NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie
Ойын-сауық
NIMEKOMA (New Movie) Adam Leo, Kado Mwamba, 2023 Swahili Movie | Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo STudios KZread Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios KZread channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#Nimekoma #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo
Пікірлер: 746
Usiache kutazama Filamu yangu mpya ya SLAY hapa👇 kzread.info/dash/bejne/h5iJta6hYMrSk8o.htmlsi=72_bENQWV7-UIWdG
@RamadhanBakar-ky8xc
9 ай бұрын
powa
@UmayyaNkya-ze3ri
9 ай бұрын
Muendelezo wa SLAY tunangoja 😋😋
@KhadijaKhadija-cz1yh
8 ай бұрын
Adamu.hongelasana.mukubaliki
@Mayah600
8 ай бұрын
Is this slay part 2
@mrsinia3064
6 ай бұрын
Movie nzur sana ❤
Hii movie ina mafunzo mazur xna, inafinza kuhsu wale wanaume wenye tamaa na kpnda kufnya mapnzi ovyo na kla mwanamke big up xnaaa broo adamu nzuri xna ❤❤❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana, nafurahi kama umepata funzo tulilolimaanisha🙏🙏🙏
@user-mk3zl3yr3m
8 ай бұрын
Adam unaweza sana
@AdamLeoStudios
3 ай бұрын
@@user-mk3zl3yr3masante sana
@HUSSEINMUHAMED-so4dx
Ай бұрын
Hongereni sana aiseee SEMA kuacha inakuaga ngumu sana aiseee
@HUSSEINMUHAMED-so4dx
Ай бұрын
@@AdamLeoStudiosAdam mwendelezo wa Sabi unazingua ujueeeee
Nafatilia sana muv zako Adam leo very Nice work,Big up my brother Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akili yako🙏maana unatoa mafunzo kwa jamii..
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Amen na asante
Leo nimecheka yangu yote watching from Saudi 🇸🇦 wakomeshe hao wanaume watabia kama hizo na akikisha pia umewakomesha pia wanawake watabia hizo❤❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Kabisa kabisa🙏
Duuuh movie tamu sana yenye mafunzo na yenye kuchekesha pia❤❤
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Shukrani sana
Adam. Huyaki. UTI. Sugu. Nimecheka kwasauti. Daah. Kazizako. Nzuri sana. Hongera. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Asante sana
Penda San Kazi zako 🎉🎉
@AdamLeoStudios
3 ай бұрын
Asante
Eeeee!!!!!! hii kali,funzo kuu,eee bwana we adamu tia bidii
@AdamLeoStudios
5 ай бұрын
Shukranii
Mmmh napenda sana 254🇰🇪we r representing well
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Shukrani sana
I'm a kenyan watching from 🇸🇦big up bro
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Thanks
Mimi nko Mombasa Kenya napenda movie zako jee pili na khanifa Salma wako wapi wako SAWA
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Utawaona soon.
Adamu nmesuscribe nafrahia filamu zako xana kaka Mungu akubariki kama nko darasani vile.
@AdamLeoStudios
Ай бұрын
Shukrani sana
congrats kaka napenda kazi zako
@AdamLeoStudios
5 ай бұрын
Shukrani sana
Leo ningekuwa wakwanza sema tu nimechelewa ibadani
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Sio mbaya kikubwa umeitazama..
Adam na kundi lako lote hongereni sana. Mna mafundisho mazuri mno, binafsi nawakubali hatari na nawaombea muendelee kutuelimisha hasa katika dunia hii inayonuka uovu.
@AdamLeoStudios
5 ай бұрын
Shukrani Lawyer❤️Nakupenda
@monalisajohn3029
5 ай бұрын
@@AdamLeoStudios Asante dear
ADAM UKO VIZURI MOVIE ZAKO ZINA FUNDISHA NA KUELIMISHA JAMII
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Asante sana.
Adam,nakupenda as my brother,watching from Burundi❤
@AdamLeoStudios
5 ай бұрын
Asante sana
I'm a Kenyan watching from Spain. I love it😊. Thanks guys
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Thanks a lot🙏🙏
Adam mov zako tu kaka zinamafunzo san mung azid kukupa afya uelimishe jamii❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Amen
😅😅😅😅kinga jaman muhimu sna mashetani ya menda huyu mwisho hahahaha❤
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Umeonaa eh
Asante sana adam leo,wenye tabia za umalaya jamani,iwafikie hiii,
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Kabisa kabisa hii ni kwaajili yao.
Mashallah hongereni sana wadau nimejifunja kitu
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Shukrani sana sana🙏🙏🙏
Asanteni Inafunzo kukaa kwa watu shida Congratulation kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
@AdamLeoStudios
2 ай бұрын
Umeona eh
Jiunge na Adam leo uenjoy 😊
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Kabisa kabisa aisee🙏
Adam Mungu anakuona hadi kaka Kado kaokoka 🤣🤣🤣🎉❤ nice movie
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
😂😂😂anampenda yesu..!
My favorite, tunaendelea kufuatilia movies zako, safi kabisa!
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Shukrani sana
Bro Adam much respect very well combination, we are going to get new kanumba, allah yuko pamoja na wewe kila la kheri kk
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana, naendelea kupambana na kuhakikisha nawapa burudani kila leo, msiache kunisupport kwa ku SUBSCRIBE na kuSHARE filamu zangu🙏
@hamisimwandu5675
10 ай бұрын
Yaa huwa na Shea Sana na ku subscribe na ndo maana kila movie unapotoa lazima niione kaka angu adam
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Asante sana.
@leahwanjiku5466
10 ай бұрын
@@AdamLeoStudios our next kanumba
Mdogo wangu,Adam,mbona unapenda makande saanaa,maana kila movie lazma utaje makande!
@AdamLeoStudios
16 күн бұрын
Haha
Mh maajabu Adam kwenye movie hii hupendi madem adi unamshauri mwenzako ila movie nzuri nimeipenda na ina mafunzo mazuri kwa wanaume wenye kupenda madem
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Asante sana😂😂😂sema dah jamani mimi🙏
Its the best combination Uyo jamaa mrefu anajua sana kuigiza dah alinifurahisha san kwenye ile movie Adam umemchukulia mkewe afu ukaenda kukaa kwake Dah mnatish kk Adam i see you both far
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana kaka, we appreciate🙏
🤣🤣🤣🤣Thanks for the behind the scene, I was nearly convinced it was a true story. Lovely colours, nicely timed music and quality love you guys great job. Kadoo played very well congratulations
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Glad you enjoyed it, we appreciate🙏
😂😂😂movie nzuri sana kado kapata adabu kweli👏👏👏
@AdamLeoStudios
Ай бұрын
Umeona eh
Penda sana Adam unaweza tena na tena
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Asante tena na tena
❤🎉🎉🎉❤cogratulation movies zenu zina mafundisho mazuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤🤗🙏
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Asante sana sana
Good job man,am really addicted to your movie's tuned in from Kenya
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana aisee.
Naye amekoma kweli 😂 😂 aki nmecheka mpaka nkamuonea huruma😢 kazi KUNTU 🎉🎉 kaka Adam umejua kumkomesha, na wenye tabia kama hii mkome pia..... ❤❤
@AdamLeoStudios
8 күн бұрын
Kabisaa
Mimi bado mdogo brother lakin nimejifunza mengi kupitia movie zako Zina ujumbe mzito unao hitaji moyo wa uvumilivu Ili uweze kuyabeba na kuyafanyia kazi HONGERA SANA BROTHER ADAM
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana aisee...!! Mungu akubariki..
Mwamba kanyoka kweli mpaka anaomba daaah n hatari kwa kweli 😂😂😂😂😂😂
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Kanyookankweli😂😂
Atumbua macho kama mjuzi kabanwa n . Mlango n 😂😂😂😂😂😂nime wapenda sana kazi nzur sana
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Hahahha acha kabisa
Kaz nzuri mafunzo mazuri bt nmecheka hadi nkapaliwa n mate😂😂😂😂
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Hahaha enjoy
Utakii kingaaa kwa hiyooo kadoo anapigaa kavuuuu dooooo😅😅😅 una hatariiii
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Kado ana hatari sana
Ingekua wazizi wote wafanywa ivyo wengi wangekoma😂😂😂 kudadeki wachezea kifo ww
Hata kama nimechela bora nimetazama,,, Asante kaka Adam kwa movie nzuri
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana aisee..
Adam tunamshukuru sana kwa kaz nzur,, umetumia akil nying kumbadilisha kaka yako unastahl pongez kaka hongera xana.
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Asante sana
Much love from Kenya adamu movie zako nzuri kweli kweli keep up bro ❤
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Thanks🙏
Eeh wanawake tutafika binguni Kama tumechoka Aki uko Na mwanaume lakn bado unataka brother yake pia haraam mushimila much love from kenya
@AdamLeoStudios
13 күн бұрын
Thanks
Big up brother movie zako nimezipenda sana
@AdamLeoStudios
3 ай бұрын
Shukrani sana
Adam leo unajuwa kuingiza filam
@AdamLeoStudios
2 ай бұрын
Shukrani sana
Nimependa sana🎉🎉
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Asante mno🙏🙏🙏
Wewe kaka nimependa movie zako sana kbs yani kwa hii moja umejuwa kunikomolea mtu kbs
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Shukrani sanaa😀😀
Adam leo hongera sana kakaangu hizi movie zako zina mafunzo 💯💯💯💯💯🎉🎉🎉🎉
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Asante sana sana aisee.
Hapo kwer ulimuweza blaza yako Adamu....tisha sana you are so creative 👊👊
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Shukrani sana
Hii movie nikali walai Adam kazi safi sana Alf Sasa tukifika apo kwa behind the scene nakufaaaa😂
@AdamLeoStudios
6 күн бұрын
Hahaha asante jamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣adam umemfanya mwenzio goigoi
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Hahaha jamanii
hii movie ni darasa tosha napnd sna mnavyo tuleteya movie zenye mafunzo allh wape nduvu Zaid
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Asante mnoo🙏🙏🙏
Kaka hiyo ya slay pia nishaangalia Iko vizuri na inaelimisha pia
@AdamLeoStudios
3 ай бұрын
Asante
Boss adamu alivyo mkubwa hivio hajuwi kaskazini ni wapi mungu wangu wwwweeee😂😂😂😂😂
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Hahahaha acha kabisa.
Adam Shukran sana kwa Movie nzuri ❤❤❤ Mungu akuongoze uzidi kutufurahisha 🤗👏👏👏😊
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Asante na tupo pamoja.
@user-gf6qz9fd8l
9 ай бұрын
Hi
@mwanakombojuma7486
9 ай бұрын
@@user-gf6qz9fd8l Hi
Watching from Nashville USA, Adam. Hongera
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Thanks a lot🙏🙏🙏
@user-gf6qz9fd8l
9 ай бұрын
@@AdamLeoStudios God is with you never give up Leo, Mark my words one day you'll be somewhere
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
I appreciate🙏🙏
Adam kazi zako nzuri sana zinamafudzo
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 nakupenda bure
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Mi pia
Congratulations kazi nzuri saana❤❤❤
@AdamLeoStudios
Ай бұрын
Asante
Kweliiii nimekoma umalaya nyoooo😂😂😂😂😂😂
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Umalaya harudii tena
Huyu jamaa kafanana na mc machet wa chumvi nyingi 😂😂ila movie mzuri sanaa hongereni sanaa washirika
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana sana.
kaka iko poa sema hiyo introduction ungeiwek mwanzoni sio katikati
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Poa poa mkuu, shukrani kwa maoni.
muvi zako zote kali kaka jitaidi utafika mbali
@AdamLeoStudios
Ай бұрын
Shukrani
Hii movie nimewatch usiku peke yangu nyumba ya gorofa mbili Ile duru nimepiga kwa hiyo saduku kupotea mwaongopesha sana
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Hahaha polleeee
Mwamba mwenyew
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Naam
hii movie nzuri sana yenye mafunzo❤❤❤
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Shukrani sana
Big up My brooo kazi nzuri sana congratulations 👏👏👏👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati nawapenda wote mdau wako shabiki love you so much 💞 mbarikiwe nyote
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Asante sana sister❤❤❤
We kado nuwiya vizuri 😂😂😂 navenye wewe ndo umekogota shida zote😂😂😂😂😂❤🇧🇮🇸🇦
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Hahahah jamaniii
Nilkua sija jua kabisa lakini nimeisha kupata kabisa.
@AdamLeoStudios
3 ай бұрын
Shukrani
Nakukubali xana brother 👍
@AdamLeoStudios
6 ай бұрын
Shukrani mno
Bro adam unajua cheza movie big up ❤🔥
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani
Adam leo uko vizuri
@AdamLeoStudios
4 ай бұрын
Asante
Abana Adam mimi niko Australia lakini nazipenda movie zako sababu zinafundisha sana.
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Asante sana
Hi movie no Kali sana iko na mafunzo mazuri
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Shukrani sana
Nakupenda sana brother I wish nikuje kuishi dar Alf niigize kwenye filamu zako
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Karibu
Ila Adamu unajuaa sana 😅😅😅😅sijawahi kuona unatoa kazii mbovuuu pongezi san
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana.
Nimewapenda
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Asante sana
Hii move inafundisha Sana adamu nimefatilia Sana move zako uko vzr sana
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Shukrani mno.
Asante. Sana. Kwa kutuerimisha wa dada. Na wa Kaka. Piatujilekebishe
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana sana.
@morjanoman5181
10 ай бұрын
@@AdamLeoStudios asante nami pia kwa kutujali tulioko mbali na tz. Tunainjoy sana
Mimi ni mtanzania nawaangalia nikiwa Germany 🇩🇪 kazi nzuri
@AdamLeoStudios
5 ай бұрын
Shukrani sana
Jaman napenda movie za uyu mkaka ❤
@AdamLeoStudios
5 ай бұрын
Asante sana
@aminaabdala563
5 ай бұрын
@@AdamLeoStudios me nataman kuigiza sna wallah tena na ww mana napenda kuangalia movie zko kila siku wallah
Mamae kado 😂😂😂😂😂😂😂😂 ila ningekuwa mm ningemnyoosha kwanza huyo jini ndio nipeleke jeneza lake
@AdamLeoStudios
5 ай бұрын
Hahaha jamani
Nakukubali snaa Mr Adam Leo hakika unatoa vitu vya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani🙏🙏
Mwambie huyo kakako Adam kabaki macho tuu sababu ya ngono
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Hahahah kaisha.
Woow mmeigiza vizuri sana jamani na nimepata mafunzo yakutosha, asanteni ❤❤❤
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Asante sana.
😂😂😂jamani pia mimi halima kenya
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Asantee jamani..
Niwe tu mkweli nimejufunza kitu apo kwa uhuni aisee wanaume lazima wataacha tu wapenda wa sipende, i salute you and BIG RESPECT
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Shukraniii
@fatimafoaani2263
9 ай бұрын
@@AdamLeoStudioskaribu sana kaka yetu kipenzi tuko pamoja na wewe twakupenda sana Jabali wetu King 👑❤❤❤
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
🙏🙏🙏❤❤
mpka mwamba kado amerudi kwa yesuu wueeh😂😂😂...huu mchezo noma Adam❤
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Shukrani sana sana aisee.
Kaz nzur sana Adam ila behind the scene hua tamu zaidi😂😂😂😂
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
🙏🙏Shukrani sana jmn
@aslaykweka7408
8 ай бұрын
Adam pambana mkuu kaz nzuri sana
Behind the scenes cracked 😂😂😂😂😂😂😂 my ribs, anyways thanks for killing my stress Much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬
@AdamLeoStudios
8 ай бұрын
Thanks Ug, endelea ku enjoy.
@wanyenyaviolet3619
8 ай бұрын
@@AdamLeoStudiosAsante sana
Mwenyezi mungu akubariki kaka Kwa kuendelea kutupa mafunzo
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Amen
😊l'm kenya 🇰🇪 l❤ kaka adam kwa mafunzo.
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
Hii movie nimependa sana tena inamafunzo❤❤❤ from kenya
@AdamLeoStudios
7 ай бұрын
Asante
😅😅😅Adam anaogopa U T I .kama mim hata mim hapo kwenye u t i sugu hapana bora ikae
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Naogopa kabisaa😂😂
Movie yenye mafunzo, upo vizuri sana
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Asante sana
🤣🤣🤣daaaah funzo kubwa sana hongera sana kwa kuzidi kutuelimisha kaka ADAM
@AdamLeoStudios
9 ай бұрын
Shukrani
Mwanzoni tu kazi inaonekana poa Sana hongera Sana mwamba kwa burudani hii
@AdamLeoStudios
10 ай бұрын
Shukrani sana aisee.