NYIMBO ZA ZAMA/ KWAYA ZA ZAMANI OLDSCHOOL GOSPEL SONGS. BEST SWAHILI GOSPEL SONGS BY DANIEL SIFUNA.
NYIMBO ZA MAABUDU/KUABUDU NA KUMTUKUZA MUNGU
NYIMBO ZA KUKUFARIJI NA KUKUTULIZA MOYO
ILI UENDELEE MBELE NA KUMWANI MUNGU LICHA YA YOTE UNAYOPITIA.
#Alone with God.
#relaxing worship songs
#relaxing Tenzi za rohoni
#Tenzi za rohoni mix
#nyimbo za wokovu mix
#Kenya Tanzania best praise and worship songs
peaceful Tenzi za rohoni
#Daniel Sifuna
Facebook Daniel Sifuna
Tiktok Daniel Sifuna
Instagram Daniel Sifuna
CALL/ SUPPORT 0746298853
GOD BLESS YOU
Пікірлер: 278
HUKUMU ITATOLEWA Wimbo huu wanikumbusha nilipokua sunday school kilifi pefa mchungaji wangu akiwa pastor chivhatsi. Mtumishi sifuna pokea baraka tele ❤❤❤❤❤
MUNGU AWABARIKI SANA NA AKUTANE NA MAHITAJI YA MIOYO YENU KWA KUSIMAMA NAMI KATIKA HUDUMA HII. NI MAOMBI YANGU KWAMBA UNAPOSIKIZA NYIMBO HIZI MUNGU AKUGUSE NA AKUOKOE KWA YOTE UNAYOYAPITIA.. LICHA YA KUWA NI MAGUMU TUJIPE MOYO TUTASHINDA MAANA MUNGU AKO UPANDE WETU. ❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@YvonneKasiti
Ай бұрын
Amen 🙏🙏
@faithndambo6773
Ай бұрын
Amen 🙏
@Rosyshaz3937
Ай бұрын
Amen Amen Amen pia kwako
@Rosyshaz3937
Ай бұрын
Please, mtumishi Daniel nitafutie hii wimbo Nuhu aka,kaijenga Safina Kaingia,nawanyumba yake Kachukua ,Aina za wanyama Wawili Wawili ndani ya Safina Ndipo mvua ikaanza kunyesha Kafunika ,inchi yote Kamaliza watu na wanyama Isipokuwa Nuhu na wanyumbaaaa yake Pls nitafutie siijui vizuri bt hunikumbusha mbali sana,Asante na ubarikiwe pamoja na nyumba yako🙏🙏🙏
@user-by4oc9cs6j
Ай бұрын
Amen
Uko sawa Sana nimepata utakazo Mungu akutie Mafuta sana🎉🎉🎉🎉🎉
May God bless you servant of God and also expand your territory. Keep the flag of gospel flying your songs really touch my soul
God bless you mtumishi wa mungu napalikiwa nikiwa Saudi 🇸🇦
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aamen. Mungu akulinde na akujalie neeema..🙏🙏❤
Nyimbo zako zinatupa moyo kwa mambo tunayopitia huku nchi za gulf 😢😢
@anjelineaoor4140
Ай бұрын
Kweli kabisa zake zinatuliza moyo mimi wakati ninapitia changa moto hua naingia page yake ilinitulize moyo na nyimbo zake🙏🏾🥰🙌
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaamen
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Wow amen amen
@pattniyego4143
24 күн бұрын
Sure
Nilikuwa nimehuzuka hizi nyimbo zimenipea amani moyoni
Mungu azidi kukubarki mtumishi
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaaamen amen ❤❤❤
Nyimbo nzuri sana zenye kumtukuza Bwana Yesu
Hizi nyimbo zinaguza moyo wangu, Hadi nikitendewa mabaya na mtu nakumbuka songs of Daniel sifuna ziko KZread na nikizifungua moyo unasafishwa and i smile ☺ ☺ again and again ,Thanks alot mtumishi 16:43
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Woow amen amen 🙏 🙏 🙏 🙏
@ChamaViolet-hy3uy
27 күн бұрын
Amen❤
Nyimbo zangu nzuri sana zinatia nguvu sana nimezikiza zote roho mtakatifu amenijawa moyoni
Nyimbo zenye maudhui ya kweli,ndani ya nyoyo zetu twakupa tuzo,wengine wanaimba uchafu wanatuzwa na watu wa dunia,kazi nzuri kaka❤❤❤
Asante mtumishi wa mungu nyimbo zako zinabariki
Amen Amen nashukuru Mungu kwa hizi nyimbo mzuri barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen
May the Good Lord keep blessing you and continue to inspiring you with heavenly worship. Ocepa Emmanuel, Uganda
Mungu akuzidishie baraka zake
Nyimbo zako zote Zina bariki ubarikiwe mtumishi
Asante kwa hizi baraka.ubarikiwe pia ndugu.sifu Mungu kwa hiyoo sauti nzuri.baraka tele Dan🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu akutangulie kwa kilajambo
Asante kwa nyimbo za faraja 😢 Mungu azidi kutukumbuka katika ichi hii 💪🙏🙏🙏
Am blessed by this song Amen 🙏
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaaaamen
Mtumishi wa mungu ubarikiwe saana moyo wangu uwazi ni mfuate kristo wakati huu mgumu.aki may God bless you indeed
Nyimbo zako zote Zina bariki God bless you.
❤❤nyimbo hizi zatuguza mioyo Yetu,na kutupa tumaini katika kumtumikia bwana,Ahsante sana kwa haya zidi kutujenga kimaadili ,tufungue vipaji na macho ya kuona ndani
Barikiwa sana kwanyimbozako hakika najikuta sehemu nyingine
Mungu atukuzwe sana nyimbo zinasisimua sana
Barikiwa sana mtumishi kwa nyimbo zako nzuri
Amen Asante. Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe na Mungu 😭😭😭😭😭 Mungu anitie nguvu na hanidumishe kw wokovu.😭
Nyimbo za upako may God bless you
Nyimbo zako hunibariki sana Mungu azidi kukubariki ili utulete nyimbo zingine za baraka 🙏
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa huduma nzuri ya uimbaji moyo wangu umebubujika amani na faraja yake Mungu kupitia kwa nyimbo hizi tamu. Inuliwa sana mtumishi wa Mungu
Hizi ni nyimbo za mguso haki zinabariki moyo. Mungu awabariki sana
Wimbo huu unanikumbush a Bwiru boys Mwanza tuliiomba sana Casfeta
Amen mungu akubariki sana mtumishi wa mungu ninahisi kubarikiwa sana kwa hizi nyimbo
May God bless you sana mtumishi tunashukuru kwa hizi baraka
Amina mtumishi wa mungu barikiwa kabisa
Thanks for being a blessing
Barikiwa sana mtumishi nyimbo zako ua Zina nitia nguvu🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe saana, nabarikiwa Sana na hizi nyimbo🙏🙏🙏
I'm always bless with ur song's.
Nyimbo zako nzuri zanibariki kweli
Pst I love your songs, every morning must listen tym Kwa plot akuna makelele💕💕barikiwa
Nakumbuka mbali,tutoke dhambini❤❤❤❤❤
Amen barikiwa mtu wa mungu❤🎉
Ubarikiwe kw nyimbo zako dugu
Thank you so much man of God,love this it inspires me when am down in terms of faith
Amen mutumishi mungu akuinue zaidi❤
Just what i needed 🙏🙏🙏
Be blessed man of God ❤ 🙏 🙏
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen
Asante sana kwa nyimbo safi ubarikiwe Sana
Barikiwa sifuna wefwe
God bless you man of God I'm bless with yoursong
Ubarikiwe Sana mtumishi
Mungu akongezee baraka😊
Blessing songs, I listen every moment, God bless you.
Ubarikiwe saana 🙏🙏
Nashukuru kwa kutuletea nyimbo zazama
Lovely songs encouraging our hearts may the Lord bless you mightly
Nafurahia kusikia nyimbo zako mungu akubariki na akuinue zaidi na zaidi
Hii si kawaida mungu yuju yako
Amina amina mungu baba nisaidie
I'm always bless with ur songs
We call them end times sings❤❤❤...
Mungu akubariki sana
God bless you servant of God. Your songs nourishes me spiritually. Am blessed.
Mungu asifiwe kila siku.
Mungu akufungulie njia ya fedha uendeleshe hii kazi njema unanikuza sana be blessed mtumish wa mungu
God bless you mtumishi nyimbo hizi zinanitia moyo ninapokaribia kukata tamaa . Asante sana mungu azidi kukutumia kuinua waliokata tamaa
Hallelujah . Praise belongs to God Forever and Ever ❤❤❤❤
God bless you more and more my brother 🙏
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaaamen my lovely siz ❤ 🙏
Amen!Old is gold,they are old gospel but toucheable
I like ur songs may God bless u
Huwa nabarikiwa sana
Glory to Almighty GOD more Grace 🙏🙏🙏
Glory to Jesus 🙌🙌🙏
Thank for song
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen
Be blessed man of God❤❤❤Glory to God❤❤❤
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaaamen amen amen
Ubarikiwe,san
Thank you for the songs nimebarikiwa sana
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaaamen
Amen glory to the Lord
Ameeen
Amen mtumishii
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen
Thanks alot...it really touches my heart
Amen be blessed man of God
Am so much blessed 🙏🙏🙏💕
Ooii hi album nayo lmenibamba be blessed so much good work
Fanyeni video
Quite encouraging, God bless you 🙏 🙏🙏
Ni Carol Queen Kenya thank I love your work my lovely brother
Am blessed 🙌
God bless you
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aamen amen
Amen
Brother my God bless you all the time ukuzidichie miaka mingi yenye amani Dunia
Wonderful gospel
Be blessed my brother
Amen 🙏 🙏 be blessed 🙌
This nyimbo inanifanya nikaribie Mungu sana, be bless sana unapoendelea na kazi ya Mungu
❤❤Napenda😢nyimbo myself
@user-yg1bl9nq5g
9 күн бұрын
3:41
Ubarikiwe sana mtumishi na mungu azidi kukupa hiyo neema Kwa maana hizi nyimbo ukisikiza hata kama ilikuwa na stress inaondoka
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaamen Asante sana sana