Waganga na wachawi ni mawakala wa shetan kama walivyo wachungaji ni mawakala wa Mungu na wao ndio walvyo ila suluhisho ni kujisalimisha kwa mwanaume YESU Kristo
@lanezboy70164 жыл бұрын
Mzee uko makin sana kama unamfatilia davista gonga like
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mambo ya ajabu kweli humu duniani.
@cosmaslagat50233 жыл бұрын
Bosi wetu, wacha baground music tafadhali part 1
@estasage55064 жыл бұрын
Wow! And Jesus Christ God among us humans said a kingdom that's is divided against itself shall fail... the lord Jesus Christ is the greatest. Wow! Gin ataweza kakuache halafu wewe kabaki Bila ulinzi.... hum! True because the devil is not omnipotent, omniscient, omnipresent... only our God the GREAAAAAAAATEST is. Praise be the lord GOD ALMIGHTY.
@lilhussle80774 жыл бұрын
Hhhhhh daaah mtaalam kaniacha hoi ety maandaz ya chai
@hamisihamso36994 жыл бұрын
mtaalam amepitia maisha ambayo hakuna mwanadamu mwengine amewahi kupitia looo'
@mcmifukotz72674 жыл бұрын
Msimulizi anawapa watu faida maana ana brand kifuani
@abdullahnattepe10514 жыл бұрын
Hongera davister endelea kutufunza good job
@PaulDeus-jh7jn11 ай бұрын
Dungu yangu nakusihi njoo kwa yesu ingali uko hai jehanamu ikimbie maana hakuna mwanadamu atamuona Mungu aliye Muganga, mwabudu mizimu, pamoja na uchafu wote wa shetani.
@sultanaswaleh88924 жыл бұрын
Nafurahiya sana usumulizi wa huyo bwana👏👏👏🇰🇪
@catherinedavidy90174 жыл бұрын
Hii iko vizuri
@SamsungA-su2qj4 жыл бұрын
974 natizama ndani ya Qatar apo ktk kibwengo tu 🤣🤣🤣 kumbe kinapiga fegi
@unyakuotv.13914 жыл бұрын
nimekuja kukoment tu .. sina haja ya kumsikiliza
@happinessmwenda27734 жыл бұрын
Tumkimbilie YESU yeye ni mlinzi na ashindwi kitu.
@fredchaki95914 жыл бұрын
This world is full of surprise...!!! Duu... Simchezo Mambo ya dunia
@kizakadafiomar20674 жыл бұрын
Mmmmmh niatar mambo ya dunia
@shukurumkane3602 Жыл бұрын
Namfahamu uyu baba
@piusdeusmtotowayesu79134 жыл бұрын
Tuelewe tu wa tz na dunia kwa ujumla ni kwamba ufalme wa shetwan umefitinika anaekuloga na anaekuagua baba yao ni mmoja ambae ni shetwan wote niwatumwa wa shetan hukwepi hapo
@sophiacharles72102 жыл бұрын
ee mwenyenzi mungu tusaidie,
@princesssway13964 жыл бұрын
Asante kwa number
@magdalenamatiko99954 жыл бұрын
Davistar we noma,naona umekwepa tano za mganga nani kaona
@estatekisombola9251
4 жыл бұрын
Nimeona mimi
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
Estate Kisombola umeona nini?
@sureommaboiy69404 жыл бұрын
Atari Sana Du Uyu Jamaa Yupo kria Sana
@fakihdarusi43854 жыл бұрын
Nayeye huyu mwanga tu kama wengine,
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
fakih darusi 🤣🤣
@ZainabZainab-tv9ir4 жыл бұрын
Dunia inamambomengi kwakweli ongerasan kaka kwajuhudizako nakwakutuilimish 🇧🇮
@DWAYNEKI
4 жыл бұрын
Holla Zainab upo Burundi ?
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
🤦♀️ Dunia hiiii nihatari Sana Davistar maswali Sasa mmmmmmh huogopiii
@faidhirashidi13544 жыл бұрын
Dunia ina mambo mengii
@fridambwiliza1904 жыл бұрын
Dunia hii unamuona mtu kumbe ana mambo mengi naomba nibaki nilivyo
Amekuibia nini? Watu tunajifunza wewe Unaleta usenge
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
@@mzalendomtanzania4069 afadhali ulivyomjibu
@unyakuotv.13914 жыл бұрын
WE DAVISTA MATA MATA- uwe unawafanyia liesu kwanza kabla huja washa camera yako maana huyo jamaa bdo akili yake ipo kuzimu yawezekana anajua anaongea ya maana kumbe 000000
@mimamelchior78214 жыл бұрын
Hatar kwa kweri
@mpendaomary5705
4 жыл бұрын
VP mlembo nimekubal
@mimamelchior7821
4 жыл бұрын
@@mpendaomary5705 ok kama umekubali
@mpendaomary5705
4 жыл бұрын
wapi hiyo
@mimamelchior7821
4 жыл бұрын
@@mpendaomary5705 😂😂unataka kuja 😂mbali ila nitz lkn sipo tz
@carolinetalam58324 жыл бұрын
Wonders shall never cease to happen in this world +254 🇰🇪
@Rose-pz8es4 жыл бұрын
Whats the code for calling his number for international call...which country he live? Thanks
@Mumiiru
4 жыл бұрын
+255 Tanzania
@Mumiiru
4 жыл бұрын
+255
@Rose-pz8es
4 жыл бұрын
@@Mumiiru thanks dear
@asingakanimwanapotoyakala80533 жыл бұрын
Mzee tunamukubali saaana ,vipi jaribu kumuliza anauwezo pia yakumfanya mtu awe tajiri ?
@hameedmbogo36334 жыл бұрын
Hii p2 ama 1
@ibrahimaziz71584 жыл бұрын
Mwanga huyo asidai mizimu imekataaaa
@fadhiliswalehe9286
4 жыл бұрын
Kweli
@demitrahawkins54574 жыл бұрын
This man is confused
@annajoseph99554 жыл бұрын
Kama kuna mchawi anaangalia hii interview aache mara moja shenzi kabisa
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@elizabethmabula101
4 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
@@elizabethmabula101 wachaw wanaboa
@sophiacharles7210
2 жыл бұрын
na kweli wanakera
@zoey26354 жыл бұрын
Mungu wa wachawi ibilisi wewe firauni alikufa zamani
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
Unahisi wewe firauni alikua mmoja tu au
@faidhirashidi13544 жыл бұрын
Part 3🔥🔥🔥
@mcmifukotz72674 жыл бұрын
Davister 👍👍👍
@godfreyjoseph8399
4 жыл бұрын
Nakubali
@hamidibrahim53693 жыл бұрын
Huyu jamaa matibabu yake halal ama haramu??? vile najua kutumia majini kutibu uchawi ama kutoa majini ni haramu... kuna shekhe hapa afanunue tafadhali
@ogenylaurent7961
2 жыл бұрын
Kutoa Jini ni haramu kitabu gani kimekufunza hivyo?
@samwelalphonc88084 жыл бұрын
huyu mzee kiboko aiseee
@castomike60374 жыл бұрын
Tunataka umalizie mkasa wa Alexander
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Unaendelea leo
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
Uyu m, babu kweli ni mchawi mganga maana anaeleza Mule Mule ila anatuharibia kazi zetu na nitamsemea kwa Mkulu wetu c anajifanya anajua ataona Hebu nielekeze anapatikana wapi
Пікірлер: 76
Waganga na wachawi ni mawakala wa shetan kama walivyo wachungaji ni mawakala wa Mungu na wao ndio walvyo ila suluhisho ni kujisalimisha kwa mwanaume YESU Kristo
Mzee uko makin sana kama unamfatilia davista gonga like
Mambo ya ajabu kweli humu duniani.
Bosi wetu, wacha baground music tafadhali part 1
Wow! And Jesus Christ God among us humans said a kingdom that's is divided against itself shall fail... the lord Jesus Christ is the greatest. Wow! Gin ataweza kakuache halafu wewe kabaki Bila ulinzi.... hum! True because the devil is not omnipotent, omniscient, omnipresent... only our God the GREAAAAAAAATEST is. Praise be the lord GOD ALMIGHTY.
Hhhhhh daaah mtaalam kaniacha hoi ety maandaz ya chai
mtaalam amepitia maisha ambayo hakuna mwanadamu mwengine amewahi kupitia looo'
Msimulizi anawapa watu faida maana ana brand kifuani
Hongera davister endelea kutufunza good job
Dungu yangu nakusihi njoo kwa yesu ingali uko hai jehanamu ikimbie maana hakuna mwanadamu atamuona Mungu aliye Muganga, mwabudu mizimu, pamoja na uchafu wote wa shetani.
Nafurahiya sana usumulizi wa huyo bwana👏👏👏🇰🇪
Hii iko vizuri
974 natizama ndani ya Qatar apo ktk kibwengo tu 🤣🤣🤣 kumbe kinapiga fegi
nimekuja kukoment tu .. sina haja ya kumsikiliza
Tumkimbilie YESU yeye ni mlinzi na ashindwi kitu.
This world is full of surprise...!!! Duu... Simchezo Mambo ya dunia
Mmmmmh niatar mambo ya dunia
Namfahamu uyu baba
Tuelewe tu wa tz na dunia kwa ujumla ni kwamba ufalme wa shetwan umefitinika anaekuloga na anaekuagua baba yao ni mmoja ambae ni shetwan wote niwatumwa wa shetan hukwepi hapo
ee mwenyenzi mungu tusaidie,
Asante kwa number
Davistar we noma,naona umekwepa tano za mganga nani kaona
@estatekisombola9251
4 жыл бұрын
Nimeona mimi
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
Estate Kisombola umeona nini?
Atari Sana Du Uyu Jamaa Yupo kria Sana
Nayeye huyu mwanga tu kama wengine,
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
fakih darusi 🤣🤣
Dunia inamambomengi kwakweli ongerasan kaka kwajuhudizako nakwakutuilimish 🇧🇮
@DWAYNEKI
4 жыл бұрын
Holla Zainab upo Burundi ?
🤦♀️ Dunia hiiii nihatari Sana Davistar maswali Sasa mmmmmmh huogopiii
Dunia ina mambo mengii
Dunia hii unamuona mtu kumbe ana mambo mengi naomba nibaki nilivyo
Duuhh tugee muendelezo
Mandazi ya chai😂😂😂😂
Part 1 upo wapi jaman🙄maajabu haya
Duh huyo jama nimtu wahikma sanaaa
WONDER SHALL NEVER END +257 🇧🇮 +47 🇳🇴
Waache kuibia watu, huyu babu ache kudanganya watu.
@mzalendomtanzania4069
4 жыл бұрын
Amekuibia nini? Watu tunajifunza wewe Unaleta usenge
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
@@mzalendomtanzania4069 afadhali ulivyomjibu
WE DAVISTA MATA MATA- uwe unawafanyia liesu kwanza kabla huja washa camera yako maana huyo jamaa bdo akili yake ipo kuzimu yawezekana anajua anaongea ya maana kumbe 000000
Hatar kwa kweri
@mpendaomary5705
4 жыл бұрын
VP mlembo nimekubal
@mimamelchior7821
4 жыл бұрын
@@mpendaomary5705 ok kama umekubali
@mpendaomary5705
4 жыл бұрын
wapi hiyo
@mimamelchior7821
4 жыл бұрын
@@mpendaomary5705 😂😂unataka kuja 😂mbali ila nitz lkn sipo tz
Wonders shall never cease to happen in this world +254 🇰🇪
Whats the code for calling his number for international call...which country he live? Thanks
@Mumiiru
4 жыл бұрын
+255 Tanzania
@Mumiiru
4 жыл бұрын
+255
@Rose-pz8es
4 жыл бұрын
@@Mumiiru thanks dear
Mzee tunamukubali saaana ,vipi jaribu kumuliza anauwezo pia yakumfanya mtu awe tajiri ?
Hii p2 ama 1
Mwanga huyo asidai mizimu imekataaaa
@fadhiliswalehe9286
4 жыл бұрын
Kweli
This man is confused
Kama kuna mchawi anaangalia hii interview aache mara moja shenzi kabisa
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@elizabethmabula101
4 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
@@elizabethmabula101 wachaw wanaboa
@sophiacharles7210
2 жыл бұрын
na kweli wanakera
Mungu wa wachawi ibilisi wewe firauni alikufa zamani
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
Unahisi wewe firauni alikua mmoja tu au
Part 3🔥🔥🔥
Davister 👍👍👍
@godfreyjoseph8399
4 жыл бұрын
Nakubali
Huyu jamaa matibabu yake halal ama haramu??? vile najua kutumia majini kutibu uchawi ama kutoa majini ni haramu... kuna shekhe hapa afanunue tafadhali
@ogenylaurent7961
2 жыл бұрын
Kutoa Jini ni haramu kitabu gani kimekufunza hivyo?
huyu mzee kiboko aiseee
Tunataka umalizie mkasa wa Alexander
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Unaendelea leo
Uyu m, babu kweli ni mchawi mganga maana anaeleza Mule Mule ila anatuharibia kazi zetu na nitamsemea kwa Mkulu wetu c anajifanya anajua ataona Hebu nielekeze anapatikana wapi
@khadijamwenda1851
Жыл бұрын
We mchawi kumbe mtafute😂😂😂
Ila bosi kwa kukutupa habari
@simonthomas2219
4 жыл бұрын
Haya mambo yapo.
uwiii mandazi ya kunywea chai tena mmmmmh