PART 2: AY KUACHANA NA MKE WAKE / UGOMVI NA FA / COLABO NA TYGA
Ойын-сауық
Rapper mwenye heshima kubwa kwenye muziki wa Bongo #AY amezungumza na #Bdozen kupitia Dozen Selection na amesimulia historia ya Maisha yake EXCLUSIVE kuanzia Kufanya Kulala kwenye Kontena Hadi Kumiliki Nyumba Marekani.
Follow Us Instagram - / dozenselection
Пікірлер: 109
Sijui kama ni mimi tuuu au wapo kama mimi!!!!!?? Napenda interview bila ya sauti ya mziki ili nisikilize kwa utulivu. Kwasababu interview zako ni nzuri sana
Hawa ndio wasanii wenye wamekomaa alafu Tajiri lkn hana show off kabisa...... AY interview zake 🔥 🔥 🔥watching from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
AY bro unajielewa Bdozen tunataka watu kama hawa good interview thanks next time bro Fa
Marehemu Ruge ana mchango mkubwa kwa kila msanii tunaemuona anamafanikio ya kuonekana na yasiyoweza onekana kwa macho ya kawaida.
Bonge la star Ambwene yesaya unajitambua kaka nakuelewa sana
Asante kwa sauti nzuri leo, Asante kwa matumizi ya Lapels, ila muwe mna fanya balancing ya sauti, leo Dozen sauti yako iko juu kuliko ya Ambwene
Hiki kichwa ni moja ya wana hip hop Bongo ambao wameleta heshima kwenye industry ya music wetu. Pia nje music ni bonge la Businessman that's why always your shining
AY uko vzr sana mwana keep it up bro..!!!
The true legend of bongo music
AY my home boy, I appreciate you
AY amefanya kubwa Tz,anastahili heshima kubwa,ila anakuoji ni kinega amekandamiza wasanii wengi,ila Mungu ni mwema clouds awapangi riski respect for Hip hop
Nipeni likes za AY from 254 code 001
AY na pesa zake lakin hajionyesho wala hana dharau kila la khery kwako bro
First of all mmependeza.sec Bonge la interview,big up Hamis!third,maswali mazuri na muhimu kabisa and good enough mr Toyoyo mwenyewe kama kawaida anajibu as expected!Shout out to you all man.#dozenselectection is 🔥🔥
kama unaamini dozen atatoboa kama miladiayo like chini hap
My favorite Song All time Bongo Ni Yule 🔥🔥🔥🔥🔥
@tausisande9272
5 жыл бұрын
King Ndinyo
bonge la interview big up dozenselection
Mazee naskia alufu ya ankraa ankraa Big up 👆 AY
@marygaspary199
5 жыл бұрын
Yusuph Mussa :Siyo halufu ni harufu : kaka kiswahili ni Lulu
hongera sn b12 hujakata jina la dudu baya
Sauti ya Ankara 💪💪💪 254 in da house.
Toa sauti ya mziki inakela maneno ayasikiki vzr
Nimemkubali sana kaka mkubwa Ay
Kwenye track Hii ya Hammy b Cheki moneymoney. Sharap kwako
Likes Kwa Legendary AY, Tujuane apa🇹🇿+255
Jamani usieke mziki maneno mengine mpaka nirudilie😐
Kaka mkubwa anaongea kistarabu Sana Yani uwezi hamini anacho ongea Ni kweli anamjengo wake uku🇺🇸
@gershomndume308
5 жыл бұрын
Thanks 😘😘❤️
Legends
hajasema lakini! wameachana au bado wapo pamoja. napenda sana niskie kuwa wapo pamoja bado. itapendeza mnoo!
Wewe sijui naweza kukuzawadia nini Ila nakuombea kwamungu
Bonge moja la interview.
Roll models @AY @ DOZEN
B dozen nakukubali sana mzee baba piga kazi mkuu na mungu akubariki ufike mbali # mr umeme.com #mr coil SINGIDA TANZANIA
Bdozen utuoneshe choo jamani ujue nyumba ni choo.
Bonge moja la Interview salute Sana Bdozen
B Dozen Nakukubali Bro
Very nice
Unakwama sauti tuu
Pamoja sana.. interview yaKizazi sana...🙌🙌🙌🙌
Sawaaa
Sauti iko chini sana
Nakbar
machoni kama watu
Interview zna viwango sanaaa B12
Madini ni mengi mnoo
good stuff motivating and inspirational but also boring coz maswali ni yale yale nothing new
@cashiermombasa2734
5 жыл бұрын
@@nampendajonas4362 when i talk about new question as in something we as fans hatujui coz stori za Ay tz kulala kwa container tunajua about the east coast akina mwana fa,Gk we all know that but we want to know more you feel me.If you have listened to ll Ommy the playlist you'll understand what i mean he does his home work well till you are surprised how he knew all that stuff about a celebrity same applies to Jonii joo wa know you know something new to ours ears that what we want
@cashiermombasa2734
5 жыл бұрын
@@nampendajonas4362 kweli kabisa ila jamaa nimempa shavu mwanzo ndio nkamwambia it was boring just becoz vitu havikua vipya nway kukosolewa ni kati ya vitu muhimu anavyohitaji yeyote yule mwenye njaa ya mafanikio instead nimvishe mtu kilemba cha ukoka na ilihali najua wazi nampoteza.its my hope Mr.Dozen anapitia comments and if he does he is supposed to be happy if he doesnt go through the comments shame on him coz he will never grow meanwhile im a fan of his programme and i follow him alot and im hoping to see change ,peace up...bless up
@cashiermombasa2734
5 жыл бұрын
@@nampendajonas4362 naiwe hivyo
best interview 👍
Fanya interview na mwana falsafa ili na yeye tujifunze kupambana
mzee interview kavu sana hata fursa ya kunywa maji hamna!
Shikamooo AY
@Pedeshee01
5 жыл бұрын
Sakina Hivi unafanya na mahojiano na msanii,yaani wewe hiyo ni kazi yako boss wako kama hawezi kuleta hata chupa za maji tu kupooza koo,wewe mfanyakazi kwa nn usichangamkie fursa uingie mkataba na kampuni ya maji safi yoyote ya kunywa wakakulipa kila unapofanya mahojiano unaweka chupa japo mbili kwa mbele unatangaza pia biashara yao ehhh?,ni biashara pia hii au vipi kama siyo maji hata juice,dakika zoote nimetizama sikuona kinywaji chochote tuwe wabunifu jamani,huyu kama mfanyakazi wa redio kashindwa hilo je boss wake na yeye hakuliona,kama hakuliona boss au wameshindwa maelewano ya malipo basi jagi tu la kawaida la maji au juice🙏🙏🙏 fursa nyengine siyo tuziangalie.
Nakukubali mzee
Dozen dizaini kama unaiogopa camera... 😃😃
Big up Ay
Legendary #AY
Baba ako please with
Uwe unazima redio unapomhoji mtu
Baba ako
Nice show
Sauti ya muziki kubwa sana aisee. Inaboa
Dozen selection ni 🔥
Masauti ya kichoko hyo masound umeweka Dinqi sauzi zenu ni.maqood SNA next ukiweka hyo makelele na mm nakupiqia makelele dinq
Tuliozaliwa 1999 tunashangaa tu😂😂
@lykamlaki1218
5 жыл бұрын
😂
ya kizazi sana
zeeeee magnifical
Show kali
IMEKAAAA VYEMAAAA
Umesema mwaka 1997 ulikuw na miaka 15 alfu tena apo apo ulkuw high school mmmmhh
@yohanabillges6131
5 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿AY 💪
@fatumaabdallah9972
5 жыл бұрын
Alikuwa form 2 ndo kipindi alichotumia ela yake ya matumizi ya shule kuandaa show
Umetisha bro...
1997 alikua 15yrs. Na 1996 alikua high school?
@sijakibwana6745
5 жыл бұрын
Clement Chacha yaa kwa mahesabu ya haraka haraka alianza la kwanza anamiaka 6 akamaliza la saba na 13
@thommyocachu165
5 жыл бұрын
Hata mimi amenichanganya hapo. Then 2004 alikua na miaka 22
@liliannyonela1185
5 жыл бұрын
a bit confusing kwakweli
ona hii kzread.info/dash/bejne/a22pl8eTgbCfcbA.html
Ushauri kwa bro Dozen;-Kwanza hongera kwa bonge la kipindi mjini ushauri wangu ni kwa camera man wako ame stick sehem moja upper face tu na remember this is business kuna muda atuonyeshe viatu saa full body pia ukiwa uliza wametupia shingap kwenye kutupia ina waipress watu wa aina mbali mbali coz usifikiri mtu ana amua kuangalia coz ya kitu flan.......ivo yan for more issues 0689736873.
24:14 Hahahah eti Kweli we mzee wa commercial
Makin
imekaa pwh sana mmekutana wote vichwa vya shule
RUDI NYUMBANI TUKUYU UKAOE HUKO
zee ay rol modo
bro kwa connection shikamoo
Bro dozen mtafute na bro KBC wa kwanza Unit uzungumze nae..
Hiyooo beat Dozen itoee. Msikilizajiii asikilizee sautiiii tuu. Interview haisikiki vizuriiii. Plus maswali yakooo ni common
Ya kiofsaa kabisa
tajiri
d huyu jamaa ana akili mingi sana
Sauti inakua chini sanaaa
@mandyfitnesstv6738
5 жыл бұрын
Ongeza volume..!!!
@hamisdaud3864
5 жыл бұрын
Ay fundi
@bigboyben6932
5 жыл бұрын
Ramadhan Ramadhan bob unaskizia nn?
@ramadhanabdy9734
5 жыл бұрын
@@bigboyben6932 sndio
@ramadhanabdy9734
5 жыл бұрын
@@mandyfitnesstv6738 nshaongezaaaa
Ayo mahojiano mbna km yana udanganyifu ndani yake,
Slunt jomba uko poa
Donen uwe unabadilisha studio na sio mbayaa ukiwa unataja kuwa utakuwa studio gani na msanii au mtu furani ...
@vanwizzy8658
5 жыл бұрын
Mnyaki Tz hawez kubadirisha studio wakati hapo ndo mahali pa kazi n nioffice yake anatakiwa kuibrand
@husseinmushi
5 жыл бұрын
Van Wizzy Hapo no WANENE STUDIO
Interview nzur dozen sema next time uweke hata maji kwa ajl ya kulainisha koo,umeskika Mara nyng ukikohoa naamn yangekuwepo maj ingekuwa frsh
@burudanitv874
5 жыл бұрын
young sunner maji lzma awe sponsor wa kipindi c uweke maji zeni usilipwe
@youngsunner2763
5 жыл бұрын
Yeah,,sema anaweza mimina maji akaweka kwenye glass alafu lile kopo la maj lisionekane