PART 2: AY KUACHANA NA MKE WAKE / UGOMVI NA FA / COLABO NA TYGA

Ойын-сауық

Rapper mwenye heshima kubwa kwenye muziki wa Bongo #AY amezungumza na #Bdozen kupitia Dozen Selection na amesimulia historia ya Maisha yake EXCLUSIVE kuanzia Kufanya Kulala kwenye Kontena Hadi Kumiliki Nyumba Marekani.
Follow Us Instagram - / dozenselection

Пікірлер: 109

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo46085 жыл бұрын

    Sijui kama ni mimi tuuu au wapo kama mimi!!!!!?? Napenda interview bila ya sauti ya mziki ili nisikilize kwa utulivu. Kwasababu interview zako ni nzuri sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga9575 жыл бұрын

    Hawa ndio wasanii wenye wamekomaa alafu Tajiri lkn hana show off kabisa...... AY interview zake 🔥 🔥 🔥watching from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦

  • @fatmasayid9152
    @fatmasayid91525 жыл бұрын

    AY bro unajielewa Bdozen tunataka watu kama hawa good interview thanks next time bro Fa

  • @HOODONLINETV
    @HOODONLINETV5 жыл бұрын

    Marehemu Ruge ana mchango mkubwa kwa kila msanii tunaemuona anamafanikio ya kuonekana na yasiyoweza onekana kwa macho ya kawaida.

  • @monjeshaban1102
    @monjeshaban11025 жыл бұрын

    Bonge la star Ambwene yesaya unajitambua kaka nakuelewa sana

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi18085 жыл бұрын

    Asante kwa sauti nzuri leo, Asante kwa matumizi ya Lapels, ila muwe mna fanya balancing ya sauti, leo Dozen sauti yako iko juu kuliko ya Ambwene

  • @gasperpatrick7023
    @gasperpatrick70235 жыл бұрын

    Hiki kichwa ni moja ya wana hip hop Bongo ambao wameleta heshima kwenye industry ya music wetu. Pia nje music ni bonge la Businessman that's why always your shining

  • @victorianbenardnachenga6839
    @victorianbenardnachenga68395 жыл бұрын

    AY uko vzr sana mwana keep it up bro..!!!

  • @mabulathobias6237
    @mabulathobias62374 жыл бұрын

    The true legend of bongo music

  • @mcmwamba8152
    @mcmwamba81525 жыл бұрын

    AY my home boy, I appreciate you

  • @maxkimaro4740
    @maxkimaro47405 жыл бұрын

    AY amefanya kubwa Tz,anastahili heshima kubwa,ila anakuoji ni kinega amekandamiza wasanii wengi,ila Mungu ni mwema clouds awapangi riski respect for Hip hop

  • @abubakarabuero5137
    @abubakarabuero51375 жыл бұрын

    Nipeni likes za AY from 254 code 001

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania93795 жыл бұрын

    AY na pesa zake lakin hajionyesho wala hana dharau kila la khery kwako bro

  • @bigboyben6932
    @bigboyben69325 жыл бұрын

    First of all mmependeza.sec Bonge la interview,big up Hamis!third,maswali mazuri na muhimu kabisa and good enough mr Toyoyo mwenyewe kama kawaida anajibu as expected!Shout out to you all man.#dozenselectection is 🔥🔥

  • @markostar8175
    @markostar81755 жыл бұрын

    kama unaamini dozen atatoboa kama miladiayo like chini hap

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo97645 жыл бұрын

    My favorite Song All time Bongo Ni Yule 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tausisande9272

    @tausisande9272

    5 жыл бұрын

    King Ndinyo

  • @salumjumah4820
    @salumjumah48205 жыл бұрын

    bonge la interview big up dozenselection

  • @yusuphmussa6589
    @yusuphmussa65895 жыл бұрын

    Mazee naskia alufu ya ankraa ankraa Big up 👆 AY

  • @marygaspary199

    @marygaspary199

    5 жыл бұрын

    Yusuph Mussa :Siyo halufu ni harufu : kaka kiswahili ni Lulu

  • @mayagillamussa9486
    @mayagillamussa94865 жыл бұрын

    hongera sn b12 hujakata jina la dudu baya

  • @ayanmilitiatmk146
    @ayanmilitiatmk1465 жыл бұрын

    Sauti ya Ankara 💪💪💪 254 in da house.

  • @leggiahennesey4203
    @leggiahennesey42035 жыл бұрын

    Toa sauti ya mziki inakela maneno ayasikiki vzr

  • @emmamawasi9010
    @emmamawasi90105 жыл бұрын

    Nimemkubali sana kaka mkubwa Ay

  • @lindatemu8040
    @lindatemu80405 жыл бұрын

    Kwenye track Hii ya Hammy b Cheki moneymoney. Sharap kwako

  • @MichaelMwakibolwa
    @MichaelMwakibolwa5 жыл бұрын

    Likes Kwa Legendary AY, Tujuane apa🇹🇿+255

  • @Remmy_Remmah
    @Remmy_Remmah5 жыл бұрын

    Jamani usieke mziki maneno mengine mpaka nirudilie😐

  • @gershomndume308
    @gershomndume3085 жыл бұрын

    Kaka mkubwa anaongea kistarabu Sana Yani uwezi hamini anacho ongea Ni kweli anamjengo wake uku🇺🇸

  • @gershomndume308

    @gershomndume308

    5 жыл бұрын

    Thanks 😘😘❤️

  • @afrotv3982
    @afrotv39825 жыл бұрын

    Legends

  • @adamringo9608
    @adamringo96085 жыл бұрын

    hajasema lakini! wameachana au bado wapo pamoja. napenda sana niskie kuwa wapo pamoja bado. itapendeza mnoo!

  • @jofreyjulias3745
    @jofreyjulias37455 жыл бұрын

    Wewe sijui naweza kukuzawadia nini Ila nakuombea kwamungu

  • @honestyerasto
    @honestyerasto5 жыл бұрын

    Bonge moja la interview.

  • @vanwizzy8658
    @vanwizzy86585 жыл бұрын

    Roll models @AY @ DOZEN

  • @MRUMEMECOMMRCOILMRUMEMECOMMRCO
    @MRUMEMECOMMRCOILMRUMEMECOMMRCO5 жыл бұрын

    B dozen nakukubali sana mzee baba piga kazi mkuu na mungu akubariki ufike mbali # mr umeme.com #mr coil SINGIDA TANZANIA

  • @markjuliusdaud8005
    @markjuliusdaud80055 жыл бұрын

    Bdozen utuoneshe choo jamani ujue nyumba ni choo.

  • @festomapanga4720
    @festomapanga47205 жыл бұрын

    Bonge moja la Interview salute Sana Bdozen

  • @mussayukopoakogjlsultan3816
    @mussayukopoakogjlsultan38165 жыл бұрын

    B Dozen Nakukubali Bro

  • @samirnaty8774
    @samirnaty87745 жыл бұрын

    Very nice

  • @leilahhassan6621
    @leilahhassan66215 жыл бұрын

    Unakwama sauti tuu

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca5 жыл бұрын

    Pamoja sana.. interview yaKizazi sana...🙌🙌🙌🙌

  • @chapaboe3317
    @chapaboe33175 жыл бұрын

    Sawaaa

  • @juliusnyambo4325
    @juliusnyambo43255 жыл бұрын

    Sauti iko chini sana

  • @ayubukalinga9499
    @ayubukalinga94995 жыл бұрын

    Nakbar

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja69805 жыл бұрын

    machoni kama watu

  • @fidelismyovela2834
    @fidelismyovela28345 жыл бұрын

    Interview zna viwango sanaaa B12

  • @samgaya
    @samgaya5 жыл бұрын

    Madini ni mengi mnoo

  • @cashiermombasa2734
    @cashiermombasa27345 жыл бұрын

    good stuff motivating and inspirational but also boring coz maswali ni yale yale nothing new

  • @cashiermombasa2734

    @cashiermombasa2734

    5 жыл бұрын

    @@nampendajonas4362 when i talk about new question as in something we as fans hatujui coz stori za Ay tz kulala kwa container tunajua about the east coast akina mwana fa,Gk we all know that but we want to know more you feel me.If you have listened to ll Ommy the playlist you'll understand what i mean he does his home work well till you are surprised how he knew all that stuff about a celebrity same applies to Jonii joo wa know you know something new to ours ears that what we want

  • @cashiermombasa2734

    @cashiermombasa2734

    5 жыл бұрын

    @@nampendajonas4362 kweli kabisa ila jamaa nimempa shavu mwanzo ndio nkamwambia it was boring just becoz vitu havikua vipya nway kukosolewa ni kati ya vitu muhimu anavyohitaji yeyote yule mwenye njaa ya mafanikio instead nimvishe mtu kilemba cha ukoka na ilihali najua wazi nampoteza.its my hope Mr.Dozen anapitia comments and if he does he is supposed to be happy if he doesnt go through the comments shame on him coz he will never grow meanwhile im a fan of his programme and i follow him alot and im hoping to see change ,peace up...bless up

  • @cashiermombasa2734

    @cashiermombasa2734

    5 жыл бұрын

    @@nampendajonas4362 naiwe hivyo

  • @j.nyembe3839
    @j.nyembe38395 жыл бұрын

    best interview 👍

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa68075 жыл бұрын

    Fanya interview na mwana falsafa ili na yeye tujifunze kupambana

  • @hassanmkuta5092
    @hassanmkuta50925 жыл бұрын

    mzee interview kavu sana hata fursa ya kunywa maji hamna!

  • @sakinaomar2090
    @sakinaomar20905 жыл бұрын

    Shikamooo AY

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    5 жыл бұрын

    Sakina Hivi unafanya na mahojiano na msanii,yaani wewe hiyo ni kazi yako boss wako kama hawezi kuleta hata chupa za maji tu kupooza koo,wewe mfanyakazi kwa nn usichangamkie fursa uingie mkataba na kampuni ya maji safi yoyote ya kunywa wakakulipa kila unapofanya mahojiano unaweka chupa japo mbili kwa mbele unatangaza pia biashara yao ehhh?,ni biashara pia hii au vipi kama siyo maji hata juice,dakika zoote nimetizama sikuona kinywaji chochote tuwe wabunifu jamani,huyu kama mfanyakazi wa redio kashindwa hilo je boss wake na yeye hakuliona,kama hakuliona boss au wameshindwa maelewano ya malipo basi jagi tu la kawaida la maji au juice🙏🙏🙏 fursa nyengine siyo tuziangalie.

  • @mohamedmustafa8336
    @mohamedmustafa83365 жыл бұрын

    Nakukubali mzee

  • @henryedmund1046
    @henryedmund10465 жыл бұрын

    Dozen dizaini kama unaiogopa camera... 😃😃

  • @abdallashabaani4560
    @abdallashabaani45605 жыл бұрын

    Big up Ay

  • @edwiniedwin3530
    @edwiniedwin35305 жыл бұрын

    Legendary #AY

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga35355 жыл бұрын

    Baba ako please with

  • @nasrakibonye2256
    @nasrakibonye22565 жыл бұрын

    Uwe unazima redio unapomhoji mtu

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga35355 жыл бұрын

    Baba ako

  • @abdallashabaani4560
    @abdallashabaani45605 жыл бұрын

    Nice show

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle8215 жыл бұрын

    Sauti ya muziki kubwa sana aisee. Inaboa

  • @joshuaprincess2167
    @joshuaprincess21675 жыл бұрын

    Dozen selection ni 🔥

  • @allydisi3656
    @allydisi36565 жыл бұрын

    Masauti ya kichoko hyo masound umeweka Dinqi sauzi zenu ni.maqood SNA next ukiweka hyo makelele na mm nakupiqia makelele dinq

  • @hellenimmaculate5953
    @hellenimmaculate59535 жыл бұрын

    Tuliozaliwa 1999 tunashangaa tu😂😂

  • @lykamlaki1218

    @lykamlaki1218

    5 жыл бұрын

    😂

  • @datikazumari515
    @datikazumari5155 жыл бұрын

    ya kizazi sana

  • @CSWafrica
    @CSWafrica5 жыл бұрын

    zeeeee magnifical

  • @eliasakitasa7141
    @eliasakitasa71415 жыл бұрын

    Show kali

  • @zephaniamayeye4902
    @zephaniamayeye49025 жыл бұрын

    IMEKAAAA VYEMAAAA

  • @urunyaraurunyara8220
    @urunyaraurunyara82205 жыл бұрын

    Umesema mwaka 1997 ulikuw na miaka 15 alfu tena apo apo ulkuw high school mmmmhh

  • @yohanabillges6131

    @yohanabillges6131

    5 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿AY 💪

  • @fatumaabdallah9972

    @fatumaabdallah9972

    5 жыл бұрын

    Alikuwa form 2 ndo kipindi alichotumia ela yake ya matumizi ya shule kuandaa show

  • @barackshao3497
    @barackshao34975 жыл бұрын

    Umetisha bro...

  • @clementchacha74
    @clementchacha745 жыл бұрын

    1997 alikua 15yrs. Na 1996 alikua high school?

  • @sijakibwana6745

    @sijakibwana6745

    5 жыл бұрын

    Clement Chacha yaa kwa mahesabu ya haraka haraka alianza la kwanza anamiaka 6 akamaliza la saba na 13

  • @thommyocachu165

    @thommyocachu165

    5 жыл бұрын

    Hata mimi amenichanganya hapo. Then 2004 alikua na miaka 22

  • @liliannyonela1185

    @liliannyonela1185

    5 жыл бұрын

    a bit confusing kwakweli

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic5 жыл бұрын

    ona hii kzread.info/dash/bejne/a22pl8eTgbCfcbA.html

  • @APS732
    @APS7325 жыл бұрын

    Ushauri kwa bro Dozen;-Kwanza hongera kwa bonge la kipindi mjini ushauri wangu ni kwa camera man wako ame stick sehem moja upper face tu na remember this is business kuna muda atuonyeshe viatu saa full body pia ukiwa uliza wametupia shingap kwenye kutupia ina waipress watu wa aina mbali mbali coz usifikiri mtu ana amua kuangalia coz ya kitu flan.......ivo yan for more issues 0689736873.

  • @joesimba
    @joesimba5 жыл бұрын

    24:14 Hahahah eti Kweli we mzee wa commercial

  • @samsilayo6923
    @samsilayo69235 жыл бұрын

    Makin

  • @khalidikibakuli132
    @khalidikibakuli1325 жыл бұрын

    imekaa pwh sana mmekutana wote vichwa vya shule

  • @zefamange7281
    @zefamange72815 жыл бұрын

    RUDI NYUMBANI TUKUYU UKAOE HUKO

  • @smartmussadozen3535
    @smartmussadozen35355 жыл бұрын

    zee ay rol modo

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi15505 жыл бұрын

    bro kwa connection shikamoo

  • @christopherjames3684
    @christopherjames36845 жыл бұрын

    Bro dozen mtafute na bro KBC wa kwanza Unit uzungumze nae..

  • @helenaalfred4413
    @helenaalfred44135 жыл бұрын

    Hiyooo beat Dozen itoee. Msikilizajiii asikilizee sautiiii tuu. Interview haisikiki vizuriiii. Plus maswali yakooo ni common

  • @henryedmund1046
    @henryedmund10465 жыл бұрын

    Ya kiofsaa kabisa

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa58725 жыл бұрын

    tajiri

  • @odaxrichard9882
    @odaxrichard98825 жыл бұрын

    d huyu jamaa ana akili mingi sana

  • @ramadhanabdy9734
    @ramadhanabdy97345 жыл бұрын

    Sauti inakua chini sanaaa

  • @mandyfitnesstv6738

    @mandyfitnesstv6738

    5 жыл бұрын

    Ongeza volume..!!!

  • @hamisdaud3864

    @hamisdaud3864

    5 жыл бұрын

    Ay fundi

  • @bigboyben6932

    @bigboyben6932

    5 жыл бұрын

    Ramadhan Ramadhan bob unaskizia nn?

  • @ramadhanabdy9734

    @ramadhanabdy9734

    5 жыл бұрын

    @@bigboyben6932 sndio

  • @ramadhanabdy9734

    @ramadhanabdy9734

    5 жыл бұрын

    @@mandyfitnesstv6738 nshaongezaaaa

  • @urunyaraurunyara8220
    @urunyaraurunyara82205 жыл бұрын

    Ayo mahojiano mbna km yana udanganyifu ndani yake,

  • @goodkafaya502
    @goodkafaya5025 жыл бұрын

    Slunt jomba uko poa

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz20075 жыл бұрын

    Donen uwe unabadilisha studio na sio mbayaa ukiwa unataja kuwa utakuwa studio gani na msanii au mtu furani ...

  • @vanwizzy8658

    @vanwizzy8658

    5 жыл бұрын

    Mnyaki Tz hawez kubadirisha studio wakati hapo ndo mahali pa kazi n nioffice yake anatakiwa kuibrand

  • @husseinmushi

    @husseinmushi

    5 жыл бұрын

    Van Wizzy Hapo no WANENE STUDIO

  • @youngsunner2763
    @youngsunner27635 жыл бұрын

    Interview nzur dozen sema next time uweke hata maji kwa ajl ya kulainisha koo,umeskika Mara nyng ukikohoa naamn yangekuwepo maj ingekuwa frsh

  • @burudanitv874

    @burudanitv874

    5 жыл бұрын

    young sunner maji lzma awe sponsor wa kipindi c uweke maji zeni usilipwe

  • @youngsunner2763

    @youngsunner2763

    5 жыл бұрын

    Yeah,,sema anaweza mimina maji akaweka kwenye glass alafu lile kopo la maj lisionekane

Келесі