OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA SHINYANGA YAELEZA, USHIRIKIANO KATIKA KUENDESHA MASHAURI YA JINAI
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Shinyanga kupitia Mkuu wa Mashtaka wa Mkoa hupo Bi Ajuaye Zegeli amesema kuwa tangua kuanzishwa rasmi mwaka 2018 kuwa taasisi huru wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa katika kuendesha mashauri ya Jinai,
aidha ameeleza namna wanavyoshirikiana na wadau wa haki jinai katika kuharakisha upelelezi na mashauri mengi kwenda kwa kasi fuatilia kupitia hapa Mashtaka TV.na na wadau wa haki jinai katika kuharakisha upelelezi na mashauri mengi kwenda kwa kasi fuatilia kupitia hapa Mashtaka TV.
Пікірлер: 2
Hongereni sana, Kazi Iendelee
VP mashauli yapungue watu wanateseka magerleza