Nyumba ambayo Sam wa Ukweli ameijenga Kijijini kwao.

Пікірлер: 189

  • @aloycesiwingwa6548
    @aloycesiwingwa65486 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi amina

  • @amirsab1158

    @amirsab1158

    6 жыл бұрын

    Aloyce Siwingwa amin inshallah

  • @hafsaibrahim2008

    @hafsaibrahim2008

    6 жыл бұрын

    Aloyce Siwingwa amin

  • @francismusyoka7964

    @francismusyoka7964

    6 жыл бұрын

    polen sana

  • @godfreyelias8595

    @godfreyelias8595

    5 жыл бұрын

    Asamte

  • @dorothymohamed5040
    @dorothymohamed50406 жыл бұрын

    Wewe mtangazaji huna akili maswali gani hayo unamuuliza 😕😕

  • @opaskali5818

    @opaskali5818

    6 жыл бұрын

    raino paskari arapi Sam waukweri. mungu airaze roho. yamarehem pema. peponi aaami

  • @agathasanga2708

    @agathasanga2708

    6 жыл бұрын

    ,maswali mengine yakijinga ww utangazaji acha ujinga umeshaambiwa nyumba umeiona unaboa bwana

  • @happywakuganda8814

    @happywakuganda8814

    6 жыл бұрын

    Dorothy Mohamed watu engine ka wa senge

  • @leokamil2075
    @leokamil20756 жыл бұрын

    Dah Jamani Mungu amrehemu nimetokwa na machozi walahi.

  • @bobzkibz38
    @bobzkibz386 жыл бұрын

    Imani imetoweka kweli,badili ya kuwapa moyo waliofiwa na kuwapa pole kwa kuondokewa.mnaanza kuhoji maisha ya marehemu.kweli ubininadamu umebaki jina tu.Mungu akusamehe sam,Ameen

  • @lashalashira3003
    @lashalashira30036 жыл бұрын

    Ety nyumba alijenga lini wewe mpuzi sana hadi wamuuliza kama alitumia shs ngapi yani hata huna huruma kwakweri watu wapo msibani badala ya kuwa liwaza na kuwapa MOYO unauliza maswali ya kijinga atlist try to have some sence even if you don't have heart nkt I'm so disappointed in you people.......Rest in peace dear Sam wa ukweli I loved you

  • @swabrinamasoud106
    @swabrinamasoud1066 жыл бұрын

    Allah ailaze roho ya marehemu Sam pema peponi Amiin

  • @alfredkishema3788
    @alfredkishema37886 жыл бұрын

    jaman n msimban au kuhojiana tena duhhh bongo bhana

  • @fatumasaid4370
    @fatumasaid43706 жыл бұрын

    Inalilahyi wahina lilah rajiuni

  • @afrahnawas4384
    @afrahnawas43846 жыл бұрын

    Masha'Allah😍

  • @itetejoshua7992
    @itetejoshua79926 жыл бұрын

    Millard ayo ee Kaz yako tunajua so kama vp hilo tangazo achan nalo mzee baba

  • @mariammbughi2702

    @mariammbughi2702

    6 жыл бұрын

    Itete Joshua atapataje ela mzee biashara matangazo

  • @rosepiere1857

    @rosepiere1857

    6 жыл бұрын

    Kiukweli tangazo hilo linaniboa sana ila sina jinsi kulikubali tu

  • @khadijaali988

    @khadijaali988

    6 жыл бұрын

    Rose Piere hilo tangazo ni wadhamini wake anaingiza mkwanja kuwatangazia biashara

  • @mandadavid6691

    @mandadavid6691

    6 жыл бұрын

    atakula wapi....

  • @bwegelanyakhaido3088

    @bwegelanyakhaido3088

    6 жыл бұрын

    Itete Joshua lina bowa kinoma ilo tangazo

  • @aminaomari9794
    @aminaomari97946 жыл бұрын

    Mtangazaji umeniboa sana yani

  • @virginiakibe1846
    @virginiakibe18466 жыл бұрын

    Ha ya maswali ya nyumba yakunjia wapi wakati watu sana huzuni Rip

  • @marrysiphaeli8482
    @marrysiphaeli84826 жыл бұрын

    We mtangazaji ni msenge sana

  • @user-io8lq8yj9z
    @user-io8lq8yj9z Жыл бұрын

    Daaah mungu akurehem

  • @djonetz2730
    @djonetz27306 жыл бұрын

    We ni Afisa upelelez au mtangazaji mbona unabaka fani wew

  • @nikomnanka5686
    @nikomnanka56866 жыл бұрын

    Hivi huyu ni binadam toleo la ngap? Au akili ameziacha nyumban anauliza upuz gani,,,,,,,,,,uwo

  • @hamissalum2721

    @hamissalum2721

    5 жыл бұрын

    I

  • @salhatkarimu5434
    @salhatkarimu54346 жыл бұрын

    Chema hua akidum cjui kwa nn

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    6 жыл бұрын

    Salhat Karimu kwa kweli

  • @jaydon3361
    @jaydon33616 жыл бұрын

    Bonyeza picha hii kushoto kwako yenye alama W kisha bonyeza neno subscribe uone alichofanya Diamond kwenye msiba Samu

  • @khalidunited5978

    @khalidunited5978

    6 жыл бұрын

    Official Son wehuna akili kwani diamond ninani

  • @victorsomba867

    @victorsomba867

    6 жыл бұрын

    Unaabudu watu umeacha Kuabudu Mungu stupid mouth with naked tongue

  • @sheimaaabdallahsheimaaabda8200

    @sheimaaabdallahsheimaaabda8200

    6 жыл бұрын

    Official Son nyooo

  • @johnmarco552
    @johnmarco5526 жыл бұрын

    Daaah watangazaji hadi nyumba mnafatilia jomoon!!

  • @francishura1226
    @francishura12266 жыл бұрын

    Navichukia vyombo vya habari vya Tanzania mtu akifa watachunguza adi marehemu alikuwa anavaa chupi ya size gani akiwa mzima hawana habari siyo vizuri mungu hapendi usanifu hata kama mnatafuta ela kwa njia ya kusabuscribu siyo mpaka mtu afe R.I.P Sam nyimbo yako imewagusa wengi siyo wachawi tu kwani uchawi sio lazima kuloga hata ambaye ukifa anapeleleza maisha yako ni mchawi pia ana kweli bora wali tembele kuliko walimwengu duuuu mmenishinda tabia waandishi wa habari wa bongo tz shikamooni

  • @jaymapambanojuma856
    @jaymapambanojuma8566 жыл бұрын

    nyumba unataka kununua au binaadamu msiwe hivyo kwenye misiba

  • @bahatninga9914
    @bahatninga99146 жыл бұрын

    R.I.P Sam ukwel umeniliza kwa kipande cha wimbo wako tu kaz ya mungu haina makosa mbele yetu nyuma yko .

  • @fatoomafatma6673
    @fatoomafatma66736 жыл бұрын

    Yani uyu kaka boya kweli maswali yote yanini jaman watu wanamsiba wazingua nyumba nyumba kakae ww bc

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq66654 жыл бұрын

    Inalilah wainailehimrajiun 😢 😢

  • @sweetluc2660
    @sweetluc26606 жыл бұрын

    Allah amrehemu

  • @rashidmuna8372
    @rashidmuna83726 жыл бұрын

    Mallard Ayo hawa vijana wako wanauliza maswali ya kifala sana, shenzi sana. Naona page yenu imeanza kua ya kifala.

  • @rizikeyernest9260
    @rizikeyernest92606 жыл бұрын

    naona cki iz mtu star akifarik, waandish wa habar wanaulzia nyumba tuuu,

  • @naimkendramahellah1435
    @naimkendramahellah14356 жыл бұрын

    Maswali ya kisenge kabasa inahusu nini sasa kaanza lini kujenga.millarday maswali ya kisenge

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed88806 жыл бұрын

    Nyumba na mali ni pambo la dunia! sote tutaziacha, iliobaki Tumuombee mungu amrehemu Ailaze roho yake pema peponi!

  • @hafsaibrahim2008

    @hafsaibrahim2008

    6 жыл бұрын

    Sofia Ahmed amin

  • @nananonananon9819
    @nananonananon98196 жыл бұрын

    Woiye Mungu ailanze roho yake pahali Pema peponi

  • @giannajoji7944
    @giannajoji79446 жыл бұрын

    Huyu mwandishi msenge kaenda msibani kaenda kufuata udaku,shenzi zake!

  • @leontinawasango8522
    @leontinawasango85226 жыл бұрын

    kweli mmeenda kuoji nyuma ni usenge Mme huzi akili Yangu kabisa sio maswali hayosisi wote niwapita njia katika Dunia hii bwana ametoa na bwana ametoiaa jina labwana libarikiwe

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab72386 жыл бұрын

    Sio kila jambo la kuhoji ndg zangu,hata maisha na Mali za watu tunahoji misiban!

  • @phennymaithakadzo4340
    @phennymaithakadzo43406 жыл бұрын

    Alikua amejipwnga kweli

  • @mishijuma6326
    @mishijuma63266 жыл бұрын

    Maswali mengine hufai kuuliza.RIP.SAM

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    6 жыл бұрын

    Mishi Juma wangesubiri Msiba ukisha wakamuhoji Mjomba wake

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    6 жыл бұрын

    Siyo sawa sasa

  • @phiribetyatanasy1226
    @phiribetyatanasy12266 жыл бұрын

    Polen familia ya sam ya ukweli/?

  • @emmanuelmahendeka6108
    @emmanuelmahendeka61086 жыл бұрын

    Millard naikubalisana Chanel yako lakinikwa watangazaji wanao vunjamisingi kama hao wanashusha hadhi ya chanel

  • @aminaomari9794
    @aminaomari97946 жыл бұрын

    Khaaaa ww matangazaji unamaswali yakishenzi sana ww

  • @marrysiphaeli8482
    @marrysiphaeli84826 жыл бұрын

    Mm sijasomea utangazaji ila siwezi kuuliza uwo upuuzi unaouuliza apo.

  • @saigojames3063
    @saigojames30636 жыл бұрын

    unaulizia nyumba yanini au maisha yamtu kasha kufa

  • @misedua1
    @misedua16 жыл бұрын

    nyumba nzurii inawahusu nini nyie mfariji tu, mengine wanajua wanafamilia wapale

  • @hafsaibrahim2008
    @hafsaibrahim20086 жыл бұрын

    R I P sam jamn dunian tunapita tu tunakumbushwa tumrudie mungu

  • @hellenmgungus1979
    @hellenmgungus19796 жыл бұрын

    Watangazaji jamani Embu acheni unafiki na umbeya upo msibani fanya ya msibani mambo ya nyumba na Mali za marehemu zina zinakihusu nn? Kwani umeenda kuzika au ni kwenye maonyesho?

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli95726 жыл бұрын

    Maswali ya kisenge HIV nyie watangazaji mtakuwa Lin MTU ana huzun una muurza maswara ya Nyumba we unayo

  • @nuratjuma4012
    @nuratjuma40126 жыл бұрын

    Nyie waandish wa habar kutu mie nikajua hata mwaweza Sema tumuombee duah ndug yenu lkn mwataka kujua kajenga nyumba bei gan..... Huo unaitwa unafk

  • @ashaali7154
    @ashaali71546 жыл бұрын

    Acheni maswali ya kizushi kumbe alikuwa anamjengea nani hadi asiishi mwenyewe.

  • @benenyewenaonabenson7902
    @benenyewenaonabenson79026 жыл бұрын

    napenda nyimbo za Sam wa ukweli

  • @lucyjohn7695
    @lucyjohn76956 жыл бұрын

    Jmn wacha nisema kwann wanakweka fb umekufa mbona binadamu mna gubu sanaaa jmn

  • @kwezifundikira2072
    @kwezifundikira20726 жыл бұрын

    maswali hayana weledi kabisa loooh

  • @josefbangala3277
    @josefbangala32776 жыл бұрын

    Unamdodosa marehemu kiasi hicho jamani maswali gani hayo?

  • @JayOtieno
    @JayOtieno6 жыл бұрын

    Mambo gani haya, maisha yake ilikua ya siri. Mbona kuweka kila kitu wazi jamani?

  • @muhalamibakari6617
    @muhalamibakari66176 жыл бұрын

    wabongo washamba sana Nyumba ndo nn

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv6 жыл бұрын

    MTU kwao

  • @wakushineclassic798
    @wakushineclassic7986 жыл бұрын

    Sasa hapo mlikua mmeenda msiban au mlikua mmeenda kuangalia nyumba mbona mnakua hamtumii akili we mtangazaji Huna akili hata roho msenge wewe nyumba nyumba 😢😢 mnaboa kinoma

  • @neemantui9154
    @neemantui91546 жыл бұрын

    we mtsngazaj ulienda kuangaliia nyumba au kujaj maswal yanyumba umenikera vibaya muno

  • @misedua1
    @misedua16 жыл бұрын

    Amina

  • @verokenya1682
    @verokenya16826 жыл бұрын

    silly question nkt!!

  • @abdallahmwanyende66
    @abdallahmwanyende666 жыл бұрын

    Wandishi maswali mengine yakipuzi,,,, kiasi gani tena cha ujenzi,,,,

  • @bernardchibwana6176
    @bernardchibwana61766 жыл бұрын

    Mtangazaji gani huyuuu mbona hatuelewii?

  • @aishasolimani6337
    @aishasolimani63376 жыл бұрын

    Yan ww mtangazaj msenge sana umeenda kwenye msiba au kuangalia mali alizoacha marehem😏😏 matako yako Unachakuuliza umekaria nyimba

  • @aminahamisi8672
    @aminahamisi86726 жыл бұрын

    Maswali ya kipuuzi jamani

  • @johngongole3144
    @johngongole31446 жыл бұрын

    Nyumba kibanda??

  • @jotiwapili5217
    @jotiwapili52176 жыл бұрын

    we unakurupuka tuu kwanza we kwenu unanyumba aina gani we unahoji watu kama umelewa. oya milad ayo angalia watu wakufanyanao kaz wenye kujitambua

  • @hekimahamis4192
    @hekimahamis41926 жыл бұрын

    asa nyumba na msiba vinahusiana nn ndomaana marehemu kasema bora wali nayama kuliko walimwengu :kweli walimwengu hamna maana

  • @kwezifundikira2072
    @kwezifundikira20726 жыл бұрын

    kwaiyo hiyo hamjaipenda mpaka mnataka nyingine jaman loh

  • @janethmales6109
    @janethmales61096 жыл бұрын

    we msenge mwenzio amepokerewa namungu we unauliza usenge kwenu kunahata gofu lachumba kimoja ebu jiulize kwanza ucha kuuliza usenge umeenda msibani tuliza mshono maswli yann mbwa ww

  • @saudaabdallah8468
    @saudaabdallah84686 жыл бұрын

    Millard tafuta watu waliosomea hizi kazi usiokote watu hawajui hata sheria ya uandishi wa habari kuna maswali si ya kuuliza kwanini amkazanie mtu hivo hivi anajua situation aliopo why hamkumtafuta Sam wakati yupo hai na mumuulize kama amejenga au la mbona wasanii wengine mnawauliza na tunajua leo 😭😭😭😭inauma sanaaa ethics za uandishi ni muhimu someni hata kwenye Google hata kama hamjasoma

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe89303 жыл бұрын

    Msiba ni huzuni...

  • @yusuphmpetu1795
    @yusuphmpetu17956 жыл бұрын

    R.I.P Sam mtangazaji umekua shilawadu itakusaidia nini nyumba au maendeleo yake.

  • @oman3527
    @oman35276 жыл бұрын

    Kweli utangazi wako mtu akishakufa ndio watafuta kiki kwagarama yake aliyotumia aisee sio kabisa huo niulimbukeni wa utangazaji badilikeni acheni ujinga hoji vitu vyamaana

  • @pendomassawe2854
    @pendomassawe28546 жыл бұрын

    Mtangaz umeniuzi kinyama sipendi tabia hiyo

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege34266 жыл бұрын

    haya makubwa jamani hivi thamani ya nyumba ya MTU inakuhusu nn, ila inaboa duuuuu

  • @hamadshein935
    @hamadshein9356 жыл бұрын

    Wewe mtangazaji umejenga kwenu?

  • @semanasitv8303
    @semanasitv83036 жыл бұрын

    wafu fm mko kiwaki waki sana f

  • @nigertheone6239
    @nigertheone62396 жыл бұрын

    Rip Sam wa ukweli

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll93636 жыл бұрын

    Wengine ht banda hawana kijijini kwao pumbavu

  • @ednaernest1696
    @ednaernest16966 жыл бұрын

    watu mna muda jamn mwachie mungu

  • @nusaibahassan5842
    @nusaibahassan58426 жыл бұрын

    Wewe mtangazaji bure kabsaaa sasa wauliza maswali gani hapo

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura4066 жыл бұрын

    hivi nyie waandish mna akili kweli mtu yupo kwenye majonz mnamuuliza eti nyumba ningeweza kumuomba mungu atende miujiza ningeomba akufishe wewe unayeuliza maswali

  • @naomiakothee6502
    @naomiakothee65026 жыл бұрын

    You guys why are you asking such questions plz will you just ask what can help those people and give them heart

  • @ahmadishaibu1977
    @ahmadishaibu19776 жыл бұрын

    Nyie watangazaji wengine mafala sana unauliza maswali.gani ya kipumbavu

  • @shabanndegwa5723
    @shabanndegwa57236 жыл бұрын

    Rip bro

  • @lameckmagandi6982
    @lameckmagandi69826 жыл бұрын

    Jaman kuwen wapole mtukashafariki nyumba yann kwamfano

  • @johnnyasingo3164

    @johnnyasingo3164

    6 жыл бұрын

    hawajielewi hao watangazaji

  • @pretinesspastory9782
    @pretinesspastory97826 жыл бұрын

    nalichukia hl tangazo mweee mpaka kero

  • @dodoshavu488
    @dodoshavu4886 жыл бұрын

    rip sam

  • @azizamkindi1784
    @azizamkindi17846 жыл бұрын

    Rip

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli67536 жыл бұрын

    Hiyo nyumba nyingine hunataka hukapange au maswali ka kukomowana tu

  • @nananonananon9819
    @nananonananon98196 жыл бұрын

    Aki hadi nikalia, mbona unauliza kuhusu nyumba, hio sio poa

  • @deustutu1524
    @deustutu15246 жыл бұрын

    mtangazaj boya kwel

  • @kyandomarry2015
    @kyandomarry20156 жыл бұрын

    Silipendi hilo tangazo

  • @gezaulole7988
    @gezaulole79886 жыл бұрын

    Mapresenter wengine ni maboya kweli km hilo hapo

  • @happybarack8354
    @happybarack83546 жыл бұрын

    ivi nyie mkoje mnahoji nin sasa nyumba mshaiona maswali ya kipuuzi acheni ufara nyie watangazaj muachen kaka wa watu apumzike r. I. p sam

  • @lillianmarco1301
    @lillianmarco13016 жыл бұрын

    We presenter umeishia la nne au..unauliza thamani ya nyumba unataka uwarudishie pesa au ??basi tuonyeshe ya kwako..na we milard unaokota watu mitaani waje kutangaza

  • @sponsalfathedj8177
    @sponsalfathedj81776 жыл бұрын

    Umbea haufai mtaenda kuchomwa wallai, kuchunguzana mpaka machupi(stupid questions)

  • @ngoswesamwel1058
    @ngoswesamwel10586 жыл бұрын

    Habar hapo ni msiba au nyumba? Mbona jamn watu hatuna aibu mtu kafariki unaulizia habar ya nyumba,binafsi sijapenda

  • @mandadavid6691
    @mandadavid66916 жыл бұрын

    maswali gani hayo....

  • @rozzymsupa1162
    @rozzymsupa11626 жыл бұрын

    Lala salama sammy

  • @ibrahimmsongojr5760
    @ibrahimmsongojr57606 жыл бұрын

    Maswali ya kipumbavu tu yote hayo... Nyumba ina kuhusu nini sasa wewe au sisi ili tuijue? Ufala huo... 👎👎👎👎👎

  • @mariachannelke9769
    @mariachannelke97696 жыл бұрын

    Huyu sam niwa tz ama mombasa Cmjui kabsa

  • @mahaiboniface7220
    @mahaiboniface72206 жыл бұрын

    Acha maswal ya kipumbavu ww,watu wanalia msiba we unauliza uliza vitu vya ajabu