“Nilitengenezwa kuwa kiongozi, na huyu ndiye aliyenitengeneza mpaka nimefika hapa” Rais Samia

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 27

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis98252 жыл бұрын

    Amina Salum Ali Kiongoz Mwenye Weled Nilitaman Sana Ww Ungekuwa Rais Wa Mwanzo Mwanamke Lkn Sio Bahat Leo Mwanafunz Wako Amechukua Hyo Nafas Kila La Heri Mama TUNAWAPENDA sana

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 жыл бұрын

    Kwa kweli hata Mimi nilipenda hivyo, lakini Allah ni mjuzi zaidi,,,

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    kila jambo hupangwa na allah.binadamu ni watekelezaji tu

  • @ramadhantahila9131
    @ramadhantahila91312 жыл бұрын

    hongerenii

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28332 жыл бұрын

    Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu nazidi kukuomba endelea kumuongoza kumsimamia kumlinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wetu pamoja na wasaidizi wake wote ewe mwenyezi MUNGU

  • @jackmsuya6842

    @jackmsuya6842

    2 жыл бұрын

    Hakuna kitu apo anaongoza au anaongozwa jk msoga

  • @marieconnect6389

    @marieconnect6389

    2 жыл бұрын

    Er Mungu mwongezee hekima na shupavu na uwezo wa kuona mbali na weledi zaidi wa kuongeza hii nchi . Ndiye rais wetu hutuma mwingine kwa sasa. Mshilike mkono baba

  • @zainabmapezi5730

    @zainabmapezi5730

    2 жыл бұрын

    Aamiin, aamiin, aamiin. In Sha Allah Mwenyezi Mungu atamlinda. Aaammiiin.

  • @alisaleh2507
    @alisaleh25072 жыл бұрын

    AMA KWELI AKILI MALI, JINA LAKO TU LIMENITOSHA MM, ILA NAKUSHAURI JIFUNZE KUHESHIM WENZAKO NA JILAZIMISHE KUACHA CHUKI NA HASAD DHIDI YA WENZAKO

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara88452 жыл бұрын

    Nishidatu kupongezana kwingi embu uwe unauliza na matatizo yawanainchi

  • @aliy3303
    @aliy33032 жыл бұрын

    Walinzi wavae stara

  • @aminaawal8953

    @aminaawal8953

    2 жыл бұрын

    Hongera sana mama mwenyezi mungu akusimamie

  • @jackmsuya6842

    @jackmsuya6842

    2 жыл бұрын

    Sio lazima

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    kwani wapo uchi?

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi1092 жыл бұрын

    Tutayaona mengi katika yote awamu hii

  • @machoguhameri7757

    @machoguhameri7757

    2 жыл бұрын

    Awatambulishe na mabest wake shuleni nao angalau awakumbuke kwa vyeo

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali152 жыл бұрын

    Ni kweli inaonesha kwasababu huyu Amina Salum Alli ni jizi kubwa limeiba pesa zetu limenunua nyumba Marekani Leo alikujua litakufa sasa unaposema ni mwalimu wako inaonsha dhahiri tokea mwanzo

  • @johnmichaellukindo21

    @johnmichaellukindo21

    2 жыл бұрын

    Fafanua zaidi mwili wangu unasisimuka nasubiri news please!!!

  • @haroldtarimo3115

    @haroldtarimo3115

    2 жыл бұрын

    Leta ushahidi si ajabu wewe ndio jizi namba moja Hapo ni chuki tu na husda ndio vimekutawala Mama chapa kazi fungua nchi tumeanza kuona mwanga wa mafanikio

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    2 жыл бұрын

    @@haroldtarimo3115 😆😆😆😆😆

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    2 жыл бұрын

    Ww una hela ya kuibiwa ww....tafuta hela acha lawama mtu ww😆😆😆😆

  • @fundieddy9164

    @fundieddy9164

    2 жыл бұрын

    Jitu Akilimali, naomba utujulishe ulimshitaki kwa lipi: kuwa jizi kubwa, kuiba pesa zenu au kununua nyumba Marekani? Vyombo vya Sheria vilimchukulia hatua gani? Lo! Hakika jambo hilo ulipaswa ulitume kwenye 'channel' zinazopendwa na WANAOVAA FREIMU ZA MIWANI ZISIZO KUWA NA VIOO.

Келесі