Noma Sana: Vibe la FID Q Lafunika Tigo Fiesta Mwanza: Aimba na Live Band Mwanzo Mwisho
Ойын-сауық
Fareed Kubanda ameutumia uwanja wa Nyumbani ipasavyo kuonesha kuwa yeye ni mmoja kati ya nguzo za HipHop Tanzania. Tazama hapa akiimba na Live Band Mwanzo Mwisho
Пікірлер: 127
WA kwanza jamani kila siku nachekwa sipati like naombeni basi
Namkubali sana uyu ni king of hip hop Africa mashariki. kama mnakubaliana Na hii like.
@masungwajr1us604
5 жыл бұрын
Bonge moja ya show legend 💪🏿💪🏿respect
@MjusSlam
5 жыл бұрын
🔥🔥
@azaboicomedy
3 жыл бұрын
Hata bila kulike iko wazi, tuljua tokea enz zle
Uyu jamaa kaiwekea Heshima kubwa mwanza Kwa mtazamo wangu Wange weka Bango lake unapo ingia Mwanza au katikati ya mji wa mwanza anapo toka
Wasibishane kuhusu hip hop!! Wataendelea kukungoja!! Fid jeshi la mtu mmoja👑👑🔥🇹🇿
@edobonifac3857
5 жыл бұрын
The real hip hop King
fid kwa ulichokifanya hapo unastail uking Wa hphp bongo hongera pia kwa Dada Melisa apo kwa saut ya kumtoa nyoka pangon
kubanda we ni mnoma cyo kwa vibe lile ulilotupa jana
Fid mwaka huu umetisha mzee baba.. hakika ww ni king of hiphop
Bonge mojaaaaaa la show respect legend 💪🏿
U deserve to be called a KING OF HIP HOP walai
the hip hip king, we appreciate sn ww fid you are the king of hip hop na hukiuki micngi km walivyo mafala flani.....
ili jamaaa kila linavoimba naliangalia kichwa na miwani najiuliza ww nimtu waaina gan unaimba mpk mwl wang umesisimka nakuona kwmba km mm siwezi lazima nisahau asee ngosha mtot wamwanza tunakuelewa brother kichwa chako unakijua mwnywwe asee
Mwenye HIP_HOP take ngosha the don't💪💪👊👊
Home boy ako fire mbaya.... Big up fid
Endelea kuwaonesha utofauti wao na ww amazing sana
Taking Bongo hip hop to the next level... 👑King kubanda 👑
unajua sana hadi unakela mwanza❤💪💪
jaman naomben like zenu huyu jamaa ndo anafanya watu wanasubri kwahamu mwaka huu yaan vibe kama loteee kubanda
Like kam wakubali fid ni king wa hip hop
For me you're the BEST HiP HoP artist in Africa
Fid ww mtu mbaya mno big up
napenda sanaaaaa love you fid q
Daaah huy mwamba ni hatr
nmependa hiyo sauti waliyoweka kwenye Fresh song yaan imekuwa fresh
Fid tulienyoy king wa hip hop African
something so good keep it up bro,
King of hip hop in Tz
King from ma hommie n fu****n Goat of Hip hop
Dawa so chungu ndugu uchungu marazi..hakiamungu tena chuki humchoma anaehifazi.hip hop fo real faridi qubanda noma sana
Naitizama hii show December ya 2020
Baba vibe nimelielewa sana
Nabii kakubalika kwao nakubal kng of hip hop mamb n ivi🔥🔥🔥
hatarii sana Hip hop
My favourite MC in tz. We ni Icon bro wa hiphop bongo
King of every year
This guy is talented
Ushatumaliza Afrika kama loteeeehhhhh
Ngosha #king of hip hop#
Kiukweli mwanza tulienjoy
BONGE LA SHOW
Mnyama nakukubar brother regend wa hph
Lordland.. Salute
maproducer wetu wawape vitu vyote kuhusu nyimbo yani
nilitaman ukeshe jukwaani maana nilitoka geita kufata show mwanza l like good music like this,cha kwetu ndo kila kitu hatutak wasaniii wa nje hata kidogo,
LEGENDARY
baba lababa heee baba lababa kizazi sana aiseeee noma sana
King bongo hip hop
Sema Ngoshaaaa habatishagi huyu jamn 🔥🔥
u deserve to be king of rap bongoland
hakuna king wa hip hop Africa km ww fid q u the bast bro
Huyu jamaa anajua
Fid unajua sanaaa
The realest ever.......
king king !!!!!
Best song writer in Tz hiphop
wangekua wanachukua beat na mixng na kila kitu kuhusu nyimbo. maana hivo ndivyo wasanii wakubwa dunian kote wanafanya wakitaka kufanya live pamoja na band ili sound inoge yan chek live moja ya travis scott kwenye show ya SNL ALivyofanya live alaf htr
Una weza baba me xhabika wako mpk mixho Hip Hop
Ngosha the swaga
hii ndo maana halisi ya show ngosha umeuaaaa
Godfaza wa hip hop bongo
Kali sana
Kwni mnakwama wapi aise....mbona mnatuwekea Video nusu wekeni show mzima....kwni bando lenu au letu..... Au mnateseka kuweka fully show.....!!!!
@raphaelluiso9163
5 жыл бұрын
HOSEA IBRAHIM ndo hivyo brother utafikir wanatununulia bando bhna!!
@goldiansig8965
5 жыл бұрын
Mwangu nami nimeudhika kinoma
@goldiansig8965
5 жыл бұрын
Mwangu nami nimeudhika kinoma
@mcsabufa2716
5 жыл бұрын
😂😂😂
Salute fid
Much respect brother fid
Fid Q....The meaning of Bongo hip hop....
Dah unajua bro
Home sweet home mwanza mwanza ndio home
Ur de best rapper fid
Nice FID Q
nilivyosema wadau waonheze ubunifu sijamaanisha kukata viuno au naviponda vyanyumbani no apana man... live performance like hiyo m mh! bado sana kibongo, msikilize fid vizuri anavyochana hapo utagundu kama alihitajika mtu mwingine wakushika mick na kuziback up voko zake. nadhan nimeeleweka.
Kitu liveee
G.O.A.T
Nouma sanaaaaa
Fid q uwe unapiga fresh remix ndo ina mzuka zaidi...... Rayvanny na diamond wamekatiza vizuri awe anapiga hiyo so hii
Duuuuuu noma upo hom ten ngosha hatuwez kukuangusha
Ngoshaaaaaaa
Ngosha ngosha shida hiii
GOAT
King
perfamance kama hii,harafu unasikia mtu mmoja amefanya utafiti eti sijui weupe/weusi ndio wamepeform vizur.Bongooo ushabiki unatuponzaaaa.
nomaa sana
back vocals ndo shida
king
Safi
U killed Ngosha respect wengne wanapga back vocal na bdo pumz znakata
Ngosha Ngosha ngosha
Life show broo walio toa kiingilio hawajaibiwa wameona life show broo fid we jamaa ni vampire unajua kulko
Nomaaaa
Nice
Mia👊
🇧🇮🎤👏
qonk ile mbay
naii ndio hiphop sio midudiko
Hepaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap....
duu kweli unastahiri kuitwa ngosha
hyu jamaaa hanaga mpinzaniiii Ukweliii ndo utabakia hivyo yan
Unamuona mlupo kisa ulimgonga kwa mshiko.....Fid Q
Fid na unju TZ ndo Kendrick na Eminem njee
Oya,pamba hizi,nimeziona kwenye video yake feature Chin bees?daaaah Ngosha Vipi?
Shidah
ngosha knoumer