Tommy Flavour ft Alikiba - OMUKWANO (Official Music Video)
Музыка
Music video by Tommy Flavour featuring Alikiba Performing OMUKWANO (Official Release Video) The Music Video was shot in Dar es Salaam Tanzania, Directed by Jordan Hoechlin & Rockshot.
Stream/Download:linktr.ee/tommyflavour
Get"Omukwano"►fanlink.to/Omukwano
Listen to Tommy Flavour on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/artist/tommyfla...
Apple Music: / tommy-flavour
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
KZread: / @tommyflavourtz
Spotify:open.spotify.com/artist/71Jz2...
Written & Performed by: Tommy Flavour & Alikiba
+For More Information Booking Tommy Flavour:
Contact: emailtommyflavour@gmail.com
Connect Tommy Flavour on Social media:
Instagram: / tommyflavour
Twitter: / tommyflavour
Facebook: / iamtommyflavour
TiKTok:vm.tiktok.com/ZS5KpLDp/
Connect Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Audiomack:audiomack.com/artist/alikiba
Twitter: / officialalikiba
TikTok:vm.tiktok.com/ZSmuTQ2W/
©2020 Kings Music Records.All Rights Reserved.
#TommyFlavour #Alikiba #Omukwano
Пікірлер: 7 800
1:21 ndipo halipo ingia mfalme wawa falme kingkiba gonga like hapo chini kama wewe team kiba wa damu #omukwano
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Yeah
Nani anaamini hii nyimbo ni tam kama dodo gonga like kama 500
@farymatanda6752
4 жыл бұрын
Plz rudia tufikishe laki kabla siku haijaisha
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba ubonyeze picha yangu kisha Subscribe ❤💓❤
Wanaoangalia na kusikiliza 2024 tujuane
@stephen_MuthuoMukono
5 ай бұрын
Tuko ndani
@georgekenga
4 ай бұрын
king mi ntakupa dadangu,,, period. 😂😂😂😂😂 huwezekani mkubwa mfalme na heshima zake kimziki waskiliza hadi na mamako mzazi bila kesi,,, sio ile ngo'mbe ingine eti zombie nkt😂😂😂😂😂😂
@jacklynvicent5424
4 ай бұрын
@user-wr7io8lh6j
3 ай бұрын
Tuko babu tuko
@JerwinJosephat
2 ай бұрын
Nipo hapa
2023 now ila wimbo kama jana🔥🔥🔥 kama bado unachek huu wimbo gonga like twende pamoja
Kings member tuishambulieni ili iweze kutrend haraka kma upo real team kiba piah nipe like hapa
@fredrickrweumbiza6216
4 жыл бұрын
Km inawezekna ifike one million for 1 day
@aronaron1950
4 жыл бұрын
Kazi nzuri
Acha iinyimbo nimeiludia ma tano nawewe kama umelundilia nakabili gonga like twende sawa
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
Mala tano tu jitaidi azidi bwana
@justinadamiane3496
4 жыл бұрын
Mie siichoki
Hii nyimbo kali san mnaozd kuangalia niachien like jaman
2024 tumwage likes
Kama hujasikia matusi mwanzo mwisho na ukaelewa gonga like tujuane
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Cjackia
@johanesikalumuna8824
4 жыл бұрын
Kubal san. Tommy
@nahyialetomia9284
4 жыл бұрын
Nimeze mzima kama chatu
@jut1161
4 жыл бұрын
@@nahyialetomia9284 sadakta
@yohanamilambo7037
4 жыл бұрын
Mzima mzima Kama chatu nimeze baby unajua maana yake au umeona Ni mafumbo sikiliza vizuri
Omukwano ni mzuri sanaaa ashia like kwa msani mpaya wa kings music
big love from kenya kama umerudia hii wimbo mara kathaa acha like apa
"OMUKWANO GWO " Haha Uganda🇺🇬🇺🇬 muko wapi 2021 UG where are u team kiba Tuwe pamoja
@kangavvedenis2916
3 жыл бұрын
Here we are
@ramarkayug8534
3 жыл бұрын
Thanks
@nanseerabushirah2776
2 күн бұрын
Here😊
Tommy chondechonde naww ucjeukaondoka kings music, anaekubaliana na mm gonga like.
@Chibanza
4 жыл бұрын
Nice dope Man #Tommy......I like your creativity.
Waliosepa wamesepa tunasonga mbele na Omukwano Like twende sawa na 👑kiba💥💥💥💥💥
@mkijomutv9633
4 жыл бұрын
Omukwano
@dalilaissa7207
4 жыл бұрын
Hatari kabisa
@giftkyando602
4 жыл бұрын
@@mkijomutv9633 💥💥💥unawaka
@giftkyando602
4 жыл бұрын
@@dalilaissa7207 mpak wakae
Hivi umeshushwa maana uko bie bomba Na nimesitushwa na utamu peremende, blown out Mapenzi kikubwa unayonimwagia Ni raha sana mama mama Na leo nikifa nibaki jirudia Ni take over, ni take over Your mind eeh Unanipress, unanipa raha no stress Kukuvesha shenga sogezi Tuombe Mungu abless Beiby you are princess Nikoshe smile on your face Na tuombe kwa Mungu Nizikwe na wewe daima Omukwano o, naenjoy (Aaah aah aaah) Penzi lako niko hoi (Aaah aah aaah) Omukwano o, naenjoy (Aaah aah aaah) Penzi lako niko hoi (Aaah aah aaah) Omukwano oo, omukwamo o Omukwano oo, omukwamo o Mzima mzima kama chatu nimeze beiby Nichange kama pesa ya patu nimake make Oo sinyora (Sinyora ee) Nitakuoa, nitakuoa Usijali vile vimaskatu we uko na mimi Oooh Unanipress, unanipa raha no stress Kukuvesha shenga sogezi Tuombe Mungu abless Beiby you are princess Nikoshe smile on your face Na tuombe kwa Mungu Nizikwe na wewe daima Omukwano o, naenjoy (Aaah aah aaah) Penzi lako niko hoi (Aaah aah aaah) Omukwano o, naenjoy (Aaah aah aaah) Penzi lako niko hoi (Aaah aah aaah) Omukwano oo, omukwamo o Omukwano oo, omukwamo o Nitakupenda nitakulinda, mi nawe Ooh my baby mimi nawe Cause I got you Nitakupenda nitakulinda, mi nawe O my mama mama mama iyeee
@user-et3px5wd2l
10 ай бұрын
Noma
My fiancé influenced me on listening to Tanzanian music. I am taken. Love from South Africa 🇿🇦
@gladysoneya1594
7 ай бұрын
❤woow so happy for you
@mohammedmhina3973
6 ай бұрын
Listen to Bongo - piano
Leo nimechlewa jmn ila naomba ata likes za mziki mzuri. N mm Kings music damu like zenu mucnibanie.
@justinadamiane3496
4 жыл бұрын
ingie trending hii nyimbo
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Utapata
@halunamaneno9986
4 жыл бұрын
Tuwe wamoja tutafka jaman
@halunamaneno9986
4 жыл бұрын
Tuwe wamoja tutafka jaman
@hidayaking3383
4 жыл бұрын
Umeipata ila tusisahau kuviwes na dodo piya tusisahau konde anataka aishushe akae namba moja
Hivi ngoma kali sana sijawahi ona kitu kitamu sana kutoka kwa Tommy young 2 king x king kiba kama umeelewa ngoma hii like apo down kidogo ukutuki view DODO bila kusahau UMUKWANO like love team king kiba
@josephineilomo5750
4 жыл бұрын
Wiz Kiba yaaah
I'm from Uganda 🇺🇬 🇺🇬🇺🇬 , I was convincing with my Tanzanian friend and told me about a luganda titled song from. Tz. ,🙏🙏🙏 Good song waw 💪💪💪
Ali kiba killed it...very soothing jus cant get enuf
Kam unakubali hii ngoma Lazima iingie Trending Gonga like Za kutosha Na Kama Unakubali King misic ni chuo Gonga like kama zote...
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Kesho tuu asubuhii
@halunamaneno9986
4 жыл бұрын
Jamani timu kiba tujitaidi Sana Kama kwenye dodo tusilale
@paschalkashinje348
4 жыл бұрын
sana king
Tuliompokea Tommy flavour kwa mikono miwili gonga? Like
@chrisfelix3174
4 жыл бұрын
Elisha Deo 🔥🔥
@fingokidamu1885
4 жыл бұрын
Dah aise wasan ndo kama hao sasa sana tommy karbu kwa mikono yote
@jennajenna4082
4 жыл бұрын
Miss buza au
@pizzaz4333
4 жыл бұрын
Namfeel kabisa yaani
@halunamaneno9986
4 жыл бұрын
Safi sana
I am Congolese but I love tanzanian music especially alikiba🇨🇩🇨🇩🇹🇿💪
Mapenzi kikubwa nimwagie 💓💓🔥🔥🔥🔥🔥
Kuna mafans wa Tommy na Ali kiba the 👑 of bongo flavour tujuane kwenye ngoma ya umukwano #Tommy #kiba the 👑
@4realonlinetv169
4 жыл бұрын
Tommy
@jumapandu6092
4 жыл бұрын
Jitahid brooo utakuwa
Leo nahamia tem kiba like hapa mnipe moyo
@husseinheri455
4 жыл бұрын
phlpoe stephany karibu kaka😍
@philipoluzege3200
4 жыл бұрын
Asantee sana kwa ukalimu wenu
@hasnaa8868
4 жыл бұрын
karibu
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
Karibu sanaaaaaa kwenye timu ya dunia king music 👑👑👑👑👑👑
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Karibu snaaaa
Who else is here after listening the song TAMBA in the ONLY ONE KING ALBUM 👍👍💯💯
It's 2023 but the song is still the hit🎯❤️🇿🇲
Goma lenyewe tu linanitosha izo like ata nisipate fresh💃💃👑🎶🎶
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Daaaaah hahaahaa
Kama umeiyelewa hii ngoma usipite bila kugonga like kama wewe kweli Team Mziki Mzuri
@allyk5947
4 жыл бұрын
Bonge ra ngomaaaa uuuuuuuuuuuuu yatariiiiiiiii
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Imeeleweka sanaaa
@ramasimba5665
4 жыл бұрын
@@abeidmayanga809 mambo ya 2020 hayo
@ramasimba5665
4 жыл бұрын
@@allyk5947 hatari inayokufanya uwe salama
Tunao play ngoma hii mwez huu wa 12 gonga like twend sawa,king music for life
Nizikwe na wew daima omkwano goo naenjoy penzi lakoo 💥💥💥
Jaman tulipandishe Ili chupa Kama dodo mnafel wap like Apo dauka twende dawa yaaaan hatuchijichinji tuna chinjaaaaaqqaaaaaaaaaaaa kiba na tommy naomben like zenu Apo kwa dauka wakubwa.
@maulidylidy8856
4 жыл бұрын
Aku off sehemu yaku download...but do nt worry let enjoy good music
@abasifundi3129
4 жыл бұрын
Good
@eshimendstephen5182
4 жыл бұрын
Yaani watu wasipoletewa ngoma wanalalamika sasa ndo nn ili nyimbo toka Jana haina hata views laki mbili kweli ebu tuiview Mara nyinginyingi jmn
@femexpress7857
4 жыл бұрын
@@eshimendstephen5182 Tafadhari subscribe KZread channel hii kwa habari na matukio mbali mbali
@femexpress7857
4 жыл бұрын
@@abasifundi3129 Tafadhari subscribe KZread channel hii kwa habari na matukio mbali mbali
Dondosha like Apo dauka Kama umekubal Kua tommy n nafas ya zile chawa mbil zilizo tu salit naona wanajitaid Ku dslike lakin hawatoboi
@4realonlinetv169
4 жыл бұрын
Like king
@maskgirls1048
4 жыл бұрын
Angalia kwa sekunde 40,,,then toka,rudi search jina la wimbo uview tena
@josephineilomo5750
4 жыл бұрын
kassim ramadhani na awatoboi qwl an
@josephineilomo5750
4 жыл бұрын
kassim ramadhani true
Hii ni moja kati ya wimbo zote Kali na Bora sn za bongo
This song I'm favorite everyday tuna subili albam kaza msuli kaka
Kama ww ni king music damu like hapa
*jaman japo nimechelewa hata like100 zinatosha kwa mafundi hawa wawili msiponipa najinyong*
@halunamaneno9986
4 жыл бұрын
Pole
@jumashomari2796
4 жыл бұрын
Faida Misalaba bonge la ngoma
@yusuphswai9703
4 жыл бұрын
Hahahahaha 💘👊👊
@fabolojaslan6701
4 жыл бұрын
Nc very good
@bauwizo1487
4 жыл бұрын
hahahahah huwahi
From united state of America salute alikiba and young king 👑 tommy flavor
Dah bonge la ngoma plus kichupa heshima kwako tommy flavour hii ngoma uchoki kusikiliza
KINGIIIIIIIIIIIIIIIII ALIKIBA KAKA HAKUNA MFANO WAKO UMEONESHA UKUBWA WAKO SIO MCHEZO
@mahodanga2319
4 жыл бұрын
Mimi niliangalia mpaka 1gb umekata king sifa kwako
@hidayaking3383
4 жыл бұрын
Yeebaba
kama umeona King kiba kasheki kidogo weka likes yako tuone
@watchme5678
4 жыл бұрын
Noma sana
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
Yeeeeeeababahhhh
Amber Ray led me here,I so much love this song....my Kenyan people show some love😍🥰
I've ever tired to listen and watch this video 🇨🇩🙏 more respect
Vigagula watapata tabu sana gonga like 1M hapa
@hasnaa8868
4 жыл бұрын
🤭🤭🤭😂😂😂😂😂😂
@festotairo9608
4 жыл бұрын
Hasnaa 88 nomaa
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
Sanaaaaaa nahisi Leo wanaumwa
@issaisa2875
4 жыл бұрын
Hatari na nusu
@soccersantimaa5535
4 жыл бұрын
Hili ni jiwe aisee...napenda holi dude we go...tommy bro
Jaman King music sjawah kupata like zenu mnipe ata like 10
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
Usijali ushapata 😉😉
@bigshaqkasase8827
4 жыл бұрын
Thanks
Niko hapa 2024....❤❤❤❤❤napenda mziki huu saaana ..kenya twawapenda sana
And it's when am learning about this song today 🥺🥺❤️❤️ 🤦🤦as an Ali kiba fan,it's a shame
Jamani nipeni like za king kiba na Tommy flavour kama umebambuk na hii ngoma Msipobopa naugua COVID 19 CORONA like 10 tu
@suhailpasha5621
4 жыл бұрын
Nyimbo nzur sana hatar
@SwahiliAmbasador954
4 жыл бұрын
@@suhailpasha5621 nikali sana hii ngoma yan
This is really music, JAMAN KM UNAKUBALIANA NAMM HUYU MTOTO NIBARA KULIKO WALIOTOKA EBUFANYA KULIKE TUJUANE
@wemaali8208
4 жыл бұрын
Tena na nusu
@edibilymuhigo527
4 жыл бұрын
Kabisaa
@balkisidaniel4969
4 жыл бұрын
Kiba nae kampa sana shavu mdogo wake ,,,,ves kali zote video ndio useseme
@benjamininyambaso5041
4 жыл бұрын
binadamu bhanaa shikamoni🤣🤣
@hamphureymamtoni4318
4 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa
Yani niliskia hii wimbo pahali #nimetafuta hadi nimepata,🔥🔥🔥🔥good music
King kiba jameni andaa collabo na otile brown...I can't imagine vile itatesa😍😍😍
King kiba kuna back vocals nasikia Kwa mbaali Nouma halafu Huyu tommy kaja kivyake namuona mbali sana kama unakubalia nami like
Kama kawa team KINGS MUSIC... hakikisha una view as much as possible... Usisahau ku like hapo juu... Lakini pia WEKA comments hata million kama unaweza ili ngoma iwe tending 🔥🔥
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Tutafanyaivo
@watchme5678
4 жыл бұрын
Pamoja
Hii ni moja Kati ya wimbo Moto Moto za Africa
King 👑 kiba is the best Tanzania
Kama umeona range rover ya ommy gonga like
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Umetujuza
hivi jamani mnaniacha ndugu yenu sipati ata like 5 duh watanzaniaaa acheni roho mbaya
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Hahahaaaa
@halunamaneno9986
4 жыл бұрын
Tunaokuona
@mrluckymbeyaa619
4 жыл бұрын
Pmoja
Best bongo song forever ♾️♾️♾️♾️♾️
Aww this song tho❤️❤️
Mziki mzuri kama utam Bas hii ndo asari me nasemaga kuna wanamziki nawaburudishaji ambao ni wakinafulani ila kam unaakili timamu kama zangu uwez shindwa kuwaskiliza haw wanasema wasanii nikioo cha jamii BA's ndo hawa sio wale madesa kwavile tunapenda magagura tutaangukia pua one day naitaj like kam wew timu king tu kama sio pita kam unachungulia tu.
Yebaba gonga like kama ume kubaliana na ngoma moya kutoka mtoto mpya wa king’s music na yeye kwa jina wanamuita young king 🤴 Atari kbx
@josephineilomo5750
4 жыл бұрын
Young king Baddmankiller big up bro
@aneliusbuguzi9598
4 жыл бұрын
Ngonga rnk wana kba yeeebabaaaaa
I always tell artist in South Sudan to sing music not to run music...my fellow Sudanese this is what we call music for century
@Mazoea
4 ай бұрын
Welcome to Tanzania
Awwwwww 🔥🔥🔥 who's here This Feb
kama umeonda dinga la Ommy Dimpoz nipe like
@josephineilomo5750
4 жыл бұрын
Salim Dogo Rasta Ndo lenyew an
Hii song inaua virus vya corona kula ukisikiliza hizi voices nipen like za kiba na tommy kama unakubaliana na mimi
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Hahahaaa
@elesaugustino2838
4 жыл бұрын
Bonge la nyimbo
@michaelsikapundwa4955
8 ай бұрын
kiba ukimshilikisha majanga😮
@user-rt6yl5xv1u
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nainjoi kusikiliza mziki mpya kila 👍going
My favorite song of all time ❤️❤️❤️
Goma hatari sana ntashngaa kama sitapata like hizo
Leo kazi yangu nikuwa like nyie wote mulie commentait kwa hio nyimbo tamu kama asali😍🥰 hata siwamlize kuwa like nitaludia kesho paka nimalize kazi yangu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@nurumussa9590
4 жыл бұрын
Kesho siwataongezek
@nurumussa9590
4 жыл бұрын
Kaz tunayo
@sirlankagirl6256
4 жыл бұрын
@@nurumussa9590 🤣🤣🤣nitajalbu
@josephineilomo5750
4 жыл бұрын
sirlanka girl Mmbo n kcomment na kuview an tym hii hii
@josephineilomo5750
4 жыл бұрын
Nuru Mussa waongezeke t ili tujpatie million
Love songs Sana'a hiiii nice songs
wimbo wangu wa mwaka 2020 maana una ladha zote nimeupa Daraja A kwani hauchoshi
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥gonga like ming ming kwa team kiba
@zundahbartazal4861
4 жыл бұрын
bebe nakuzoooom ujueeeee...
@zundahbartazal4861
4 жыл бұрын
zaanuu u a ma princess..
@zanurathhans6409
4 жыл бұрын
@@zundahbartazal4861 acha utan👀👀👀👀
@zanurathhans6409
4 жыл бұрын
@@zundahbartazal4861 yes ma ...
@zundahbartazal4861
4 жыл бұрын
@@zanurathhans6409 kweli teeenaa..kukuvisha sheelaa sio kesi..
Omukwano gwo Luganda is sounding good thanks for loving Uganda🇺🇬 Tommy
Wauuuuuu omukwano gwo it's very nice song respect for alikiba
Mziki mtamu sana, mziki ulioshiba na kuenda skuli..... Nipe like za Tommy na Alikiba
@asinatjuma8088
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥 haliwa
@hashimally1048
3 жыл бұрын
Ok pw mziki mtm
@nasmamohamed4738
3 жыл бұрын
@@hashimally1048 san
Kama umeview zaid ya mara 50 na bado hatujatrend gonga like tujuane
@jovanjoram5557
4 жыл бұрын
mimi zaidi ya 50
@chollejr_
4 жыл бұрын
Au kutreding mpk mwenyej
@villanjimmy7625
4 жыл бұрын
Kwakwel na sichoki ntarud
@afredpetro3832
4 жыл бұрын
Yebaba
@abdulsimon8369
4 жыл бұрын
winnie chidunda nomaaaaaaaa
Tommmy you’re indeed talented 🙌🏿🔥🇰🇪….and the king himself @kiba🇰🇪🙌🏿
OMUKWANO GOOD MUSIC BIG UP BRO TOMMY KAMA WW NI REAL TEAM KIBA ACHIA LIKE HAPO CHINI
@christophermathias6501
4 жыл бұрын
Omukwano no normal Sana
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Hahahaaa
@infinityoil
4 жыл бұрын
@@christophermathias6501 HATARI BONGE MOJA LA NGOMA KWA WANAOELEWA MZIKI MZURI
@mohamedyusuph2712
4 жыл бұрын
Kweli mdau Omukwano ni bonge moja la kiburudisho
@AbdulKarim-do7co
4 жыл бұрын
I liked
Jamani team wenzangu kwanza like za hawa viumbe wawili then tupandishe views fasta
@hoseaanyosisye3843
4 жыл бұрын
Rama Ramoo noma
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba ubonyeze picha yangu kisha Subscribe ❤💓❤
I clicked coz I read omukwano! And I wasn't disappointed. Captivated and now playing on repeat. Big love from Uganda!
Tommy flavour!!!! More luv 4m Zed🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Nasemaje gonga like twende sawa team kiba ni moto we have any kind of flavors wameuwaaaaaaaa omukwano
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Tukopamoja
@halunamaneno9986
4 жыл бұрын
Good
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
Yeeeeeeababahhhh
@muzungumud9428
4 жыл бұрын
Watakoma mwaka huu
Hii account ni mpya... Tukomae itaingia trending baada ya muda... Account mpya huwa zinahitaji verification process so view as much as you can. BILA KUCHOKA TWENDENI TUKAMTOE KIBA WENYEWE 🔥🔥🔥🔥 YANI 1 NA 2 TUWE SISI 🔥🔥🔥
@zifamgetta2265
4 жыл бұрын
Fact
@anethsimon1673
4 жыл бұрын
Kabsa
@kirenenkochristopher1828
4 жыл бұрын
@@zifamgetta2265 yeap
@kirenenkochristopher1828
4 жыл бұрын
@@anethsimon1673 yeas
@najmaabdul8522
4 жыл бұрын
Watu hawajachangamka bado wamelala😂
Hiy ngom hatarr xan
Mwaka 2021 ndio huuu #OMUKWANO Bado nasikiliza nakuingalia kila siku sijui Kama Tommy atatuletea dude kali Kama hili Tena dah
Kama hupendi nyimbo zamatusi ebuu like hapa Mana humu hamna hayo upomziki mzr tuuu
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Nimeshitushwa nautam pelemende jaman wewe mtoto umeyajulia wapi haya umenikosha baraaaaaaaaaaaaa
@shamimharuna4140
4 жыл бұрын
I see you
@shamimharuna4140
4 жыл бұрын
Mgogo og
@wemakalamu3538
4 жыл бұрын
Fireee
@mariamthomas2537
4 жыл бұрын
Unanipa raha no stress
Leo Naachia Comments Kumi humu ndio Tommy ajue Yupo.Sehemu Sahihi😂😂😂🔥🔥🔥...Aya Nipeni Likes.🔥🔥💪💪
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Kabisa
This sooooooong is more that a sooooooong❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Tommy Flavour King Of RnB🇲🇿‼
Tim kiba Hatukosei YOUNG KING UMETISHA XANA
@AbdulKarim-do7co
4 жыл бұрын
Sana tena
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Kabisa
3rd Zanzibar 🇹🇿
Ety ....mzima mzima kama chatu nmeze baiby...🔥🔥🔥
Ni mara yangu ya kumi kuskiza hii ngoma sasa. very nice.....
Nmeelewa hiii kitu br0 lkn kuna team Kwa king yp0 flav0ur Kwa k0nde yp0 ibrah Kwa m0nd yp0 zuchu n0ma cn mwaka huuu g0nga like bila ya ubaguzi sis w0te tz m0ja
@justinadamiane3496
4 жыл бұрын
Team kingsmusic
@yaskidesaid5094
3 жыл бұрын
@@justinadamiane3496 king music au si0 g00d
Jaman ngoma kali Sana ila ipewe promo niko Zambia hapa leteni ma like ya kutosha
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Well
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍👍
Hii ngoma ni noma sana king kiba ni balaaaaaa
Hii ngoma nikubwa mnoooo inaujazo wa ujazo wote 😂😂😂😂💞🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kwani walio toka tena niakina nani?? Nimeshawasahau tommy flavour he take over 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🙏🙏❤️❤️❤️
@abeidmayanga809
4 жыл бұрын
Hahahàa manina nimefurahishwa nakauli yako
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
Hata majina siwakumbuki
@magdalenajuma6229
4 жыл бұрын
😂 ha
@hudheifaomar6722
4 жыл бұрын
Lazma uwasahau c kw utamu huu
Like kwa Tomy wanakings