Uwez kuwa na nyumb nne alafu ukapange nyumba we dada wee utakufa mapema 💃💃
@hellenyusuph83105 жыл бұрын
mmmmhhh nakumbuka ulisema nyumba yako umenunuliwa na baby wako kumbe umepanga nyie ndio mnafanya watu wajiuze kumbe mna copy maisha fyuuuuuu kama umeona hivyo weka like yako !..
@kelvinvicent3974
5 жыл бұрын
hahahaaa
@robertmwandambo9785
5 жыл бұрын
Hellen Yusuph ndio maana ney wa mitego alisema bongo freva sio bongo movie wadangaji acheni ujinga sikuhizi kila malaya wa mjini anataka kuimba Respect mr nay
@supportmusicafrica8772
5 жыл бұрын
Wanafeki life wanafanya wadada wenzao waende les kudanga kwa kyamini wanume wa kuwanunulia wadada mijengo bado wapo kwa maisha haya ya baba jesica
@fatmajuma856
5 жыл бұрын
dah alisema nyumba yake halafu ananyumba nyingi huyu dada muogo halafu anapenda kufeki maisha
@mwalimuismaily2758
5 жыл бұрын
Hellen Yusuph
@barakasamora63615 жыл бұрын
Kutombwa tu ujenge ghorofa mjini mwenye nyumba shishi bwana wengine bado mnadanga tu
@godfreywebiro40585 жыл бұрын
Intavyuu ya mwisho kwenye nyumba hii, mamaee kodi ya 12 month imeisha. Uzuri bila elimu, kinacho umia sehemu za siri.
@street94tz
5 жыл бұрын
Point sanaaa kiongozii
@charitymnyazi5401
5 жыл бұрын
Mungu amekuona🤣🤣🤣
@celinekanda18505 жыл бұрын
Hahaa fake life yet pple say it's only misa who lives fake life kumbe ni wengi
@abeidmohamed1432
5 жыл бұрын
celine pp
@meryciananyankena80985 жыл бұрын
Moja ya madem bongo nisiowapenda ni huyu😠😠😠 yaan mara nyumba yake Mara kapanga
@blesseddeebrownie73345 жыл бұрын
wasanii mnakazi na comments za haters😂😂mm yangenishinda lazma ningewajibu tu thank God mm sio msanii
@zawadyafande545 жыл бұрын
Ulisema umenunua leo umepanga
@augustinewiraka22945 жыл бұрын
Akisema ana nyumba nyingi anamaanisha ana vidume wengi
@bimaisarankamia41535 жыл бұрын
Jmn ukitaka kuiga maisha ya wasanii utaumia.mwanzo alisema ananyumba tatu leo nne mh hivi uwe na nyumba zote hizo halafu upange jmn.ila mm nakushauri line uwe kama shishi Yani uende jinsi mashabiki wataka lkn ww unajifanya uko juu sn nakuwazarau watu wachini nandio watakao kusapot mziki wako ufike mbali
@albertoarcangel58595 жыл бұрын
He wewe Kwan wanaoish tandale c binadamu ka wewe, acha izoooo, Wenye maisha mazuri awajisemi, mungu aliekupandisha ndo atayekushusha, wimbo wako mzuri🎶chomeka🎶cute girl 😘
@RynlizzyTheBoss5 жыл бұрын
Hahaha et ata kama ukiama utaama nyumba ya thaman zaidi ya hiyo...Lynn kumbuka maisha ni kupanda na kushuka.
@malkiabintmfalme86825 жыл бұрын
Mwenye nyumba hiyo siku ulisema nyumba ni yako,nadhani alipata mshtuko wa moyo,akimbilia kucheki hati alipoziweka
@gracekapungu3166
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 umenichekesha kifala..... Unajua hakuna mwenye nyumba anapenda utangaze nyumba yake ni yako hakika lazima akupe notice uhame usimtilie nuksi kwa nyumba yake
@barakasamora63615 жыл бұрын
Ingieni ndani sasa kama kwenu
@asiaisaka28985 жыл бұрын
We utakuwa hata kiwanja huna acha ujinga huko eti nyumba zangu nyingi tu wenye nyumba nyingi hata hawasemi kwa kazi gani unayofanya
@estherminnahboaz6956
5 жыл бұрын
Asia Isaka ana nyumba nyingi lakini anapanga Sindio umbea huo
@husnabiltonsanga1402
5 жыл бұрын
Huna nyumba,unajifariji.
@fatmajuma856
5 жыл бұрын
umo ndani kashatoa vitu kuna vichache anamalizia mwambie aingie ndani mtakaaje nje kama walinzi na nyumba ni yako
Afu walikubaliana hawa watu mtangazaji atangulie, ampgie simu Irene, aje na gari, amfungulie geti, yani dah.
@nunuuali5316
5 жыл бұрын
Wenny Barny yaani ndo hivyo hivyo kama ulikuwepo. Anapenda mbwembwe huyu
@huserehema8618
5 жыл бұрын
ka.bisa. pumbavu hawa mi. siwaelew. wanachoongea. kabisa
@ashuramamaashuraaachekuvaa7798
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 wasenge kama nn
@flavianasangawe3826
5 жыл бұрын
Kabisaaaa
@amanimtasha9168
5 жыл бұрын
Wenny Barny 🤣🤣🤣🤣
@mussahamisi11915 жыл бұрын
Nyumba zake labda mbaya Ndo maana hakai anapanga Nyumba za wenzake 😎😎😎
@victoriagodwin87565 жыл бұрын
Usoni anaonekana kabisa anaongea uongo maskini ya mungu kaumbuka 😩😩.. Ni vema sana kuishi maisha yako na sio kuigiza kuwa boss hadi huruma jaman
@queenbibisha19615 жыл бұрын
Sasa mtu ana nyumba zake hafu anapanga hizi zambi dogodogo mungu uwe unatusamehee tu
@hasnaabduly49455 жыл бұрын
Hahaha unanyumba unapanga mbona hii kali naiskia leo 😀😀😀😀
@sophiahmedza929
5 жыл бұрын
Noma sana
@augustinewiraka22945 жыл бұрын
Kwangu mimi nandy yuko vizuri ana nyumba hadi Kenya tunaijua ndo maana huwa Nampenda sana
@ummulkheirzubeir63205 жыл бұрын
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu jmn bongo noma sana kwa mtaji huu kutoboa life mtasubiri mno
@lisajackson5867
5 жыл бұрын
kabisa my nampenda sana shilole anasema ukweli wasanii msiongepee jamii wana fake maisha wengi sana my mtu una nyumb tatu umeend kupnga ili iwej uogop kulipa kodi n nyumb mnazo mfyuu
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
@@lisajackson5867 muongo huyu bint muongo sanaaaa
@zainabmkubwa6771
4 жыл бұрын
Kama una nyumba si uende ukahamie
@exitingmomentsmovie28155 жыл бұрын
Hapa Hamna financial knowledge , nyumba tatu na unapanga , labda za kwake kila nyumba inaweza leta kodi kubwa kuliko hiyo nyumba .
@estherminnahboaz69565 жыл бұрын
Leo I dono imeingiliwa 😂😂😂 it's normal imepumzishwa🤣🤣🤣
@fredytitus81945 жыл бұрын
Acheni kutuzingua nyie eti unajifanya unampigia sana kumbe mmeshafanya mipango kitambo 😬😠😬
@rose_Winchester865 жыл бұрын
Muongo kama una nyumba unaanzaje kupanga.
@hamjohamohamedi7851
5 жыл бұрын
Anaweza kupanga kisha zake akapangisha kutokana na maeneo alojenga Ila huyu dada ni muwongo alisema ananyumba 3 leo amesahau anababaika mara alisema ananyumba 4 😀😀Noma Sana master wa Tanzania
@ethelkatambala16595 жыл бұрын
Kweli atachelewa kukua uongo mtupu..anaota kuwa na hayo maisha na mungu hawez kumbariki aisee
@frankfaustine92665 жыл бұрын
Ww ulisema hiyo nyumba ni yako na interview umefanyia hapohapo ukasema ni yako
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
Kweli hata mm nakumbuka alisema nyumba ni yake😹
@MemsapSaum
5 жыл бұрын
Hahaha kumbe umebuka akisema baby wake ndio alimnunulia nyumba hahaha kumbe ni ya kukodisha na siajabu mwenye alilipa codi amegoma kulipa sasa iwadaiwa codi ndio iwahama hahahaha mutawacha kuishi maisha ya kuingiza 😂😂😂
@rosestigeneriksson8387
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa alisema hii nyumba yake
@MemsapSaum
5 жыл бұрын
Hahaha pegine diamond alikula msebwada na akalipa rent ya miezi tatu sasa zimeisha anapesa yakulipa rent 😂😂😂😂
@zennahwangare39525 жыл бұрын
Wee Irene usijisifuu snaa hautazikwa na mali nyumba wala pesa uwo urembo wako udongo tu saa zingine chunga mdomo mdomo unatengeza na mdomo unaharibu
@fatmamajuu52555 жыл бұрын
Binafsi yangu kupanga kwenye nyumba kama hiyo ni bola nikae kwenyenyumba ya kawaida niwekeze hela nijenge yangu kuliko nikae kwenyejumba la kifahari mwisho wa mwezi nidaiwe kodi
@bakarijumaa2351
5 жыл бұрын
Fanya lako usifatishe ya watu sawa Dada angu
@fatmamajuu5255
5 жыл бұрын
@@bakarijumaa2351 kweli me naishi ninavyotaka sio wanavyotaka
@bakarijumaa2351
5 жыл бұрын
Umeonae mdg wangu
@fatmamajuu5255
5 жыл бұрын
@@bakarijumaa2351 👏
@idayagangs1245 жыл бұрын
Mbona amuingii ndani 😂😂😂😂😂😂😂😂
@aggygenge1157
5 жыл бұрын
Atakuwa kasahau funguo kwenye gari he hee heee
@emmypaul74555 жыл бұрын
Unanyumba 4alafu unapanga ebu kwendraaaaaa
@fatumaally32665 жыл бұрын
Ongea kiswaili bhana English hujuwi
@esterpromy3183
5 жыл бұрын
@Ali Ali 😂😂😂😂😂😂
@officialmpbaraka29995 жыл бұрын
900 itapendeza
@faithmndeme39095 жыл бұрын
Nakupendaga bure wewe mtangazaji😁😁😁😁
@elinnahchristopher85675 жыл бұрын
Mhuuu leo yako kesho umepanga😂😂😂😂
@goldenchair71195 жыл бұрын
Let her be jamani,awe anadangaa au vp ni juu yake kila mtu na maisha yakeeeeeeee wabongo dohhhhhh
@mohamedathman33105 жыл бұрын
Fake life
@CHALTV
5 жыл бұрын
🔥
@saidmohamed4705 жыл бұрын
Hivi ni KICHWANI hamna kitu au labda bado UMRI?
@georgesimon9739
4 жыл бұрын
Akili za kitoto kakimbilia mb oooo
@Mfalmedr.fadhili5 жыл бұрын
Subscribe fadhagetv upate habari zote za kiafya na matukio mbalimbali karibuni wote fadhagetv
@mpsanga29145 жыл бұрын
Kama umegundua kabla ya kukutana huyu mtangazaji nahu dem walisha jipanga namna ya kufika hapo mjengoni gonga like
Dada kujielezea ujui unatuaibisha wahehe wenzio ww official lini
@mariakayuni5782
5 жыл бұрын
Kumbe mhehe
@imeldarichard3952
5 жыл бұрын
Haha iringa moja
@bidiiyako68034 жыл бұрын
Viherehere....Kutombwa tu!!
@dotnatajoseph26205 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Yani huyu dada kiboko 🤣 alisema ananyumba 3 gar 3 anahela nimeshangaaa Mimi kusikia amepanga way jamani 😭 achen maisha ya mtandaoni Kama huna huna na kwakujitapa mungu anaweza asikupe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@gretamaheri8437
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 yani huyu Dada Ni muongo sanaaaaa ulihojiwa akasema Ni nyumba yake Leo anasema kapanga 😂😂😂😂😂😂, Hivi kweli uko na nyumba 4 alafu anapanga jamani 😂😂😂😂 dunia simama nishuke lakini duniani raha bhana sitaki Ni shuke miee 😂😂😂😂😂😂😂😂
@sarabeutfull819
5 жыл бұрын
Nyoooko
@aboubilaly810
5 жыл бұрын
Mbn unajingatangata
@sylviemutwale9527
5 жыл бұрын
Kwa kipindi kile alipokua naongea wewe ulikubali mm sikukubaliga najuwa ilikua niasira za kufirwa na mondo
@aminaramra96655 жыл бұрын
Mbona wame ishia nje wangeingia seblen bas wana igiza so😂😂😂
@roseirungo19505 жыл бұрын
Kitambo ilikuwa una nyumba 3 Leo unanyumba zako 4,,, kadada ata usipo fake life it will be still nice...
@glorianikiza925 жыл бұрын
Lyn kazuri
@janethamani5499
5 жыл бұрын
Lyn mzuri hela anayo kweli elimu yake lasaba lkn anakula anaish anajivunia alafu mbona ni kawaida sana kuw na nyumba alfu ukapanga ni kawaida san anaemtukana anajisumbua mtt w watu ana maish yake achen sis tupige kelele
@hamadsaidy8752
5 жыл бұрын
Ni kweli mzuri
@neemangoyi7801
5 жыл бұрын
Sasa wewe mwanzo umesema una nyunba 4 tena inakuwaje unapanga na uko kwenye mkataba? We muongo
@glesiersfrancry12615 жыл бұрын
Tc z tz tunaishi kwa kufake maisha........maisha ya shilole nayapenda
huyu ni taira tu sjui anajichekeshaga nini mbwa huyu ety shogaangu na kiswahili kimekua kigumu.🙄😂😂😂😂😂nikojoe nikalale mie
@meryciananyankena8098
5 жыл бұрын
Ana nyumba 4 Leo anasema kapanga kwa hiyo nyumba zake 4 zipo mikoani😂😂😂😂😂😂 mfyuuuu
@poolboypoolboymanstrong85705 жыл бұрын
Dinny una chura siku hizi 😂
@benjaminfataki68985 жыл бұрын
mbona hakuna sécurité mlongo wenyewe upo wazi wazi bila ku Block.
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Mastaa waongo siulisema unanyumba we dada punguza
@fatmatwalib63035 жыл бұрын
Huyu dem mrongo sana.alisema nyumba ni yake amenunua sasa amepanga.
@mikelmasanja25225 жыл бұрын
Acheni kufake maisha et nna nyumba nyingi tu
@daudmilan1479
5 жыл бұрын
Mikel Masanja hhhh
@anithajackson63865 жыл бұрын
mnafikiii wewwe una nyumbaa nyingiii tuu afuu ndoo ukapangeee,,,acha kujkutaaa
@hamidaissa47695 жыл бұрын
Aje awatembelee kaka zake buguruni nyumbani kwao
@almubdi1172
3 жыл бұрын
🤣🤣
@almubdi1172
3 жыл бұрын
Buguruni moto shule ya msingi
@abeer42015 жыл бұрын
Geti Rina vizaka kama wazow mucang Bahrain nyumb gani sio yak we mupangj kuw Kam anti kasemesh ukwer kam anapang we juju😋
@familylove54175 жыл бұрын
Unayumba nyingi alafu unakodi nahisi darasa la sabaaaa huyu
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
😹😹
@faikomahenge2029
5 жыл бұрын
Mwanamke Usafi haaa et darasa la saba kwan lasaba ndowajinga
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
@@faikomahenge2029 😹😹😹
@janatmwingira8336
5 жыл бұрын
Acha kutudhalau darasa la 7, itakuwa kaishia chekechea.
@esterpromy3183
5 жыл бұрын
@@janatmwingira8336 😂😂tuache cc wachekechea huyo hajui mlango wa shule
@zainabualtz14555 жыл бұрын
FAKE LIFE 😅
@faidhamyovela1795 жыл бұрын
Tv zingine za kipuuzi tu 😏😏😏
@mikerkayombo31475 жыл бұрын
nakawowo chukuchuku uwiiii na mama
@almasially65095 жыл бұрын
Yote tisa, kumi huyu mdada mrembo jaman😄😄😄🌹
@kibwanasija51765 жыл бұрын
Leo naenda kuswali ijumaa na kumuomba mungu awasamehe kaka zetu ruge mutahaba na kibonde awapunguzie azabu za kaburi na awajalie pepo ameen na vile vile nitamuomba kama kutakuwa na uwezokano awarudishe duniani na amchukue uyu kiumbe officiallyn na ampeleke motoni moja kwa moja kwani naona hana umuhimu kuishi hapa dunian hebu tuseme ameen kwani inaeezekana
@modriface5 жыл бұрын
Halafu Dee unajisaulisha Dah!acha hzo mambo
@nailathnsumyi9655 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂mpaka aibu jaman naenjoy nyumba ohooo bby amenipa huhuhuhuhuuuuhhh
@sadaabdallah16415 жыл бұрын
Ananyumba nyingi jmn hahahaaa, mpeni hongera jmn mwenzetu
@KubwaStudios5 жыл бұрын
Mbona kama mtangazaji unajua vizuri hadi kufungua gate bila maelekezo duuh kweli mjini shule
@fatumahengo68495 жыл бұрын
Kumbe kapanga hahahahaaaa hawa mastaar mchwara wana mambo
@rabiministry23895 жыл бұрын
vitangazaji vingine bhana sijui vimekosa kazi ya kufanya kinguochenyewe cha kishenzi
@ernestkatyega57815 жыл бұрын
Mh yan watu wengine hata hawana vipaji wanaforce tu mziki, wanabebwa na media alaf wanafake maisha wanajionesha showoff nyingi utafikir akifa hanuki
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Unahama ss mbn upo hapo mnacha kujenga vijibanda vyenu... muongo sn ulihojiwa na mwana sms.ulisema niyako
@irenesese69685 жыл бұрын
Tatizo we we unakweza mno unaukubwa gan kuna watu zaidi yako
hahahahaha Ila uyu dem c alisema nyumba yake aaaa aiseee
@jamillaibrahim70685 жыл бұрын
Uwongo huo hta gate iko wazi kw haijafungwa aai hahahaha
@zainahali12745 жыл бұрын
Dar maisha cheap Sana lakini mtu hawezi ishi kwa uwezo wake.. Don't live your life for internet people!!! Ishi kwa uwezo wako Dada na upunguze uongo kwa uselebu
Пікірлер: 549
Uwez kuwa na nyumb nne alafu ukapange nyumba we dada wee utakufa mapema 💃💃
mmmmhhh nakumbuka ulisema nyumba yako umenunuliwa na baby wako kumbe umepanga nyie ndio mnafanya watu wajiuze kumbe mna copy maisha fyuuuuuu kama umeona hivyo weka like yako !..
@kelvinvicent3974
5 жыл бұрын
hahahaaa
@robertmwandambo9785
5 жыл бұрын
Hellen Yusuph ndio maana ney wa mitego alisema bongo freva sio bongo movie wadangaji acheni ujinga sikuhizi kila malaya wa mjini anataka kuimba Respect mr nay
@supportmusicafrica8772
5 жыл бұрын
Wanafeki life wanafanya wadada wenzao waende les kudanga kwa kyamini wanume wa kuwanunulia wadada mijengo bado wapo kwa maisha haya ya baba jesica
@fatmajuma856
5 жыл бұрын
dah alisema nyumba yake halafu ananyumba nyingi huyu dada muogo halafu anapenda kufeki maisha
@mwalimuismaily2758
5 жыл бұрын
Hellen Yusuph
Kutombwa tu ujenge ghorofa mjini mwenye nyumba shishi bwana wengine bado mnadanga tu
Intavyuu ya mwisho kwenye nyumba hii, mamaee kodi ya 12 month imeisha. Uzuri bila elimu, kinacho umia sehemu za siri.
@street94tz
5 жыл бұрын
Point sanaaa kiongozii
@charitymnyazi5401
5 жыл бұрын
Mungu amekuona🤣🤣🤣
Hahaa fake life yet pple say it's only misa who lives fake life kumbe ni wengi
@abeidmohamed1432
5 жыл бұрын
celine pp
Moja ya madem bongo nisiowapenda ni huyu😠😠😠 yaan mara nyumba yake Mara kapanga
wasanii mnakazi na comments za haters😂😂mm yangenishinda lazma ningewajibu tu thank God mm sio msanii
Ulisema umenunua leo umepanga
Akisema ana nyumba nyingi anamaanisha ana vidume wengi
Jmn ukitaka kuiga maisha ya wasanii utaumia.mwanzo alisema ananyumba tatu leo nne mh hivi uwe na nyumba zote hizo halafu upange jmn.ila mm nakushauri line uwe kama shishi Yani uende jinsi mashabiki wataka lkn ww unajifanya uko juu sn nakuwazarau watu wachini nandio watakao kusapot mziki wako ufike mbali
He wewe Kwan wanaoish tandale c binadamu ka wewe, acha izoooo, Wenye maisha mazuri awajisemi, mungu aliekupandisha ndo atayekushusha, wimbo wako mzuri🎶chomeka🎶cute girl 😘
Hahaha et ata kama ukiama utaama nyumba ya thaman zaidi ya hiyo...Lynn kumbuka maisha ni kupanda na kushuka.
Mwenye nyumba hiyo siku ulisema nyumba ni yako,nadhani alipata mshtuko wa moyo,akimbilia kucheki hati alipoziweka
@gracekapungu3166
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 umenichekesha kifala..... Unajua hakuna mwenye nyumba anapenda utangaze nyumba yake ni yako hakika lazima akupe notice uhame usimtilie nuksi kwa nyumba yake
Ingieni ndani sasa kama kwenu
We utakuwa hata kiwanja huna acha ujinga huko eti nyumba zangu nyingi tu wenye nyumba nyingi hata hawasemi kwa kazi gani unayofanya
@estherminnahboaz6956
5 жыл бұрын
Asia Isaka ana nyumba nyingi lakini anapanga Sindio umbea huo
@husnabiltonsanga1402
5 жыл бұрын
Huna nyumba,unajifariji.
@fatmajuma856
5 жыл бұрын
umo ndani kashatoa vitu kuna vichache anamalizia mwambie aingie ndani mtakaaje nje kama walinzi na nyumba ni yako
@rocktv8756
5 жыл бұрын
Asia Isaka anasema ananyumba 4 alafu kapanga
@philipofrank2837
4 жыл бұрын
Kwel kaka
Dinny una tumbo kubwa daaah!
Itakua kaomba kuja kufanyia interview awaingize ndan kama kwake Alisha hama Huyo kitambo
Afu walikubaliana hawa watu mtangazaji atangulie, ampgie simu Irene, aje na gari, amfungulie geti, yani dah.
@nunuuali5316
5 жыл бұрын
Wenny Barny yaani ndo hivyo hivyo kama ulikuwepo. Anapenda mbwembwe huyu
@huserehema8618
5 жыл бұрын
ka.bisa. pumbavu hawa mi. siwaelew. wanachoongea. kabisa
@ashuramamaashuraaachekuvaa7798
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 wasenge kama nn
@flavianasangawe3826
5 жыл бұрын
Kabisaaaa
@amanimtasha9168
5 жыл бұрын
Wenny Barny 🤣🤣🤣🤣
Nyumba zake labda mbaya Ndo maana hakai anapanga Nyumba za wenzake 😎😎😎
Usoni anaonekana kabisa anaongea uongo maskini ya mungu kaumbuka 😩😩.. Ni vema sana kuishi maisha yako na sio kuigiza kuwa boss hadi huruma jaman
Sasa mtu ana nyumba zake hafu anapanga hizi zambi dogodogo mungu uwe unatusamehee tu
Hahaha unanyumba unapanga mbona hii kali naiskia leo 😀😀😀😀
@sophiahmedza929
5 жыл бұрын
Noma sana
Kwangu mimi nandy yuko vizuri ana nyumba hadi Kenya tunaijua ndo maana huwa Nampenda sana
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu jmn bongo noma sana kwa mtaji huu kutoboa life mtasubiri mno
@lisajackson5867
5 жыл бұрын
kabisa my nampenda sana shilole anasema ukweli wasanii msiongepee jamii wana fake maisha wengi sana my mtu una nyumb tatu umeend kupnga ili iwej uogop kulipa kodi n nyumb mnazo mfyuu
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
@@lisajackson5867 muongo huyu bint muongo sanaaaa
@zainabmkubwa6771
4 жыл бұрын
Kama una nyumba si uende ukahamie
Hapa Hamna financial knowledge , nyumba tatu na unapanga , labda za kwake kila nyumba inaweza leta kodi kubwa kuliko hiyo nyumba .
Leo I dono imeingiliwa 😂😂😂 it's normal imepumzishwa🤣🤣🤣
Acheni kutuzingua nyie eti unajifanya unampigia sana kumbe mmeshafanya mipango kitambo 😬😠😬
Muongo kama una nyumba unaanzaje kupanga.
@hamjohamohamedi7851
5 жыл бұрын
Anaweza kupanga kisha zake akapangisha kutokana na maeneo alojenga Ila huyu dada ni muwongo alisema ananyumba 3 leo amesahau anababaika mara alisema ananyumba 4 😀😀Noma Sana master wa Tanzania
Kweli atachelewa kukua uongo mtupu..anaota kuwa na hayo maisha na mungu hawez kumbariki aisee
Ww ulisema hiyo nyumba ni yako na interview umefanyia hapohapo ukasema ni yako
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
Kweli hata mm nakumbuka alisema nyumba ni yake😹
@MemsapSaum
5 жыл бұрын
Hahaha kumbe umebuka akisema baby wake ndio alimnunulia nyumba hahaha kumbe ni ya kukodisha na siajabu mwenye alilipa codi amegoma kulipa sasa iwadaiwa codi ndio iwahama hahahaha mutawacha kuishi maisha ya kuingiza 😂😂😂
@rosestigeneriksson8387
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa alisema hii nyumba yake
@MemsapSaum
5 жыл бұрын
Hahaha pegine diamond alikula msebwada na akalipa rent ya miezi tatu sasa zimeisha anapesa yakulipa rent 😂😂😂😂
Wee Irene usijisifuu snaa hautazikwa na mali nyumba wala pesa uwo urembo wako udongo tu saa zingine chunga mdomo mdomo unatengeza na mdomo unaharibu
Binafsi yangu kupanga kwenye nyumba kama hiyo ni bola nikae kwenyenyumba ya kawaida niwekeze hela nijenge yangu kuliko nikae kwenyejumba la kifahari mwisho wa mwezi nidaiwe kodi
@bakarijumaa2351
5 жыл бұрын
Fanya lako usifatishe ya watu sawa Dada angu
@fatmamajuu5255
5 жыл бұрын
@@bakarijumaa2351 kweli me naishi ninavyotaka sio wanavyotaka
@bakarijumaa2351
5 жыл бұрын
Umeonae mdg wangu
@fatmamajuu5255
5 жыл бұрын
@@bakarijumaa2351 👏
Mbona amuingii ndani 😂😂😂😂😂😂😂😂
@aggygenge1157
5 жыл бұрын
Atakuwa kasahau funguo kwenye gari he hee heee
Unanyumba 4alafu unapanga ebu kwendraaaaaa
Ongea kiswaili bhana English hujuwi
@esterpromy3183
5 жыл бұрын
@Ali Ali 😂😂😂😂😂😂
900 itapendeza
Nakupendaga bure wewe mtangazaji😁😁😁😁
Mhuuu leo yako kesho umepanga😂😂😂😂
Let her be jamani,awe anadangaa au vp ni juu yake kila mtu na maisha yakeeeeeeee wabongo dohhhhhh
Fake life
@CHALTV
5 жыл бұрын
🔥
Hivi ni KICHWANI hamna kitu au labda bado UMRI?
@georgesimon9739
4 жыл бұрын
Akili za kitoto kakimbilia mb oooo
Subscribe fadhagetv upate habari zote za kiafya na matukio mbalimbali karibuni wote fadhagetv
Kama umegundua kabla ya kukutana huyu mtangazaji nahu dem walisha jipanga namna ya kufika hapo mjengoni gonga like
Dada mutangazaji kwanini kujizalilicha daaaaaah kafunguwageti duuuuuud 🤔
Mtangazaji uko vizuri
Kaongo haka! Kimesema ndio ninahama nitahamia kwenye nyumba nzuri kuishinda hii! "😂😂"
Aache ujinga jumba ilo lote akae yeye peke yake
@sylviemutwale9527
5 жыл бұрын
Nimuongo sana uyu malaya anataka kuficha aibu kwasabab kasha ibuka uliwai ona wapi mtu unamanyumba alafu ukapange
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
Kukaa peke yake sio shida, shida nyumba sio yake
How in the world can u have 4houses in one country and still rent,,ivo iyo ni akili kweli?🤔
@aminasaid7456
5 жыл бұрын
Sandra Ujeneza matope!
@sandraujeneza6853
5 жыл бұрын
Amina Said Kabisaaaaa😂
Hahahaha kumbe mjinga huyu bint😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nampenda gigy mkweli na shilole washasema kuna watu wanafake life hata viwanja hawana ,,,,
Acheni kk kujitapa mkiugua mnakoswa gharama za Matibabu sifa zitawaumbua
@mudiathuman4882
5 жыл бұрын
Kama yakwake au kapanga inawa husu nini fanyeni enu kwanza heee
araf ww kama unanyumba kwann unapanga arf unahm ovy ovyo au ndo zle za diamond mwenye nyumba Kapanga😀😀😀😀😀🏃🏃
Nyumba ya thamani ni kaburi dada punguza sifa
@maryamsuleiman2944
5 жыл бұрын
Kabisa
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
Point
@habintyramadan8518
5 жыл бұрын
Subira Omar haswaaa
@hildababyabdullah5627
5 жыл бұрын
Kweli
@sofiaabubakar2736
5 жыл бұрын
Kabisaa
Mmepanga interview😏😏😏😏😏😏😏😏
Kigugumizi
Hao wanapangishiwa 2 inakuaje alipe mamilioni ashindwe na mlinzi ana chichote
Mmmmmmmmm ananyumbaaaaa nyingiii alfuuuuuuu kapngaaaaaa
Wanalipa kodi kweli awa kwenye uo utajiri wanaojivunia uncle waangalie bhana
Mdada mzur snaa uyoo
Dada kujielezea ujui unatuaibisha wahehe wenzio ww official lini
@mariakayuni5782
5 жыл бұрын
Kumbe mhehe
@imeldarichard3952
5 жыл бұрын
Haha iringa moja
Viherehere....Kutombwa tu!!
🤣🤣🤣🤣🤣 Yani huyu dada kiboko 🤣 alisema ananyumba 3 gar 3 anahela nimeshangaaa Mimi kusikia amepanga way jamani 😭 achen maisha ya mtandaoni Kama huna huna na kwakujitapa mungu anaweza asikupe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@gretamaheri8437
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 yani huyu Dada Ni muongo sanaaaaa ulihojiwa akasema Ni nyumba yake Leo anasema kapanga 😂😂😂😂😂😂, Hivi kweli uko na nyumba 4 alafu anapanga jamani 😂😂😂😂 dunia simama nishuke lakini duniani raha bhana sitaki Ni shuke miee 😂😂😂😂😂😂😂😂
@sarabeutfull819
5 жыл бұрын
Nyoooko
@aboubilaly810
5 жыл бұрын
Mbn unajingatangata
@sylviemutwale9527
5 жыл бұрын
Kwa kipindi kile alipokua naongea wewe ulikubali mm sikukubaliga najuwa ilikua niasira za kufirwa na mondo
Mbona wame ishia nje wangeingia seblen bas wana igiza so😂😂😂
Kitambo ilikuwa una nyumba 3 Leo unanyumba zako 4,,, kadada ata usipo fake life it will be still nice...
Lyn kazuri
@janethamani5499
5 жыл бұрын
Lyn mzuri hela anayo kweli elimu yake lasaba lkn anakula anaish anajivunia alafu mbona ni kawaida sana kuw na nyumba alfu ukapanga ni kawaida san anaemtukana anajisumbua mtt w watu ana maish yake achen sis tupige kelele
@hamadsaidy8752
5 жыл бұрын
Ni kweli mzuri
@neemangoyi7801
5 жыл бұрын
Sasa wewe mwanzo umesema una nyunba 4 tena inakuwaje unapanga na uko kwenye mkataba? We muongo
Tc z tz tunaishi kwa kufake maisha........maisha ya shilole nayapenda
Mashauzi shazi.. Kiboko yako gigy akuchanee uchanike
Mambo ya bongo 🔥🔥😀😀😀
huyu ni taira tu sjui anajichekeshaga nini mbwa huyu ety shogaangu na kiswahili kimekua kigumu.🙄😂😂😂😂😂nikojoe nikalale mie
@meryciananyankena8098
5 жыл бұрын
Ana nyumba 4 Leo anasema kapanga kwa hiyo nyumba zake 4 zipo mikoani😂😂😂😂😂😂 mfyuuuu
Dinny una chura siku hizi 😂
mbona hakuna sécurité mlongo wenyewe upo wazi wazi bila ku Block.
Mastaa waongo siulisema unanyumba we dada punguza
Huyu dem mrongo sana.alisema nyumba ni yake amenunua sasa amepanga.
Acheni kufake maisha et nna nyumba nyingi tu
@daudmilan1479
5 жыл бұрын
Mikel Masanja hhhh
mnafikiii wewwe una nyumbaa nyingiii tuu afuu ndoo ukapangeee,,,acha kujkutaaa
Aje awatembelee kaka zake buguruni nyumbani kwao
@almubdi1172
3 жыл бұрын
🤣🤣
@almubdi1172
3 жыл бұрын
Buguruni moto shule ya msingi
Geti Rina vizaka kama wazow mucang Bahrain nyumb gani sio yak we mupangj kuw Kam anti kasemesh ukwer kam anapang we juju😋
Unayumba nyingi alafu unakodi nahisi darasa la sabaaaa huyu
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
😹😹
@faikomahenge2029
5 жыл бұрын
Mwanamke Usafi haaa et darasa la saba kwan lasaba ndowajinga
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
@@faikomahenge2029 😹😹😹
@janatmwingira8336
5 жыл бұрын
Acha kutudhalau darasa la 7, itakuwa kaishia chekechea.
@esterpromy3183
5 жыл бұрын
@@janatmwingira8336 😂😂tuache cc wachekechea huyo hajui mlango wa shule
FAKE LIFE 😅
Tv zingine za kipuuzi tu 😏😏😏
nakawowo chukuchuku uwiiii na mama
Yote tisa, kumi huyu mdada mrembo jaman😄😄😄🌹
Leo naenda kuswali ijumaa na kumuomba mungu awasamehe kaka zetu ruge mutahaba na kibonde awapunguzie azabu za kaburi na awajalie pepo ameen na vile vile nitamuomba kama kutakuwa na uwezokano awarudishe duniani na amchukue uyu kiumbe officiallyn na ampeleke motoni moja kwa moja kwani naona hana umuhimu kuishi hapa dunian hebu tuseme ameen kwani inaeezekana
Halafu Dee unajisaulisha Dah!acha hzo mambo
😂😂😂😂😂😂😂😂mpaka aibu jaman naenjoy nyumba ohooo bby amenipa huhuhuhuhuuuuhhh
Ananyumba nyingi jmn hahahaaa, mpeni hongera jmn mwenzetu
Mbona kama mtangazaji unajua vizuri hadi kufungua gate bila maelekezo duuh kweli mjini shule
Kumbe kapanga hahahahaaaa hawa mastaar mchwara wana mambo
vitangazaji vingine bhana sijui vimekosa kazi ya kufanya kinguochenyewe cha kishenzi
Mh yan watu wengine hata hawana vipaji wanaforce tu mziki, wanabebwa na media alaf wanafake maisha wanajionesha showoff nyingi utafikir akifa hanuki
Unahama ss mbn upo hapo mnacha kujenga vijibanda vyenu... muongo sn ulihojiwa na mwana sms.ulisema niyako
Tatizo we we unakweza mno unaukubwa gan kuna watu zaidi yako
Ila alie notice din mzuri kichiz nani
Jamani huyu madam ananiuaaah.kwanza akichkaa.lyn weweeeee
hahahahaha Ila uyu dem c alisema nyumba yake aaaa aiseee
Uwongo huo hta gate iko wazi kw haijafungwa aai hahahaha
Dar maisha cheap Sana lakini mtu hawezi ishi kwa uwezo wake.. Don't live your life for internet people!!! Ishi kwa uwezo wako Dada na upunguze uongo kwa uselebu
Good girl
Engineer soma iyoooo kwenye ramani😁😁😁😁
sasa una nyumba nne mbn unapanga waaanii bhan