Pasha - Hidaya (official video)

Mapenz ni ya wawili hata utie fitina vipi huwez kuyaharibu kila mtu ana chaguo la moyo wake we unaweza ukaona ni mbaya lakin kwa kua moyo wa mtu ukishapenda umependa.haya maneno yanajieleza katika wimbo huu wa #hidaya uliotoka 2009 kutoka kwa #pasha ilikua ni wimbo wa kwanza kutoka kama single baada ya kutoa albam ya #nisoo 2008
#pasha - #hidaya
Produced by Lil ghetto
Director Tonee blaze
For bookings:
Call:+255653597070
Email:paahamtepa1@gmail.com
Follow pashamtepa on
Instagram: / pashamtepa
Facebook: / pashamtepa

Пікірлер: 109

  • @casmirchami8914
    @casmirchami89142 ай бұрын

    Yaani kimbunga hidaya kimenileta hapa😅😅😅😂😂

  • @RutaRubedi

    @RutaRubedi

    2 ай бұрын

    Hata mimi nimeletwa na hidaya

  • @dynershio40

    @dynershio40

    2 ай бұрын

    😅😅😅nlikua natafuta hii comment nikajua lazima itakuwepo

  • @herbertituga8696

    @herbertituga8696

    2 ай бұрын

    F..ra ww

  • @hidayyakassimtz

    @hidayyakassimtz

    2 ай бұрын

    Kwani ilikua lazima wataje jina 😂😂😂

  • @gracehadidah7501

    @gracehadidah7501

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @nayrahmalessa8750
    @nayrahmalessa87504 ай бұрын

    Team 2024 mko wap??

  • @hafidhali815

    @hafidhali815

    4 ай бұрын

    Tupo pamoja

  • @marjentertainment2031

    @marjentertainment2031

    2 ай бұрын

    Na kimbunga Hidaya

  • @user-fv9kv5nq8y
    @user-fv9kv5nq8y2 ай бұрын

    Tunaosikiliza mwaka 2024 like apa jamaa aliweza apewe maua yake🙏

  • @STANLEYMAPESA

    @STANLEYMAPESA

    2 ай бұрын

    Tupoooooooo

  • @nasibndaro6281
    @nasibndaro628124 күн бұрын

    Said Comorien aliewahi kufanya kazi metro studio enzi zile aliutendea haki huu wimbo sio kwa vinanda hivyo .pasha nae akiwa anapiga mulemule ..SALUTE 👮sana bro kazi uliifanya.

  • @christineshem4043
    @christineshem4043Ай бұрын

    Si vibaya kupenda mtoto hidaya sing for me 100 times please. Gosh your voice 😊😊😊

  • @user-gv3si2mv3l
    @user-gv3si2mv3l10 ай бұрын

    Jaman npo mdogo darasa la tatu naimba huu wimbo nkawa naeka jina la mtaani kwetu majengo kanamai kuna machali kibao😂😂😂 NA mpka leo nauskiza kaka jaman rudi uimbe 😢😢 una sauti nzuri hatari love from kenya❤

  • @fridahoyodah

    @fridahoyodah

    10 ай бұрын

    Pia mm nkiwa class six

  • @antonykinyuaak8805

    @antonykinyuaak8805

    4 ай бұрын

    Kama pasha bado hajarudi kuimba,njoo huku majengo ya Nyali ntakuimbia mm 😜

  • @user-uu6jl6ss7w
    @user-uu6jl6ss7w3 ай бұрын

    Du nakumbuka kijijini kwetu tv ilikuw Moja watoto wamatajiri ndo walikuwa😂 wanarusiwa kuingia ndani sisi wa choka mbay tunafunguliwa pazia tunachungulia dirishani

  • @mtaostephen3660

    @mtaostephen3660

    2 күн бұрын

    Dah maisha haya 😢

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j2 күн бұрын

    Lil gheto alikuwa noma, Ila pasha Hili goma kali sana pamoja na Ile umeniweza

  • @user-xx8dh2bp3b
    @user-xx8dh2bp3bАй бұрын

    Kuna vitu havuzeeki daaah

  • @philljombs1151
    @philljombs115117 күн бұрын

    Enzi hizo kupeta na kuteka uswahilini.👍

  • @SatwantHoogan-yu6oh
    @SatwantHoogan-yu6oh5 ай бұрын

    Voice yako nzuri sanaa Pasha!👍🏻❤

  • @FrollaWillson
    @FrollaWillson13 күн бұрын

    2010 nipo dar kota za porice kilwarodi,,wap Elizaaa jamani wimbo mtamu huu

  • @rosemsigara6093
    @rosemsigara609314 күн бұрын

    Imekaa poa saana kiukwer❤❤

  • @naftarmalekela7135
    @naftarmalekela713526 күн бұрын

    duuuh hiii ngoma itabaki milele

  • @polycarpokello3215
    @polycarpokello32156 күн бұрын

    2024 from Nairobi Kenya

  • @anoldmbarama985
    @anoldmbarama985 Жыл бұрын

    This was amazing generation #Pasha umefanya makubwa sana kwenye huu mziki

  • @mkomimkomi5126
    @mkomimkomi51264 ай бұрын

    daaaah huyu mwamba itakuwa kalogwa haiwezekan apoteee kimiujza hvyooooooo

  • @hafidhali815

    @hafidhali815

    4 ай бұрын

    Hata Mimi Nina was was hilo

  • @tunjevictor1178

    @tunjevictor1178

    3 ай бұрын

    Huyu atakua kalogwa 😢

  • @victoriamhanuka7667
    @victoriamhanuka76672 ай бұрын

    Kimbunga Hidaya day 04 May 2024, listening to Hidaya

  • @magdalenakefa1462
    @magdalenakefa146210 ай бұрын

    Kama upo hapa 2023 gonga like hapa 👏

  • @collineedson9964
    @collineedson99645 ай бұрын

    Ilikuwa 2009- 2010 nipo nachingwea 😅 dah Leo ni miaka 14

  • @DonDon-mh8sp
    @DonDon-mh8sp2 жыл бұрын

    I loved bongo I bought cd song nikiwa form two bro ulinifanya nikajua kipaji changu Cha kuimbi ju ya kuimba song zako Asante kwa kurudi kwa game

  • @stewartnairo4897
    @stewartnairo4897Ай бұрын

    16-06-24 anybody??

  • @ayubuamsonjr9437
    @ayubuamsonjr94378 ай бұрын

    2023 still my favourite😢❤

  • @bernadethamrutu7408
    @bernadethamrutu7408 Жыл бұрын

    😌😌 mzuri sanaa 💯

  • @STANLEYMAPESA
    @STANLEYMAPESA2 ай бұрын

    Mwamba kwann umekaa kimya muda wote,,, na kaz zako zinakuwaga SO HOT 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @manasebenjamin6494
    @manasebenjamin64946 ай бұрын

    My Favorite Artist of all Times

  • @joycemnzava6691
    @joycemnzava66912 жыл бұрын

    Sivibaya kumpenda ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-xz8qk7jk7u
    @user-xz8qk7jk7u5 ай бұрын

    Daah kitambo npo dalasa la 4

  • @jacksonmwakasege7011
    @jacksonmwakasege70115 жыл бұрын

    kaka we unajuwa sana

  • @pashamtepa7596

    @pashamtepa7596

    5 жыл бұрын

    Jackson Mwakasege shukran sana kwakukubali kazi

  • @user-ye6me3ng5z
    @user-ye6me3ng5z3 ай бұрын

    Dah Leo hii tupo wote kwenye foleni ya mihogo asubuhi yombo abiola

  • @eliasMagesa-xc4mj

    @eliasMagesa-xc4mj

    3 ай бұрын

    Duuuh

  • @timothymsigwa5942
    @timothymsigwa59427 ай бұрын

    Uhakika sana❤❤❤❤

  • @WinifridaPeter-se6lt
    @WinifridaPeter-se6lt6 ай бұрын

    2024❤❤

  • @DonDon-mh8sp
    @DonDon-mh8sp2 жыл бұрын

    This was my favorite song from Kenya

  • @fredamlima1150
    @fredamlima11503 ай бұрын

    Hii ngoma naifeel kinyama jinsi ilivyoandaliwa inanipa raha sana.

  • @josephmayenga1163
    @josephmayenga11632 ай бұрын

    Tusikilizie kimbunga Hidaya

  • @tanuatvcomedy9923
    @tanuatvcomedy99232 жыл бұрын

    Saaaaaaaanaaaaa mwambaaa

  • @EsauRafaelDaudi
    @EsauRafaelDaudi3 ай бұрын

    Usiogope jomba 2024 tupo pamoja

  • @barakabahati4315
    @barakabahati43155 жыл бұрын

    mic u mkubwa pasha now ure back in the game mungu awe nawe

  • @pashamtepa7596

    @pashamtepa7596

    5 жыл бұрын

    Baraka Bahati asante kwa dua yako njema

  • @EutropiaJastine-nn4ot

    @EutropiaJastine-nn4ot

    8 ай бұрын

    Wapendwa wetu tunatamani sana kazi zenu hizo Leo mi sizielewii😢😢😢

  • @EutropiaJastine-nn4ot

    @EutropiaJastine-nn4ot

    8 ай бұрын

    Pasha I miss your music

  • @GeraldAgustino-fz5mn
    @GeraldAgustino-fz5mn8 ай бұрын

    Naipenda sanaaa ❤️❤️

  • @MwambaTz11
    @MwambaTz116 ай бұрын

    2024🎉🎉

  • @SudyBrown-gy2gh
    @SudyBrown-gy2gh7 ай бұрын

    Since i was born till today❤❤❤❤

  • @zulachama1067
    @zulachama10677 ай бұрын

    Duuuh dada hiyo lipstick ni yakuomba kwa jirani nn.❤❤❤😂

  • @katangakitojo1329
    @katangakitojo13297 ай бұрын

    One love mamen

  • @dainahussein9942
    @dainahussein99428 ай бұрын

    Waoooooo bongee la song

  • @BartolomeuAdamoBartolomeu
    @BartolomeuAdamoBartolomeu2 ай бұрын

    I love this song till now,,,from Moz

  • @chakudekasarah5759
    @chakudekasarah5759 Жыл бұрын

    11/7/2023❤️

  • @user-gv3si2mv3l
    @user-gv3si2mv3l10 ай бұрын

    Who is here in 2023

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    10 ай бұрын

    Mm jaman

  • @fabyboyofficial8647
    @fabyboyofficial86472 ай бұрын

    Mtoto Hidaya jaman

  • @mwanatumumwaboza7801
    @mwanatumumwaboza78014 ай бұрын

    Pasha the handsome guy😊

  • @akramlipemba2968
    @akramlipemba2968 Жыл бұрын

    Perfect definition of the good music

  • @Manumwarome001
    @Manumwarome0012 ай бұрын

    Tamu sana ya dem days🔥

  • @williama.chikonya3458
    @williama.chikonya34586 ай бұрын

    Oyaaa huu wimbo niliuziwaga sabuni badala ya simu😂😂

  • @adidjahassan6046
    @adidjahassan604628 күн бұрын

    2024/06/24 🥰🥰🥰

  • @kagirasta1476
    @kagirasta14764 ай бұрын

    Pashaaaa 2009 enzi izo

  • @RoseMnubi-ce2jb
    @RoseMnubi-ce2jb5 ай бұрын

    Napenda Sana jamani

  • @rosesesala9131
    @rosesesala91315 ай бұрын

    2024❤❤❤❤🎉🎉

  • @BrownMcbaddest
    @BrownMcbaddest2 ай бұрын

    Hiday kaaamua bana😂

  • @johngasto4154
    @johngasto41543 ай бұрын

    Form 1

  • @Chidboy014
    @Chidboy0144 ай бұрын

    Niwakat wakati wake ume ita

  • @paddyotieno5786
    @paddyotieno5786 Жыл бұрын

    Hit kubwa enzi hizo Mombasa

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    10 ай бұрын

    Nakuambia nko class naimba darasan majengo academy😂😂😂

  • @BettyNzegenuka-yr5xq
    @BettyNzegenuka-yr5xq2 ай бұрын

    Kimbunga Hidaya

  • @zuhuraali6585
    @zuhuraali6585 Жыл бұрын

    🥰my fav

  • @queenvee
    @queenvee5 ай бұрын

    My song forever ❤

  • @wilsonpius8217
    @wilsonpius8217 Жыл бұрын

    2023/4/30✌️✌️✌️

  • @pilijuma6095
    @pilijuma60959 ай бұрын

    Napenda sana

  • @vumiliajuma8361
    @vumiliajuma836111 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @jumadiwa
    @jumadiwa3 ай бұрын

    Katisha

  • @cabylake2320
    @cabylake23207 ай бұрын

    Nipo apa Leo 5/12/2023

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b3 ай бұрын

    Noma Sana still 🔥🔥🔥2024

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk3 ай бұрын

    Whose here 2024.

  • @westcijosh
    @westcijosh3 ай бұрын

    Pasha is a legend ., hv huyu hidaya yupo wapi?

  • @AbduliMaulidi

    @AbduliMaulidi

    3 ай бұрын

    😂😂😂unamtaka

  • @user-wr2pm7of5w
    @user-wr2pm7of5w2 ай бұрын

    ❤❤

  • @josephfrank4446
    @josephfrank44462 ай бұрын

    Kimbunga hidaya 😂😂😂

  • @farajamagesa
    @farajamagesa8 ай бұрын

    2023❤❤❤❤

  • @allentasu9512
    @allentasu95122 ай бұрын

    2024

  • @boazelias5297
    @boazelias52973 жыл бұрын

    Unaweza baba but Anza shoo tena

  • @AnordPatrick-vl4ue

    @AnordPatrick-vl4ue

    Жыл бұрын

    P

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    10 ай бұрын

    Mm n mkenya ila naishi bongo pasha aliwah kusema kwenye interview yake kwamba kilichomwangusha ni management which is true i have been supporting underground artist tanzania kwa hela yangu mda wangu bando langu nalipa maredioni ila Mpenzi wangu akasema hatak nikae kwenye miziki nakaa kisela mi wa kike nkaacha hiv walw wasanii wote hawajulikan hata youtube views zmeshuka😭😭 mziki investment hata kama una kipaji lazima uekeze labda mwenzetu bado anajiokota tumuombee dua. Kama ally nipishe dem alibeba kila kitu ndani kwake asa angeanzia wapi 😢

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa217810 ай бұрын

    pasha yuwapi???

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    10 ай бұрын

    Yupo bongo

  • @dainahussein9942
    @dainahussein99428 ай бұрын

    5/11/2023

  • @lilianjohnson9469
    @lilianjohnson94696 ай бұрын

    Kawimbo kametulia haka Achana na za saivi amapiano ka yotee😅😅😅😅😅😅😅ni kuruka tu

  • @pashamtepa7596

    @pashamtepa7596

    6 ай бұрын

    Ooh asante sana endelea kuenjoy mziki mzur

  • @pashamtepa7596

    @pashamtepa7596

    6 ай бұрын

    Ooh asante sana endelea kuenjoy mziki mzur

  • @DonDon-mh8sp
    @DonDon-mh8sp2 жыл бұрын

    Ni Soo iko wapi

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    10 ай бұрын

    Andika nisooo cocomedia