Nijue - Weusi x Christian Bella (Official Video)
Музыка
Best Tanzania HipHop Group WEUSI and King of Best Melodies CHRISTIAN BELLA present their Collabo titled #Nijue
Audio by Nahreel (The Industry)
Video by Hanscana,Shot in Dar Es Salaam Tanzania.
Joh Makini on Instagram / johmakinitz
Nikki wa Pili on Instagram / nikkwapili
G nako on Instagram / gnakowarawara
Christian Bella on Instagram / bellachristian1
Пікірлер: 333
Huu ni mwaka 2024 ila still hii ngoma sauti iko juu. Who is there 2099
Eti utatunza penzi langu ww,aiseee nan mwingine anaupenda huu wimbo kama meme gonga like
@samsonmalata723
5 ай бұрын
❤
Mchumba nimekupa kila kitu mpaka nahisi nakudai🎶🎶🎶🎼
Nikki wa 2 - Bella 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Hii ngoma ni motooo yaani fireee
As a Kenyan, I gotta tell you the truth man...I gotta tell you, the damn truth. When it comes to Hip Hop, real lyrical no bullshit hip hop, you gotta go Bongo Hip Hop. Long live Bongo Hip Hop!
@justdave.21
2 жыл бұрын
Facts ✊🏿💯
cjawai kudis ngoma yeyote akiwemo chrisbella...hatari saana ngoma hiii ni kaleee
Kama umeipenda CHORUS by Bella gonga like
Whose here 2024
Who else 2024❤❤❤❤ like here
sikio langu, linahitaji ile OG ndio mpango mzima. kazi nzuri
jamaa wanajua sana hawa. hutonirudisha guantanamle bay.. maumivu ya mapenzi it'll never anyday...
Naupenda sana huu wimbo daah nataman na me nijue😔 mapenz yanauma jaman
Video nikali sema nini.....ile NIJUE audio ilikuaga nimwisho wa matatizo🙌🙌🔥🔥🔥🔥🙏
Kama umemkubali Nikk wa II gonga like, he is my best vocalist!!
Christian BellA is an amazing artiste and I love all his songs, but this song, that chorus, omg, its not fair this song deserves 1BILLION VIEWS!!!
@rosemarykagine4685
2 жыл бұрын
Nampenda sanaaaaa
Sichoki kusikiliza jmn ❤️❤️ love you G
Dah Bella huyu daah ... Hatari sana jamaa
A city is tha building once again
Joh makini hua anaua kama kawaida
weusi na Bella gonga like hapa from+254
@innocentinnocentmpole3276
5 жыл бұрын
Ngoma Kali xaana Bella x weusi keep up
@swaysson7822
5 жыл бұрын
Bella upo juuuuuuuu
beat ya kwanza ilkuwa inamcndkza Bella kwa hisia Kali sana hata verse ya gnako ya sasa kachana kawaida ukimlinganisha na yule gnako wa beat ya kwanza kwenye beat hiki Niki ndo kafit sanaaaaa yaaaaan humu Bella zle hisia atuzpatiiiiii
Weusi & Nahreel 🙌🙌🙌
KENYANS leave alike if you're in the building
Any one 2024
Christian Bella Kama kawa. Lazima uweke replay
still revisiting this masterpiece
2023 still sound like new banger naombeni like kwa g nako🔥
Kama umewakubali weusi x bella gonga like yako hapa👇
@januarykomba70
6 жыл бұрын
tisha sana m2 wa bolingo na ngai
@buyeyenyanza3122
5 жыл бұрын
Og
@jumambarouk4166
5 жыл бұрын
Sawa
Nachora nyumba sichori tatuuu.....
Ngoma Kali sana #Tanzania_kwanza
@wamburaogunya2251
6 жыл бұрын
AyoTv natamani na mimi nijue wewe dah ni 🔥🔥🔥🔥
@yeasrmsafi7152
6 жыл бұрын
mmhh hio Tanzania kwanza kwema
@AHMEDABDALLAH-jf5dv
6 жыл бұрын
Tz kwanza big up
Hanscana nowma sana.. hizo picha dah!
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 nyimbo nzuriiiiiiiii. 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
Weusi damu yangu kila ngoma hit
Kaliiii xana 🔥🔥🔥🔥🔥
2021...still one of my favourites
Natamani nami nijue
Biiiiiigggggg song.
Nikki Wa Pili Always Does It Right.. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bmenwaka8414
6 жыл бұрын
BiG up nikki sema ngoma ya kawaida sana sio weusi nnaowajua
nafurahia sana napoona mafundi wa muziki kawa hawa , nimeipenda hii ngoma
Weusi tunamshirikisha Bella , producer say no more..
Video queen mbna mzr sana
Kaliii 🔥🔥🔥
kusema kweli G nako ni mtu ambaye nikimsikiliza na enjoy anaua kwenye chorus pia anayo star look hongereni sana weusi ila huyu bela apunguze njaa hiyo chorus daah kaimba mpaka yani tamu sana fundi bela bado ananjaa ya mziki salute kwa kazi nzuri mlioweza kumantain licha ilishavuja ila imekuwa kama mpya
Sanaa imesima! Joh makini is dope always. Mimi natamani wasanii waweke nguvu kwenye sanaa wafocus resources zao kutengeneza sanaaa inayogusa maisha halisi ya binadamu nadhani sanaa inabidi iwe ivyo kwa mfano bob marley, fella celine dion, franko, wu tang au krs one bado wako relevant kwa sababu waliimba sanaa ya watu na tena walijali sanaa zaidi kuliku publicity, money sijuii starehe. Wasanii mkaae chini chukuee muda kuitengeneza sanaaa imbeni maisha yenu halisi lazima yatakuwa relevant tu coz we are all humans we share the same values & probably same morals. Fuck dogo janja a ngarenaro lip stick man watu wa chuga ni abornation to our culture wanaimba uuupuzi kwa excuse ya kufanya biashara au eti ndo sanaaa. Bullshits ukiwa na sanaa nzuri uihatji sijuui kiki sijuii nini muulize aslay au my brother joh. By the way joh we need album we want the real shit though kama kina kdot, joyner lucas, Jermaine i know you are capable you got give us the real my nigga even Jigga does real staff. He is your idol right? Ok peace.
Hanscana popote ulipo hongera sana kwa video kali
kwa kweli nimeikubali ngoma, sipati picha kama wasafi na weusi na wangekua kundi moja, si balaa jamani hiloo
Zuri ila ile version ya kwanza ndio ilikua Kali zaidi, much respect brothers
usiniweke rohoo juu hapa mjini noma sana
brand kubwa si kitotoooooo.......much resspizzy weusi x nah real mkono fundi
never disappoint 🔥 🔥 🔥
uko juu
Much love from kenya...issa hit.
,🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimeielewa sana Ngoja Nitafute wakumuuliza kama atalitunza nikishampata #Nijue nimlete #KASKAZINI_kwetu
Bella anajua Sana ngoma Kali kinoma Mia mia
the intellectual rapper@nikki , really you killed it.
Nimependa kazi Wakaliiii Weusi Bella kaua sana yani moto G nako. Joh.makn. Nikki wapili bravo
Duuh!! Nikali kinouma 👏👏utatuza penz langu, natamaani nijuee #Bella nouma 👏👏👏👏
G nako kweli korabo zishakuwa nyingi kbs
Nikki wa pili you killed it😚😚😚😚
Ngoma kali sana, Video safi sana, Mrembo mkali sana nani Mtanzania. safi sana machalii zangu wa R pamoja na Bella. This is a vitamin Music.
m a fan of mziki mzuri wcb for life but this is something else
I love this song so deeply
Kuna nyimbo ukisikiliza unasaau shida zako🎶🎶🎶
Hatimae kilio changu mmekisikia kuhusu hii ngomaa niliona kama mmeipotezea hivi afu ni bonge la pin....alwayz nina amini ktk ubunifu mmeuwa weuasi japo mmechubua flows..😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌 by Jay Ramaa
Nikki mweusi ni sheaaadah
#WeusiBella Combination ya Kinyama #Nijue vibe ya kinoma Kenya254 Tumekubali "Nachora nyumba sichori Tattoo"
Lucy ...siri za familia ... mwaaaah
Dah aise imekaa poa sanaa hyo ngm
bonge la hit hii
Best vocal from Congo
JAMAN GONGA LIKE KAMA.. BADO UNAICHEKI HILII NGOMAAAA..... MWAKAAA.. 2020
SASA NDIO NAANZA KUELEWA KWANINI DIAMOND HUWA ANACHAGUA WATU WAKUINGIA WCB MAANA KUNAWENGINE HAPA MKI INGIA WCB MNAWEZA SABABISHA DIAMOND AKA ACHA KUIMBA NA KUWA SHABIKI MAANA DUH
Kenyan number One fun
Weuh...Hii inatisha ...Ngoma kali mpaka iko Pon #Replay Hii ndio tumekuwa tunagoja ...#KaziSafi #ThatsMyBeat #FIREEEEEE
Version ya kwanza ni kali zaidi..
ngoma kaliiiii weuci ni xhidaaaaa km we mchuga likeeeeee
Ngoma mbovu mamae bella kajalibu kuiweka sawa ila ngoma mbovu
Bella umepita vizuri humo kama kawahida yako. Tu es la seul personne qui merite le cadoux
Duuu hatari ngoma kali jamani big up 👍 👍
@khalfatr6161
6 жыл бұрын
Wema Kalam you
Nishidaaaa
Kaliiiiiiiiiiiiii belaaa tisha sanaaa
Fear of God
Nahreel kali sana za bella an weusi
Nahreel moto
Nizuriii zaidi xo..good job
hii ngoma hatari sana naipenda mnoooooo
Excellent hii,,,warawara show the way,joh cultivate and nikki harvest the whole thing,bella yo genius
😍😍
Kali kinoma!!!!!!
Nyimbo iko poa pamoja Sana mzee baba John makini...
Noma sana 🔥🔥🔥
Joh nomer sanah
xanaaaa fundiìiii
Mm ndo wa kwanza mbishi abishe sasa. Angusha like hapa kama unakubali Mm ndo wakwanza
@tiddyjohn2455
6 жыл бұрын
Hii nyimbo nlickiaga mwaka 2016 alaf aliimba kote Joh....hii version imekua poa zaid
Who is watching 2023?🎉😅
Du nimeisiliza hii ngoma zaidi ya mara 50 hadi sasa. Christian Bella anajuwa kutumia sauti na mpangilio wa lyrics zake.
weusi on Top
Ngoma kali, kazi mzuri!!
hii ngoma ni sisha ni moto 🔥🔥 kama umeikubali like twende sawa
@rizikisalim2111
6 жыл бұрын
Ngoma kal hyo