PASAKA SHEREHE ZA KULIPIWA DENI
Музыка
PASAKA NI KUKUMBUKA KIFO CHA YESU MSALABANI GHARAMA YA WOKOVU WETU NA KUSHEHEREKEA UKOMBOZI WETU TOKA DHAMBINI.
Isaya 53:5,7
[5]Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu,
Alichubuliwa kwa maovu yetu;
Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake,
Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
[7]Alionewa, lakini alinyenyekea,
Wala hakufunua kinywa chake;
Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni,
Na kama vile kondoo anyamazavyo
Mbele yao wakatao manyoya yake;
Naam, hakufunua kinywa chake.
1 Petro 2:24
[24]Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.
Пікірлер: 4
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏
Amen.❤.kuna kitu nimejifunza.mungu akutendee mema mutumishi.
Glory to God, what a great revelation that I have just received Amen
Thanks for your teachings mtumishi,so inspiring, God bless you always.