NIJUZE: NI KWELI ROBOT EUNICE LINAHATARISHA AJIRA ZA WATU AU KUSAIDIA KUTATUA UHABA WA WATAALAMU?

Document from Augustin Patrick

Пікірлер: 6

  • @oshimamsungu3294
    @oshimamsungu32942 ай бұрын

    Duuh mi hapa naona elimu za watu zitumike kufikiri namna ya kujiajiri tuu, watu waache kuwaza mawazo ya kuajiriwa

  • @AugustinPatrick-gt8ex

    @AugustinPatrick-gt8ex

    2 ай бұрын

    Pamoja

  • @christaoman8890
    @christaoman88902 ай бұрын

    Hata sivielewi kabisa hapo kazi yake ni nini huko ni kuchezea pesa za nchi tyuu😮

  • @AugustinPatrick-gt8ex

    @AugustinPatrick-gt8ex

    2 ай бұрын

    Nini kifanyike

  • @innocentkibwa3992
    @innocentkibwa39922 ай бұрын

    🤣😀😆Hapo lazima kaz zikosekane. Wat wanalilia kaz .ajab sana hiyo binadamu kukosa kaz then roboti ifanye kazi. Hiyo ni mbaya sana

  • @AugustinPatrick-gt8ex

    @AugustinPatrick-gt8ex

    2 ай бұрын

    Ushauri wako ni muhimu

Келесі