Pasha - Hidaya (official video)
Mapenz ni ya wawili hata utie fitina vipi huwez kuyaharibu kila mtu ana chaguo la moyo wake we unaweza ukaona ni mbaya lakin kwa kua moyo wa mtu ukishapenda umependa.haya maneno yanajieleza katika wimbo huu wa #hidaya uliotoka 2009 kutoka kwa #pasha ilikua ni wimbo wa kwanza kutoka kama single baada ya kutoa albam ya #nisoo 2008
#pasha - #hidaya
Produced by Lil ghetto
Director Tonee blaze
For bookings:
Call:+255653597070
Email:paahamtepa1@gmail.com
Follow pashamtepa on
Instagram: / pashamtepa
Facebook: / pashamtepa
Пікірлер: 109
Yaani kimbunga hidaya kimenileta hapa😅😅😅😂😂
@RutaRubedi
2 ай бұрын
Hata mimi nimeletwa na hidaya
@dynershio40
2 ай бұрын
😅😅😅nlikua natafuta hii comment nikajua lazima itakuwepo
@herbertituga8696
2 ай бұрын
F..ra ww
@hidayyakassimtz
2 ай бұрын
Kwani ilikua lazima wataje jina 😂😂😂
@gracehadidah7501
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Team 2024 mko wap??
@hafidhali815
4 ай бұрын
Tupo pamoja
@marjentertainment2031
2 ай бұрын
Na kimbunga Hidaya
Tunaosikiliza mwaka 2024 like apa jamaa aliweza apewe maua yake🙏
@STANLEYMAPESA
2 ай бұрын
Tupoooooooo
Said Comorien aliewahi kufanya kazi metro studio enzi zile aliutendea haki huu wimbo sio kwa vinanda hivyo .pasha nae akiwa anapiga mulemule ..SALUTE 👮sana bro kazi uliifanya.
Si vibaya kupenda mtoto hidaya sing for me 100 times please. Gosh your voice 😊😊😊
Jaman npo mdogo darasa la tatu naimba huu wimbo nkawa naeka jina la mtaani kwetu majengo kanamai kuna machali kibao😂😂😂 NA mpka leo nauskiza kaka jaman rudi uimbe 😢😢 una sauti nzuri hatari love from kenya❤
@fridahoyodah
10 ай бұрын
Pia mm nkiwa class six
@antonykinyuaak8805
4 ай бұрын
Kama pasha bado hajarudi kuimba,njoo huku majengo ya Nyali ntakuimbia mm 😜
Du nakumbuka kijijini kwetu tv ilikuw Moja watoto wamatajiri ndo walikuwa😂 wanarusiwa kuingia ndani sisi wa choka mbay tunafunguliwa pazia tunachungulia dirishani
@mtaostephen3660
2 күн бұрын
Dah maisha haya 😢
Lil gheto alikuwa noma, Ila pasha Hili goma kali sana pamoja na Ile umeniweza
Kuna vitu havuzeeki daaah
Enzi hizo kupeta na kuteka uswahilini.👍
Voice yako nzuri sanaa Pasha!👍🏻❤
2010 nipo dar kota za porice kilwarodi,,wap Elizaaa jamani wimbo mtamu huu
Imekaa poa saana kiukwer❤❤
duuuh hiii ngoma itabaki milele
2024 from Nairobi Kenya
This was amazing generation #Pasha umefanya makubwa sana kwenye huu mziki
daaaah huyu mwamba itakuwa kalogwa haiwezekan apoteee kimiujza hvyooooooo
@hafidhali815
4 ай бұрын
Hata Mimi Nina was was hilo
@tunjevictor1178
3 ай бұрын
Huyu atakua kalogwa 😢
Kimbunga Hidaya day 04 May 2024, listening to Hidaya
Kama upo hapa 2023 gonga like hapa 👏
Ilikuwa 2009- 2010 nipo nachingwea 😅 dah Leo ni miaka 14
I loved bongo I bought cd song nikiwa form two bro ulinifanya nikajua kipaji changu Cha kuimbi ju ya kuimba song zako Asante kwa kurudi kwa game
16-06-24 anybody??
2023 still my favourite😢❤
😌😌 mzuri sanaa 💯
Mwamba kwann umekaa kimya muda wote,,, na kaz zako zinakuwaga SO HOT 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
My Favorite Artist of all Times
Sivibaya kumpenda ❤️❤️❤️❤️❤️
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
Daah kitambo npo dalasa la 4
kaka we unajuwa sana
@pashamtepa7596
5 жыл бұрын
Jackson Mwakasege shukran sana kwakukubali kazi
Dah Leo hii tupo wote kwenye foleni ya mihogo asubuhi yombo abiola
@eliasMagesa-xc4mj
3 ай бұрын
Duuuh
Uhakika sana❤❤❤❤
2024❤❤
This was my favorite song from Kenya
Hii ngoma naifeel kinyama jinsi ilivyoandaliwa inanipa raha sana.
Tusikilizie kimbunga Hidaya
Saaaaaaaanaaaaa mwambaaa
Usiogope jomba 2024 tupo pamoja
mic u mkubwa pasha now ure back in the game mungu awe nawe
@pashamtepa7596
5 жыл бұрын
Baraka Bahati asante kwa dua yako njema
@EutropiaJastine-nn4ot
8 ай бұрын
Wapendwa wetu tunatamani sana kazi zenu hizo Leo mi sizielewii😢😢😢
@EutropiaJastine-nn4ot
8 ай бұрын
Pasha I miss your music
Naipenda sanaaa ❤️❤️
2024🎉🎉
Since i was born till today❤❤❤❤
Duuuh dada hiyo lipstick ni yakuomba kwa jirani nn.❤❤❤😂
One love mamen
Waoooooo bongee la song
I love this song till now,,,from Moz
11/7/2023❤️
Who is here in 2023
@user-gv3si2mv3l
10 ай бұрын
Mm jaman
Mtoto Hidaya jaman
Pasha the handsome guy😊
Perfect definition of the good music
Tamu sana ya dem days🔥
Oyaaa huu wimbo niliuziwaga sabuni badala ya simu😂😂
2024/06/24 🥰🥰🥰
Pashaaaa 2009 enzi izo
Napenda Sana jamani
2024❤❤❤❤🎉🎉
Hiday kaaamua bana😂
Form 1
Niwakat wakati wake ume ita
Hit kubwa enzi hizo Mombasa
@user-gv3si2mv3l
10 ай бұрын
Nakuambia nko class naimba darasan majengo academy😂😂😂
Kimbunga Hidaya
🥰my fav
My song forever ❤
2023/4/30✌️✌️✌️
Napenda sana
❤❤❤❤
Katisha
Nipo apa Leo 5/12/2023
Noma Sana still 🔥🔥🔥2024
Whose here 2024.
Pasha is a legend ., hv huyu hidaya yupo wapi?
@AbduliMaulidi
3 ай бұрын
😂😂😂unamtaka
❤❤
Kimbunga hidaya 😂😂😂
2023❤❤❤❤
2024
Unaweza baba but Anza shoo tena
@AnordPatrick-vl4ue
Жыл бұрын
P
@user-gv3si2mv3l
10 ай бұрын
Mm n mkenya ila naishi bongo pasha aliwah kusema kwenye interview yake kwamba kilichomwangusha ni management which is true i have been supporting underground artist tanzania kwa hela yangu mda wangu bando langu nalipa maredioni ila Mpenzi wangu akasema hatak nikae kwenye miziki nakaa kisela mi wa kike nkaacha hiv walw wasanii wote hawajulikan hata youtube views zmeshuka😭😭 mziki investment hata kama una kipaji lazima uekeze labda mwenzetu bado anajiokota tumuombee dua. Kama ally nipishe dem alibeba kila kitu ndani kwake asa angeanzia wapi 😢
pasha yuwapi???
@user-gv3si2mv3l
10 ай бұрын
Yupo bongo
5/11/2023
Kawimbo kametulia haka Achana na za saivi amapiano ka yotee😅😅😅😅😅😅😅ni kuruka tu
@pashamtepa7596
6 ай бұрын
Ooh asante sana endelea kuenjoy mziki mzur
@pashamtepa7596
6 ай бұрын
Ooh asante sana endelea kuenjoy mziki mzur
Ni Soo iko wapi
@user-gv3si2mv3l
10 ай бұрын
Andika nisooo cocomedia