NO MORE MISTAKES (DAY 1) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Kuna matatizo ambayo tunapitia kwenye mahusiano bila kujua ni laana ambazo zilitamkwa vizazi vya nyuma,na haijalishi zimetamkwa miaka mingapi iliyopita ukifika muda zinakuja kuwa halisi katika ulimwengu wa mwili.
Karibu ujifunze kutoka kwa Pastor Sunbella Kyando jinsi ya kujua nini kinakukwamisha kwenye mahusiano yako.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...

Пікірлер: 16

  • @cheyoveda5942
    @cheyoveda59423 жыл бұрын

    Asante MUNGU kwa neno la leo usinipite YESU

  • @collinsgasper8845
    @collinsgasper88453 жыл бұрын

    This is so Deep, Thank you JESUS, Ooh thank you LORD your Able!

  • @rukirijeremiah
    @rukirijeremiah11 ай бұрын

    Amen

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un7 ай бұрын

    Amina mtumish ubarikiwe

  • @joycekariuki46
    @joycekariuki462 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @dollamtui5849
    @dollamtui58493 жыл бұрын

    Asante yesu naomba ukaniokanie

  • @delishbby8542
    @delishbby85423 жыл бұрын

    Your the best Pastor ever. Unajua sana kufundisha vizuri na tena unafundisha kwa mifano. Mungu azidi kukubariki na kukutumia ili tupone. Namtukuza sana Mungu kwaajili ya kazi yako njema kwake.

  • @mathiasmpianamulanda3496

    @mathiasmpianamulanda3496

    Жыл бұрын

    KENYA ndipo nilipo ,ndugu zangu wamekufa wote nikabaki vifungo havina hesabu kwangu ila naota ukiniombea ,Naomba unene neno juu yangu alafu ntapona

  • @sarahmuhia7311
    @sarahmuhia73113 жыл бұрын

    Amen prayers 🙏

  • @cheyoveda5942
    @cheyoveda59423 жыл бұрын

    Nimejiunga kutoka Tabora Veronika from Tbr

  • @stellaprosper2901
    @stellaprosper29013 жыл бұрын

    Hakika nimebarikiw na neno la leo ,, Amen

  • @upendomlelwa57
    @upendomlelwa573 жыл бұрын

    Pastor hakuna kipengere kisicho nihusu hapo nakufatiria mafundisho yako karibu yote, nakosa namna ya kushukuru Mungu , ila nawaza natokaje hapa mimi jamani

  • @agnesbuchwa7209
    @agnesbuchwa72093 жыл бұрын

    daaa huyu ni mm mtupu jamani

  • @agnesbuchwa7209
    @agnesbuchwa72093 жыл бұрын

    natokaje katika hili maana nilipataga boyfriend 2007 akaniacha sababu kuwa mm ati iam too beautiful na nimesoma sana nina masters mpk leo sijaolewa

  • @saumhassan8019
    @saumhassan80193 жыл бұрын

    🙏

  • @ireneshayo3728
    @ireneshayo37283 жыл бұрын

    Day 2 naomba link sipati