BINTI ATOA MACHOZI AKISIMULIA MAISHA ALIYOYAPITIA MPAKA KUWA DEREVA BAJAJI MKOANI GEITA
Жүктеу.....
Пікірлер: 187
@shailabushiri45782 жыл бұрын
Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu
@mkuluwaukae22212 жыл бұрын
Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika
@josephkulija2932 жыл бұрын
Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.
@aksharacosta4431
Жыл бұрын
Kama mm vile 😜
@user-uu6ei1ys3k
4 ай бұрын
Sanaaaaa
@nicholausmakundi26632 жыл бұрын
Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada
@Sarahsaid26482 жыл бұрын
Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha
@mariamali1887
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@halimahalima1488
Жыл бұрын
🤪🤪🤪
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
Swadakta
@shoshohamed1841
Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@uajeupe42992 жыл бұрын
Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema
@agnellapius81422 жыл бұрын
Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰
@jaypolmc18612 жыл бұрын
Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana
@NellyWaKidato2 жыл бұрын
Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika
@lilianwaflotina1288
2 жыл бұрын
hahaha
@jacksongeorge3964
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nanaritho6850
2 жыл бұрын
Kabisaaaa
@Sharifarajabudebe
2 жыл бұрын
😂😂kwan wa kwako hakutaji jamn watajeni waume zenu
@NellyWaKidato
2 жыл бұрын
@@Sharifarajabudebe aise sikumbuki ilikuwa lini kinitaja mbele za watu😀😂😂😂
@peruthyshideko2379Ай бұрын
Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my
@chamimdesa148 Жыл бұрын
Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up
@wellbrand3415 Жыл бұрын
Dada upo njema sana. Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako. 🔥🔥❤
@danielmakunganya6928 Жыл бұрын
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
@yahyachande3009 Жыл бұрын
Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia
@arafakiloli7492 жыл бұрын
In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.
MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema
@yumbujackson8692 жыл бұрын
Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali
@husseinyappi9330
2 жыл бұрын
Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana
@matildajonasmboya5320 Жыл бұрын
Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana
@ireneflorence2232 Жыл бұрын
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
@anzania3663
Жыл бұрын
Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa
@babaloisethan7010 Жыл бұрын
Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪
@yusrasalum2 жыл бұрын
Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍
@lucylucy36782 жыл бұрын
Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.
@faridaaloyce4330 Жыл бұрын
Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU
@zainabkazige73882 жыл бұрын
Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪
@pachamalota4455 Жыл бұрын
Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.
@abdrizackadanali5047 Жыл бұрын
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
💯
@richardbubani70702 жыл бұрын
Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...
@amockkalinga1520
Жыл бұрын
Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭
@sikudhanimoshi6967 Жыл бұрын
Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha
@josephatmathiasgalagalabuh786 Жыл бұрын
HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA
@fatumaibrahim8973 Жыл бұрын
Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️
@fabiankasu81382 жыл бұрын
Dada yuko vizur sana.
@super_boy_tz Жыл бұрын
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
@sheagraphics269
Жыл бұрын
Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣
@rubensaitoti68392 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akubariki
@florianhashimu13702 жыл бұрын
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
@aminah3346
2 жыл бұрын
Mim nimesha lizw san
@neemacharles5502
2 жыл бұрын
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
@aminah3346
2 жыл бұрын
@@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani
@aminah3346
2 жыл бұрын
@@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi
@khadijamohamedy4492
Жыл бұрын
@@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Hongera sanaa dada piga kz Mungu bado anampango nyie wacha kulia
@mwakwelisaid31522 жыл бұрын
Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan
@wiliminawiliams9384 Жыл бұрын
Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako
@angelkavishe52402 жыл бұрын
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi
@davidmagambo3001 Жыл бұрын
Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia
@rudhwanjumbe29702 жыл бұрын
Ongera sana sana my Dada
@msukuma12 жыл бұрын
Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭
@aishaomarry6996
2 жыл бұрын
Akiwa na michepuko si afadhali wanawafukuza kabisa wake zao
@msukuma1
2 жыл бұрын
@@aishaomarry6996 jaman 😭😭
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
Yani ni shiida sana
@jescajulius8023
Жыл бұрын
Imeisha hiyo haha
@jumarajab53162 жыл бұрын
pole sana pambana
@abdultandala6576 Жыл бұрын
Uyu dada anaakili sana 🥰
@petromsomba4523 Жыл бұрын
dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema
@ladysasty2 жыл бұрын
Hongelaa sana dada👏
@lgdnce83092 жыл бұрын
Hongera dada n'a ujasiri wako
@emmanueldaniel1781 Жыл бұрын
Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.
@thadeusmarkiminja22822 жыл бұрын
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
@ramadhaniadam5532 жыл бұрын
hongera sana unajitambua
@onemuzungu7291 Жыл бұрын
Hongeraaa sana dada and never give. Up
@stellah38442 жыл бұрын
Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.
@samwelhechei85372 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwapigania
@mtaalamwamambo20992 жыл бұрын
Big up kwa Muwe wa uyu dada👏
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
*u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*
@theresiamartin30082 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji
@mwinukafundibombanjombe2 жыл бұрын
Interested😘
@r14kgroup682 жыл бұрын
Pole na hongera sana
@robesongvictor Жыл бұрын
Hongera mwenyezi Mungu akutangulie
@mejakimaro27732 жыл бұрын
Love 💕.....
@mcmrtichaentertaimentgudi73312 жыл бұрын
Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa
@shameemrashid5219 Жыл бұрын
Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu
@geofreymaina3838 Жыл бұрын
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
@onlinemateustv1925 Жыл бұрын
Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh Wabarikiwe wazazi wako
@benjaminkapelah7664 Жыл бұрын
Interview nzuri Sana inspired
@veronicangwesa3273 Жыл бұрын
Hongera mdada
@euniceyalledy1745 Жыл бұрын
Waooooh anajieliwa sanaaa
@yahyamkone56012 жыл бұрын
Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana
@aminah3346
2 жыл бұрын
Hapn anabahati kapat mwanaume mwelewa wengine tumejaribu tumebak tunaumia tu
@bertinaafonsorapaz8345
Жыл бұрын
Kweli dada
@pendokissatu937 Жыл бұрын
Anajua Kujielezeaa sanaaa
@lukrensiamlelwa3318
Жыл бұрын
Sanaaa anajua kujielezaa munoo
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Ndo maisha yalivyo
@veronicamayenga9531 Жыл бұрын
Pole
@jrsaid42702 жыл бұрын
Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa
@marcondunguru6182 жыл бұрын
Safi sana we nimke bora
@sarhiabenson2683 Жыл бұрын
Nice 👍
@muhambwetvonline2 жыл бұрын
Wife material ndo huyu sasa
@josephmarwa7212
2 жыл бұрын
Kwakweli
@devotafrances1876
Жыл бұрын
Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima
@janethmwanda357
Жыл бұрын
Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko
@namsamson3443 Жыл бұрын
Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana
@timothkalega1333 Жыл бұрын
Huyu ndo Super women
@michaelselis8531 Жыл бұрын
Mungu ni mwema mamangu
@linamacha76862 жыл бұрын
👏👏👏👏💪💪💪
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
*its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*
@mwajumakudema5840 Жыл бұрын
Mtangazaji fanya juu chini tumpate na mume wa huyu dada🤣
@anethjoseph4542 Жыл бұрын
Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo
@enickosanga49212 жыл бұрын
Vzr pambana
@emes602 Жыл бұрын
Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana
@denniskado39902 жыл бұрын
Safii
@rashidyally87152 жыл бұрын
Basi usilie hizo ndizo changamoto za maisha binadamu walio wengi ni wapumbavu Sana na endapo utawasikiliza utakata tamaa we kaza mungu atakufungulia utafanikiwa zaidi na utaweka histolia kubwa kwenye maisha yako
@johnmasaki2343
2 жыл бұрын
L
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
Hongera my dear kwa kufika hatua kama iyo na pia ongera ww na mumeo lkn wanaume sio wazuri mpz unaangaika nae lkn mkishafanikiwa mume anakusariti mchana kweupe..mm nilikua kama ww maisha ya kumuamin mwanaume lkn sasaivi nimeshakataa tamaa kuhusu hao wanaume siwataki hata kuwaona
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 hiyo wewe na huyo mtu ulie mpata Ila sio wanaume wote tuko namna hiyo
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 amna lolote wanaume wote vigeu vigeu tu mm wala bado ujanishawishi nataman ningekua napita kuhamasisha kuhusu swala mwanamke kuunda mali na mwanaume🤮🤮🤮
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 ushafeli wewe sema umekutana na mtu asiejielew kwenye maisha au wewe ulikua jeli jeli sana
@jamesobedy39402 жыл бұрын
Milima na mabonde 😢
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Marehemu tatizo. Sisi sote ni maiti .Nani anabisha yeye atakuwa mlinzi wa Dunia .Mbona Mimi Siyoni tatizo Sisi sote maiti kubali ukatae.
@naimanuran2663 Жыл бұрын
SoMo kubwa sn hapa🙌🙌
@kiwangodaniel13022 жыл бұрын
Safi Sana dada. Good
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!! Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia
Пікірлер: 187
Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu
Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika
Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲
Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.
@aksharacosta4431
Жыл бұрын
Kama mm vile 😜
@user-uu6ei1ys3k
4 ай бұрын
Sanaaaaa
Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada
Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha
@mariamali1887
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@halimahalima1488
Жыл бұрын
🤪🤪🤪
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
Swadakta
@shoshohamed1841
Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema
Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰
Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana
Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika
@lilianwaflotina1288
2 жыл бұрын
hahaha
@jacksongeorge3964
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nanaritho6850
2 жыл бұрын
Kabisaaaa
@Sharifarajabudebe
2 жыл бұрын
😂😂kwan wa kwako hakutaji jamn watajeni waume zenu
@NellyWaKidato
2 жыл бұрын
@@Sharifarajabudebe aise sikumbuki ilikuwa lini kinitaja mbele za watu😀😂😂😂
Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada
Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my
Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up
Dada upo njema sana. Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako. 🔥🔥❤
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia
In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.
Mwanaume ukifanikiwa hapa jeuri ongera mwanamke mwenzangu.
Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe
MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema
Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia
Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali
@husseinyappi9330
2 жыл бұрын
Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana
Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
@anzania3663
Жыл бұрын
Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa
Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪
Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍
Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.
Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU
Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪
Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
💯
Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa
Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...
@amockkalinga1520
Жыл бұрын
Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭
Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha
HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA
Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️
Dada yuko vizur sana.
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
@sheagraphics269
Жыл бұрын
Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣
Hongera sana Mungu akubariki
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
@aminah3346
2 жыл бұрын
Mim nimesha lizw san
@neemacharles5502
2 жыл бұрын
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
@aminah3346
2 жыл бұрын
@@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani
@aminah3346
2 жыл бұрын
@@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi
@khadijamohamedy4492
Жыл бұрын
@@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san
Hongera sanaa dada piga kz Mungu bado anampango nyie wacha kulia
Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan
Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi
Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia
Ongera sana sana my Dada
Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭
@aishaomarry6996
2 жыл бұрын
Akiwa na michepuko si afadhali wanawafukuza kabisa wake zao
@msukuma1
2 жыл бұрын
@@aishaomarry6996 jaman 😭😭
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
Yani ni shiida sana
@jescajulius8023
Жыл бұрын
Imeisha hiyo haha
pole sana pambana
Uyu dada anaakili sana 🥰
dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema
Hongelaa sana dada👏
Hongera dada n'a ujasiri wako
Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
hongera sana unajitambua
Hongeraaa sana dada and never give. Up
Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.
Mungu aendelee kuwapigania
Big up kwa Muwe wa uyu dada👏
*u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*
Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana
Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji
Interested😘
Pole na hongera sana
Hongera mwenyezi Mungu akutangulie
Love 💕.....
Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa
Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh Wabarikiwe wazazi wako
Interview nzuri Sana inspired
Hongera mdada
Waooooh anajieliwa sanaaa
Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana
@aminah3346
2 жыл бұрын
Hapn anabahati kapat mwanaume mwelewa wengine tumejaribu tumebak tunaumia tu
@bertinaafonsorapaz8345
Жыл бұрын
Kweli dada
Anajua Kujielezeaa sanaaa
@lukrensiamlelwa3318
Жыл бұрын
Sanaaa anajua kujielezaa munoo
Ndo maisha yalivyo
Pole
Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa
Safi sana we nimke bora
Nice 👍
Wife material ndo huyu sasa
@josephmarwa7212
2 жыл бұрын
Kwakweli
@devotafrances1876
Жыл бұрын
Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima
@janethmwanda357
Жыл бұрын
Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko
Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana
Huyu ndo Super women
Mungu ni mwema mamangu
👏👏👏👏💪💪💪
*its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*
Mtangazaji fanya juu chini tumpate na mume wa huyu dada🤣
Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo
Vzr pambana
Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana
Safii
Basi usilie hizo ndizo changamoto za maisha binadamu walio wengi ni wapumbavu Sana na endapo utawasikiliza utakata tamaa we kaza mungu atakufungulia utafanikiwa zaidi na utaweka histolia kubwa kwenye maisha yako
@johnmasaki2343
2 жыл бұрын
L
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
Hongera my dear kwa kufika hatua kama iyo na pia ongera ww na mumeo lkn wanaume sio wazuri mpz unaangaika nae lkn mkishafanikiwa mume anakusariti mchana kweupe..mm nilikua kama ww maisha ya kumuamin mwanaume lkn sasaivi nimeshakataa tamaa kuhusu hao wanaume siwataki hata kuwaona
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 hiyo wewe na huyo mtu ulie mpata Ila sio wanaume wote tuko namna hiyo
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 amna lolote wanaume wote vigeu vigeu tu mm wala bado ujanishawishi nataman ningekua napita kuhamasisha kuhusu swala mwanamke kuunda mali na mwanaume🤮🤮🤮
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 ushafeli wewe sema umekutana na mtu asiejielew kwenye maisha au wewe ulikua jeli jeli sana
Milima na mabonde 😢
Marehemu tatizo. Sisi sote ni maiti .Nani anabisha yeye atakuwa mlinzi wa Dunia .Mbona Mimi Siyoni tatizo Sisi sote maiti kubali ukatae.
SoMo kubwa sn hapa🙌🙌
Safi Sana dada. Good
Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!! Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia