OMMY DIMPOZ: ANAKUCHUKIA BILA SABABU / ANAKWITA MBWA / HUJAFA TU!
Ойын-сауық
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com
Пікірлер: 144
Asghafir alokuita bwa yeye atageuka nguruwe soon ila usimfikirie mcheke tu maana hajui mungu amekutoa wap mpaka ukawa hai achana nae bro ommy nakuombea my love
May God protect you ommy I understand what you say think about death is really true sometimes happen in our life. I remember one day niliumwa mpaka nikaanza kuwaona marehemu ndugu zangu wakiniambia wamekuja kunichukua kiukweli I can't forget that day in my life, I was like you ommy started to complain to God am too young, I have many things to do in this world. But God taught me that never ever forget about God in our life.
@charlzzesonconsciousness6685
5 жыл бұрын
Ulikua na malaria labda mtu akifa amekufa hawezi kukutokea hizo ni roho chafu tu na mapepo
Nadhani umejifinza kitu maisha ni mapito,, ulimpost mama diamond kimaudhi sana mungu akalipa hapahapa naomba uwe mtu mwema
@yasirdahasra3186
5 жыл бұрын
Aljabri Adamu Hapo ndio umeongea nini
Pole #ommy kweli maneno yanaudhi,, ila yote tumuachie Mungu kwani yeye ndo muweza wa yoteee, Maneno ya watu yastuumize sana kikubwa Mungu ndo kila kitu.
Mungu yupo nawe kaka
Pole kaka, mungu mwema
Ommy dimpo wacha wakuchukie mungu yupo pamoja nawe watatangulia wao
Mshukuru Mungu kwa kila jambo kaka jua kabisa aliekuita mbwa kanyimwa hekima na mtu akiwa hana helima ana tabia nyingi mbaya na mbovu ni mchafu wa kauli mdomo wake una tindikali na watu kama hao tuko nao kwenye jamii zetu kikubwa ni kusamehe na maisha yako yaendelee
Jamaaa ameongea point sana tuache kutafuta like zakipuuzi
MUNGU aendelee kukulinda na kukupa nguvu. Tunakupenda sana ommy
I was shocked too much😭 kwa iyo post ya RIP ...kweli watu hawaogop mungu...views ndio wanataka kutengeza hela kwa migongo ya wenzao...pole broo hatuna chakukupa...tumuombe mungu kwa yalyo mbele ytu ...mm kama shabki sugu karbu..mombasa kwa nygne😘😘
Mwenyez mungu ni mwema interview yako inaniliza Ommy mwenyez mungu akupe maisha marefu utimize ndoto zako
pole sana ommy aliye kuita mbwa alaniwe aze yeye kufa
Ommy big up! Always ok Smart kujibu maswali na kujieleza apart ya kile kipindi cha Mama D.. Wewe ni muislam, ALLAH amekupa nafasi nyingine, usiichezee yakhe! Hebu fikiria kifo ingetokea, ingekuwa vipi mbele ya ALLAH.. Rekebisha, haya maisha ni ya kupiga, kumbuka ALLAH amesema, katuumba ili tupate kumuabudu. Nakutakia kila la kheri a afya njema.
Get well soon bro..amin
Binadamu tunaloho Mbaya sana yaani unamuita mwezio mbwa au fisi au mbu kweli pole sana kaka oomy
Dah pole sana Allah kareem
Mitihani tumeumbiwa binadam,pole sana Ommydimpoz ila mungu ni mkubwa
@mariammubbah3446
5 жыл бұрын
Fetty Said pole sana Ommy, Allah akujaalie shifaaa unaongea kwa busara sana bro
Inshallah Mwenyezi Mungu akuwekee na akuepushe na maradhi omary
Nampenda ommy.. Mungu akusaidie
welcome back ommy
Jamani tujifunze kupunguza ukali wa maneno ukumbuke unapomuombea mwenzio kifo kumbuka na ww unafata huwezi kuishi milele ommy mungu yupo na ww
pole ommy mungu akubariki
Umeongea point sana Kaka pole sana mungu akulinde zaidi
Mwenyez mungu Akuhifadh, akupe subira
Daaah pole xana ommy nyembo mungu yupo pamoja nasi
Mungu Anasababu Zake....Wanadamu Ndo Mapungufu Yao Lazima Negative side Nakutakia Buheri Wa Afia..!!!! OmmySqure much love🇰🇪👊🇰🇪
Mungu akupe maisha marefu ommy😘😍🙏🙏
Pole sana yaan tunaleta utimu kweny mamb ambayo hayaitaj mzaha hata kidg ila Allah atakujalia afya njema bro #HAINAGAKUFELI
ommy nafulahi kuwona tabasamu lako linalejea tena love so much
Pole Ommy utakua poa,luv u
Mungu ndio kila kitu ommy .nijambo la kumshkuru mungu .
Yaan wabongo🙌 ebu tujaribu kuwa n akiba za maneno leo kwake kesho kwako tushukuru mung kila kuitwapo leo
@jancybimetv2856
5 жыл бұрын
👍
Polee sanahh brooo
Pole sana ommy mungu atakujaalia inshallah
pole sana omar nyembo
U gonna live live long ..#Jah is there for us
mungu atajibu,na atawajibu vibaya saaaana bro
Nakupend san kaka angu mungu atakulinda miaka 1000
oooyee thanks ommy umepona
Poley sana ommy mungu atasimama na ww
Daaah pole sana
Good bless you ommy
Pole Sana jembee achana na hao wasio jitambua
Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu, wenye husda zao Mungu anawaona.
Ommy God loves you!we love you we care about you we prayed for you. Thank God!you got good friends
Jaman tusomeni kitabu cha mhubir 3:1-8 tutatambua kuwa mungu anajua kwa kila mtu atapitia yap ktk uhai wake pole sana ommy mung yupamoja nas
Mungu yupo ommy
Mungu mwema Sanaa Uzidi kubarikiwa
pole sana mungu ni mwema
Mungu akutie nguvu ommy machoz yamenitoka! Mungu anaweza
@alphokingmarthin6011
5 жыл бұрын
Inauma sana
Sikuzote tukae tujue dunia hiii tunapita Sasa unamchukia mwenzi wakat safary yetu nimojo pole Sana Broo wasamee tu
Husda kweli HasbunaAllahu Wanii'mal Wakeel..Allah amshinde na alegee mwanga mkubwa
Pole sana kipenz ndio dunia
Pole sana mungu yuko nawe
Pole saana aisee
Kaka kikubwa umepona tunamshukuru mungu,wanatukana waachie mungu siku yao yaja
Pole sana Ommy we missed and we're praying for you.
@hamilhassan9464
3 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema Omi Kila la kher katka Manisha yk
pole sana umepitia mangu sana
Ommy pole San my swt
pole sana broo tuko ila niseme 2 tuko p1 sana kaka
Pole sana Ommy
dah Mungu mkubwa bhana just pray to him only binadam cc dah ni amshaaa
Happy see you dimpoz again
@marcelinashangari6794
5 жыл бұрын
pole sana mungu aendelee kukuafu
Pole kaka ngoma yako kali
Utaishi mpaka wafe Wao.live longer ommy
Nice sana
Nlikuombeaa Sanaa bro
InshaAllah Kwa Kumlinda Uyu Kijana
Alimdulillah 🙏🙏🙏
pole sana kaka
Pole bro
Happy to see you in one piece! Nipe number zako
Ndoto zako kutimia swali sana afanye anayo ambrisha mungu.
washenzi awo ata mm niliona ommy mm nilimtukana ninakuombea mungu akusimamie
@rahimahury7669
4 жыл бұрын
Jamn huyo ni mshenz sana
Wasamehe sana wanaongea vibaya waachie mungu tu
Watu wengine wanaroho ngumu unamuombeaje mtu kufa 😔😔😔
LilOmmy na Ommy dipoz kizaz cna
@cirebright8481
5 жыл бұрын
Poleee sana brother ...
Alhamdullillah
Alhamdulillah
duu hakika mungu ndyo muweza wakila k2 utukufu nanguvu zinayeye.
Love
Mungu nimwema mwamba umepona
kifo hupangwa na Mungu.hakuna binadamu anaweza kutoa uhai wa mtu.ww unayemuombea mwenzko kumbuka na ww utafukiwa na mchanga na kusahaulika.
dshhh pole brooo
Mwaka Jana ulikua mgumu sana kaka yangu yaani tupo wengi sana tumeteseka na operation duu na Mimi nilifanyiwa 4 kwa mwaka Jana tuu ila tumshukuru mungu tumeuona mwaka mwingine
Pole sana Ommy maneno yanauma sana lkn auna budi kumuachia Allah kwa yote magumu unayopitia
Exactly
Imani Ndio inaponya
my love for u is forever
Nakutakia maisha marefu wajna pole kwa mtiani
nilimmisi sana ommy kwa masihara yake tu mi ananiwahi
i feel you broo. mungu mwema love its beyond every thing.live longer kaka
Mimi mwenyewe Nilishawahi kuliasana Baadayakuona iyo Post.polesana bloo Ukionamtu anakuhusu Dujuakuna kituumemzi Diwachawihao wataaza Kufawao kwaza
ndgu zangu naomba msaaada ivi apa kwny hizii Clip naona kuna maali ya ku subscribe upande wa pemben kuna madole gumba ya Like moja iko imetizama juu 👍ingine imetizama chini 👎sasa apa walio wengi wamelike juu wachahe chin ebu nipen msaada anae Like chini inakuwaje uyu maaake wengi tunalike juu uyu 👎inakuwaje asee
@cieranmanuel7251
5 жыл бұрын
😁😁😁wanadhani niku download
@shekhekhandereizer559
5 жыл бұрын
Cieran Manuel hahahahah acha bna hahha
@bekumbegu9967
5 жыл бұрын
shekhe khan de reizer chini ni dislike juu ni like
@Amadkelly
5 жыл бұрын
hahhahahaahhhahah
pole wakwetu
Ule aliye kuita ubwa mungu atamulipa...
my brother mungu ndo muweza wa yote binadamu hana mamraka yoyote hivyo tulia ucheki afya yako
Achana nae mwamba uyo ajielew xixi maxhabiki zako tulikumic xanaaa ommy dimpoz
Yaaan machozi yananitoka 2