  • @salehabdallah2737
    @salehabdallah2737 Жыл бұрын

    Sasa mnapatikana wap ili hata nkitaka kupata masomo zaid .nakujifunza zaid maana mamb ni meng na masomo mazur

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Karibu ndugu kama ni mihogo karibu Morogoro

  • @salehabdallah2737

    @salehabdallah2737

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV aha kumbe mihogo inalimwa zaid morogoro

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Yes pia pwani na songea

  • @noelmsagala6584
    @noelmsagala65842 жыл бұрын

    Brother unaweza kunitumia iyo video whatssap

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Hapana ndugu 🤝

  • @noelmsagala6584

    @noelmsagala6584

    2 жыл бұрын

    Haya ila mungu akubariki kwa masomo mazuri

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Amina ndugu🤝

  • @jacobndalahwa2992
    @jacobndalahwa2992 Жыл бұрын

    Mbegu zinapatikana wapi za mihogo ya miezi sits?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Upo wapi

  • @EliZedek

    @EliZedek

    19 күн бұрын

    Dodom

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    19 күн бұрын

    @EliZedek Sawa mchek uyu yupo morogoro+255 744 110 892

  • @husnaseph9476
    @husnaseph94762 жыл бұрын

    Naombeni no zenu jamani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ucjal wasap +255765467484

  • @user-fc7wz9ww2g

    @user-fc7wz9ww2g

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV inastawi udongo gan

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Tifu tibu, mfinyanzi na Ata kichanga inakubali tu

  • @rtp9010
    @rtp90105 ай бұрын

    Mashina 5000 ni kwa ukubwa gani wa ardhi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Heka moja

  • @hassannkwaje8101

    @hassannkwaje8101

    3 ай бұрын

    ​@@AGALUSTVwnatafta soko la kuuza mhogo

  • @barakajumamugha1584
    @barakajumamugha1584 Жыл бұрын

    Kwa mm hapa naona changamoto yake ipo kweny masoko je yapo???

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Yapo ndugu ni connection tu

  • @barakajumamugha1584

    @barakajumamugha1584

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV kwa hiyo masoko yake makuu ni wap viwandani ama nje ya nchi??

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Kote yawezekana

  • @user-cz1sz9uu6d

    @user-cz1sz9uu6d

    7 ай бұрын

    Je soko kuu lauhakika linapatikana naomba unisaidie

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Tuzid wasiliana ndugu tukipata ilo soko

  • @hurumamwasubila6847
    @hurumamwasubila6847 Жыл бұрын

    Kaka naomba kujuwa uko wapi pia namitaji mbegu hizo za miez sita

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Upo wapi ndugu mbegu tutakutumia

  • @speratuskatabazi1647
    @speratuskatabazi16476 ай бұрын

    Kama Wana harakati, je, kunanamna yoyote ya ninyi kusapoti wakulima kwa swala zima la kutafuta masoko?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Tunaendelea kutafuta. Ipo siku mambo yatakaa sawa

  • @godfreywilliammunisi7721
    @godfreywilliammunisi77212 жыл бұрын

    Kama kilimo cha mihogo kina faida kiasi hicho, kwanini wakulima wake hawaonyeshi hayo mafanikio, maans bado ni maskini tu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok

  • @shaniaking7525

    @shaniaking7525

    2 жыл бұрын

    Mmmm kaka kinalipa sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    🤝🤝🤝🙏🙏

  • @krizofrancisco5310

    @krizofrancisco5310

    Жыл бұрын

    Wengi hawalimi kibiashara wanalima tu kama chakula ila Ili upate pesa kwenye kilimo lazima Uline Kwa kufuata taratibu za kilimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa ndugu upo sahihi🙏🏿✍️🤝