PASTOR EZEKIEL ASHANGAZWA NA UCHAWI WA MAMA ALIYEKUWA ANAGEUKA KUWA SAMAKI
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Пікірлер: 193
Asante yesu ni neema yako juu ya maisha yangu
Asate yesu kwakunifungua kiloho zaindi❤
Heri kumkimbilia yesu.....He is the way the truth and the life no body comes to my father without me..... Jesus said
Asante naomba familia irudi nyumbani❤asante kwa maombi
Njoo kwangu nyinyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha
Wachawi washindwe katika jina la yesu...nyota yangu ingae
Ndio baba baraka za mungu hazina machuto amen amen 🙏🙏
Ukiona muislamu ametoa siri amechoka na ameamini kwa yesu
@marthananzushi9885
3 ай бұрын
Kuvaa buibui na ninja ndio uislamu?....peni na ndururu zilitoka wapi?
@user-rc2ye4ri6t
3 ай бұрын
Hyu sie muislmu ni mushirikna tu
Asante sana nahisie mabadiliko
Kesi ya nyani ukampe tumbili wakati wa mungu ukifika umefika huwezi enda kwa mganga harafu uende kwa shekhe ufanyowe Dua na ukae sawa hongera
@user-xk2zy1by6s
6 ай бұрын
Wanganga waisilamu haya yanawakera itabidi mzoee
May God grant u his heavenly wisdom
Asante Yesu kwa kuniotoa ulimwenguni ..🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Astaghafirullah. Tafuta njia nyingine siyo kuchafua imani ya wengine. Hata kama unataka kupata waumini tumia njia ya haki sio kulongosha.
@nicksonlyimo1562
6 ай бұрын
Acha hasira Imani ya wengine akina nani ? Si uache Mungu mwenyewe ajitetee kama kweli Imani ulionayo ni ya haki ,si umuombe basi azuie hiyo miujiza au hata wewe una mashaka nae omba Dua kukomesha hiyo miujiza isiwepo ,unalalamika Nini?.
@hilalkhalfan1452
6 ай бұрын
@@nicksonlyimo1562MBONA NYIE MNAHANGAIKA HAMUMUACHI YESU AJITETEE?. SISI TUMETUMWA TUKUKUBUSHENI ILA MWENYEZI MUNGU ALIETAKASIKA HALI WALA HANYWI WALA HAENDI CHOO KAMA MWANAADAMU YESU NA HAOMBI MSAADA MWENYEZI MUNGU WETU ALIE TAKASIKA ALLAH SW. YESU NDIO MWENYE KUOMBA MSAADA NA AKILA, KUNYWA, KUPITIWA NA USINGIZI, KUPATWA NJAA, KUOMBA MSAADA KAPA PALE YESU ALIPOTAKA KUULIWA NA WANAADAMU WENZAKE AKASEMA "# ALLOY ALLOY (ALLAH ALLAH) LAMAA SABAKTANI (MBOA UNANIWACHA)" # MWENYEZI MUNGU MTUKUFU (ALLAH) SW AKAMUOKOA YESU ILI ASIUWAWE. QUR-AN I KASEMA " WAKABADILISHIWA MTU MWENGINE AKAWA SURA YA YESU NA WAKAMUUA WAKIFIKIRIA NI YESU" YESU ALIPOOMBA MSAADA KWA MWENYEZI KUWA KIKOMBE KIMUEPUKE BASI KIKAMUEPUKA NA AKANYANYULIWA JUU NA MUNGU MWENYEZI TUNAEMUAMINI WAISLAMU NA YESU AKAOKOLEWA NA ATASHUSHWA ILI AJE KUFA KAMA WANAADAMU WENZAKE. SASA ALIOTAKA MSAADA NI YESU SIO MWENYEZI MUNGU SW TUNAEMUAMINI WAISLAMU.
@PennyG90
6 ай бұрын
Punguza makasiriko 😂
@judithsidimohamed
6 ай бұрын
Iko waz uislam gizaaaaaaaa😂
@Najmasworld672
6 ай бұрын
Giza kwako wewe
Sijawahi sikia urongo kama huu…😂😂
Amen glory to Jesus Christ ❤
@KharimuMehamedAZIZI
6 ай бұрын
Tuchati nawewe asatee❤❤❤
@user-yx4qn5lg9z
5 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@stellahokworo3947
5 ай бұрын
@@KharimuMehamedAZIZI tunachat nn
@amoskirui4977
3 ай бұрын
Jesus is the son of God.
God give me more strength in my marriage
Dunia ina mambo kweli mungu tusaidie
Ooh God, lead us not into temptations deliver us from evil for thine is the kingdom the power and the glory forever and ever Amen 🙏 and Amen 🙏
Mungu akubariki na naomba nipate mtaji wa biashara
Amin ❤ mungu atulindia kwa dini yetu ya uslamu amin
@mariamkassimu5040
5 ай бұрын
Ameen
@user-ou8in6cv8x
4 ай бұрын
Amen
May God deliver his people the devil is a liar. May God protect his servant pastor Ezekiel
Amen 🙏🙏 glory to God
May God protect all of us in Jesus' name
Please, please, please pastor help me in my life
Amen glory to God 🙏🙏🙏🙏
Wacheni drama za uongo....we know you guys.. nonsense...
Hata mfanye nini hamuwezi kuzima Nuru ya uislamu uislamu upo juu ya vidini vya uongo vyote
@judithsidimohamed
6 ай бұрын
Nuru ama giza 😂uislam nigiza tena giza tupu na giza tororoo upo
@twahirshali8014
6 ай бұрын
Wambie warongo Hawa
@MonicaMurugi-yv3zp
6 ай бұрын
😂😂😂😂waislamu ni waongo baya
@MasomeAbell-cr1um
5 ай бұрын
Halloo kweli uislamu upo juu tu
@AxmedCabdi-ol5rd
5 ай бұрын
Muslim a ende kanisani kutafuta usaidisi hiyo ni ajabu ya musa
Acha urongo Wako
Acheni maigizo ya kuharibu Iman za watu mungu atawapa haki yenu ya uibilisi
@nicksonlyimo1562
6 ай бұрын
Wapinzani wanaopinga ukweli na uponyaji ndio maibilisi wapinzani wa Neno ,wapingao Kristo subirini siku inakuja mtatafuta kutubu na hamtapata nafasi ,kwani Mungu aliwataka Sasa mtengeneze mambo yenu na YESU ndio kwanza mnaabudu dini na kuwapinga wanafuata kweli .
@MarkDee544
6 ай бұрын
mungu atakutembelea siku moja utayaamini haya,
@bensonkioko1123
6 ай бұрын
Uyu ni muislamu, mwambie muhamed alikuafa 🐕 ikamuuma .alioza. na anawaambia vizuri hana mahali pa kuwapeleka
@anthonmosama7747
6 ай бұрын
Hakuna igizo ni ukweli njoo kanisani ujionee
@nicksonlyimo1562
6 ай бұрын
Sii maigizo Kuna jambo moja waislamu hamjui nawashauri kujifunza kusoma vitabu vingine vya dini au Biblia mjifunze kitu kwani upeo umekua hasi zaidi hata Mtume alisema rejeeni vitabu vya zamani vya walio watangulia lakini ninyi ni Quran 2 kama vile Mungu alianzia hapo na akamaliza hapo ,bila maarifa huwezi kumcha Mungu ,swala la elimu ya dini nyingine litakusaidia kwani unaweza kusema dini Yako ndio ya kweli Kumbe umedanganyika ni upeo Mdogo unasumbua watu.
Yaan nimejaribu kusikiza but sielewi mwanzo ona vile umejifunga kumaanisha hutaki usiku ama ni story za jana unatupea sababu mtu akiamua kurudia Mungu huwq anaacha kila kitu ama unaogopa kuonekana
Yani makafiri ni shida sana tokeni huko ktk ukristo maana mtaishia jahannam na uchawi wenu huo mim mwenzenu nimeshatoka huko ktk ukristo ivisasa ni muislam (takbiir Allah akbar)
Amen glory to God
Nifunguliwe na namini pastor nifunguliwe
Amen mtumishi wa mungu
Nonsense
Hallelujah na Amiiiiiinaaaa
Roho YA matuzi out delivered me God
Hi Kali mungu amuokoe
Amen Amen
😂😂😂😂 ah wp acheni maigizo
I remember when many people travel to Mombasa pastor Ezekiel to heal them example mamaa mmoja alienda kwa hii kanisa akaitizwa 3k ndio ugonjwa ya sugari iishe kwa mwili ama ndio apatee uponyaji lakini wapi alirudi home akiwa tu ivo,,,,,,my message is people trust in God he is the healer have faith,,,,, lakini mkiendelea kuamini binadamu but kwa bible inasema siku dunia iko karibu kuisha force prophet watakuwa wengi wakisema mniamini so don't trust binadamu sasa mtu akisema naona mtu fulani alikuronga nani mtu karibu na wewe😂😂😂weeeh generation
@jacintamuindi
3 ай бұрын
Huku hamna mtu uitisha pesa yeyote..watu utoa kwa kupenda kwao. Halafu mtu uponywa na Imani..kama alikuwa anaenda kumpima bila Imani...kazi Bure tu
Grory to GOD AMEEEEEN
Amen 🙏 🙏
GOD help us all. Happy New Year my people. Please read THESE Verses to leed you to a better even number 2024. Mark 8:36, Psalm 37:1-2, Peter 5:8, and Job 1:7. Please Turn to God and God only for a safer place and life 🧬. Watching from AUSTRALIA 🌏🦘🦘.
Amen Amen pastor
Duuh dunia INA mambo mungu tusaidie
Mungu,tusaindi,dunia,inatisha
Good job bro ❤❤🎉
Amen
AMEN
Please pastor pray for me am not fewling well....na feel tumbo imejaaa
Amen Amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen 🙏🙏
Unafik huwo
Watapeli
May God help us
Gloy be to God Almighty
Pastor I want to come to your place am from Eldoret now working in mombasa pastor
Amen amen ameeeeeeen
Tafadhali ukinukuu clip ni vyema uonyeshe tarehe halisi iliyotengenezewa New Life Prayer Centre and Church.
Namwombea kaka yangu yesu kristu akamponye ugonjwa wa kifafa
AMEN!AMEN!AMEN!
Alafu anasema peni na ndururu hizo pesa ulitoa wapi zilisha mwaka gani uislamu hata mfanye nini hamuezi kumaliza mtabaki mkidanganya walionanjaa
Me chilling and then this🤣🤣🤣🤣🤣hawa mapastor haki ya nani wote ni majuha Si ubunifu wa uwongo huu hapa Tena wa kishenzi nacheka tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sina laziada imebidi nifuatilie huu uwongo hadi mwisho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏🎉🎉🎉 Kwa hili Wameshinda hapa hakuna kubishana wapi tuzo wewee🏆🏆🏆🏆🏆🏆🤣🤣🤣🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ameeen baba
Acheni kuharibu dini ya kislaam mnajifanya kuvaa kislaam ili kuharibu dini yetu
@ClementinaHabineza
6 ай бұрын
Mimi sio mwisiramu ila waisiramu hawapo hivyo Ayache kbx kuharibia nduguzetu
Amina
Jesus Christ is the King of Kings l admire to reach out to this promising Alter
Heri Yesu
Wanaafiki wakubwa nyie! Ehu aoneshe uso ili tumjue.
@nicksonlyimo1562
6 ай бұрын
Acha ushamba waislamu kibao wanafunguliwa Sana SI unajua wako na vifungo mingi Sana ,wewe huna watu watu ni WA Mungu acha YESU awasaidie na kuwaweka Huru kwani q Wameiona Nuru ya kweli ,wapo ambao huwaoni wengi tuu Leo wameritad na wanafurahi amani ya YESU .wewe ni nani una unamamlaka Gani juu ya kukosoa waliokubali kuamini njia ya kweli ya uzima .
@husseinmaingo5009
6 ай бұрын
@@nicksonlyimo1562Alafu uyo Yesu si anazaliwa leo alaf anakufa mwez wa 4 ee
@nicksonlyimo1562
6 ай бұрын
@@husseinmaingo5009 we husein unadhani kifo ni kitu chaajabu Sana ? Hujui kifo ndio kivuli Cha uzima wa Milele ? Ili mtu aishi Milele mbinguni au jehanamu ni lazima afe hata iweje ,Yesu angeshuka kama alivokua hakuna binadamu angemkubali hata kukaa nae au kumsogelea ndio maana Alikuja kwa mfano wa mwanadamu na akaishi na watu ,Kisha alikufa na akafufuka na akapaa mbinguni na atarudi Tena duniani wakati wa kiana na hata Quran inaamini hivyo,Sasa nakupa mtihani hebu jiulize hata wewe Kama Yesu alipaa mbinguni akiwa katika Mwili na Hadi Leo anaishi wewe unadhani vipi Hadi unamaanisha na Mtume wako? Hakuna Mtume Wala nabii wa kikristo au wa Torati anae ombewa rehema isipokua Mohamad na kama yeye Hadi Leo kafa na mnamuombea hamuwezi kuona kuombea wafu ni dhambi? Na kama yeye mnamuombea rehema huoni kua alikua na dhambi? Na kama alikua na dhambi Hadi akafa nazo na m asema alitumwa na Mungu je ninyi mtaweza kua salama ikiwa mtangulizi wako Hadi Leo anaombewa rehema? Ni kweli utamuona huyo Mungu? Je wewe Hadi Leo Imani yako imeweza kukusaidia kishinda dhambi ? Tamaa,husda ,ulawiti ,ufiraji ,uongo,uganga ,chuki ,hasira ,tamaa,ukahaba kuoa wake wawili , ushirikina ,kupiga ramli ,BAO ,nyota nk ? Je ukifa Leo ni kweli utaenda peponi au unadhani dini ndio mlango wa Pepo? Usidanganyike YESU ndio njia kweli na uzima wa Milele ,.
@hilalkhalfan1452
6 ай бұрын
MAKAFIRI WANA EKTI TU HAO MZEE😂😂😂
Amen 🙏 and amen
🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Amen🙏
Mambo ya kutunga mbona hamejificha
Mungu nipe nehema,
Ameeen
Hi pastor nmekuona Kwa tv ukiponya
Ameni
Uwaelekese Kwa mungu ndugu ,hizo za uchawi haitawafisha mbinguni
Hamna kitu huyo ni kafiri mwenzenu na hii ni mbinu ya kupata wafuasi
Ameen
Vituko na maigozo ya wachungaji uongo uongo ti
@anthonmosama7747
6 ай бұрын
Siku ya kuokoka iko karibu
Wagaga awafai by 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Na taka kuja Kule Tanzania apa Niko apa Zambia
Muongo wew. Acha kudhalilisha mavazi ya heshima
Fungua ninja kama huogopi uone
God have mercy on lies in the church. This is what people want to listen to but they don't want true gospel of repentance and be holy. Why cover your face if it is genuine.. 😢😢😢😢
Mmmh dunia iko na mamb mengi aisee
😢😢😢😢
Pastor mim nipo tanzania naomba unisaidie ntawezaje kutuma pesa kwa ajili ya sacrifice
Hallo🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mbona unajifunga funga jiwache wazi
Viube vya kipidi cha uongo,siku ya kiama mtayajibu wenyewe ,😂
@samutykuntathebantu8402
3 ай бұрын
Hehe we jini shoga tu
Sasa heyo nijaa siutowea ww dada muogope mungu
Demons 😈 will be worthless 4ever
Kumbe kenya mnatapeliwa kiasi hiki
@hasaniabdalah6148
4 ай бұрын
Acha watapeliwe wanataka
Dunia hii 🙏
@paulinemwangi8795
6 ай бұрын
😢
sasa kenya mwanaume kukua na pesa nishida basi,,,,watu wameamini dawaa naman hii weee,,nimeshtuka haki