NIKUREJESHEE LYRICS - NEEMA GOSPEL CHOIR
Музыка
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yeremia 30:17
Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema BWANA ...
Yoeli 2:25
Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu.
@NeemaGospelChoir
#Nikurejeshee
Пікірлер: 99
Kama umetoka tiktok Kaa Mimi usipite bule bila like.
@partialyrics
4 күн бұрын
😅😅😅😅😅safi sana mkuu
Nangoja baba yangu
Hii nyimbo inanibariki mpaka naogopa 😢😢 acha Mungu anijereshee sasa
Siwezi kuchoka kusikiliza huu wimbo. Huu ujumbe unatosha ktk mazingira yote.
@partialyrics
4 күн бұрын
Amen
Mungu akubariki sana kaka nami naomuomba mungu anrejeshee mengi sana yamechukuliwa
I feel a whole again 😭🙏🙏🙏🥰
So powerful ...this is pure blessing..... Restoration.... Restore yote yaliyochukuliwa/kuibiwa na muovu ee bwana
Oh God. ..naja kwako kwa unyenyekevu wa moyo 🙏,,yalio chukuliwa na muovu nirejeshee huu mwaka........nimepoteza mengi mno😢😢
It's the first time to listen to this and I must say it's a blessing it's amazing
@partialyrics
4 күн бұрын
Amen, be blessed✨
Very poweful , Yesu ndiye mrejeshaj wa aman iliyopotea
Jaman nimeupenda Sanaa mbarikiwe watumishii
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen, ubarikiwe zaidi
❤❤❤❤❤❤
Clarity of voice and audible words makes the song even more soul touching
@esternhingo6620
2 ай бұрын
Its GOD not gid
Wimbo mzuri wakurejesha waliopotea waliotoka kwa neno la mungu barikiwa wanakwaya
Wimbo mzur sana watumishi wa mungu mbarikiwe
Powerful.... blessings to you all Neema Gospel Choir....Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi.
Mungu naamini kwa neno lako, nirejeshee sasa
Nirejeshee EeeBwana kila nilichoibiwa,Amani.yang,watu sahihi nirejeshee
@partialyrics
Ай бұрын
Amen✨🙌🏽
❤❤❤
Eeeh bwana leta urejesho kwa familia yetu , remember us lord, Amen
@partialyrics
Ай бұрын
Amen🙏🏽
Asante kwa wimbo umenibariki sana
The song is blessings to me
@partialyrics
Ай бұрын
Amen Amen….🥰 be blessed more and more ✨🔥
Naangalia mara kwa mara❤❤❤❤❤
Wow so powerful
@partialyrics
Ай бұрын
💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Ndo kutoka tiktok. This song is a blessing❤
@partialyrics
3 күн бұрын
Be blessed🥰
Imenibariki sana inaniweka uweponi
Mungu azidi kuwainua Neema Gospel Choir; wimbo mzuri wenye kurejesha matumaini kwa wajoli wa Bwana wetu Yesu Kristo. Hakika mmeimba na kucheza kwa ustadi.
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen
❤❤❤❤
@partialyrics
11 күн бұрын
❤️❤️❤️
Mungu nimwema sana nimeipenda sana hiinyimbo
@partialyrics
11 күн бұрын
Amen… Ubarikiwe
Can't get enough of this song very powerful 🙏 "NIKUREJESHEE "
@partialyrics
Ай бұрын
🔥🔥🔥
Kila cku lazma niskilze huu wimbo ❤️❤️❤️
Njoo kwangu nikurejesheee💯
Nahisi kubarikiwa mnoo na wimbo huu, endelea kuhubiri namna hii na Mungu wa kweli anaendelea kuwainua!
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen
Restoration Restoration, the voice of Restoration. A great song.
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen, may the Lord our God bless you abundantly 🙏🏽
Amen unanibariki sana
@partialyrics
Ай бұрын
Amina🙏🏽
Mbarikiwe sana sana sana sana sana
Wimbo mzur jaman yaani si choki kuusikiliza
@partialyrics
2 ай бұрын
Wow…. Ubarikiwe sana
Mbarikiee
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen, ubarikiwe pia🙏🏽
Blessings song
Mungu awabariki sanaaaa jaman 🫂🙏
@partialyrics
2 ай бұрын
Amina, ubarikiwe pia🙏🏽
Amen amen amen❤
Amen indeed
Fantastic Song.
Amen🙏🙏
Amen❤
Amen
@partialyrics
Ай бұрын
❤️🔥
Very powerful song,May Gid bless you.
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen, be blessed more
Nimebarikiwa ❤❤❤
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen
Thank you Jesus
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen
Nabarkiwa sana
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen Amen
@veronicamutua7365
2 ай бұрын
Hii wimbo inabariki sana. Barikiweni sana
Thank you Hadar you the best teacher
@partialyrics
3 ай бұрын
Wow, thanks
❤
@partialyrics
Ай бұрын
❤️❤️❤️
😢😢
Unabariki sana
@partialyrics
2 ай бұрын
Barikiwa zaidi🙏🏽
Jaman kila nikisikiliza huu wimbo nahis kuwa uwepon, mbarikiwe sana, pia mtunzi wa huu wimbo mungu azidi kumtumia
@partialyrics
2 ай бұрын
Amen Amen
Amen nice song be blessing
@EdinaLwila
23 күн бұрын
Ameeeen nimebarikiwaa sanaaaaa bwanaa naombaa nirejeshee
@EdinaLwila
23 күн бұрын
Aminaaa bwanaa naombaa nirejeshee
🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Naamini mungu utanirejeshea Tena nirejeshee sasa
@partialyrics
Ай бұрын
Amen🙌🏽
Ni zaburi ngapi?? Naitaji kupitia hicho kitabu huu wimbo inamafunzo
@partialyrics
2 ай бұрын
Yeremia 30:17 Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema BWANA ... Yoeli 2:25 Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu
@sarahw6234
Ай бұрын
Joel 2:25-27 The Lord will pay everything that the big,small locust has eaten
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
@partialyrics
Ай бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️
❤❤❤❤
❤❤❤