SAM WA UKWELI - KISIKI (Official Video)
Музыка
Published on March 29, 2017
This Song was written by Sam Wa Ukweli in Tanzania 2016 The beat was produced, mixed and got Mastered by Abbydady from Chaidas record Tanzania....The Video was shot in Tanzania by Director HOBO from Tanzania, on the 23th of Ferbuary 2017....
Пікірлер: 1 980
Anae sikiriza hi Ngoma 2024 gonga like 😢😢
@aishamchome1143
3 ай бұрын
2024/3 Muda huu nipo naisikiza kwa ham zote ❤❤❤
@alfredmongo1521
2 ай бұрын
Hi dear
@khadijafeda8598
2 ай бұрын
2024
Kwa hii 2024 wapi likes za kumkumbuka Sam Kweli
Wale bado wanapenda huu wimbo gonga like hapa 2024 ❤
Awa ndo walikuwa wasanii wa ukweli kama bado unasikiliza 2024 goga like hapa R.n p sam
Tuko mwaka wa 2023 naniko hapa nikiskiza hii nyimbo tamuu .Rest In Peace Sam
@shammyaccessories6067
Жыл бұрын
ErstcccxCXXFXÇ
@maggiekadii6766
Жыл бұрын
Same here
@korosharisonlive
Жыл бұрын
same here, kenya
@tumainijuma7659
Жыл бұрын
Hata mimi
@winnijames7330
Жыл бұрын
mmi pia bado narudia tu hii ngoma
Nani anasikiliza 2024 gonga like
Nan anasikiliza 2023,kama yupo aje hapa🥰🥰😍😍😊😊😊😊
@francisngulimi1051
Жыл бұрын
15/02/2023
@tiesca1766
Жыл бұрын
@aldairzettewachenje9353
Жыл бұрын
🔥❤️
@jofreyaloyce
Жыл бұрын
Nipo hap
@jaiferwille-eb8vf
Жыл бұрын
Nijewapi mam Mimi nasikiliza hii nyimbo ya Sam wahkweri kisik come mam
Nan anasikiliza nyimbo hii mwaka huu 2024
@user-nh9ly7gz1t
Ай бұрын
mm nasikiliza, na ninaupenda sana
@gracemwasomola9451
17 күн бұрын
Mimi
Nani yupo hapa 2024?🤭❤️
@patrickmachaba1169
Ай бұрын
Am here too😢
ambaye bado anaisikiliza mpaka leo 2024 like zenu
Atakayesikiliza 2050 Ataelewa Huyu Mwamba Alikuwa Ni Hakuna Mfano Na Bahati Mbaya Katuachia Pengo Lisilozibika Daima #RIP SAM WA UKWELI 🥺
2024 and this song still gives me goosebumps, Rip Sam wa ukweli.
2023 still bado naupenda huu wimbo rest in peace brother
Nani kasikiliza mwezi huu 4 mwaka 2024
Kama umemkumbuka samu wa ukwel 2020 achia like r.i.p
@anneamor6192
4 жыл бұрын
R.i.p
@justinajulius1912
4 жыл бұрын
Edwin Gwesso R I p
@geofreyniyonkuru5724
4 жыл бұрын
RIP bro
@ernestlaiza3306
4 жыл бұрын
Kifo kibaya
@georgenshashi1308
4 жыл бұрын
R.I.p,bro Sam,
WALE WA 2023..GONGA FIVE CHAPU WANANGU😥😥..R.I.P🇹🇷🇹🇷🇹🇷📚🖊
Nani bado anaskiza hii wimbo 2020 RIP Sam
Kama wamkumbuka Sam 2021 gonga like tujuane
@sarahmnota656
3 жыл бұрын
Rest in peace sam
@faridaali149
3 жыл бұрын
Rest in peace sam w ukwel
@ashashamte9685
2 жыл бұрын
Sam waukweri
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@ashashamte9685 😥😥😥😥😥😥
@robertndahani714
2 жыл бұрын
Mercy chebe mambo vio
Kama bado unaipigaa hii ngoma huu mwaka 2023 reply my comment!!!say r i P Sam wa ukweli😢😢
Kwa kweli nyimbo za zamani zilikua na mashahili mazuri sana, asannte sam pumzika kwa Amani 🙏
@mwatiasada
Жыл бұрын
Alale Mahalia pema aki
@leticiajohn3114
Жыл бұрын
Amina
@josephatmilinde9
Жыл бұрын
Hii sio ya zamani sema nzuli ndugu yangu,ila Mungu anajua nilipi linafaa kwa wakati gani tunabaki na tulimpenda ila yeye ndiye kampenda zaidi
Kila siku nasikiliza huu mziki lyrics zinaujumbe mzuri zinaeleweka, beat zuri alinigusa sana. RIP
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Kama niliona basi nishasahau lakini naikumbuka samaki na wenye majungu hata kwetu wapo nayo nzur ilipendwa
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Nakumbuka kipindi hicho inaimba Kuna Kuna msela tu njian I alivyoisikia inaimba akasema ni kweli kabisa hata kwetu wapo
@hassanmbaruku5290
4 жыл бұрын
Georgina Pembe Big up sana mdada,hata mimi naupenda sana
@kinggwaky4421
4 жыл бұрын
Hii nyimbo tamu sana. Ukisemea biti ndo kabisaaa tamu hadi raha
@astonymasawe6364
4 жыл бұрын
Sam waukweli R.i p
TUNAOJUA MUSIC, hili ni bonge la ngoma. vocal kali.
@koffianodichisesa238
4 жыл бұрын
Kabisa
@nasrajames5746
4 жыл бұрын
Kwahii ngoma atakama huelew utaelewa tu
@jogoyeshabani6063
3 жыл бұрын
Rip
@charlesshoide8287
3 ай бұрын
Ni zaidi ya Kali..RIP Sam
Team 2024 angusha like
Ukiangalia hi mwaka 2020 achia leke bas
@lameckzakaria3592
3 жыл бұрын
Tulikupenda ila mungu alikupenda Zaidi
@user-qk2br5ht7d
5 ай бұрын
Mwamba huyu punzika kwa amani
Who is here 2021 for sam ..let's keep his songs alive forever😘😘
R.IP I always play this song when I'm with my lovely wife, nyimbo inatufanya tu feel tupo wenyewe duniani as a King&Queen watching till 2019
@nahidnahid1544
5 жыл бұрын
Mung akueke sehm Ambyo inactahili n matend yk
@celinadulle4104
4 жыл бұрын
Nice
@ramadhanimohamedisheshe7073
4 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣❤
@devotamasanga8937
2 жыл бұрын
Huwa naumia San nikisikiliza huu wimbo
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@devotamasanga8937 😥😥😥😥😥🤝🤝
2020 Jamaniiiii Like za Uzuni Apa😧😧😧😧
@omaryismail82
3 жыл бұрын
Atariii
Still remember you 2020...this song touch me a lot and memories...continue R.I.P SAM.
@shanianamwasa7593
4 жыл бұрын
Jaman na mimi 2020 hii naiona kama imetoka jana yaan hakuna Expire date ngoma ya ukweli sana hii pumzika kwa Aman brother
@mariammariam1555
3 жыл бұрын
sichoki kuisikiliza hii nyimbo
@innocentntimba1145
3 жыл бұрын
@@shanianamwasa7593 hbbbhbbhbbbbbhvvvvvvvvvvvv. V
@allyboko7216
3 жыл бұрын
@@shanianamwasa7593;;;
@salvatorykyakwe8606
2 жыл бұрын
Sanaaaaaaaa daaah machozi huwa yanatokaga daah
Kama unamkumbuka sam wa ukweli gonga like!!!!!!
Daima tutakukumbuka Sam Wa ukweli
Rest easy bro Sam. Mwenyezi Mungu akurehemu In Shaa Allah
2024 still listening rest in peace sam😢😢😢
Kiukweli nliposikiliza huu wimbo nmeumia sana najikuta nalia tuu . sjui kwa nni ulikufa ukiwa bado unahitajika katika hili taifa na familia yako sam . pumzika kaka nami ntakuja
*Kizuri hakidumu aisee* *Ukisikiliza nyimbo za huyu MTU then uambiwe amekwisha kufariki inakuwa ngumu kuamini😢😢😭😭😭😭* Rest In Paradise SAM*
@dolininaftali1745
2 жыл бұрын
Daah bas mungu alimpenda zaidi
@kaingumasha174
7 ай бұрын
Huyu mwamba bana sema wa ukweli rip brother
2023 tuko hapa i still love song za sam wa ukweli
Ni mwishoni kabisa 2023 still hii nyimbo inanikumbusha mengi sanaa ,,,,, back in the days Rest Easy Wa Ukweli 🙏
Kumbe alikua msanii mkubwa nyimbo one million . Kadhaaa 2juane hapa watakao endelea kuitaza ht 2020
R.I.P legend of good musics, who is here 2023 nipe likes twende sawa
2024 mko wapi bado ngoma inaheat ...continue rest in peace star
@user-cz8cw5rl9t
13 күн бұрын
Nasikiliza nikiwa omani
2023 hapa nani mwingine
Who is watching in 2019 R I P sam
@zanzibartourguide4291
5 жыл бұрын
Andjelani Nyassa nipo mdau
@valarymkuru1939
5 жыл бұрын
Watching at Eldoret
@halimahalima5932
5 жыл бұрын
Watching at Uganda
@madonnahdonns8541
5 жыл бұрын
Such a talent mob love from Kenya 😘😘😘😘😘 RIP sam
@carolmwikali290
4 жыл бұрын
Watching from Kenya may his body Rip
Allah Akurehemu bro! Akusamehe maovu yako na ayafanye mazuri yako kuwa kivuli chako cha kukuweka mbali na adhabu za kabri-Amiin.Inauma sana ila kazi ya Allah siku zote haina makosa.
@onesmoandrew1339
2 жыл бұрын
Amiin
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@onesmoandrew1339 🤗🤗🤗
Dah punzika kwa amani kaka tutakukumbuka daima I R P😭😭😭 nikisikiliza hii nyimbo nahisi kulia dah 💔
@josephhumuli2927
Жыл бұрын
Duh rip bas tyu
Who Is Whatching In 2020 🔥🔥🔥😥😩Mziki Mzur Unaishi R.I.P 🙏Kama Unamkubali Samu Waukweli Gonga Like Na Comment 🥰🥰🤗Nice Song🔥💌
Daaah wangap wanaickiliz hii ngoma 2023 alaf bado tam ❤
Rest In Peace mwanangu SAM. Hii ngoma kali.
2021 Sam bado tunakuenzi au vipi wangwana?
Who's is here, the last day of 2023. Its 31 - 12 -2023, still listening to Sam wa Ukweli. RIP bro
daaaah Mungu mkubwa Sam kweli umekufa daaah r. i. p broo
I love this song ❤️❤️❤️❤️❤️...forever will be in my heart....❤️🌹❤️ Rest In Peace
Japokuwa ni 2023 bado naukubal huu wimbo it is very fantastic R.I.P Sam wa ukwel.
2024 still Bado napenda hii nyimbo R.I.P sam😢
Pumzika kwa amani Sam. Mziki mzuri kama huu tunaumiss kwenye gemu ya sahivi iliyojaa chuki
Sam left a landmark 🇰🇪 🇰🇪 Much love 🇹🇿
@nasorrosamatta4527
Жыл бұрын
Mwamba kaondoka na mziki wake
😭😭😭😭😭 you nakuelewa kinoma 24/09/2020 like kama na wew unalielewa ili songs
Kama Bado 2024 uko apa keep those likes coming,Rest in peace Legend😭😭💔💔🕊️🕊️🕊️
R I P MZEE BABA TUTAKUKUMBUKA DAIMA SAM.
@rutyrichady7930
3 жыл бұрын
Amina
@amadiali1420
3 жыл бұрын
R I P
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
innalilah wainnailah rajiiun maut achen tu ukiyafikiria mhhhh😭😭😭
@imanikifaru4948
3 жыл бұрын
Amina
Show love to hit makers coz when they are no more there is no coming back. RIP Sam wa Ukweli
Why you Sam.....whenever I listen to this song can't believe you went....forever remembered .R.I.P
Mwezi wa valentine day huu 2023
I loved this guy and his Music, R.I.P Sam , much Love from Niedersachsen Germany . Africa and the World has lost a Great Artist
In 2022 and still his music rocks continue resting well sam
@denisnyaga7329
Жыл бұрын
Listening it 2022
@mishi1829
Жыл бұрын
Rest in peace sam
2023 still here ah! Hii nyimbo tamu bhana❤
2024 nani mwengine anasikiliza tupia like hapo tujuane
@maslahmohamed1637
6 ай бұрын
🎉Mimi hapa date 6 2024😢❤
My favorite song ❤ RIP bro sam mungu azidi kuhilaza roho yako pema peponi 4 year now 🥺😭😭🥺 sisisote ndo njia yetu You still in my Heart ♥️
r i p big man we always loved you wherever u are...jamani wapi wapi likes za sam\
R I p Sam wa ukweli,kwakweli napenda nyimbo zako 2020 kama unaipenda nyimbo hii gonga like
Ngoma kali sana aisee Tanzania 🇹🇿 .... imempoteza Msanii Mkubwa sana💔💔 ..... Rest In Peace Ma Brother Sam ....🕊️
Your song sina raha once made me fail in love with my son's dad whom we loved each other so much he never got tired of playing your songs though we breaked up but I'm glad he left his duplicate for me but always on my mind and your song is the only thing I will keep on listing whenever I misses him......dear salum hammad wa ukweli rest In peace till we meet again I will always love you I'm very much hurt but kazi ya mungu haina makosa rest in peace Sam
😭😭😭😭😭😭 i r p Sam mbele yako nyuma yetu innalilah wainnalilah rajjuun
I still watching this beautfu song from my best artist of all time Sam wa Ukweli..... in Nov. 2022
Jmn hii song atar naskiza 2023 my favorite always
May your soul continue to rest in peace Kaka we still remember you kwa vitendo vyako we still here 2022💯 Kisiki 💯💯💯
R.I.P sam wa ukweli , ur songs still rocks all the way . 2019 ending who is with me
His songs never get old, mzuki 2023
Nime kuku mbuka sana brother samu 😢 ila tuta kutana kaka kifo ndo moja ya safari ya kila mwanadamu pumzika kaka samu 🙏 2020 Leo ujumbe uloacha kwa kwa voc song hii ume nigusa Sana 🙏🙏🙏🙏💖
Wimbo mzuri sana japo haukupewa nafasi redioni. REST IN PEACE BRO, tutakukumbuka kwa ngoma zako kama Sina Raha, Hata kwetu wapo na huu
Why him walai my ever favorite artist in TZ legend after ameamua kucom back with hit songs.. R. I. P Sam wa ukweli... Ata siamini bt God alikupenda sana r i p bro...
Dah huu wimbo unanikumbusha dem wangu alikuwa ananipenda sana nilikuwa nikimkosea ananiimbia 😢😢😭😭🙉 Gonga like 2020
@greysonjoseph1506
4 жыл бұрын
😂😂ilishia wap
@johnmatiko2596
4 жыл бұрын
@@greysonjoseph1506 😂😂😂bado movie inaendelea
Nyimbo Moja ambayo huwezi choka kusikiliza kwa masikio maana ina kale ka vibes from to the heart ❤️💜🙏🙏🙏 rip samu wa ukweli 🥲🥲
😭 still banging on my eardrums july 2020 .R.I.P SAM
r i p brw nakumbuka mara ya mwisho tulichat ukaniambia utakuja kweny show ila skubahatika kuonana na ww ila daaaah saw brw ahadi zako nazkumbuka san mungu akusamehe uishi peponi milele
@neemaiddy3750
5 жыл бұрын
Rip broo sam
@astonymasawe6364
3 жыл бұрын
Tarehe 6. 10. 2020 ngoma kali sana R.i.p Sam wa ukweli...
@zainabukizenga1077
3 жыл бұрын
Mitihani
@elisantemartini1837
3 жыл бұрын
Rest in peace
Continue resting in peace sam...😢 watching this in 2024...na bado nyimbo ni tamu
Ret in peace brother. But your songs will going on to live. U went afte us
@aromejohn5477
4 жыл бұрын
In deed tutammiss sana
Continue resting in peace legend
15-6-2020 Daimas J, Ukully Kutoka DSM. Naskiliza ngoma hii bado ipo Juu. R.R.P Samu😪hakika bado tunakukumbuka
@aishabenson960
3 жыл бұрын
2021
R I p Sam wa ukweli nakumbuka siku tumekutana karatu daaa ilikua bonge LA shoo
😢bro nilikupenda Mungu alikupenda zaidi pumzika kwa amani ukweli huu wimbo umenikumbusha
Imeweza sana hii ngoma,listening 2019.. R.I.P Sam
@sabrahedward1088
2 жыл бұрын
Yaani sijui nisemeje jamani jinsi ninavyoupenda huu wimbo.huwa nasikiliza kila siku iitwayo leo.mwenyezi mungu ampuguzie adhabu ya kaburini Aamina 🙏
@hannahiriga8830
2 жыл бұрын
😢
2022 and still miss your projects...Continue resting Sam
ALLAH AMSAMEHE AMHIFADH MKAMILIFU NI YEYE BINAADAM NIKIUMBE DHAIFU BASI MSAMEHE...SAME HII NYIMBO ALIFANYA KAZI KUBWA SANA...2023 Ukiisikiliza kama imetoka leo.allah AMSAMEHE mjawake,, Allah tusamehe wanadamu WOTE,,alie andaa hii instrument na producer mlifanya kazi team yote.mnajua.. mjitahid kufatilia HAKI ZAKE Ili ngugu wafaidi kazi za mtoto WAO
Natizama hio ngoma 26 june 2023 bado inaishi kwangu endelea kupumzika kwa aman brother salum ❤❤
rest in peace mkali but tunakukmbuka xana
Even in the presence of Kiba and Platinumz, you are my preference Sam... All the way from western Kenya umekubalika jamaa.......
@latifajonas8425
2 жыл бұрын
Binafs sam nilimpenda mpaka leo anaishi kwenye moyo wangu
R.i.p Sam 😭😭nakumbuka song zko mungu akuepushe kwa kila zito🤲🤲
Sam wa ukweli bado tunakutambua😢akujatokea mwingine kama wew bado❤
Leo nimekukumbuka Sana bro, may you continue resting in peace. Nitakuskiza Hadi kifo .
I never get tired of thz Song ,R.I.E.P. SAM. really love it.
Hongere sana uliyependa wimbo huu
2024 june nan kaja tena mwez kama huu kiiskia tena tuonane kwenye like