🔴

Ойын-сауық

🔴#LIVE: VITA YA KIMAHUSIANO KATI YA ABDUL RAZACK NA DIVA / SIJAACHANA NA DIVA HAIWEZEKANI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 407

  • @halima23862
    @halima238624 ай бұрын

    Mtoto ni maajaliwa ya mungu sio sisi binaadamu acheni hayo masuali

  • @MarthaJoseph-pp6ir
    @MarthaJoseph-pp6ir4 ай бұрын

    I feel sorry for diva kwa kwl hapa hakuna mwanaume 😭🙌ruuuuun

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh48174 ай бұрын

    Wanawake wanao kujifanya expensive wanapata mtu km huyu😂😂😂😂😂😂😂🇬🇧 anamsifu kisha nyumbani anamfanyia tofauti. Mtt wa wenyewe anaumia 😢😢😢😢 km ana shari na diva wetu mungu amnusuru❤❤😢😢

  • @agwalubifaridah7079

    @agwalubifaridah7079

    4 ай бұрын

    😂😂

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    4 ай бұрын

    Shehe mchawi 😂😂😂,

  • @user-gj2mm3ko8m

    @user-gj2mm3ko8m

    4 ай бұрын

    Amerogwa

  • @firdaussheikh4817

    @firdaussheikh4817

    4 ай бұрын

    @user-gj2mm3ko8m anerogwa. Anam ogelesha loving in social media reality anataka akae maid . Allah amsaidie Diva rehana 🥺🥺

  • @user-gj2mm3ko8m

    @user-gj2mm3ko8m

    4 ай бұрын

    @@firdaussheikh4817 😁😁

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri42344 ай бұрын

    Razaq kidume MA Sha Allah

  • @matildamati9222

    @matildamati9222

    4 ай бұрын

    Iwe funzo kwa wengine mana mnachezea wanawake sana acha Diva amnyooshe na usheikh wake I love u Diva

  • @keyla3641
    @keyla36414 ай бұрын

    Mimi nilikuwa simuelewi diva lakini sasa namuelewa sana Leo kaongea tusimuangalia Tu kwenye insta love u diva

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim79304 ай бұрын

    Diva maskin hata hana makuu huyu mume tuu sie 😢

  • @Marymeekie
    @Marymeekie4 ай бұрын

    This was more than a HOLLYWOOD MOVIE….DAMN!!!! 🥵🥹🙌🏽

  • @annabubelwa4543

    @annabubelwa4543

    4 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @charlzmboya
    @charlzmboya4 ай бұрын

    Shehk uko vizuri nakuelewa sanaaa😊

  • @matildamati9222

    @matildamati9222

    4 ай бұрын

    Na bado hajaeleweka acha anyooshwe anamletea Diva ufuska wake hapa, love u Diva

  • @benignatairo4722
    @benignatairo47224 ай бұрын

    NYIE WATU MNAPENDANA SANA ,DIVA NA ABDUL❤❤❤ PENDA SANA NYIE.

  • @EmanuelNicholaus-vn9gl
    @EmanuelNicholaus-vn9gl4 ай бұрын

    Hta ma-King of love ❤wanasumbuliwa na mapenzi

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 ni shida

  • @matildamati9222

    @matildamati9222

    4 ай бұрын

    Tena Hawa ndio wananyooshwa hasa 😂

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob4 ай бұрын

    Leo Wasafi mtakoma mliyataka wenyewe😂😂

  • @ashuraomar4935

    @ashuraomar4935

    4 ай бұрын

    BIG LAIR

  • @munashabani
    @munashabani4 ай бұрын

    Ni mepends Aya mazungumzo😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤adi rahaaa

  • @yussufmohammed9299
    @yussufmohammed92994 ай бұрын

    Mm Usthi Adully nakuelewa sana hao W/ wke hao tuwe nao walicho pewa N Mungu hakiwatoshi ,utampa nn au utafany nn Aridhike hyo😊🎉

  • @Queenofdsouth
    @Queenofdsouth4 ай бұрын

    Aisee dunia ina watu😂huyu kaka anaongea kwa confidence as if he has sense

  • @eshialabonita7736

    @eshialabonita7736

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92844 ай бұрын

    Shekhe tapeli namba moja

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    4 ай бұрын

    Wewe namba mbili

  • @ditaely7309

    @ditaely7309

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @aishahasan7722

    @aishahasan7722

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂hata ongea yke ya mchongo mchongo😂😂utapel mtupu hpa tumepigwa😂😂😂

  • @nahyialetomia9284

    @nahyialetomia9284

    4 ай бұрын

    @@aishaarusha894, 🤪🤪🤪, Aisha namba 3

  • @meryamabdullah2081

    @meryamabdullah2081

    4 ай бұрын

    🤗🤗🤗🤗🤗

  • @nanaritho6850
    @nanaritho68504 ай бұрын

    Namuelews sana diva anayopitia ki kweli

  • @musamadua8102
    @musamadua81024 ай бұрын

    Wewe Sheikh, linda heshima ya ushekhei Yule mwanamke hakufai, anapenda kukusanya dunia, Tanzania inadjaa na wanawake wengi, wafata Dini, mbona unawatiya ayibu wa Sheikh ?

  • @zaitunisagwa2082
    @zaitunisagwa20824 ай бұрын

    This guy is intelligent upstairs. Though ni tapeli wa mapenzi.

  • @user-dj9xx9jl4j

    @user-dj9xx9jl4j

    4 ай бұрын

    Nimefurahi alivyojishusha na nimeumia alivolalamika kuhusu rose kuwa anapata faraja akipewa mana anaona kama amefarijiwa na mama ake mana ni jina la mama ake.

  • @user-yv9xx1jw1q
    @user-yv9xx1jw1q4 ай бұрын

    😂WAO,DIVA SO MCH LOVE FOR U CC❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SO BRIGHT,INTELLIGENT AND TOO BLESSED SISTER!LOVE FRM THE OTHERSIDE,here Malawi🎉🎉

  • @chimamilion
    @chimamilion4 ай бұрын

    Uyu kaka namwelewa sana lkn mke ndo mtihani

  • @shangwefisima3993

    @shangwefisima3993

    4 ай бұрын

    We usinidanganye hawa wote na mkewe wanatuvuruga...ni majipu...ndio maana huyu anakimbiliaga kucheat

  • @bravofundikila965
    @bravofundikila9654 ай бұрын

    Unajitahidi sana kumuelewa mke wako na kujaribu kumtetea kama mke, safi sana.

  • @queenieessie7721

    @queenieessie7721

    4 ай бұрын

    Lakn lmke lenyewe tahira

  • @barakayamo6996
    @barakayamo69964 ай бұрын

    Uyo shekh amekomaa sana kiakili.

  • @mankinemansulikine-2220
    @mankinemansulikine-22204 ай бұрын

    Diva kiukweli unampenda sana mumeo safi sana ❤

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    4 ай бұрын

    Wa nje wa ndani no no Anajifanya anaswali na anazinii kweli mpaka wafanyakazi analala nao, diva should move on

  • @mwanaikaomar8628

    @mwanaikaomar8628

    4 ай бұрын

    Allah awaondoshee tofauti inshallah

  • @leaherasto929

    @leaherasto929

    4 ай бұрын

    Usithubutu kuolewa namganga kuachana mpaka atake

  • @rhodarichard4494

    @rhodarichard4494

    4 ай бұрын

    ​@@leaherasto929 wew mpuuz umenichekesha 😅😅

  • @cdeleo9336
    @cdeleo93364 ай бұрын

    Diva ukija kustuka ni too late . Umeolewa na tapeli wa kimataifa

  • @emmah_bill5597
    @emmah_bill55974 ай бұрын

    He will never change

  • @ZubedaHussein-it7nf
    @ZubedaHussein-it7nf4 ай бұрын

    Uyu mwanaume mkimuona wanawake mpitien mbali hafai aisee😊😊😊😊😊

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    4 ай бұрын

    Toa sababu

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    4 ай бұрын

    Dive anafa

  • @RahmaRashid-lc6nw
    @RahmaRashid-lc6nw4 ай бұрын

    Lkn diva inatakiwa akuwe kwa kweli sasa mauwa yatamfanya nn ndoa ina mambo mengi lazima apige moyo konde mambo yaende mbele tumo kwenye ndoa miaka 27 kwenye ndoa ata sikumbuki lini nimepewa zawadi kila kitu najifanyia mwenyewe unashukuru tu umepata wa kukikidhi haja zako Alhamdulilah

  • @rizikisam6481

    @rizikisam6481

    4 ай бұрын

    Hongera

  • @tunudachitalks6575

    @tunudachitalks6575

    4 ай бұрын

    Hongera mwayaa maana kiukweli huu ndo uhalisia wa maisha ya wanawake wengi diva siyo mwanamke ni binti

  • @rahmaali2694
    @rahmaali26944 ай бұрын

    Manshallah,napenda kuombwa msamaha namume,Alhamdulillah,diva ishike ndoa yako,wanaume wote ndio wako hivyo

  • @LeeLian95

    @LeeLian95

    4 ай бұрын

    Wewe na Divah wote akili hamna, huyo Kaka hana mapenzi na Diva yuko kwaajili ya kumtumia, Mwanaume hamtunzi yuko kazi kumdhalilisha tu na hamuachi Divah mpk atimize malengo yake, anakula bure anakaa bure na kashajua udhaifu wa mkewe 🤣 kuomba msamaha tu kidogo kalegea looh wakt linamdhalilisha kila siku, et wanaume wote wako hivyo hyo mentality sijui mnatoa wapi

  • @bhokesaid3264

    @bhokesaid3264

    4 ай бұрын

    ​@@LeeLian95asante nimecopy na kupaste hii comment yako

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    4 ай бұрын

    Sio wote

  • @cdeleo9336

    @cdeleo9336

    4 ай бұрын

    @@LeeLian95kweli kabisa huyu mwanaume ni tapeli anamtumia tu huyo diva. Na huyo diva since hajapata upendo tangu akiwa mtoto ndo kaangukia kwa huyo tapeli

  • @zainabusabas7421

    @zainabusabas7421

    4 ай бұрын

    ​@@LeeLian95wanaume wa hivi hawatoi talaka wanavyo penda kitonga 😅😅😅😅

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah15954 ай бұрын

    Ati mwanamke akija kwako lazima azae kwaiyo huitaji uwezo wa mungu alaf wajiita sheikh labda sheikh ukwaju

  • @rizikisam6481

    @rizikisam6481

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 sheikh ukwaju

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah20814 ай бұрын

    Jamani mbona kuaibishana hvi 😢

  • @claudiajames2003
    @claudiajames20034 ай бұрын

    😂😂Yani hapa Diva umepigwa na kitu Kizito,Yani umeolewa na Bluetooth! Huyu ni hatari! Jamaa anaongea mpk hata anapoteza ladha ya kuwa mwanaume

  • @user-pl1fk6yz4u

    @user-pl1fk6yz4u

    4 ай бұрын

    Eti Bluetooth

  • @christabelkajirwa1706

    @christabelkajirwa1706

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @suzanapangani9305
    @suzanapangani93054 ай бұрын

    Nimemuelewa Shekhe kuwa ameamua kuishi anavyotaka Diva maisha ya kujipapulish mbele za watu!!

  • @halima23862
    @halima238624 ай бұрын

    Mungu ndio atawajalia

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj4 ай бұрын

    Mi nishsmuelew uyu kaka nishafahamu diva ndio alielikoroga hakupaswa kuchukua maamuz ya kuolewa maisha ya diva na huyu kaka ni vitu viwil tofaut diva anatak penzi la huyu kaka wanapendana life style ndo panamtihan

  • @vumiliakilosa4548
    @vumiliakilosa45484 ай бұрын

    Abdul yuko vizuri kabisa

  • @user-bi7wf4nz2d
    @user-bi7wf4nz2d4 ай бұрын

    Haloooooh hatariii na nusuu tupe ubuyu baba😂😂

  • @issazalala4907
    @issazalala49074 ай бұрын

    Eti mtu analipa milioni5 kwa mwezi wakati hata kiwanja hana 😂 pumbavu zao lazima mfe masikini

  • @user-gy3dv3tq8d

    @user-gy3dv3tq8d

    4 ай бұрын

    Wamerogwa wasanii😂

  • @RuwaidaMohd-zs4kq
    @RuwaidaMohd-zs4kq4 ай бұрын

    ww unalipwa ulivowafanyia wanawake wako wamwanzo ss baki uteseke na wao wanacheka saiv

  • @christabelkajirwa1706
    @christabelkajirwa17064 ай бұрын

    It’s ommy with dang dang dang for me 😂😂😂

  • @faridalihondo3322

    @faridalihondo3322

    4 ай бұрын

    Yan ananiboa 😂😂😂😂

  • @faridalihondo3322

    @faridalihondo3322

    4 ай бұрын

    Utaskia okee oyeee 😂😂😂🙌

  • @alonchobasamiye6844
    @alonchobasamiye68444 ай бұрын

    Mm naona Haina sababu ya kuzungumzia mahisiano yaliyo Kisha kuvunjika kweye mitandao

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55364 ай бұрын

    Diva unashida pole diva pole sn hapo hakuna mtuuu hapo

  • @AminaAmina-gs9zz
    @AminaAmina-gs9zz4 ай бұрын

    Huyu mwanaume hayuko na mapenzi ya kweli naye he just pretend tu kwa ajili ya manufaa yake diva she is going real had to him diva walk away dear love you mwanamke mwenzangu, hakuna kitu vibaya kama mtu ku pretend kukujali mbele ya watu but ndani ni fofauti ni mabaya sana huyu kaka ni muongo ata ongea yake na pia ni binafsi na dharau juu eti ni sheik mmmh 😂😂😂

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    4 ай бұрын

    Dawa zake alizomroga amuoe imeisha 😂😂😂😂

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3w4 ай бұрын

    Sheikh gani huyu Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki awache kujiita Sheikh anatufanya hatuijui Nyeusi na Nyeupe!

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum38984 ай бұрын

    Nimemskiliza diva kwa makin sana diva mkweli sana

  • @emilianapaul2751
    @emilianapaul27514 ай бұрын

    Mtangazaji: mlisolve vip?? Shekhe:Alitembea😅😅😅😅

  • @user-pl1fk6yz4u

    @user-pl1fk6yz4u

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-bi3ky7vy2q
    @user-bi3ky7vy2q4 ай бұрын

    Mmmh Shikamoo Mahusiano.

  • @MultiMbongo
    @MultiMbongo4 ай бұрын

    Dah siri zote nje,kumbe Kuna siku sheikh alipaka maji akambandika bibie😢😢😢

  • @zainabusabas7421

    @zainabusabas7421

    4 ай бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @noraazan9124
    @noraazan91244 ай бұрын

    Huyuu kaka ni msanii sana loooh hakuna mume hapa

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    4 ай бұрын

    Na mke hapana apo

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    4 ай бұрын

    Kama wewe shehe mbona mke wako anavaa hovyo

  • @sperabais
    @sperabais4 ай бұрын

    Diva mwenyewe analalamika kwa ajili yako sema tu nimefurahia unavomtetea

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj4 ай бұрын

    Huyu kaka ukimdifia tu Anakuomba picha akuone na anataka kukuoa😅😅😅

  • @user-dj9xx9jl4j
    @user-dj9xx9jl4j4 ай бұрын

    Ukiona mtu anaongea na akimaliza anagongeana na mwenzake hvy kuna namna

  • @collinsenock2964
    @collinsenock29644 ай бұрын

    RUN

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya45194 ай бұрын

    Naisubiria interview ya night

  • @cocorita8367
    @cocorita83674 ай бұрын

    Wewee akipata mimba ikifika miezi 3 ashonwe zikibaki Wiki 2 kujifungua nyuzi inatolewa anazaa hii niifanya kwa mtt wangu wa kwanza na sasa ana 14yrs lkni ilikuwa south Africa sasa dola elfu 5 kwa nyumba akajitibu apate mtt wake

  • @zamdageuka9153

    @zamdageuka9153

    4 ай бұрын

    Hawashoni wanafunga

  • @thetas08
    @thetas084 ай бұрын

    Huyu jamaa kwa sie akili zetu timamu kwanza muongo then anaongea sana then ushekh sio dizaini hiyo huyu ni fake love period

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422Ай бұрын

    Astaghfirullah huyu baba hazimtoshi anatakiwa ajitibu vipi asomee maji alafu apake sehem za siri hata huna haya mshenzi mkubwa

  • @aishahasan7722
    @aishahasan77224 ай бұрын

    Mmh anaushekhe gan nae huyoo😂😂😂hovyoo we shekhe au shekhena 😂😂kwendraa huwez kuwa shaikh ww😅shekhe gn mkeo anavaa mawig anaogaje janaba km siouchafu,

  • @mahmoudukusso4488

    @mahmoudukusso4488

    4 ай бұрын

    Swadakta ukhtii

  • @biggievandar254
    @biggievandar2544 ай бұрын

    Lazima atajijitea ila hyo jamaa nitapeli sana hawezi kubali but nitapeli yeye na diva wote wakora

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf4 ай бұрын

    Hapo pa familia yake diva una wazimu. Wewe mke tuu leo ana wewe kesho ana mwengine, familia yake ndio muhimu daima ataishi nayo ukipenda usipende. Usilete fitna

  • @abubakarysendeu2532
    @abubakarysendeu25324 ай бұрын

    Apo matapeli wawili Wana mfaidisha shekhe mansuri.wanauza utu wao,alafu huyu jamaa ni kama juisi ya miwa tu hata ikitiwa limau ndimu tangawizi haichachuki

  • @zulphaadam4671
    @zulphaadam46714 ай бұрын

    Uyuu bab ayukoo sw

  • @halima23862
    @halima238624 ай бұрын

    Nyie waandishi wa Habari ndio mnaketa unafiki maana mnauliza masuali ya undani

  • @zuheilarama6233
    @zuheilarama62334 ай бұрын

    Abdul anampenda xna mke wake..,lakin mke mwenyewe ako na mambo mengi xna

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha16184 ай бұрын

    Nimecheka mimi dah!🤣🤣 kwa ndoa gani sasa ya kupigwa vita. It's official hawa ni Mr& Mrs. Delulu yaani wamekutana full kujiongopea,kuongopea watu na kuongopeana wenyewe............

  • @nestorycosmas5717
    @nestorycosmas57174 ай бұрын

    Huyu mjinga kwenye kujieleza, yuko vizuri

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb4 ай бұрын

    Kazaba umoja

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende36764 ай бұрын

    Mtihani tuu mtu wa sura zake elfu Mia kakutana na Babu ya Tapeli yani Diva hapa alijilidhalilisha sana !Mganga ndiii😂😂😂

  • @sitiabubakar2892

    @sitiabubakar2892

    3 ай бұрын

    Tena ndii..ndii...ndii...😅

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam53604 ай бұрын

    Muongo huyu bwana sana kaweka hata kitanda office yake akipata mwanake tu analala naye hapo akiulizwa anasema anapumzika yeye

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen4 ай бұрын

    🤣😂🤣Kwa Nini Alikimbia kutompeleka wife fake Zanzibar Kwa Valentine day ???kumbe umepona Na kuja studio🤣😂🤣😂Uliishiwa pesa Ustadh? Au Wife namba two Alikukatazaaaa🤣😂🤣🥳🥳🥳🥳Diva kaingia choo cha wastadhi atadata Divaaaa😏😏

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    4 ай бұрын

    pengine tatizo pesa kipindi kizito hichii

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx4 ай бұрын

    Umeshaeleweka Dr.. Diva ni mke wako milele..

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z4 ай бұрын

    Waache Kiki wote ni wababaishaji diva akipotea mitandaoni anazua ishu ili azungumziwe. Tumewaxhoka

  • @dignakanje4508
    @dignakanje45084 ай бұрын

    Nanyie mnaependa umaarufu nakujikuta mnaoa mastaa ndio hyo yanawatokea puani.Heshma inashuka,Matokeo yke unatumia nguvu nyingi kujielezea.Hya sasa mwishoe nihyo

  • @Naju645
    @Naju6454 ай бұрын

    Shekhar anajua kumzungusha akili diva nahivi diva mwenyewe Hana akili ndio basi

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo4 ай бұрын

    Kweli sheikh ni mkweliii

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma45434 ай бұрын

    Mmmh Ngoja nisikilize tu…

  • @salama1113
    @salama11134 ай бұрын

    Huyu kaka muongo jamani kaah

  • @user-cu7ic4wy9h
    @user-cu7ic4wy9h4 ай бұрын

    Uyu jamaa ni kiboko😂😂😂❤

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official4 ай бұрын

    Kweli mganga time hii mke umempata pasua kichwa yani utajua kumuoa miss mitandao haki kilakitu anaandika kwenye mitandao mpaka wazazi wako duh

  • @mankinemansulikine-2220
    @mankinemansulikine-22204 ай бұрын

    Nyie nimecheka sana diva unashida 😂😂

  • @estermahenge-ks3dr

    @estermahenge-ks3dr

    4 ай бұрын

    yani uyu kk ana taka diva awe wake milele

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob2 ай бұрын

    Tanzania ina urithi mkubwa wa watu😂😂😂. Wasafi Leo mmeyakanya

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad37244 ай бұрын

    Uyo mwanamme anaropoka tu naye muongo hana ata aibu sifa ndo zake

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j4 ай бұрын

    Amuelewa abdul

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco83504 ай бұрын

    Nchi ya hovyo sana ... Mpaka mambo ya ndoa yanaongelewa ktk radio tena mpaka jinsi ya tendo kenge nyie 😏

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa68094 ай бұрын

    Keif ente 😊

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse18424 ай бұрын

    Ila Tapelin Daaah 😅😅😅😅

  • @kissamwamunyange1018

    @kissamwamunyange1018

    4 ай бұрын

    Unauhakika au umesikia?

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    4 ай бұрын

    😂😂

  • @teddymathew2155
    @teddymathew21553 ай бұрын

    Tapeli jamaniii khaaah

  • @saidimussa8200
    @saidimussa82004 ай бұрын

    Jamaa kolombweo sana

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga39394 ай бұрын

    Huyu jamaa muongoo

  • @nahyialetomia9284

    @nahyialetomia9284

    4 ай бұрын

    Muongo mkubwa

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    4 ай бұрын

    Continatal lier ni muongo wa kimataifa 😅

  • @nahyialetomia9284

    @nahyialetomia9284

    4 ай бұрын

    Mfuko nyepesi aende hospital ashonwe kwenye kizazi

  • @meryamabdullah2081

    @meryamabdullah2081

    4 ай бұрын

    😂

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani79534 ай бұрын

    Ila kweli nyumba ya dola 2000 sio kweli!!!

  • @tusemezanenamariana5933
    @tusemezanenamariana59334 ай бұрын

    😅😅😅huyu msanii shekhe ubwabwa huyu😂😂😂😂..kwanza atoe hiyo miwani bibie kasha mwambukiza

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 na yeye ni diva 😂😂😂😂

  • @hijrammbaga7472
    @hijrammbaga74724 ай бұрын

    THE GUY KNOWS WANT HE WANTS , NA PIA MAISHA NI MAKUBALIANO KAMA WAMEKUBALIANA WENYEWE ITS 50/50 WAACHENI

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga94894 ай бұрын

    Kwani kunashida gani akilelewa""guys yr attacking this man too much

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya63174 ай бұрын

    Huyu kaka nimuongosana

  • @vero57
    @vero574 ай бұрын

    Dawa zinechuja tenaaa kwa divaa

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m4 ай бұрын

    Sheikh WA mchongo muongo maskini diva huyu NDIOumepanga nyumba Juu anakutomba jamani?umerogwa😢😢😢Pole diva

  • @queenlinda255
    @queenlinda2554 ай бұрын

    Mhh Diva ameisha

  • @Nyanda506
    @Nyanda5064 ай бұрын

    Wanawake wana masimango sana hata akikusaidia 100 tu atasema milioni ..Mimi nikioa lazima mwanamke aje kwangu si kwake pumbavu kabisa ..Nikuishi nao kwa akiri sana hawa viumbe 😂😂

  • @consolatepondamali9984
    @consolatepondamali99844 ай бұрын

    Diva tu aimes vraiment ton mari très propre à😂😂

  • @dignakanje4508
    @dignakanje45084 ай бұрын

    Ustaaaa niujinga kbisa Hyo diva kma kweli nimwanamke angejenga hyo jeuri yadiva niyakijinga sana

  • @namsamson3443
    @namsamson34434 ай бұрын

    Unamuabisha mwenzio kwenda huko

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    4 ай бұрын

    Kwani Diva mbona anamdhalilisha sana huyu shekhe Abdul

Келесі