Nilikuwa darasani | Nimerudi na Senkondo kwenye XXL
Tarehe 16 mwezi watano ni siku ya kuzaliwa ya Adam Mchomvu na siku ya leo kazindua album yake ya Senkondo lakini pia amerudi kwenye show baada ya kipindi kirefu kuwa masomoni
Жүктеу.....
Пікірлер: 25
@Babuu200 Жыл бұрын
Adam Mchomvu huyu Jamaa anahitaji Eshima yake kwenye game ya Bongo Fleva na Hata B12 Pia hawa majamaa ni Ma Legend Kwa Hii game ya presenters.
@senkondosaid9322 Жыл бұрын
Naitwa Senkondo Naomben maua yang
@maigajohn5828 Жыл бұрын
Adam na B12 na watangazaji wa clouds big up kwenu
@teddykahimba-zt5km Жыл бұрын
Clouds ni kituo bora sana wana wathamin sana wafanyakaziwao na wamefundishw sana upendo watangazaji ni nguzo kubwa sana ktk kazi hongereni sana
@user-hz9tx1mi1h2 ай бұрын
Wape mashavu wanaaaa
@jenanikilipamwambo4527 Жыл бұрын
Adam ni mtangazaji mzuri ila hawezi kuzuia hasira zake.
@bashirumteka649 Жыл бұрын
Mchomvu wewe ni father in show on radio my brother wewe jamaa ni mkali sana wa kuongea kwa mick
@chisongastephen7299 Жыл бұрын
Jamaa anaweza sana kwenye utangazaji wake.
@mohamedymkopi5887 Жыл бұрын
Adam apewe maua yake mze ukiacha mambo za mitama nakila kitu mashavu alitoa mingi sana pindi icho Mamy yuko tabora huko , hots3 unamkuta bidada Fatma Djfet. kwenye moja na mbili Twangalaa the King of afternoon show daaah mze hii ilikuwa so poa, those days honest industry ilichangamka kuanzia pale until this moment so shout rout to the people station….at all
@mateips Жыл бұрын
Mwambaaa hoyooo Big up brother 🔥🔥🔥
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Adamu Kama adamu woof big up Sana 💪
@MichaelMethod-kc5hk Жыл бұрын
present mnoma sana Adam
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Sema wewe Jamaa unapenda sana Sifa pili nahisi sina uhakika unatumia stemu kisha zinakuwa fanya uwe na hasira ambazo huwezi kuzizuwia ,bro wacha hizo tabia be cool brother Watanganyika wengi wanakukubali isiwe ndio kigezo cha kuwaonyesha kuwa wewe ndio Huni la Tanganyika ,,,again and again bro Be cool na haswa unapokuwa na hasira...Samahani brother kama nitakuwa nimekukosea mwanasheria wangu amefariki leo
@geeva99
Жыл бұрын
Kijiti kina axis ukimonitor utaijua tu kama unazidisha au vipi, na pombe ndo haifai kabisa, hii ni experience nikiyoipata wakati naishi california, hata mimi sina wakili
@innocentdismas9049 Жыл бұрын
Mwamba namuekewa sanaa
@meshacksamson1008 Жыл бұрын
Mchz anaumwa huyu akii
@kingmadev Жыл бұрын
Nlimmiss Sana huyu jamaa nikimkosa XXL sijskiagi poa
Пікірлер: 25
Adam Mchomvu huyu Jamaa anahitaji Eshima yake kwenye game ya Bongo Fleva na Hata B12 Pia hawa majamaa ni Ma Legend Kwa Hii game ya presenters.
Naitwa Senkondo Naomben maua yang
Adam na B12 na watangazaji wa clouds big up kwenu
Clouds ni kituo bora sana wana wathamin sana wafanyakaziwao na wamefundishw sana upendo watangazaji ni nguzo kubwa sana ktk kazi hongereni sana
Wape mashavu wanaaaa
Adam ni mtangazaji mzuri ila hawezi kuzuia hasira zake.
Mchomvu wewe ni father in show on radio my brother wewe jamaa ni mkali sana wa kuongea kwa mick
Jamaa anaweza sana kwenye utangazaji wake.
Adam apewe maua yake mze ukiacha mambo za mitama nakila kitu mashavu alitoa mingi sana pindi icho Mamy yuko tabora huko , hots3 unamkuta bidada Fatma Djfet. kwenye moja na mbili Twangalaa the King of afternoon show daaah mze hii ilikuwa so poa, those days honest industry ilichangamka kuanzia pale until this moment so shout rout to the people station….at all
Mwambaaa hoyooo Big up brother 🔥🔥🔥
Adamu Kama adamu woof big up Sana 💪
present mnoma sana Adam
Sema wewe Jamaa unapenda sana Sifa pili nahisi sina uhakika unatumia stemu kisha zinakuwa fanya uwe na hasira ambazo huwezi kuzizuwia ,bro wacha hizo tabia be cool brother Watanganyika wengi wanakukubali isiwe ndio kigezo cha kuwaonyesha kuwa wewe ndio Huni la Tanganyika ,,,again and again bro Be cool na haswa unapokuwa na hasira...Samahani brother kama nitakuwa nimekukosea mwanasheria wangu amefariki leo
@geeva99
Жыл бұрын
Kijiti kina axis ukimonitor utaijua tu kama unazidisha au vipi, na pombe ndo haifai kabisa, hii ni experience nikiyoipata wakati naishi california, hata mimi sina wakili
Mwamba namuekewa sanaa
Mchz anaumwa huyu akii
Nlimmiss Sana huyu jamaa nikimkosa XXL sijskiagi poa
Anger management
Elimu haina mwisho
I miss him 😅aki
Adam bonge la mtu hasira ni hadi ukimzngua
your girlfriend presenter
Hivi ni kweli ulimpiga Q-cheef ?
@amanindonde4498
8 ай бұрын
omg
Mchz anaumwa huyu akii