Келесі
- 1:03:47
- 89 М.
- 47:35
- 82 М.
- 00:22
- 8 МЛН
- 8 күн бұрын
- 00:24
- 15 МЛН
- 12 күн бұрын
- 00:16
- 61 МЛН
- 20 күн бұрын
- 00:34
- 6 МЛН
- 9 күн бұрын
- 1:15:20
- 402 М.
- 1:05:46
- 134 М.
- 1:15:02
- 227 М.
- 57:25
- 168 М.
- 1:04:48
- 52 М.
- 1:20:58
- 495 М.
- 1:02:30
- 30 М.
- 1:33:42
- 92 М.
- 00:22
- 8 МЛН
- 8 күн бұрын
Пікірлер: 625
❤Mimi napenda maulid mpaka kesho Alhamdulilah kifua changu hujaa huba zaidi nikisoma au kusikiliza maulid. Ndugu zangu tumsifu Mtume wetu Muhammad swallahu aleihim wasalam (Allahu huma swaleh wasalem aleih)
Masha Allah masha Allah kwa hakika umetupa muangaza mkubwa maana saiv tumeparaganyika kwa kweli hata dua miskitini hazisomwi tena watu wakiswali wanatoka bila ya kujua umuhim wa dua yan hatar kwa kweli mm nipo pamoja Na ww sheikh wetu najua wapo wanaokuchukia lkn waache sisi tupo tunao kupenda kuliko hao wanaokuchukia ila hakuna anaekuweza kwa maneno ya hekima Na busara ww Ni no moja nahisi wangelilizungumzia wao hili basi sjui ingekuwaje maana wanataman wakuchape ila ww umeelimisha kwa maneno ya hekim Na busara Na kufahamika kbs. Nakupenda sheikh wetu Allah akulinde.
@hatibmintanga7325
4 жыл бұрын
Mashaallah Shekhe wangu,Role Model wangu Shekhe Othman Maalim... Mola akulipe kheri na Ulinganiaji mwema... Lkn Allah Atupe Uwezo na Moyo wa kuandaa Zifa za Kumsifu Mtume S.a.w ... Tujtokeze kwa wingi sana ktk Hizi Maulid za Rasuulilah inshaallah tutapata fadhwila Kubwa sana Kwa kuonesha Mahaba yetu kwa Rasulluulullah
@ramadhanikaogo5016
2 жыл бұрын
znzzzvvzvzvnzzzvnvnvvzzznvznznznnnzvzvvnzvnzvnnzzznvznvnzzzvzznnznznnzznznzzvzjvznvznzvzzbvzzznzzzzvznzzzz:zvznzzvnvnzzzzzvznzznzzzzzvznznnzznzzzvzznzznzvvnvvzvznbzvnzvzvvznnzzvvvnzzzzzzznzvnzzznzzzzzvzznvzzznzzvznzvzznznzzvznvzzzzzzzzzvzvznzvnzzzvzzzznzvznvnzzvzvnzzvvznzzvzzznnvznzzbzvznzvzzvznzvznzzvzznznnvzbnvnzvznvzzvvvnvnzbbnznzznvnznzznznnzvzvznzzvzvzvzzzznvznznzvznzvzvzvzznvzzbzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzlz tut were uow5
Mimi sikua nnaamini maulidi lakini hii khutba imenifanya nimeelewa maana ya maulidi na umuhimu wake. Shukran Sheikh Othman
@mujaahidk.kdatchi4052
9 ай бұрын
Ushauri wangu ndugu, Usiishie kusikiliza upande huo pekee yake, Bali jitahidi kuwasikiliza na wanao kataza sherehe za mawlid wanatumia hoja zipi na zina nguvu kiasi gani. Ni ushauri tu ndugu, Utanisamehe kama nitakua nime kukwaza.
Àssalam Aleikum Sheikh Othman. Mmungu akuzidishie Umri tawiilu na wingi wa elimu. Raha iiliyoje jinsi ulivyo weka sawa hii topic kuhusu Maulid Nabii, na Upingaji wake Zaidi Laiti tungelipata na tafsiri ya milango ya Barzanji ingawa ziko nyingi ingeliwatoa Watu katika mawazo yasiyo na misingi. Shukran.
Msikilizeni shekhe kwa umakini na utulivu sana atanielewa vzr mm wallah nilikua mpinga maulid lkn shekh alhamdulilah umeniamsha salu ala nnaby...
@ramadhankibindo8384
3 жыл бұрын
Maashaallaaah
Mashaallah,M/mungu akulinde na husda za watu na akupe nguvu ya kutulingania
Ustadhi nimependa hiyo himdi ❤ irudiwe tena
Sheikh Othman ahsante sana kwa mawaidha kwakeli napata mafunzo makubwa sana
Shukran jazakallah khayran tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu
Wale wapinga maulid haya semeni tena ukwel ndo huo nakupenda sheikh odhuman mwalim kwa kuliweka waz hili Allah akupe Afya jema Alihamndulillah
Naam sahih sheikh wetu umetufahamisha kwa undani zaid, watakao ona maulid hayafai waache watakao ona yanafaa wafanye na Allah ni mjuzi zaid
@Salma-cl7yb
2 ай бұрын
5zéme
Allah ampe maisha marefu sheikh wangu othmn maalim
@abeliever6823
3 жыл бұрын
Aamiin. Mola amhifadhi.
Wallah shekh unabusara unaelimu na unajua kuelimisha nakupend ujigambi baraka llah fiika nakupenda sana ktk njia y mwenyezmung
Mashaaalah,naridhika na mawaidha yako shekhe Othman maalim,nakuamini sana na Allah azidi kukuongoza ktk khair sema kweli japo chungu na maulid tutayasoma mpk vizazi vyetu wenye chupi wajinyonge,Mashaaalah elimu yko naikubali sana na mimi ndo msikilizaji mkuu wa Mawaidha yko,Jazak Allah khair
@naherkhamis2575
5 жыл бұрын
Mashalwah
@naherkhamis2575
5 жыл бұрын
Nakupenda sana
@ashaabdurahman8982
4 жыл бұрын
smallpox da don
@abdaladelo371
Жыл бұрын
Allahuma amn inshaallh taaala yarabi
Maa shaa allah Tabaarakarrahmaan. Nimeilimika. Jazaakallahu khairan
Hapa kila mmoja hajui ataenda peponi ama motoni tunaomba Allah utujaalie tuijue hakki na batli insha Allah
@saiidridhiwaani6637
3 жыл бұрын
hapaana siO kweLi ManenO yaakO ,, ALLah aLishaseMa nDani ya Qur'an ,, ( BaLiL insaanu aLaa nafsihii baswiira )... ukifata ManenO ya ALLah na MafunDishO ya MtuMe utakua katika twaa/rehMa za ALLah ,, Lakini ukifata MataManiyO ya nafsi na uzushi basi MtuMe aLishaseMa kiLa #BiDaa ni upOtOfu ,,, ALLah atuOnGOzeeni waisLaMu wOOte kwa JuMLa
Kama hukubaliani naasemacho shekh basi we baki kutokuamini lkn tusitumie maneno ambayo yatatupelekea kupata dhambi bila ya 7bu, tena mwengine hana amfikiacho chochote shekh othman lkn watoa maneno kama vile wamsemea mlevi asie na mana popote
Jazaakallahu khairan Imam/sheikh/Ustad/ndugu. Mola akuhifadhi. Mola akupe umri mrefu pamoja na afya, ikhlaas na imaani
ما شاءالله شكراً واااجد معليم . جزاكالله خيراً
Hiyo Aya unaeitegemea kuwa ni dalili ya Maulidi imeshuka kwa mtume na. maswahaba waliifanyia Kazi je walisherehekea hayo Maulidi?
I love you 4reva sheikh othman maalim
@amirikhatibu1989
4 жыл бұрын
Mawahabi ndio makhabihdhitu
Swalu ala Muhammad, Allah maswaleh ala muhamad waali Muhammad( s.w.a)
ustadhi nimekuerewa vizuri ira kwa mtazamo ware wapingaji wote si wasomi wa kutafakkuri KwAiyo tuwaaachetyu allah awahidi mana so kwa kupingakwao n.a. d alili zikowazi allah akufanyie wepesi uzidi kutoa irmu
@hajijuma6986
5 жыл бұрын
kwani ninani anaekataa kumsalia mtume lakin kwamfumo upi
@mohaajunior883
2 жыл бұрын
Urongo
Allah akuhifadhi Sheik Uthman kwa elimu hii, tumefaidika
kuna baadhi ya mashekhe kwao kilakitu bidaaa,zote chuki wanataka kukuharibia jina lkn kwa uwezo wa Allah Inshaalah utazidi kuwa juu kuliko mwanzo
@moHamedHassan-qy7pm
6 жыл бұрын
smallpox da don. ndugu yangu na kuusia soma dini yako vizuri Haya utayaelewa tu vizuri na haki IPO wazi utaiona
Nathani waislamu wezangu tusiwe na jazba wala tusigombane uislamu ni mmoja tu na muhamaad ni mjumbe wetu waislamu wote dunia lazima tuelewane waislamu tusigombane kwa suala LA maulid na mengineyo ucha mungu ndio muhimu zaid
@rizikiali8173
5 жыл бұрын
nivizur
@hannanshekale5574
3 жыл бұрын
Mashaallah umesema ustadh 🥰sisi na maulid
mashallah shekhe allah akuweke allah yaafiq Othman Maalim jazakallah kheir
Asalam alaikum shekh othumani maalimu mimi niko Nairobi katika maisha yako ujue kuna mtu anaitwa musa Ramadhani mngazija nakupenda sana shekh wangu kwa tz wewe kwakweli elimu yako iko juu sana na hekima
@abadially3772
2 жыл бұрын
Llllpllllklpppklkkkpko9kokkooooœ
Kiboko yao ameshafariki almarhum Mohamed Bakari wa shamsi maarif Allah Amuhifadhi sheikh wetu aliesoma sanaaa na akatuelewesha vizuri swala LA maulidi kama anavyotufafanulia sheikh wetu Othman Maalim uko vizuri na Allah Azidi kukupa Afya na umri mrefu ili tujekusoma huko ulipo In Shaa Allah
Nilidhani nitasikia Sheikh akitoa hukumu kama kichwa cha mada ilivyo hudhurishwa Mash Allah nilichokisikia nitofauti namuomba Allah au hifadhi ulimi wako umetoa somo kubwa kwa mwenye kumpenda mtume Muhammad(s.a.w) na azingatie maulid c BIDAA
Rabi zidna elima waruzukuna afah'ma
Sheikh Othuman maalim Allah akujaze kher ameena, na akupe umuri mrefu isha-allah na akupe mwisho mwema
@noelariki5923
6 жыл бұрын
barakallah fiikum shekhe
mashallah ya shekh .jazaka wallah kheir
Asante sheikh Mungu Akujaalie umri mrefu uendelee kutufundisha
Kama watu wanapinga bad maulid. ..ni ukosefu wa elm shekhe umeongea kwa dalili zote mada umeweka wazi tumeelewa sana jazaka llaah khyra. Allah azidi kukuwepesishia uzid kutuelimisha inshallah
barakallah fiikum sheikh othman
Mimi sioni makosa yoyote kwa sheikhe wetu........ Allah akubariki .. اللهم اهد المسلمين في أنحاء العالم .....
@abuahmad1206
5 жыл бұрын
Aa huoni ana makosa kumanisha mtume SAW ameish miaka 23 hajui kuna milad yake nahajakamlisha dini ndugu iko wazi alipanda juu yamlima mtume SAW akisema kabla hajfariki leo nimekamilisha dini leo tuko wapi almuhm nimekufikishia salam
Mashaallah mungu akuzidishie kher na barka in shaallah mungu akujaalie kila lakher in shaallah
Yarabb mpe umri mrefu wenye barka sheikh wetu uthman
@moHamedHassan-qy7pm
6 жыл бұрын
rufayda baskut :dada yangu ktk imaani fatilia upande wapili. kisha uswazishe haki utaiona
@salaamclinicoftraditionalm3641
6 жыл бұрын
rufayda baskut Aamiin
@salaamclinicoftraditionalm3641
6 жыл бұрын
moHamed Hassan Upande wa pili wa kushoto au???
@williammichael4760
6 жыл бұрын
rufayda baskut
@hakikamuhammad8887
4 жыл бұрын
Maulid bida'a hamuna mashiko
Aslm alkm ww..... Masha Allah 🌹❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Shukran sana sheikh, Jazakallah kheir 🙏♥️❤️❤️. Allah akulinde 🙏
Sasa leo kuna watu wanatupa vitabu vya maulid subhanallah
Nimekuelewa sana shekh wangu kwa hoja Allah akulipe na Allah nimjuz zaidi
Aslm nimesoma maulidi alhamdulliha rabil alamin
Mungu akupe afya anjema.na waisilamu wote duniani tupendane
MAASHAALLAH , JAZAKALLAHU KHAIRAN .
Tumsifuni mtume tusichoke Allah anakubali kilakitu na nia yetu ndiodirayetu maadam tunafanya kwaajiliya Allah anakubali kilakitu na nia alllah atukubali inshallah
jhazakallah khayra Sheikh othuman maalim
@mohamedrweymamu3783
4 жыл бұрын
Allah amjalie afya njema.na endele kutukumbusha mema.
Masha Allah kila la kheri Maalim Outhman nime faidika na kuelewa Allah akuzidishie ilmu yenye manufaa Allahumma ameen
Shukrani Shekhe, kwa somo. Masha Allah
JazakaLLAHu kheir
M/Mungu akupe kila la kheir, tunakusoma vizur.
Juzi nilikwenda Paje Nimeshangazawa sana na mskiti ambao nilisali Ijumaa . Khutba yote ya ijumaa inasema kuwa Maulid ni kharam kubwa sana . Nilishangaa zaidi kuona maziko yao . Wakati wa kurudi huko mazikoni nilishangazwa zaidi kuona uchafu wa ulevi na zinaa ulivyoenea mabaa madanguro yaliyo zagaa mjini pao pote . Nimeshangaa tena kujuwa kuwa hawa walimu wameshindwa kukemea machafu haya na wengi wao wanategemea kipato chao kutokana na harakati hizo za watalii .
@saidiabdallah-kv7bd
Жыл бұрын
Hio ni misikiti ya washenzi na ukiibaini usiende
Sikupingi, ila mimi ni bora niachane na maulidi, nitamswalia mtume (s.a.w), bila ya kusoma maulid
@sonimurat
5 жыл бұрын
Ni sawa tu wauslaam msosoma maulidi ni waiislamu na wasomao pia sio makafiri, kwani kwa kumsifu mtume Mohammed salallah allahy wasalaam.pia sio vbaya
@abubakarmpole4000
5 жыл бұрын
Mungu akupe mahaba y mtume s.a.w
@hamisiabubakari5650
5 жыл бұрын
Shami Witnessy kwani we nani kati watu bora anaowatambua mwenyez mungu hata mtaa wako naona hawakutambui
@rahimumandia1434
5 жыл бұрын
Kishik
@AbdullahAbdullah-ik7xv
5 жыл бұрын
Kumsifu mtume si vibaya lakini kuna vitu vina katazwa ndio ina sababisha hili jambo linaleta utata. Tusipinge maulidi alafu kwenye harusi zetu tunaleta taarab hilo ndio jambo lakufanyia kazi ndipo turudi kwa maulidi
Aa.. Maulid Yalifanywa Na Yatafanywa Na Yanafanywa.. Shukran
@wardalward3693
7 жыл бұрын
Kabisa
@moHamedHassan-qy7pm
6 жыл бұрын
ndugu yangu na kuusia soma dini yako vizuri Haya utayaelewa tuIPO wazi utaiona tu Kama ilivyo mtu aweza fuatia upande wapili kisha uswazishe haki utaiona tu
@Mandakaw2
5 жыл бұрын
Na tutafanyaaaaa. Swallu 3alla Nabiiii
We need this to keep faith of God in our life
Allah tusamehe makosayetu kama ulivowasamehe masahaba raziyallah anhu
Allah akuhfadh
masha Allah jazaka Allah kheyr sheikh
@moHamedHassan-qy7pm
6 жыл бұрын
Farida114 MAANA :kaka yangu ktk imaani fatilia upande wapili kisha uswazishe haki utaiona tu
Shukran wajazaka llahu heri
JAZAKA LLAHU KHAYRA
Asalam aleikum, kuna sheikh anaemfikia Sheikh Abdullah Saleh Farsy,ni mtu wa mwanzo aliyeutafsiri msahafu kwa kiswahili,na akatuasa makosa mengi yaliyokuwemo ndani ya kitabu cha maulidi ya barzanje,tena kwa ufupi aliyapinga,kwa haya maneno mazuri ya kupanga na kuvutia, hayatohalalisha barzanje, kwa kuwa kimeandikwa kiarabu,na yeye anajaribu kuleta ufasaha wa kiarabu kwa hawaa zake, mfano mdogo tu,maulamaa wa makkah muharram na madina munawari, hawakubaliani ma maulidi na ni marufuku,ni Bora kama ana ufahamu huo ,angekwenda huko kuwafundisha yale aliyoyaona yeye yanafaa,tuone itakuaje, lakini hilo hathubutu na wala hatothubutu,ataishia humu humu vijiweni,na yeye anajua hilo,huko ikiwa kiarabu basi huko atatolewa ngozi walizokuwa masahaba wa mtume wakiandika,asalam aleikum
@hassankuemya3613
4 жыл бұрын
Kama kigezo n makka hebu tuambie dua wanayopiga mwezi wa ramadhan chungu 27, kwenye taraweh wamepata wapi dalili
@rahmamusa9627
4 жыл бұрын
Mashallaha
Shukran wape kweli allah akulinde
Sababu haya ni mazazi na kutaja mazazi si vibaya mungu ametaja mazazi ktk sura nyingi mfano suratul imran na suratul maryam si yamtume Muhammad lakini ya watu wema
@shikeysawe136
5 жыл бұрын
Osmani maalim
waalekeze shekhe jazaka lwahu khaira
Mashallah umenifurahisha USTADH mi napenda Sana mlango wa tatu
@sawikifadhili148
5 жыл бұрын
hahahaaaaa
@maukay9075
5 жыл бұрын
mie ndo haswaa nimeukariri na tafsiri napenda maulid km jina langu
@jumangodu2402
5 жыл бұрын
Wewe hujielewi angetakiwa akupe dalili ya maulidi Sasa hajatoa Uislaam ni dalili sio maneno ya mtu
@omypaxtore8740
3 жыл бұрын
@@jumangodu2402 Toa wewe dalili tuone usheikh wako ndugu dini sio kukaa kukaririshwa soma kwanza..
@saba-gv3mj
7 ай бұрын
@@jumangodu2402ulivo tolewa dalili hukusikia ama ww ni yule Allah anasema una macho huoni na masikio husikii pole hasidi wa mtume
mashallah tabarak llah sauti yako inanifanya niendelee kusikiliza kwa makini zaidi m.mungu akuweke sheikh wetu OTHMAN Maalim
Wallah Ilmu ni Bahri...... "Lakum Diinukum Waliya Diin"
Ahsnte barska LWAAA Wafundishike tuliokua jayujui ili tupatr gafhila zs bwana MTIME SAW
MNGU AKUPE UMRI MREFU SHEKH WETU
@moHamedHassan-qy7pm
6 жыл бұрын
Warda Lward :dada yangu ktk imaani fatilia upande wapili kisha uswazishe haki utaiona
@fatmamohammad623
4 жыл бұрын
Umesema ustadh
Shukraran shehk wetu mngu akupe umrimrefu
kwahio shek kwamanenu yako hata wale wanaosema yesu nimungu wako sahihi maana nawenyewe niwengi wanafika asilimia 80
Mashaallh barakallah nashukur saaaaaan shekhe wetu unatufunza mengi na kumucha Alla kutokana na mawaidha Yako na natamani saaaaaan kukuona laivu inshaallh taaala
Shekh maulid ni maneno y mungu kwail nisamee tu
Allah akubariki shekh wangu ktk maisha yako ya dunia na akhera inshaaalah
Maashallah, hikma ndompango mzima allah amdumishe ktk kutufunzamengimazuri yatutatizayo.
Aww,wengi wiliopinga maulid wamepinga kibubusa hawana dalili yoyote ya kielimu, Mtume anasema watakuwepo watu watakaokuwa jirani sana na farqa kama vile mbwa anavyokuwa jirani na mwenye mbwa.Na tayari kundi hilo limeshadhihiri utaliona ktk mitandao likikazana kuyaita madhebu mengine kwa jina la Kafiri,Mtume anasema tahadharini na Farqa.Tahadharini na kundi hili tusipokuwa makini litasababisha vita kubwa sana ktk hii dunia,
@abdaladelo371
Жыл бұрын
Umesema kweli kabisa hawana dalili yeyote wenye kupinga maulid
Jazaaka LLAAHU Khayrah Shkh
@jamalimaulidi1394
4 жыл бұрын
mungu akujalie nakupenda sana ww nakuelewa sana huba zako
Mashalla mungu akubarike shekh wetu
Kawaaida ya Wenye kuhalalisha maulidi mnapenda Kufanya taawil baadhi za aya Allah awaongoze
@fahmiiidrissa6120
5 жыл бұрын
ali moalim taawil ni muh wew aya nyng bla taawil hutoki
@ramadhanijohoiddi2899
5 жыл бұрын
Huyu ndio mana Allah amemtia pigo huyo amemtimua nchini kwetu bola akawaambie watu wa kwao mombasa
@fahmiiidrissa6120
5 жыл бұрын
Ramadhani Joho yaan kuna watu mizigo kabisa hlo sio pigo kam unafkria wew kwan hujui mithan hupew san wanazuon hujui kuw wat mtume alipw mithan ndgu
@drimazonechoice9822
5 жыл бұрын
ali moalim na wanao pinga hutumia aya na hadith au hutumia nini?
@majidsaid08
5 жыл бұрын
Wanaopinga mbona wafanya birthday za watoto wao?? Tena na manyimbo na mavazi machafu
MAASHAALAH ALLAH akubariki shekh letu kwa kuzidi kutuelimisha shukran jaazilan
Leonatoasiriyanoyowangu yakwamba Nakupendasana sheikh othman maalim lillahi.
Tatizo tunayakaataa kwa sababu hatuja fahamu kuranu hemu kwanza tusome ndo tukatae
@alisharia6831
5 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu uzid kutuelimisha
Mi nazani maulidi si tatizo , tatizo ni upigaji wa zile dufu.
@fathisharif890
5 жыл бұрын
na maulidi pia tatizo
@abdulrahmanabubakarshariff9749
4 жыл бұрын
Wala dufu si tatizo mtume akiingia madina dufu ilipigwa hakukataza
Shukran shekhe wetu maulidi yako na yatasomwa na yatasomwa wambiye hao
allahuma bi idhin kuli hali
Sheikh wetu Othman maalim, itak-Lah. Usifurahishe viongozi na watu kwa ujumla , Zaid angalia Sana utafakar usitumia lafzi yako mzuri kupotosha maksudi utakwenda jibu unakokwenda sio mbali, acha uzushi njoo katika Sunna. Wala usijisikie vibaya wala haya. Unajuwa makini maulidi sikatika mafundisha ya Mtume wetu. Acha uzushi fuata sunna wala usione hayya.
@mudynyika1116
5 жыл бұрын
Wew una elimu kuliko yeye shekh
@Mandakaw2
5 жыл бұрын
Toa Darsa yako na dalili zako
@abuahmad1206
5 жыл бұрын
Asaf nakupa pongez shekh huyu mzur lakin ameteleza hapa wajua maneno darham
@drimazonechoice9822
5 жыл бұрын
Asaf sulayman wew unatak kusem aya na hadith anazo tusonea zinamfurahisha nan? Na je ni swahihi hizo hadith ama ni vp?uislam haukuja kwa rai ya mtu acha kuwakyfirisha watu una coment tu na wewe tupe elim
@amirikibamba5382
5 жыл бұрын
Kama we unjua zaid muache akaingie motoni
Nimeenda Pakistan yani maulidi huko na mtume Mohammed salallah allahy wasalaam anavyothaminiwa na wanasoma maulid sio mchezo
@imnathe1299
5 жыл бұрын
riaz shaikh mashaa Allaah hata kuhu oman wame soma usiku hadi raah
@fatmaissa3434
5 жыл бұрын
kwani ao wapakistani ndio maswahaba acheni ushabiki .kwani utakaakaburini pekeyako watu wabidaa iyogopeni siku mtakayo rudi kwa mola wenu
@user-wv5fq1bm5x
4 жыл бұрын
@@fatmaissa3434 mwenye kuhukumu ni Allah tuu we km husomi acha wenzio wasome
الله يحفظك شيخنا ويرحم والديك بحق محمد وال محمد
@jumanasoro8903
3 жыл бұрын
Wewe hii dua gani Nani amekufundisha kuomba dua kwa haki ya mtume
Sheikh ulipokua mahdi kisauni ulipinga maulidi.sasa uko zanziber wayaunga mkono sababu ya viongozi wa serikali unaogopa watakukanyagia maslahi yako.mche allah.
@bintshariffmuhammad620
3 жыл бұрын
Sheikh ametoa dalili sawa sawa hakuna haramu kusoma maulid bali wenye kupina ni uhasidi na chuki
@bintshariffmuhammad620
3 жыл бұрын
Allah amjajze kheri Athman Maalim ampe umri tuwil wenye swiha na amani
JazakaAllah
@moHamedHassan-qy7pm
6 жыл бұрын
Adan Nur :kaka yangu ktk imaani fatilia upande wapili kisha uswazishe haki utaiona tu
Shekh Allah akupe ujasil wa kuenderea kufanya daawa
Tuelimishe shekh letu na ALLAH akubariki fiii dunia wal akhera
Allah akulipe kheri zote na akuongezee ktk elimu
MashaALLAH
Salaam aleikum ndugu zangu waislamu wote.... Napenda tuwe na adabu kwa namna ya kuandika comment zetu...... Sheikh Othman Maalim ni Sheikh sawasawa bila kumpinga kabisa.. ama kuhusu mawlid ni Olamaa wamektalifiana bas, pia kila anachoongea sheikh Othman anakupa na sababu zake.
@muhammadkifakara2573
5 жыл бұрын
Wewe ndo uwe na adabu kuwakemea waliojuu y'ako kiufahamu bal wewe ni kibaraka tu jaahil murakabb
@hajijuma6986
5 жыл бұрын
Mazoon Alriyadh Est.
@manitalyanimohamed8526
5 жыл бұрын
Hino ndio shida ya wanao pinga hawana hikma ya kuwaeleza watu bila ya kukosowa watu kwa njia ya kukubalika,wewe kama hukubaliani nayo hiyo ni Haki yako na wanao soma wacha waendele kila mtu atakwenda peke yake.kila mukipinga ndio yanazidi mwenyezimungu atuongoze na atusameh
@amirikibamba5382
5 жыл бұрын
Swadakta
@sabringwal3079
3 жыл бұрын
Anaepnga maulidi kma hayafai aache anaehic yanafaa aendelee kufata
mashaallah jazhalakheri sheikh othman
wambie she hee wapingaji allah akupe umli mlefu wenye manfaa
Huu ndio ubora wakuwa na watu wanaojuwa dini vizuri wasio juwa wajuwe sasa.
Jazakallah khair
Shukrani Allah akupe miaka mingii