🔴
Ойын-сауық
🔴#LIVE: VITA YA KIMAHUSIANO KATI YA ABDUL RAZACK NA DIVA / SIJAACHANA NA DIVA HAIWEZEKANI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 407
Mtoto ni maajaliwa ya mungu sio sisi binaadamu acheni hayo masuali
I feel sorry for diva kwa kwl hapa hakuna mwanaume 😭🙌ruuuuun
Wanawake wanao kujifanya expensive wanapata mtu km huyu😂😂😂😂😂😂😂🇬🇧 anamsifu kisha nyumbani anamfanyia tofauti. Mtt wa wenyewe anaumia 😢😢😢😢 km ana shari na diva wetu mungu amnusuru❤❤😢😢
@agwalubifaridah7079
4 ай бұрын
😂😂
@MsAggie5
4 ай бұрын
Shehe mchawi 😂😂😂,
@user-gj2mm3ko8m
4 ай бұрын
Amerogwa
@firdaussheikh4817
4 ай бұрын
@user-gj2mm3ko8m anerogwa. Anam ogelesha loving in social media reality anataka akae maid . Allah amsaidie Diva rehana 🥺🥺
@user-gj2mm3ko8m
4 ай бұрын
@@firdaussheikh4817 😁😁
Razaq kidume MA Sha Allah
@matildamati9222
4 ай бұрын
Iwe funzo kwa wengine mana mnachezea wanawake sana acha Diva amnyooshe na usheikh wake I love u Diva
Mimi nilikuwa simuelewi diva lakini sasa namuelewa sana Leo kaongea tusimuangalia Tu kwenye insta love u diva
Diva maskin hata hana makuu huyu mume tuu sie 😢
This was more than a HOLLYWOOD MOVIE….DAMN!!!! 🥵🥹🙌🏽
@annabubelwa4543
4 ай бұрын
😅😅😅😅
Shehk uko vizuri nakuelewa sanaaa😊
@matildamati9222
4 ай бұрын
Na bado hajaeleweka acha anyooshwe anamletea Diva ufuska wake hapa, love u Diva
NYIE WATU MNAPENDANA SANA ,DIVA NA ABDUL❤❤❤ PENDA SANA NYIE.
Hta ma-King of love ❤wanasumbuliwa na mapenzi
@hadijamandanje6189
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ni shida
@matildamati9222
4 ай бұрын
Tena Hawa ndio wananyooshwa hasa 😂
Leo Wasafi mtakoma mliyataka wenyewe😂😂
@ashuraomar4935
4 ай бұрын
BIG LAIR
Ni mepends Aya mazungumzo😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤adi rahaaa
Mm Usthi Adully nakuelewa sana hao W/ wke hao tuwe nao walicho pewa N Mungu hakiwatoshi ,utampa nn au utafany nn Aridhike hyo😊🎉
Aisee dunia ina watu😂huyu kaka anaongea kwa confidence as if he has sense
@eshialabonita7736
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Shekhe tapeli namba moja
@aishaarusha894
4 ай бұрын
Wewe namba mbili
@ditaely7309
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@aishahasan7722
4 ай бұрын
😂😂😂😂hata ongea yke ya mchongo mchongo😂😂utapel mtupu hpa tumepigwa😂😂😂
@nahyialetomia9284
4 ай бұрын
@@aishaarusha894, 🤪🤪🤪, Aisha namba 3
@meryamabdullah2081
4 ай бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗
Namuelews sana diva anayopitia ki kweli
Wewe Sheikh, linda heshima ya ushekhei Yule mwanamke hakufai, anapenda kukusanya dunia, Tanzania inadjaa na wanawake wengi, wafata Dini, mbona unawatiya ayibu wa Sheikh ?
This guy is intelligent upstairs. Though ni tapeli wa mapenzi.
@user-dj9xx9jl4j
4 ай бұрын
Nimefurahi alivyojishusha na nimeumia alivolalamika kuhusu rose kuwa anapata faraja akipewa mana anaona kama amefarijiwa na mama ake mana ni jina la mama ake.
😂WAO,DIVA SO MCH LOVE FOR U CC❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SO BRIGHT,INTELLIGENT AND TOO BLESSED SISTER!LOVE FRM THE OTHERSIDE,here Malawi🎉🎉
Uyu kaka namwelewa sana lkn mke ndo mtihani
@shangwefisima3993
4 ай бұрын
We usinidanganye hawa wote na mkewe wanatuvuruga...ni majipu...ndio maana huyu anakimbiliaga kucheat
Unajitahidi sana kumuelewa mke wako na kujaribu kumtetea kama mke, safi sana.
@queenieessie7721
4 ай бұрын
Lakn lmke lenyewe tahira
Uyo shekh amekomaa sana kiakili.
Diva kiukweli unampenda sana mumeo safi sana ❤
@Zainab_salat
4 ай бұрын
Wa nje wa ndani no no Anajifanya anaswali na anazinii kweli mpaka wafanyakazi analala nao, diva should move on
@mwanaikaomar8628
4 ай бұрын
Allah awaondoshee tofauti inshallah
@leaherasto929
4 ай бұрын
Usithubutu kuolewa namganga kuachana mpaka atake
@rhodarichard4494
4 ай бұрын
@@leaherasto929 wew mpuuz umenichekesha 😅😅
Diva ukija kustuka ni too late . Umeolewa na tapeli wa kimataifa
He will never change
Uyu mwanaume mkimuona wanawake mpitien mbali hafai aisee😊😊😊😊😊
@mohdkhatib223
4 ай бұрын
Toa sababu
@ghulamhaji7856
4 ай бұрын
Dive anafa
Lkn diva inatakiwa akuwe kwa kweli sasa mauwa yatamfanya nn ndoa ina mambo mengi lazima apige moyo konde mambo yaende mbele tumo kwenye ndoa miaka 27 kwenye ndoa ata sikumbuki lini nimepewa zawadi kila kitu najifanyia mwenyewe unashukuru tu umepata wa kukikidhi haja zako Alhamdulilah
@rizikisam6481
4 ай бұрын
Hongera
@tunudachitalks6575
4 ай бұрын
Hongera mwayaa maana kiukweli huu ndo uhalisia wa maisha ya wanawake wengi diva siyo mwanamke ni binti
Manshallah,napenda kuombwa msamaha namume,Alhamdulillah,diva ishike ndoa yako,wanaume wote ndio wako hivyo
@LeeLian95
4 ай бұрын
Wewe na Divah wote akili hamna, huyo Kaka hana mapenzi na Diva yuko kwaajili ya kumtumia, Mwanaume hamtunzi yuko kazi kumdhalilisha tu na hamuachi Divah mpk atimize malengo yake, anakula bure anakaa bure na kashajua udhaifu wa mkewe 🤣 kuomba msamaha tu kidogo kalegea looh wakt linamdhalilisha kila siku, et wanaume wote wako hivyo hyo mentality sijui mnatoa wapi
@bhokesaid3264
4 ай бұрын
@@LeeLian95asante nimecopy na kupaste hii comment yako
@ibnhassan9980
4 ай бұрын
Sio wote
@cdeleo9336
4 ай бұрын
@@LeeLian95kweli kabisa huyu mwanaume ni tapeli anamtumia tu huyo diva. Na huyo diva since hajapata upendo tangu akiwa mtoto ndo kaangukia kwa huyo tapeli
@zainabusabas7421
4 ай бұрын
@@LeeLian95wanaume wa hivi hawatoi talaka wanavyo penda kitonga 😅😅😅😅
Ati mwanamke akija kwako lazima azae kwaiyo huitaji uwezo wa mungu alaf wajiita sheikh labda sheikh ukwaju
@rizikisam6481
4 ай бұрын
😂😂😂😂 sheikh ukwaju
Jamani mbona kuaibishana hvi 😢
😂😂Yani hapa Diva umepigwa na kitu Kizito,Yani umeolewa na Bluetooth! Huyu ni hatari! Jamaa anaongea mpk hata anapoteza ladha ya kuwa mwanaume
@user-pl1fk6yz4u
4 ай бұрын
Eti Bluetooth
@christabelkajirwa1706
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimemuelewa Shekhe kuwa ameamua kuishi anavyotaka Diva maisha ya kujipapulish mbele za watu!!
Mungu ndio atawajalia
Mi nishsmuelew uyu kaka nishafahamu diva ndio alielikoroga hakupaswa kuchukua maamuz ya kuolewa maisha ya diva na huyu kaka ni vitu viwil tofaut diva anatak penzi la huyu kaka wanapendana life style ndo panamtihan
Abdul yuko vizuri kabisa
Haloooooh hatariii na nusuu tupe ubuyu baba😂😂
Eti mtu analipa milioni5 kwa mwezi wakati hata kiwanja hana 😂 pumbavu zao lazima mfe masikini
@user-gy3dv3tq8d
4 ай бұрын
Wamerogwa wasanii😂
ww unalipwa ulivowafanyia wanawake wako wamwanzo ss baki uteseke na wao wanacheka saiv
It’s ommy with dang dang dang for me 😂😂😂
@faridalihondo3322
4 ай бұрын
Yan ananiboa 😂😂😂😂
@faridalihondo3322
4 ай бұрын
Utaskia okee oyeee 😂😂😂🙌
Mm naona Haina sababu ya kuzungumzia mahisiano yaliyo Kisha kuvunjika kweye mitandao
Diva unashida pole diva pole sn hapo hakuna mtuuu hapo
Huyu mwanaume hayuko na mapenzi ya kweli naye he just pretend tu kwa ajili ya manufaa yake diva she is going real had to him diva walk away dear love you mwanamke mwenzangu, hakuna kitu vibaya kama mtu ku pretend kukujali mbele ya watu but ndani ni fofauti ni mabaya sana huyu kaka ni muongo ata ongea yake na pia ni binafsi na dharau juu eti ni sheik mmmh 😂😂😂
@MsAggie5
4 ай бұрын
Dawa zake alizomroga amuoe imeisha 😂😂😂😂
Sheikh gani huyu Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki awache kujiita Sheikh anatufanya hatuijui Nyeusi na Nyeupe!
Nimemskiliza diva kwa makin sana diva mkweli sana
Mtangazaji: mlisolve vip?? Shekhe:Alitembea😅😅😅😅
@user-pl1fk6yz4u
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Mmmh Shikamoo Mahusiano.
Dah siri zote nje,kumbe Kuna siku sheikh alipaka maji akambandika bibie😢😢😢
@zainabusabas7421
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅
Huyuu kaka ni msanii sana loooh hakuna mume hapa
@ghulamhaji7856
4 ай бұрын
Na mke hapana apo
@ghulamhaji7856
4 ай бұрын
Kama wewe shehe mbona mke wako anavaa hovyo
Diva mwenyewe analalamika kwa ajili yako sema tu nimefurahia unavomtetea
Huyu kaka ukimdifia tu Anakuomba picha akuone na anataka kukuoa😅😅😅
Ukiona mtu anaongea na akimaliza anagongeana na mwenzake hvy kuna namna
RUN
Naisubiria interview ya night
Wewee akipata mimba ikifika miezi 3 ashonwe zikibaki Wiki 2 kujifungua nyuzi inatolewa anazaa hii niifanya kwa mtt wangu wa kwanza na sasa ana 14yrs lkni ilikuwa south Africa sasa dola elfu 5 kwa nyumba akajitibu apate mtt wake
@zamdageuka9153
4 ай бұрын
Hawashoni wanafunga
Huyu jamaa kwa sie akili zetu timamu kwanza muongo then anaongea sana then ushekh sio dizaini hiyo huyu ni fake love period
Astaghfirullah huyu baba hazimtoshi anatakiwa ajitibu vipi asomee maji alafu apake sehem za siri hata huna haya mshenzi mkubwa
Mmh anaushekhe gan nae huyoo😂😂😂hovyoo we shekhe au shekhena 😂😂kwendraa huwez kuwa shaikh ww😅shekhe gn mkeo anavaa mawig anaogaje janaba km siouchafu,
@mahmoudukusso4488
4 ай бұрын
Swadakta ukhtii
Lazima atajijitea ila hyo jamaa nitapeli sana hawezi kubali but nitapeli yeye na diva wote wakora
Hapo pa familia yake diva una wazimu. Wewe mke tuu leo ana wewe kesho ana mwengine, familia yake ndio muhimu daima ataishi nayo ukipenda usipende. Usilete fitna
Apo matapeli wawili Wana mfaidisha shekhe mansuri.wanauza utu wao,alafu huyu jamaa ni kama juisi ya miwa tu hata ikitiwa limau ndimu tangawizi haichachuki
Uyuu bab ayukoo sw
Nyie waandishi wa Habari ndio mnaketa unafiki maana mnauliza masuali ya undani
Abdul anampenda xna mke wake..,lakin mke mwenyewe ako na mambo mengi xna
Nimecheka mimi dah!🤣🤣 kwa ndoa gani sasa ya kupigwa vita. It's official hawa ni Mr& Mrs. Delulu yaani wamekutana full kujiongopea,kuongopea watu na kuongopeana wenyewe............
Huyu mjinga kwenye kujieleza, yuko vizuri
Kazaba umoja
Mtihani tuu mtu wa sura zake elfu Mia kakutana na Babu ya Tapeli yani Diva hapa alijilidhalilisha sana !Mganga ndiii😂😂😂
@sitiabubakar2892
3 ай бұрын
Tena ndii..ndii...ndii...😅
Muongo huyu bwana sana kaweka hata kitanda office yake akipata mwanake tu analala naye hapo akiulizwa anasema anapumzika yeye
🤣😂🤣Kwa Nini Alikimbia kutompeleka wife fake Zanzibar Kwa Valentine day ???kumbe umepona Na kuja studio🤣😂🤣😂Uliishiwa pesa Ustadh? Au Wife namba two Alikukatazaaaa🤣😂🤣🥳🥳🥳🥳Diva kaingia choo cha wastadhi atadata Divaaaa😏😏
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
pengine tatizo pesa kipindi kizito hichii
Umeshaeleweka Dr.. Diva ni mke wako milele..
Waache Kiki wote ni wababaishaji diva akipotea mitandaoni anazua ishu ili azungumziwe. Tumewaxhoka
Nanyie mnaependa umaarufu nakujikuta mnaoa mastaa ndio hyo yanawatokea puani.Heshma inashuka,Matokeo yke unatumia nguvu nyingi kujielezea.Hya sasa mwishoe nihyo
Shekhar anajua kumzungusha akili diva nahivi diva mwenyewe Hana akili ndio basi
Kweli sheikh ni mkweliii
Mmmh Ngoja nisikilize tu…
Huyu kaka muongo jamani kaah
Uyu jamaa ni kiboko😂😂😂❤
Kweli mganga time hii mke umempata pasua kichwa yani utajua kumuoa miss mitandao haki kilakitu anaandika kwenye mitandao mpaka wazazi wako duh
Nyie nimecheka sana diva unashida 😂😂
@estermahenge-ks3dr
4 ай бұрын
yani uyu kk ana taka diva awe wake milele
Tanzania ina urithi mkubwa wa watu😂😂😂. Wasafi Leo mmeyakanya
Uyo mwanamme anaropoka tu naye muongo hana ata aibu sifa ndo zake
Amuelewa abdul
Nchi ya hovyo sana ... Mpaka mambo ya ndoa yanaongelewa ktk radio tena mpaka jinsi ya tendo kenge nyie 😏
Keif ente 😊
Ila Tapelin Daaah 😅😅😅😅
@kissamwamunyange1018
4 ай бұрын
Unauhakika au umesikia?
@MsAggie5
4 ай бұрын
😂😂
Tapeli jamaniii khaaah
Jamaa kolombweo sana
Huyu jamaa muongoo
@nahyialetomia9284
4 ай бұрын
Muongo mkubwa
@leokamil6284
4 ай бұрын
Continatal lier ni muongo wa kimataifa 😅
@nahyialetomia9284
4 ай бұрын
Mfuko nyepesi aende hospital ashonwe kwenye kizazi
@meryamabdullah2081
4 ай бұрын
😂
Ila kweli nyumba ya dola 2000 sio kweli!!!
😅😅😅huyu msanii shekhe ubwabwa huyu😂😂😂😂..kwanza atoe hiyo miwani bibie kasha mwambukiza
@MsAggie5
4 ай бұрын
😂😂😂😂 na yeye ni diva 😂😂😂😂
THE GUY KNOWS WANT HE WANTS , NA PIA MAISHA NI MAKUBALIANO KAMA WAMEKUBALIANA WENYEWE ITS 50/50 WAACHENI
Kwani kunashida gani akilelewa""guys yr attacking this man too much
Huyu kaka nimuongosana
Dawa zinechuja tenaaa kwa divaa
Sheikh WA mchongo muongo maskini diva huyu NDIOumepanga nyumba Juu anakutomba jamani?umerogwa😢😢😢Pole diva
Mhh Diva ameisha
Wanawake wana masimango sana hata akikusaidia 100 tu atasema milioni ..Mimi nikioa lazima mwanamke aje kwangu si kwake pumbavu kabisa ..Nikuishi nao kwa akiri sana hawa viumbe 😂😂
Diva tu aimes vraiment ton mari très propre à😂😂
Ustaaaa niujinga kbisa Hyo diva kma kweli nimwanamke angejenga hyo jeuri yadiva niyakijinga sana
Unamuabisha mwenzio kwenda huko
@taseleli9181
4 ай бұрын
Kwani Diva mbona anamdhalilisha sana huyu shekhe Abdul