NIKKI MBISHI "ALBUM YANGU HAIPO DIGITAL PLATFORM YOYOTE,NAIUZA KWA WHATSAPP NA TELEGRAM,WANATUIBIA"
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 81
Kopareti nimtu frani ivi akikopa areti naukizubaa ndio imetoka etty oyaweee Dr unjuuu💥💥💥💥💥
Mtazamo wake nauelewa vizuri sana,incase you dont know jamaa anao mashabiki zake ambao wananunuaga kila album anayotoa na wanaongezeka kila siku Kitu kingine jamaa ni anasoma comments zote humu na anaweza akareply hii😅 Personally nasupport hii mode yake ya distribution
@juniortza
Жыл бұрын
Mimi nadhani sio mbaya, but hio mode sio kibongo bongo! Ila guttconfidence yake kiume imekaa poa bora ujue hio laki tatu umeipata vipi siku kadhaa but sio ukae mwaka ukute laki tatu 😂
@mugadimon3563
Жыл бұрын
Jamaaa wengi hawaelewi anachokisema
@mugadimon3563
Жыл бұрын
Mimi kuna mshikaji wangu mmoja juzi nilishangaa aliniulizia album ya nikkimbishi nikamtumia namba jamaa akamalizana nae
@mafiaso_sakutula
11 ай бұрын
Hajui niki mziki umebadilika anachana old sana
Niki mbishi Niki mbishi 🎉
Uyu jamaa sio wa century hii😅😅😅😅 WCB nunua album utupigie
Noma sana
Hip hop iko mikono salama
Mpuuzi sana
@mbenamdudu7856
10 ай бұрын
Upuuzi wake uko wap broo
UNJU BINI UNUC 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Best rapper in tz
Anasahau kua dunia inabadilika saiv sio zaman Inabid ajue kua huu n msimu wa digital platform
@creature_official6853
Жыл бұрын
Tatizo la distribution za bongo hawakupi hela ile uitakayo ww yy nikki anaweza akapata mtu ataenunua hyo album hta laki 5 zaid ya 6 kma support je akiweka kwenye platform atapata hyo hela ndyo hapo dustribution zinapozingua
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
@@creature_official6853 ilo fala km wengne
Unju
Unju Best rapper alive
😅😅
Fucken genius!!!!!
Frankly Speaking
Dah uyu jamaaa mtazamo wake bd cjamuelewa mtazamo wake
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
Nenda shule Kwanzaa
Mkuu wa wilaya ya Rap, Dc wa milazo ☠️
Kama zipo zinyukwe tuu naona mguu umenyooka mwanangu Unju
Uyu jamaa kichwa sana ndo faida ya kusoma
Wazo Zuri shda ukimuuzia mmja ikaruhusu kurushiana hapo ndo changmto
@creature_official6853
Жыл бұрын
Swali ww unaweza kununua ukameushia mtu bure? Kwenye 10 ni wa2
Jamaa alisoma,lakini ni mjinga..
@GamechangerTz
Жыл бұрын
Miongoni mwa artist wako smart sana kichwani bhas ni Uyo Jamaa km Umemfatilia Aisee Trust Me labda km Humjui vizuri
The world is changing so we should train our mind to accept these things and learn about them sio ku criticize tu kila jambo bila kujua jinsi gani linafanya kazi, Tatizo NIkki anaonekana hapendi kujifunza kwa waliompita au walio juu yake akiwaona wao ndio kama kikwazo cha mafanikio yake. " Whoever Bows his heads misses the sword"
@ericklenjima455
Жыл бұрын
Umetumia akili kubwa sana kujibu akili ndogo. Jamaa lazima akubali mabadiliko.
@novatusrichard9375
Жыл бұрын
@@ericklenjima455 Sio lazima
@chuchufplatnumz4888
Жыл бұрын
You misunderstood Nikki man. Easy Maths, Sales 1000 Tu 25,000,000. Twende Digital, ln unaipata hii hela.
@chuchufplatnumz4888
Жыл бұрын
Hz Digital Platforms n long term investments mzeeee.
@moneythemes
Жыл бұрын
@@chuchufplatnumz4888 Long term investment katika mazingira yapi? Jay Z almost 70% ya muziki wake aliondoa huko baada ya kuweza kuwa na miundo mbinu, mara mia mngesema jamaa auze digital lakini kwa platform yake mwenyewe, si ajabu kaka haununui music unapita na free downloads za boomplay n.k ambazo payments zake ni ndogo, usifananishe wasanii wote na wasanii wenye mashabiki wengi na maandalizi kama Harmonize,Diamond n.k. Nikki atapandisha digital akishaweka sawa hesabu zake sawa
Hata ulaya wapo wasanii ambao hawapo kwny hizo platform zenu na wanafanya pow wanapiga pesa SIJASHANGAA KWA UNJU #LEGENDINTHEMAKING
@tusaradrusia9670
Жыл бұрын
Kama wapi?
@ibni_H2TL6r
Жыл бұрын
@@tusaradrusia9670 unazijua ulaya ngapi mwenzetu
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
@@ibni_H2TL6r mshamba uyo achanae
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
@@ibni_H2TL6r ajui hata nini kinaendelea kwa unju
@ibni_H2TL6r
Жыл бұрын
@@SaumuNinga-np5zb NIMEKUELEWA SANA UJUE😜😜
😂🤣😂😂😂😂😂😂
Ajatumia akili. Watu watu 25 watachanga buku buku watampatia mmoja ili anunue album yake then wao watatumiana amna alichoescape
@nikkimbishiunju2402
Жыл бұрын
Sasa nani hajatumia akili kati yangu na mafala 25 waliokosa kazi wakachanga buku buku yote kutaka bure?Wenzako wananunua album mpaka mara 10 ya Bei... Endelea kupenda bure UTAUPONZA!
@georgemagori1268
Жыл бұрын
Hiyo siyo kweli bro shabiki wa UNJU ni makini sana sivyo unavyodhani bro,,,,Nash Mcee anauza hivyo hvyo kama Unju ulishawai sikia analalamika bro nakuomba nunua album ya katiba Mpya iko vizuri bro,. Izo patiform kama mdundo Nikki alikuwepo alijitoa kwa sababu maslahi hamuna
@silvergold5855
Жыл бұрын
@@nikkimbishiunju2402 nia yako kuescape wezi wa kazi zako so nimejaribu kuonesha ata kwa utaratibu unaodhani utailinda biashara yako ungeufikiria mala mbili zaid kwani isijekuwa umemruka kikwete ukamkanyaga samia
@silvergold5855
Жыл бұрын
@@nikkimbishiunju2402 yote kwa yote biashara ni yako mzee endelea kufanya kilicho bora kwako. Nisamehe bure sitorudia kuandika kwenye mambo yako🙏
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
@@nikkimbishiunju2402 akili nyingi unjuu I'm ur fan lady
Duh!hakuna hizo mambo za mshabiki wa damu,mfumo huo watatumiana saana
Nikki sometimes anazngua sijui mshaur wake ni nan hapa ndo anapofel ukongwe bila akil utakula njugu dunia ikp speed na haitosimama hata ukigoma kutembea nayo
@richardmandia-ni1rp
Жыл бұрын
Mnazingua mtu ana Hussle zake za life ashawahi kukuomba mia yako, na ww unaeongea hivi unapesa ya kumpita Nikki mbishi
@ambroceharouna1612
11 ай бұрын
Kuma la mamako ww upeo wako unaingia mara mia Moja kwake
Unju
Unju
@ikokijuma-zv7wd
Жыл бұрын
Unju ur my model(teacher of full time) since before brodah, keep focusing en press more effortz