PASTOR EZEKIEL AKASIRIKA MCHUNGAJI WA KANISA LAKE KUMTAKA MKRISTO KIMAPENZI NAWAPONYA MNAWATAMANI
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Пікірлер: 48
Mungu atusaidie sana tuwe na mungu jaman
Nakusuport pastor EZEKIEL, kamata zote wabaki na Yesu kristo.
Naomba nifuate njia ya MUNGU hata nipitie yapi katika jina la Yesu...AMEN
Tume barikiwa sana apa congo Na Pastor Ezekiel
@SamuelMugisa-sr7tp
9 күн бұрын
Salut
Hìyo roho hiung'ue moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥uzinzi ikifika tu iteketèe in Jesus name.
Oh pastor tell them ukweli utakuweka uhuru God bless you man of God
Kusema ukweli some branch pastors wana viburi sana
@AnastaciaMugwa
11 күн бұрын
Very true
Amina
Ukivaa viatu vya yesu na visikutoshe kuna watu wako nje na wanatamani kupata hio microphone but n ngumu,,,Sasa wewe Ezekiel waache tu waaibishe kanisa sababu muda sio mrefu Mimi na shida zngu na maisha yngu nitajipata huko na nikimtumikia mungu katka roho na kweli
Kuna wachungaji wengine wapo kimasilahi tu mungu atupe macho ya kiroho tuweze kutambua mema na mabaya
Amina sanaaa
Barikiwa sana Pastor Ezekiel.
Mchungaji akifikia level hiyo ya uzinzi atupwe nje(1kor5:1-9)
Ila siku hizi simsikii Bisho Mwilu, pengine nahis umri wake umekuwa mkubwa
🙏🙏 Eeeh mungu pigana nao wanao pigana na mimi
Nakupenda kwambia watu ukweli amen
Rebuke before all,that they all may fear
Gharama ya kuitafuta nguvu ya MUNGU halafu watu wanacheza na MUNGU. MUNGU azidi kukuinua na kukulinda ktk huduma yako Pastor Ezekiel.
Heri nibaki na yesu hata magapi yakija kwa maisha yangu please maombi kwangu na watoto familia pia
For wheresoever the carcase is, there will the eagles be gathered together. Hao wachungaji waonywe kabisa. Panapo Mungu watatorokea huko.
Waaa mungu linda huyu msichana
Niukweli Pastor
Yes vetter to tell them the truth
Pastar MUNGU akubaliki sana kwakusema kweli
Amen Amen Amen Amen Amen
Ukiona mtu wa ivo Hana mda wa maombi wa kusoma neno.
Bitter truth pastor
Ameeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sema pastor
Amen amen
AMEN
Kabisa
For wheresoever the carcase is, there will the eagles be gathered together. Mat. 24:28. Hao wachungaji waonywe kabisa. Panapo Mungu watatorokea huko.
Ww hapo huna watu walio okoka pastar unawataka pesa zako, wasaidie wampate Yesu wa okoke wasifate pesa tu
Kwani nani Hawa Tena,wa bungoma alitolewa ..who else??
Pastor Ezekiel huyo Bishop Mwilu ni yule alikuwa akihubiri ktk Radio ya Kenya na Sauti nene na nzito siku za nyuma huko?
Hao pastors Wana madharau warekebike waache madharau
For wheresoever the carcase is, there will the eagles be gathered together. Mat. 24:28. Panapo Mungu watatorokea huko. Hao wachungaji waonywe kabisa
Ina maanisha Kuna pastors hawajaokoka, waliokoka tu na mdomo bali sio ya hakika, wako hapo tu juu hawana kazi, kwao kuhubiri ni employment sio kuelekeza watu kwa wokovu na Kristo
Pastor Ezekiel, unapigwa vita kupitia hao watoto wako ma pastor bonoko, wasio sikia
This narrative will end Why are you not preaching the word of God you're narrating events Is Jesus doing what you are doing?
@daisypeters8579
9 күн бұрын
He is correcting and rebuking those doing wrong. That too is gospel.
Tume barikiwa sana apa congo Na Pastor Ezekiel
For wheresoever the carcase is, there will the eagles be gathered together. Mat. 24:28. Hao wachungaji waonywe kabisa. Panapo Mungu watatorokea huko.
For wheresoever the carcase is, there will the eagles be gathered together. Mat. 24:28. Hao wachungaji waonywe kabisa. Panapo Mungu watatorokea huko.
For wheresoever the carcase is, there will the eagles be gathered together. Mat. 24:28. Hao wachungaji waonywe kabisa. Panapo Mungu watatorokea huko.