NILIVYOSAFIRI NA JINI KUTOA DAR MPAKA MOSHI
Ойын-сауық
Jina langu naitwa Halima Mohamed Mgaza, nilizaliwa mwaka 1995 katika mkoa wa Kilimanjaro wilayani Moshi mjini. Wakati nikiwa natafakari hayo mabadiliko ya ulimwengu juu yangu nikajikuta naangukia katika jaribu la
kipekee, jaribu ambalo hata familia yangu ililazimika kusimama mbali nami na kufanya subra kimaamuzi iwapo wasogee ama wakimbie moja kwa moja.
Narejea kulitambulisha jina langu mpenzi msomaji wa mkasa huu.
Naitwa Halima Mohamed Mgaza. Tafadhali nakusihi sana ujifunze na kuchukua tahadhari kwa yale yaliyonitokea.
@ankojay_
Пікірлер: 265
Naipenda sana sauti ya msimulizi, kuna watu wamejaaliwa na sauti zao. 16.11.23.
Simulizi tamu ila unapoota ndoto jaribu kuzikemea na kujiombea ili yasikupate kama yaliyompata huyo halima mungu simama nasi yarrab 😢😢😢😢😢😢
Hata wa mwisho hua anapewa Like na 🎉🎉🎉🎉 yake nipozeni jp kidogo kwa like
@emmanuelmwanginjuguna2480
3 ай бұрын
Hakuna nga wa misho😂
@bodymsomali3321
Ай бұрын
Mimi wa pili
Nimelipenda sana simulizi kabla hata aijaisha imebidi nicoment
Mimi wa Kwanza naombeni hizo like nihangaike nazo😂
@ywydhhd7941
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂vip na ww ni shaghara 😂😂
Subhanallah mwenyezimungu atulinde yarrab kuna mambo ya kutisha duniani 😢😢😢😢
Anko j..sauti yako nzuri ndio yanifanya niwe nakuskiza kila mda nakupenda sana
@ankojay_
8 ай бұрын
Nawapenda pia 😍
Eeee mambo hy jin tena ndan ya buss like jaman leo wa kwanza ❤❤❤
👍👍asnte kwa simuliz zuri❤❤
Anko jay simulizi nzuri
Wow,naomba likes zenu wapendwa,kazi nzuri sana Anko jay,
Wakwanz Leo jamn like hat 5 zinatoxh ❤❤
Wakati mwingine mungu hutuletea ndoto ila tunapuuza ety ni ndoto tw, yafaa tujifunze ukiota ndoto mbaya amka na ukemee hiyo ndo na hai watu hukuonekania kwenye ndoto ni mungu anakufungua macho ili uwajue wabaya wako na ujue jinsi ya kuepuka, kama bado hayajakukumba, tuwe makini sana na ndoto zingine
@Pedeshee01
8 ай бұрын
Maskini ndiyo huwa wanaota ndoto za ajabu tu,sisi matajiri kwanza huo muda wa kuota hatuna.Maskini wamewekeza kwenye mapenzi,ngono na ushirikina.Hata ukimwi umeletewa maskini tu ili uwapunguze
Nimejitaidi leo asante ❤❤❤🎉🎉
Hatimae mmetukumbuka wa kilimanjaro❤❤❤❤❤❤❤❤ishisana anko jay unapepoyako chauongo wangu😊😊😊😊😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
❤❤❤💐💐💐💐💐💐💐 nimeipenda na ina mafunzo mazuri sana pia honger mtangazaj maan umejaliwa sauti moja bomb ana hata umenikosh jaman
Asante kaka nakuelewa sana
Ahsante sana kwa simulizi
Kweli Dunia is have many megic 😮
Pole sana Halima Kwa yote, anko npo ngangari Sana kwa simuliz ya X achilia mambo banaa
Ankojay you are one in a million Yani ujua kusimulia Ady unakera, ni ankojay tw ambaye hua nasikia faraja pindi nisikiapo sauti yake❤❤❤❤
@ankojay_
8 ай бұрын
❤🎉 Enjoy
Una sauti nzuri sanaaaaaaaa anko j mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tele
😊😊ninavyo jua kukesha atimaye juma hiza Leo ametukumbuka Asante anko jay Kwa sauti nzuri
Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉 likes zang please
Zuri sana ina kafunzo
Hata nusu saa haijafika watu wamecomment hatr bs tijuana kwenye like ❤❤
Nisimulizi nzuri na yenye mafunzo Ahsante sana Anko Jay na mwandishi Juma Hiza! Ni kisa chenye mafunzo hasa Imani kwani si kila king'aacho ni dhahabu Ahsante
Good job 👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati usicheko kutupa vitu moto moto
Daah pole sana halima yapo hya tunayaona❤❤
Yani anko unajua kubalansi sauti yako kilasekta unaiweza mpataka nahisi nipo na mtu ananipigisha stori asante nainjoi
Mwenyezi mungu atulinde na majini😢😢😢😢
@EpimackChami
8 ай бұрын
Anko jay umetishaaaaaaaaaaaaa
Asante anko jay kwa kitu kipya🎉🎉🎉
Mashallah anko Jay maana kila siku unamapya barka rafiki Allah akubariki sana
Pole san dada halim mungu akulinde pamoj na mwanao
I like your voice❤
Mamaaa ndonaamka jamani😂😂 sijachelewa sanaa anko jay asante kwa kitu kipya❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉asante sana ankojey 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Simliz nzur san❤❤❤❤❤
Asante Ankojay 🙏🙏❤❤❤ big up kwa kazi nzuri
Nimewahii leo wakwanza nipeni likeszenu
@asmahassan5661
7 ай бұрын
@@ywydhhd7941mmi ni shaghara my😊
@GraceMathew-ky3by
7 ай бұрын
Pole xana he imeniuma sana kama mwanamke mwezio
Simulizi tamu sanaa.17.11.23.
Simulizi zako zote alizowahi kusimulia wewe tangu upo simulizi mix mpaka uku zote nimesikiliza ila Lissa imenishinda kwakweli😢
Waooo ❤❤❤🥀🥀🥀💐💐💐
❤❤🎉🎉anko j asante Kwa kigogo kipya hatimae Leo nimetimba kwenye simulizi 😊😊
Anko jay mm l like your voice
shukrani anko j
Nzuriii
Watu wanalala humu ndani jmn duu ❤❤❤
@wilkisteradhiambo3072
8 ай бұрын
😂😂😂😂
ᴸᵉᵒᵒ ⁿⁱᵖᵒ ʳᵃᵈᵃ ʷᵉˡᶜᵒᵐᵉ ᵃⁿᵏᵒ ⁿⁱᵖᵒ ⁿᵃʷᵉ ᵐᵖᵃᵏᵃ basi❤❤❤❤
Anko jay pamoja na madamu rissa hongera kwa simulizi nzr penda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
wakwanza jamani Asante sana anko jay ❤❤
Excellent work uncle
❤❤❤kozizuri sn ninapenda kazi yako❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nice voice unakiti chako mbinguni yaan munguabarki kipaji chako🎉❤❤
Umetishana anko j kwa simulizi kali
🎉Nice
Anko jay nakupnda mpk nakuiga xauty nyumbani wananicheka nikiongea nawaongelra xauty Yako🙈🙈🙈😘
Nzuri sana❤
Anko jay simulizi nzuli sana
Love Anko ❤
Nilisafiri na jini ndani ya bass, inashitua na kuogopesha ila nasikiliza😊😅😂
Asate ankojay❤❤❤🎉🎉allah akubariki
🎉🎉🎉 Asante ank jay
Shukran Anko Jay❤❤❤
🎉umetisha sana🎉🎉
Wakwaanza 🎉🎉❤❤
Nzur sana🎉🎉
Nimechekewa kindogo ila na enjoy Anko j thanks 🎉🙏🙏 ❤❤❤❤
Wa 37 leo nimewahi❤❤❤❤❤
Waaaah nimepata leo furaha kumbwa❤❤
Story zako nazipenda sana from oman hilo bas sasa😂😂😂
Msimulizi sauti yako tamu kweli kweli . Hongera dogo.
Kazi safi😊😊😊
jamani ata mm naongopa kuongeya na mtu kwa gari nimejifuza sana simulizi hii ina urumisha
Kweli upo vizuri katika simulizi hongera pia mtunzi.
Cjachelewa sana ❤❤❤
🎉🎉🎉 sweet voice 😍 🎉🎉
Napenda sauti yako nzuri kaka mungu akubariki sana
Inasikitisha sana japo duniani sote ni wapita njia hutujuwi ya Kesho, thank you so much Ankojay
Mungu wangu jamani 😭💔😭 pole kaka angu
Nimejitahidi Ku wahi Siku ya leo❤❤❤❤❤🎉🎉
Kunawatu hamulali n'a kufayilia Anko j muko Sawa kabisa
Nmechelewa❤❤❤❤❤❤
Anko kazi zako n safi sana❤❤saba ❤
Ankojay umebarikiwa saut tam sana mash aalwaa naipenda hatar
Vyenyee unaweza zibadilisha hizo Sauti Sasa yaani ...siku Moja tusimulie ya kirikuu na sauti ya karaba
Asante sana mabrukiii 👍
Nili kumiss we anko ❤❤
Nzuri sana😘💌
Nipo ndani ya ankojay simlizi 😊
Kwl amejaliwa saut
Nimechelewa jaman lakni sio mbaya
Pole sana dadangu nakuombea mema
Bado tuko pamoja Anko Jay.
Raha ya ximuliz umpate mximuliaji bhn kama anko jay wengne wanahangaika tuu🤣🤣🤣😌
Kwakweli mwanzo inafurahisha lakini mwisho inasikitisha kwakweli ❤❤❤
🎉napenda San simulizi zako anko jay
Thank you Ankojay🥰🥰🥰kaka juma napenda story zako 🥰🥰🥰
Apo saw kaka tunapenda zenye Zina madakika kama iyi sababu zingine zinatutia uvivu kufata ila ikiwa kama samoja kaka apo saw unatiya Tena part Moja Tena samoja apo saw kaka apana kama x bro nizuri sana ila inatutia uvivu sababu nindefu sana sana sah 8
Jamaaa history nayo ni hot sana