Nilikuwa darasani | Nimerudi na Senkondo kwenye XXL

Tarehe 16 mwezi watano ni siku ya kuzaliwa ya Adam Mchomvu na siku ya leo kazindua album yake ya Senkondo lakini pia amerudi kwenye show baada ya kipindi kirefu kuwa masomoni

Пікірлер: 25

  • @Babuu200
    @Babuu200 Жыл бұрын

    Adam Mchomvu huyu Jamaa anahitaji Eshima yake kwenye game ya Bongo Fleva na Hata B12 Pia hawa majamaa ni Ma Legend Kwa Hii game ya presenters.

  • @senkondosaid9322
    @senkondosaid9322 Жыл бұрын

    Naitwa Senkondo Naomben maua yang

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Жыл бұрын

    Adam na B12 na watangazaji wa clouds big up kwenu

  • @teddykahimba-zt5km
    @teddykahimba-zt5km Жыл бұрын

    Clouds ni kituo bora sana wana wathamin sana wafanyakaziwao na wamefundishw sana upendo watangazaji ni nguzo kubwa sana ktk kazi hongereni sana

  • @user-hz9tx1mi1h
    @user-hz9tx1mi1h2 ай бұрын

    Wape mashavu wanaaaa

  • @jenanikilipamwambo4527
    @jenanikilipamwambo4527 Жыл бұрын

    Adam ni mtangazaji mzuri ila hawezi kuzuia hasira zake.

  • @bashirumteka649
    @bashirumteka649 Жыл бұрын

    Mchomvu wewe ni father in show on radio my brother wewe jamaa ni mkali sana wa kuongea kwa mick

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Жыл бұрын

    Jamaa anaweza sana kwenye utangazaji wake.

  • @mohamedymkopi5887
    @mohamedymkopi5887 Жыл бұрын

    Adam apewe maua yake mze ukiacha mambo za mitama nakila kitu mashavu alitoa mingi sana pindi icho Mamy yuko tabora huko , hots3 unamkuta bidada Fatma Djfet. kwenye moja na mbili Twangalaa the King of afternoon show daaah mze hii ilikuwa so poa, those days honest industry ilichangamka kuanzia pale until this moment so shout rout to the people station….at all

  • @mateips
    @mateips Жыл бұрын

    Mwambaaa hoyooo Big up brother 🔥🔥🔥

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Adamu Kama adamu woof big up Sana 💪

  • @MichaelMethod-kc5hk
    @MichaelMethod-kc5hk Жыл бұрын

    present mnoma sana Adam

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Sema wewe Jamaa unapenda sana Sifa pili nahisi sina uhakika unatumia stemu kisha zinakuwa fanya uwe na hasira ambazo huwezi kuzizuwia ,bro wacha hizo tabia be cool brother Watanganyika wengi wanakukubali isiwe ndio kigezo cha kuwaonyesha kuwa wewe ndio Huni la Tanganyika ,,,again and again bro Be cool na haswa unapokuwa na hasira...Samahani brother kama nitakuwa nimekukosea mwanasheria wangu amefariki leo

  • @geeva99

    @geeva99

    Жыл бұрын

    Kijiti kina axis ukimonitor utaijua tu kama unazidisha au vipi, na pombe ndo haifai kabisa, hii ni experience nikiyoipata wakati naishi california, hata mimi sina wakili

  • @innocentdismas9049
    @innocentdismas9049 Жыл бұрын

    Mwamba namuekewa sanaa

  • @meshacksamson1008
    @meshacksamson1008 Жыл бұрын

    Mchz anaumwa huyu akii

  • @kingmadev
    @kingmadev Жыл бұрын

    Nlimmiss Sana huyu jamaa nikimkosa XXL sijskiagi poa

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Жыл бұрын

    Anger management

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Жыл бұрын

    Elimu haina mwisho

  • @mwanapilibaby2647
    @mwanapilibaby2647 Жыл бұрын

    I miss him 😅aki

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Жыл бұрын

    Adam bonge la mtu hasira ni hadi ukimzngua

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga36269 ай бұрын

    your girlfriend presenter

  • @generalchumongafricanboy
    @generalchumongafricanboy Жыл бұрын

    Hivi ni kweli ulimpiga Q-cheef ?

  • @amanindonde4498

    @amanindonde4498

    8 ай бұрын

    omg

  • @meshacksamson1008
    @meshacksamson1008 Жыл бұрын

    Mchz anaumwa huyu akii

Келесі