ONLINE | SO1EP06 | Mwanaume HELA (Online Web Series)
Музыка
ONLINE Web Series | Season 01, Episode 06 ( MWANAUME HELA )
#MauaSama #LucyCharles #ElizabethMichael #Online
Karibu kutazama mfululizo wa Hekaheka, Mikasa, Vihoja na Vichekesho vinavyo wakumba wadada wa Mjini. Share your Comments, Like, Enjoy 😍
Cast:
BRENDA: https: / misslucycharles
IVON: / elizabethmichaelofficial
HANNA: / mauasama
Update your Playlist, Click: • Maua Sama feat. Darass...
Dear Girls & Boys, Click the bell icon 🔔 near the Subscribe button on your Mobile app or on KZread page to get instant notification for all the upcoming episodes of ONLINE Web series!
ONLINE Mwanaume HELA | SO1EP05 (Online Web Series)
Пікірлер: 110
Nimekumbuka mbali 😂 Dah maisha ya mjini na marafiki zangu😂huyo wa Mitoko ndio alikuwa ni mimi hapa 😂😂sasa i'm watching from Germany🇩🇪❤🙌 🇩🇪🙌
Usku mweman watazamaj me ñisjamalzàaaaaaa😅❤️
@elizabethjohnson5916
5 ай бұрын
😂
lulu ukismail daa unapendeza zaidiii nakukubali sana🎉🎉
Ahsante da lulu unajua mpk unajua tena love you
Like korea flan hivi nimependaaaa lulu congratulation❤❤❤❤❤❤.
Oya mwangu umeniua kwenye ndoto😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tuñasaka online kazi😅😅❤ da lulu @elizabethmichel 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
msitucheleweshee bhana mnasababisha tuugue😂
Da lulu Ahsante
I love it❤❤❤
Woooh ❤❤
Firee
😂😂😂😂ndevu kitu pekeee anachomiliki
Pow mama GG
Mama gg😂❤
HII SERIES. IMEIPENDA NAKUPENDA SANA LULU😘
Mwamba Hancy ametisha sana
😂😂😂😂😂bwana toa vipande virefu kidg
Nacheka sana
Kitu pekee anacho milik ni devu lulu wewe😂😂😂
Jirani nimekuota😂😂😂
😂😂😂😂ndoto zingine bwana
😂😂😂😂 Ntazimia mm
Nzur😂😂😂😂
yan lulu ni mimi kabisa😂😂😂 nikiwa na kidili changu ntaruka ruka humo ndan kama chizi na kuongea peke angu kwa kioo
Nilikuwa kwa kusubili hapa mambo tayar jamani
😅😅😅😅yani ni mwendo wakuotanaaah😅😅
Bwana hancy kama hancy umetisha broo
adi nimekumbuka tulivyokua tunaishi mimi na rafiki yangu 😅😅😅
Nmekaaa naisubir😂
Oy mzee side umetisha sana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 from mozambiq
Naqbal mwanang said hance
Kafupi khaaaa
@m.mmarckus6298
5 ай бұрын
Aliyekuumba ww akakupa urefu ndoaliyemuumba huyo unayesema kafupi
Jamani nzuri lakini fupi mno
Yan wakina IVON always tunavituko🤣
@rweyemamurweyemamu680
5 ай бұрын
Sio wewe lkn😂😂😂😂
❤
❤❤🎉
❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤
Vipande ni vifupi sana sijapata ona tunaenjoy but
Hansiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤❤❤
Mwamba Hancy ametisha kinyama
Sisi tumeelewa ww na makasiriko yako kunywa panadol✌️
Hiyo ndoto😅😅😅😅😅
Kwanini futa la mgando lakini 😂😂😂😂
Lulu ww penda sana kpenz
Kalivo kafupi Sasa kha
Jamani kumbe lulu kafupi hivyo kha
Lulu 😂😂😂😂
Ila lulu mzur sana labda kuliko wasanii wote wakike,
@ashasalimin1033
5 ай бұрын
Tundaa unamfahamuu
@scollamwanisisi2739
5 ай бұрын
Namfahamu vizur kabsa nae mzur sana ila lulu sio Kwa mapenz ila kweli tu lulu mzur sana
@vickydan2869
5 ай бұрын
Ila tu kafupi Kalulu jamani
@scollamwanisisi2739
5 ай бұрын
@@vickydan2869 yeah ila bado kamenona vizur kanafaa Kwa matumiz ya binadamu kazur jamn
Da lulu hivi hiyo biashara ya kuuza online unafanyaje nisaidie pls
Asa gauni elfu 5 mbn kama unataka kutapeliwa lulu😂😂
😂😂😂😂😂jana kamuota 😂😂😂 lulu anakaujinga sana
❤❤❤❤😂
😂😂😂
😂 😂 😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣😂😅
ila ndo fupi daa😢
Hancy midevu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Amna kitu aonekane tu na amis
Wakuambiye tu ukweli dada tafuta seemu ingine kwakuwekeza pesa akuna unachokifanya apa mama, ama camera and others ni vyakwako ume hamuwa kuzitumia zisiaribike😂😂 no sens kabisa
@Janes_touch
4 ай бұрын
🙄
@zarnaabrahman787
4 ай бұрын
@@LovenessJohnyhi hi how are you 😅😅😅😅😅😅😅
@nuruabdallah1319
4 ай бұрын
Wewe Ndo Huna cha kufanya😂😂😂mishavu ileee
@Janes_touch
4 ай бұрын
@@LovenessJohny Yaani wabongo sijui chuki zitatusaidia nini ni kama kuna mtu alimuita kuangalia😂🙌🏾afu mwanamke anamkatisha tamaa mwanamke mwenzie wuuuh my country💔
@adelinajackson
4 ай бұрын
😂😂😂😂sali sana we mmamaa
😂😂😂😂 Ntazimia mm
❤❤❤❤
❤❤❤
Asa gauni elfu 5 mbn kama unataka kutapeliwa lulu😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂
❤❤❤
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂
@angeldominic5617
5 ай бұрын
Lulu una vibe la kutosha🙌🏾🙌🏾