NILIVYOSAFIRI NA JINI KUTOA DAR MPAKA MOSHI

Ойын-сауық

Jina langu naitwa Halima Mohamed Mgaza, nilizaliwa mwaka 1995 katika mkoa wa Kilimanjaro wilayani Moshi mjini. Wakati nikiwa natafakari hayo mabadiliko ya ulimwengu juu yangu nikajikuta naangukia katika jaribu la
kipekee, jaribu ambalo hata familia yangu ililazimika kusimama mbali nami na kufanya subra kimaamuzi iwapo wasogee ama wakimbie moja kwa moja.
Narejea kulitambulisha jina langu mpenzi msomaji wa mkasa huu.
Naitwa Halima Mohamed Mgaza. Tafadhali nakusihi sana ujifunze na kuchukua tahadhari kwa yale yaliyonitokea.
‪@ankojay_‬

Пікірлер: 265

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi49438 ай бұрын

    Naipenda sana sauti ya msimulizi, kuna watu wamejaaliwa na sauti zao. 16.11.23.

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani19488 ай бұрын

    Simulizi tamu ila unapoota ndoto jaribu kuzikemea na kujiombea ili yasikupate kama yaliyompata huyo halima mungu simama nasi yarrab 😢😢😢😢😢😢

  • @user-yl4zp5qd7t
    @user-yl4zp5qd7t8 ай бұрын

    Hata wa mwisho hua anapewa Like na 🎉🎉🎉🎉 yake nipozeni jp kidogo kwa like

  • @emmanuelmwanginjuguna2480

    @emmanuelmwanginjuguna2480

    3 ай бұрын

    Hakuna nga wa misho😂

  • @bodymsomali3321

    @bodymsomali3321

    Ай бұрын

    Mimi wa pili

  • @user-ed1zb8lw2j
    @user-ed1zb8lw2j8 ай бұрын

    Nimelipenda sana simulizi kabla hata aijaisha imebidi nicoment

  • @roseraymond4954
    @roseraymond49548 ай бұрын

    Mimi wa Kwanza naombeni hizo like nihangaike nazo😂

  • @ywydhhd7941

    @ywydhhd7941

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂vip na ww ni shaghara 😂😂

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani19488 ай бұрын

    Subhanallah mwenyezimungu atulinde yarrab kuna mambo ya kutisha duniani 😢😢😢😢

  • @user-pr1uy3sh3o
    @user-pr1uy3sh3o8 ай бұрын

    Anko j..sauti yako nzuri ndio yanifanya niwe nakuskiza kila mda nakupenda sana

  • @ankojay_

    @ankojay_

    8 ай бұрын

    Nawapenda pia 😍

  • @aliyhassan6715
    @aliyhassan67158 ай бұрын

    Eeee mambo hy jin tena ndan ya buss like jaman leo wa kwanza ❤❤❤

  • @evarahma9409
    @evarahma94098 ай бұрын

    👍👍asnte kwa simuliz zuri❤❤

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi32338 ай бұрын

    Anko jay simulizi nzuri

  • @sephrinewarenga2745
    @sephrinewarenga27458 ай бұрын

    Wow,naomba likes zenu wapendwa,kazi nzuri sana Anko jay,

  • @user-wk7og1wb1o
    @user-wk7og1wb1o8 ай бұрын

    Wakwanz Leo jamn like hat 5 zinatoxh ❤❤

  • @violetmulya
    @violetmulya8 ай бұрын

    Wakati mwingine mungu hutuletea ndoto ila tunapuuza ety ni ndoto tw, yafaa tujifunze ukiota ndoto mbaya amka na ukemee hiyo ndo na hai watu hukuonekania kwenye ndoto ni mungu anakufungua macho ili uwajue wabaya wako na ujue jinsi ya kuepuka, kama bado hayajakukumba, tuwe makini sana na ndoto zingine

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    8 ай бұрын

    Maskini ndiyo huwa wanaota ndoto za ajabu tu,sisi matajiri kwanza huo muda wa kuota hatuna.Maskini wamewekeza kwenye mapenzi,ngono na ushirikina.Hata ukimwi umeletewa maskini tu ili uwapunguze

  • @user-oe7qe9es6k
    @user-oe7qe9es6k8 ай бұрын

    Nimejitaidi leo asante ❤❤❤🎉🎉

  • @user-ui6rf8yx7s
    @user-ui6rf8yx7s8 ай бұрын

    Hatimae mmetukumbuka wa kilimanjaro❤❤❤❤❤❤❤❤ishisana anko jay unapepoyako chauongo wangu😊😊😊😊😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂

  • @dullasaid1027
    @dullasaid10277 ай бұрын

    ❤❤❤💐💐💐💐💐💐💐 nimeipenda na ina mafunzo mazuri sana pia honger mtangazaj maan umejaliwa sauti moja bomb ana hata umenikosh jaman

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en8 ай бұрын

    Asante kaka nakuelewa sana

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia48078 ай бұрын

    Ahsante sana kwa simulizi

  • @Ilham-rc3zm
    @Ilham-rc3zm6 ай бұрын

    Kweli Dunia is have many megic 😮

  • @user-yv9sz1jn5n
    @user-yv9sz1jn5n8 ай бұрын

    Pole sana Halima Kwa yote, anko npo ngangari Sana kwa simuliz ya X achilia mambo banaa

  • @violetmulya
    @violetmulya8 ай бұрын

    Ankojay you are one in a million Yani ujua kusimulia Ady unakera, ni ankojay tw ambaye hua nasikia faraja pindi nisikiapo sauti yake❤❤❤❤

  • @ankojay_

    @ankojay_

    8 ай бұрын

    ❤🎉 Enjoy

  • @maryamhabibu2405
    @maryamhabibu24057 ай бұрын

    Una sauti nzuri sanaaaaaaaa anko j mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tele

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan8878 ай бұрын

    😊😊ninavyo jua kukesha atimaye juma hiza Leo ametukumbuka Asante anko jay Kwa sauti nzuri

  • @lindazawadi732
    @lindazawadi7328 ай бұрын

    Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉 likes zang please

  • @user-mm6ht5bx7d
    @user-mm6ht5bx7d7 ай бұрын

    Zuri sana ina kafunzo

  • @victoriangasa
    @victoriangasa8 ай бұрын

    Hata nusu saa haijafika watu wamecomment hatr bs tijuana kwenye like ❤❤

  • @user-yl4zp5qd7t
    @user-yl4zp5qd7t8 ай бұрын

    Nisimulizi nzuri na yenye mafunzo Ahsante sana Anko Jay na mwandishi Juma Hiza! Ni kisa chenye mafunzo hasa Imani kwani si kila king'aacho ni dhahabu Ahsante

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani22638 ай бұрын

    Good job 👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati usicheko kutupa vitu moto moto

  • @user-cl9dz6kk7u
    @user-cl9dz6kk7u8 ай бұрын

    Daah pole sana halima yapo hya tunayaona❤❤

  • @fatumahaji-ei5hk
    @fatumahaji-ei5hk8 ай бұрын

    Yani anko unajua kubalansi sauti yako kilasekta unaiweza mpataka nahisi nipo na mtu ananipigisha stori asante nainjoi

  • @user-ho7vw6or8h
    @user-ho7vw6or8h8 ай бұрын

    Mwenyezi mungu atulinde na majini😢😢😢😢

  • @EpimackChami

    @EpimackChami

    8 ай бұрын

    Anko jay umetishaaaaaaaaaaaaa

  • @yusrambodze3804
    @yusrambodze38048 ай бұрын

    Asante anko jay kwa kitu kipya🎉🎉🎉

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f8 ай бұрын

    Mashallah anko Jay maana kila siku unamapya barka rafiki Allah akubariki sana

  • @AnelithaMakonya-cy7gn
    @AnelithaMakonya-cy7gn8 ай бұрын

    Pole san dada halim mungu akulinde pamoj na mwanao

  • @user-ll4tm2bk3s
    @user-ll4tm2bk3s7 ай бұрын

    I like your voice❤

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya65448 ай бұрын

    Mamaaa ndonaamka jamani😂😂 sijachelewa sanaa anko jay asante kwa kitu kipya❤❤❤❤

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita39818 ай бұрын

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉asante sana ankojey 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-lx3bs3iq8t
    @user-lx3bs3iq8t8 ай бұрын

    Simliz nzur san❤❤❤❤❤

  • @peninahmmbone4648
    @peninahmmbone46488 ай бұрын

    Asante Ankojay 🙏🙏❤❤❤ big up kwa kazi nzuri

  • @jamilarimo5546
    @jamilarimo55468 ай бұрын

    Nimewahii leo wakwanza nipeni likeszenu

  • @asmahassan5661

    @asmahassan5661

    7 ай бұрын

    ​@@ywydhhd7941mmi ni shaghara my😊

  • @GraceMathew-ky3by

    @GraceMathew-ky3by

    7 ай бұрын

    Pole xana he imeniuma sana kama mwanamke mwezio

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi49438 ай бұрын

    Simulizi tamu sanaa.17.11.23.

  • @anawiliam-eb4kb
    @anawiliam-eb4kbАй бұрын

    Simulizi zako zote alizowahi kusimulia wewe tangu upo simulizi mix mpaka uku zote nimesikiliza ila Lissa imenishinda kwakweli😢

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya28048 ай бұрын

    Waooo ❤❤❤🥀🥀🥀💐💐💐

  • @haleemahhamisi2534
    @haleemahhamisi25348 ай бұрын

    ❤❤🎉🎉anko j asante Kwa kigogo kipya hatimae Leo nimetimba kwenye simulizi 😊😊

  • @jacklynmwarabu8211
    @jacklynmwarabu82118 ай бұрын

    Anko jay mm l like your voice

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc8 ай бұрын

    shukrani anko j

  • @terimberekenny
    @terimberekenny8 ай бұрын

    Nzuriii

  • @LyidiaSilayo
    @LyidiaSilayo8 ай бұрын

    Watu wanalala humu ndani jmn duu ❤❤❤

  • @wilkisteradhiambo3072

    @wilkisteradhiambo3072

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @Kellyperry947
    @Kellyperry9478 ай бұрын

    ᴸᵉᵒᵒ ⁿⁱᵖᵒ ʳᵃᵈᵃ ʷᵉˡᶜᵒᵐᵉ ᵃⁿᵏᵒ ⁿⁱᵖᵒ ⁿᵃʷᵉ ᵐᵖᵃᵏᵃ basi❤❤❤❤

  • @MwasityTz
    @MwasityTz4 ай бұрын

    Anko jay pamoja na madamu rissa hongera kwa simulizi nzr penda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @judikadzo8712
    @judikadzo87128 ай бұрын

    wakwanza jamani Asante sana anko jay ❤❤

  • @emmanuelmachibya2034
    @emmanuelmachibya20347 ай бұрын

    Excellent work uncle

  • @user-km5or2zn7t
    @user-km5or2zn7t8 ай бұрын

    ❤❤❤kozizuri sn ninapenda kazi yako❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shamymongola5758
    @shamymongola57587 ай бұрын

    Nice voice unakiti chako mbinguni yaan munguabarki kipaji chako🎉❤❤

  • @DanielyAmbrosy
    @DanielyAmbrosyАй бұрын

    Umetishana anko j kwa simulizi kali

  • @everlynmbondo-yh1rm
    @everlynmbondo-yh1rm8 ай бұрын

    🎉Nice

  • @TwigaofishoOfisho
    @TwigaofishoOfishoАй бұрын

    Anko jay nakupnda mpk nakuiga xauty nyumbani wananicheka nikiongea nawaongelra xauty Yako🙈🙈🙈😘

  • @user-xv5fw6uk8p
    @user-xv5fw6uk8p7 ай бұрын

    Nzuri sana❤

  • @user-sj3be6hn8b
    @user-sj3be6hn8b2 ай бұрын

    Anko jay simulizi nzuli sana

  • @user-dm4so1xd5t
    @user-dm4so1xd5t8 ай бұрын

    Love Anko ❤

  • @CARVERY653
    @CARVERY6538 ай бұрын

    Nilisafiri na jini ndani ya bass, inashitua na kuogopesha ila nasikiliza😊😅😂

  • @omerrashed9080
    @omerrashed90808 ай бұрын

    Asate ankojay❤❤❤🎉🎉allah akubariki

  • @Mziwandaa
    @Mziwandaa8 ай бұрын

    🎉🎉🎉 Asante ank jay

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr8 ай бұрын

    Shukran Anko Jay❤❤❤

  • @user-ox1ii6cp2t
    @user-ox1ii6cp2t8 ай бұрын

    🎉umetisha sana🎉🎉

  • @saidhassan8080
    @saidhassan80808 ай бұрын

    Wakwaanza 🎉🎉❤❤

  • @user-xn3fd8cf2n
    @user-xn3fd8cf2n8 ай бұрын

    Nzur sana🎉🎉

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh7758 ай бұрын

    Nimechekewa kindogo ila na enjoy Anko j thanks 🎉🙏🙏 ❤❤❤❤

  • @anjelinandambuki-fi4ip
    @anjelinandambuki-fi4ip8 ай бұрын

    Wa 37 leo nimewahi❤❤❤❤❤

  • @user-fq7wf9mu6l
    @user-fq7wf9mu6l8 ай бұрын

    Waaaah nimepata leo furaha kumbwa❤❤

  • @user-uu3si6dx9b
    @user-uu3si6dx9b8 ай бұрын

    Story zako nazipenda sana from oman hilo bas sasa😂😂😂

  • @user-ix2ld7ly8r
    @user-ix2ld7ly8r8 ай бұрын

    Msimulizi sauti yako tamu kweli kweli . Hongera dogo.

  • @racheluwda6552
    @racheluwda65528 ай бұрын

    Kazi safi😊😊😊

  • @user-ip6hb1nq2u
    @user-ip6hb1nq2u8 ай бұрын

    jamani ata mm naongopa kuongeya na mtu kwa gari nimejifuza sana simulizi hii ina urumisha

  • @HassanRamadhani-xn3cg
    @HassanRamadhani-xn3cg7 ай бұрын

    Kweli upo vizuri katika simulizi hongera pia mtunzi.

  • @zawadtwahirusuleyman1392
    @zawadtwahirusuleyman13928 ай бұрын

    Cjachelewa sana ❤❤❤

  • @MoshiMoshi-qy8dq
    @MoshiMoshi-qy8dq8 ай бұрын

    🎉🎉🎉 sweet voice 😍 🎉🎉

  • @user-mt9qg2br8p
    @user-mt9qg2br8p6 ай бұрын

    Napenda sauti yako nzuri kaka mungu akubariki sana

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo30728 ай бұрын

    Inasikitisha sana japo duniani sote ni wapita njia hutujuwi ya Kesho, thank you so much Ankojay

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt8 ай бұрын

    Mungu wangu jamani 😭💔😭 pole kaka angu

  • @dianandabirorere6365
    @dianandabirorere63658 ай бұрын

    Nimejitahidi Ku wahi Siku ya leo❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @bijouxbigaya2116
    @bijouxbigaya21168 ай бұрын

    Kunawatu hamulali n'a kufayilia Anko j muko Sawa kabisa

  • @RubySamuel-rt8ln
    @RubySamuel-rt8ln8 ай бұрын

    Nmechelewa❤❤❤❤❤❤

  • @Ivyagua
    @Ivyagua8 ай бұрын

    Anko kazi zako n safi sana❤❤saba ❤

  • @user-gt2wl6ry3z
    @user-gt2wl6ry3z8 ай бұрын

    Ankojay umebarikiwa saut tam sana mash aalwaa naipenda hatar

  • @agnessmwajojo-gr4ko
    @agnessmwajojo-gr4ko8 ай бұрын

    Vyenyee unaweza zibadilisha hizo Sauti Sasa yaani ...siku Moja tusimulie ya kirikuu na sauti ya karaba

  • @user-np8ol7bd4r
    @user-np8ol7bd4r2 ай бұрын

    Asante sana mabrukiii 👍

  • @AshaAbedi-nw9xd
    @AshaAbedi-nw9xd8 ай бұрын

    Nili kumiss we anko ❤❤

  • @user-gn9qf9ie6n
    @user-gn9qf9ie6n8 ай бұрын

    Nzuri sana😘💌

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu77958 ай бұрын

    Nipo ndani ya ankojay simlizi 😊

  • @RuthPendael
    @RuthPendaelАй бұрын

    Kwl amejaliwa saut

  • @mecktridamathias7923
    @mecktridamathias79238 ай бұрын

    Nimechelewa jaman lakni sio mbaya

  • @mohamedathman2619
    @mohamedathman26198 ай бұрын

    Pole sana dadangu nakuombea mema

  • @MishyYusuph
    @MishyYusuph8 ай бұрын

    Bado tuko pamoja Anko Jay.

  • @TwigaofishoOfisho
    @TwigaofishoOfishoАй бұрын

    Raha ya ximuliz umpate mximuliaji bhn kama anko jay wengne wanahangaika tuu🤣🤣🤣😌

  • @user-ek7pb1bj1l
    @user-ek7pb1bj1l8 ай бұрын

    Kwakweli mwanzo inafurahisha lakini mwisho inasikitisha kwakweli ❤❤❤

  • @user-el7ce3pu1p
    @user-el7ce3pu1p3 ай бұрын

    🎉napenda San simulizi zako anko jay

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms28698 ай бұрын

    Thank you Ankojay🥰🥰🥰kaka juma napenda story zako 🥰🥰🥰

  • @neymarjunior8404
    @neymarjunior84048 ай бұрын

    Apo saw kaka tunapenda zenye Zina madakika kama iyi sababu zingine zinatutia uvivu kufata ila ikiwa kama samoja kaka apo saw unatiya Tena part Moja Tena samoja apo saw kaka apana kama x bro nizuri sana ila inatutia uvivu sababu nindefu sana sana sah 8

  • @wencerich
    @wencerich8 ай бұрын

    Jamaaa history nayo ni hot sana

Келесі